UTENZI WA MAAFA YA MV.SPICE.flv

Ойын-сауық

UTENZI WA MAAFA YA AJALI YA MV.SPICE ,ZANZIBAR

Пікірлер: 360

  • @mohamedasaa8274
    @mohamedasaa82743 жыл бұрын

    09.09.2020 still watching this tupia like km nawe waangalia

  • @HassanAli-do9iz
    @HassanAli-do9iz10 ай бұрын

    Still in my mind 9/9/2011 😭😭😭Tumepoteza ndugu zetu wengi Allah awafanyie wepes Inshallah

  • @abdulazizitwalib5859

    @abdulazizitwalib5859

    Ай бұрын

    Allahuma Ameen

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51575 ай бұрын

    INALILAH WAINAILAH RAJIUN TUPOWE SOTE 😭😭😭😭

  • @jumasalum1414
    @jumasalum14146 жыл бұрын

    Nasikitika sana kwan nilipoteza rafikizangu pamoja na mdogo wangu pamoja na waumini wezangu mungu walaze marehemu hao mahala pema pepon amina

  • @fatumamsuya518

    @fatumamsuya518

    6 жыл бұрын

    Juma Salum Dah Dah inauma Sana ila mungu ndo muweza wa yote mungu wasmehe madhbi yao ndugu zangu tuikumbukeni mauti muda wote lazima ulie

  • @talhiyashomar9546

    @talhiyashomar9546

    5 жыл бұрын

    Amin

  • @thabitnassoro2929

    @thabitnassoro2929

    5 жыл бұрын

    Polee Sana ndg yngu

  • @nusurakajubu8785

    @nusurakajubu8785

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @Qatar-vh5ff

    @Qatar-vh5ff

    4 жыл бұрын

    Amiin amiin yaarab. Mugu awasamehe madhambi yao

  • @mansurissa4459
    @mansurissa44594 жыл бұрын

    Utenz mzri mashallah ila nikiuskia nkumbuka msiba mzto ulitufika allah atupe subra

  • @nadhifahassan168
    @nadhifahassan16811 жыл бұрын

    Innaalillah wainnaa ilaihi raaajiun.Tupo safari moja Mungu awasemehe madhambi yao na awalaze mahali pema.na waliopona wasiache kumshujuru Allah na ss tuliojionea pia tuschoke istighfar kwa mola wetu kwani hili ni fundisho tumejisahau sana waislam km kila shani ni zake yy M.mungu. Maashallah msomajii wetu umetulia na Mungu nawewe akupe kheir.

  • @fatmarashid0005
    @fatmarashid00052 жыл бұрын

    Amiiiiiiiin allah awafanyie wepesi katka makabri Yao na ss atujaalie mwisho mwema wa maisha yetu

  • @abdulazizitwalib5859

    @abdulazizitwalib5859

    Ай бұрын

    Allahuma Ameen

  • @abubakarmohd1650
    @abubakarmohd16504 жыл бұрын

    😭😭😭 allah ataeajaalia kila la kheyr katika safari yao ya akhera ameen inshaallah🙏

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib45122 жыл бұрын

    Kila nikikumbuka wallah roho inauma machozi yananitoka allah awape kauli thabit

  • @alawimussa9730
    @alawimussa97305 жыл бұрын

    Inaniuma sana kila nikiikumbuka hii siku sote niwa m/mungu na sote tutarejea kwake

  • @mahanur4468

    @mahanur4468

    4 жыл бұрын

    Wallah inackitisha sana ila ndio kazi ya M/mungu haina mpiza

  • @abdulazizitwalib5859

    @abdulazizitwalib5859

    Ай бұрын

    Allahuma Ameen

  • @firdausmohammad393
    @firdausmohammad3938 жыл бұрын

    Ahhhh huzun lazima lkn ndio ALLAH alivyopanga kikubwa ni wenye kuwa na subra na pia ni wenye kufanya Ibada na pia tuwaombee dua wenzetu waliotangulia ma pia ni wenye subra na mwenyezi mungu kashaahid kila mwenye subra wataingia Pepon lkn ukiwa ni mwenye kufanys ibada

  • @bintiothmani5369
    @bintiothmani5369 Жыл бұрын

    Still in my memory i will never forget this day Ya Rabby 9/9/2011 😭😭😭😭😭

  • @saidsoud5967
    @saidsoud59675 жыл бұрын

    Dah machozi yanitoka wamekufa mashahidi hawa malipo yao peponi inshallah

  • @abdulazizitwalib5859

    @abdulazizitwalib5859

    Ай бұрын

    Allahuma Ameen

  • @aminamuhammad553
    @aminamuhammad5535 жыл бұрын

    Inahuzunisha saaana kila nikisikia huu utenzi siwezi kujizuia kulia siwajui waloangamia lakini inaniuma ndani ya roho Allah awape kauli thabit

  • @rehemabakari6403
    @rehemabakari64035 жыл бұрын

    Innallillah wainnallillah rajuun ni miaka 7 kesho tunatiza tangu tuwapotende ndugu zetu m/mungu awaalaze mahali peponi amiiin ,awaepushe na adhabau y kaburi

  • @tausikhamiss5933
    @tausikhamiss59332 жыл бұрын

    Still in my memory, I will never forget this day 9/9/2011

  • @allymohamedi991
    @allymohamedi9914 жыл бұрын

    Mbona me nalia tu hata nashindwa kusikilza linalo ongelewa yaumiza Wallah Sote twarejea kwa Allah dunian twapita tu Allahu Akbar

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla76243 жыл бұрын

    Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiun Dah ukweli haitosahaulika siku hii m'mungu awajaalie wawe minal-faaizina duniani na akhera

  • @m-barukhamad2734
    @m-barukhamad27345 жыл бұрын

    Hicku cto isahau daima ktk uhai wangu 09/09/2011

  • @SmokerAli-y1w
    @SmokerAli-y1w4 күн бұрын

    Allah Akbar mungu awape kauli thabit kwangu mm hii 9 -9-2011 sitoisahau maisha yangu mpaka mwisho wa maisha yangu

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Utez huu unaniliza Kila nilisikiliza ila Allah akulipe Kila la kher inshallah Dada yngu

  • @salilubadi2331
    @salilubadi23318 жыл бұрын

    INALILAHI WAINA ILAIHI RANJUUN

  • @saidothmansaid8984

    @saidothmansaid8984

    3 жыл бұрын

    utenzi. Ramadhani

  • @SmokerAli-y1w
    @SmokerAli-y1w4 күн бұрын

    Allah Akbar mungu awape kauli thabit kwangu mm hii 9 -9-2011 sitoisahau maisha yangu mpaka mwisho wa maisha yangu 22:42

  • @Nassy2009
    @Nassy200912 жыл бұрын

    Dunia twapita tu, kila mtu itafika siku yake ataondoka. Mungu kawapa subira na atazidi kuwasubirisha. Inshallah Mungu awakutanishe na familia zao katika pepo ya firdausi. (AMEEEN)

  • @bintsalimalbimany9373

    @bintsalimalbimany9373

    6 жыл бұрын

    Nassy2009 Ammin yarab

  • @ibrahimkwaza5896

    @ibrahimkwaza5896

    5 жыл бұрын

    Allah awasameh na awahifadhi kwenye jannat firdaus yawe makaazi yao milele amiin 😢

  • @samsonkipkoechronoh3590
    @samsonkipkoechronoh35905 жыл бұрын

    abiria lengo lake afike safari yake lakini dah!!!!!!!!!! poleni tulobaki twahuzunika. mipango ya mungu hii

  • @omarsaidi3978

    @omarsaidi3978

    4 жыл бұрын

    Pole xn ndugu

  • @kwabijokha
    @kwabijokha12 жыл бұрын

    Alaykum Al Sallam CHIA Hakukosea aliposema (kheri na shari ni zake Mola). Hiyo ni katika nguzo sita za imani ambazo kila muislam lazima amini. Kila kitabu na kila madhehebu tunaamini hayo Nguzo sita za imani --Imani ya Mola wetu na kuamini kua yupo --Amini kuna malaika japo huwaoni --Amini kuna vitabu vinne, lazima uvikubali Quran, Zabur,Taurat na Injili --Amini mitume bila kuwabagua --Amini siku ya kiama --Amini "qadari", mipango yake Allah kua Kheri zote na shari, zatoka kwake Rabana

  • @AzzaAldahnani

    @AzzaAldahnani

    22 күн бұрын

    Amni

  • @Nassy2009
    @Nassy200912 жыл бұрын

    Mashallah Tabarak Rahamani. Utenzi mzuri na uzuri zaidi alivyoulekeza kwa dini. Mtungaji pongezi kupita kiasi na msomaji kausoma kwa sauti nzuri na kwa hisia kubwa. Walahi umeniliza.

  • @jamilashaabani6406

    @jamilashaabani6406

    6 жыл бұрын

    Allah atukumbusha ss tunatafuta maisha na mauti yanatutafu allah atupe hatima njema

  • @zuhuramuhanga5400

    @zuhuramuhanga5400

    3 жыл бұрын

    Amatunga mwenyewe huyo msomaji mariam wakigamboni dar

  • @hafidhsaleh9919
    @hafidhsaleh99194 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayhim raajiun ALLAH awalaze mahali pema peponi. Kiukweli inauma lkn kazi ya mungu haina makosa

  • @shekhajuyah8239
    @shekhajuyah82394 жыл бұрын

    Allah akbar mwenyezi Mungu awarehemu waja wote waliotangulia na tuliobak atupe mioyo ya iman tumsujudie yeye tu

  • @rizikiiddi2192
    @rizikiiddi21922 жыл бұрын

    Allah awasamehe na sis atufanyie wepesi

  • @lutfiamohd3493
    @lutfiamohd34936 жыл бұрын

    9/9 never forgotten ...allahuma ghfirlahum warhamhum waskanahum filjanna.... today its 7.years

  • @aymanabdullah9496

    @aymanabdullah9496

    5 жыл бұрын

    amiin

  • @kanoa645

    @kanoa645

    5 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilyh rajiun, kila nisikiapo utenzi huu hushindwa kujizuia machozi yananitoka. SUBHANALLAH

  • @nasrahaji2197

    @nasrahaji2197

    5 жыл бұрын

    Death is inevitable .... Ameeen Yarab 😭

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 Жыл бұрын

    tare..9.9.2011 ninalilahiwaninali.

  • @fatoo1235
    @fatoo12357 жыл бұрын

    hii story hatuwezi kuisahau milele😢😢😢😢inauma sana ila kaz y Allah haina makosa

  • @binesiharuni2609
    @binesiharuni26097 жыл бұрын

    pole sana kwa mkasa😭😭😭😭😭😭😭 ina uma sana Allah awape subri na utulivu

  • @rehemabakari6403

    @rehemabakari6403

    6 жыл бұрын

    Binesi Haruni ,,,in shaa allah,,amiin

  • @nassormohd8820
    @nassormohd88204 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilyh rajiuon...8 yrs now...Allah awarehm waliotangulia n azidi kuwapa subra wafiwa wote, n cc atujalie khatma njema, tijitahd kuwaombea duaa waliotangulia amiin

  • @maryamhesein7284
    @maryamhesein72847 жыл бұрын

    mungu awaweke pema wote jaman

  • @AtinaMukhtar-mr8yo
    @AtinaMukhtar-mr8yo4 ай бұрын

    Haifiki wiki lzm niusikiliz utenzi huu😭 sijawah kuach kulia🥺😭 haitapona kovu hii😭😭 Allah awasameh makosa yao🤲😭

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi55756 жыл бұрын

    Allah ya Rahamani waughurie maiti wote waliotangulia, amiin amiin yarab.

  • @saidahmed9688
    @saidahmed968812 жыл бұрын

    UTENZI MZURI LAKINI UNASKITISHA SANA ALLAH ATAWASEMEH WALIOTANGULIA

  • @mwanaidmiraji4571

    @mwanaidmiraji4571

    4 жыл бұрын

    said ahmed amiin

  • @mansurissa4459

    @mansurissa4459

    4 жыл бұрын

    Ammin hatutaweza kuisahau sku io n kilio chetu kikubwa allah awahifadh ndgu zetu n awasameh

  • @aliissa6632

    @aliissa6632

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @Qatar-vh5ff

    @Qatar-vh5ff

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @nnajmaalsmailiyya
    @nnajmaalsmailiyya12 жыл бұрын

    innaa lillah wa innaa ilayhi raaajiun!!!!! mungu warehemu na awasamehe madhambi yao wote waliofariki ktk ajali hiii

  • @fatmasalum1180

    @fatmasalum1180

    6 жыл бұрын

    inaskitisha mungu awalze pema peponi amini

  • @salumomar9317

    @salumomar9317

    6 жыл бұрын

    nasam saeed

  • @hanifasilima5560
    @hanifasilima55607 жыл бұрын

    mungu awalaze mahali pema pepon amina ixhaallh

  • @abubakarkhamis4349
    @abubakarkhamis4349 Жыл бұрын

    Dah leo nishakumbuka mbali

  • @keyla3641
    @keyla3641 Жыл бұрын

    Hii siku kubwa sana kwetu mpaka Leo naona km jana yarabi wasamehe makosa yako ndugu zetu walotangulia

  • @muhammadabbuujibreel6816
    @muhammadabbuujibreel6816 Жыл бұрын

    Poleni Sana watanzania pia Mimi bdo nko na huzuni

  • @rehemabakari6403
    @rehemabakari64036 жыл бұрын

    Daaah.....sitaweza kusahau jmn maana nilimpoteza mlezi na mdogo angu akiwa na mwezi tu bora tungepata ata maiti tukazika

  • @zaharanihassan9013

    @zaharanihassan9013

    6 жыл бұрын

    pole sana

  • @rehemabakari6403

    @rehemabakari6403

    6 жыл бұрын

    Zaharani Hassan ,,,,ahsante ni kazi ya mungu hii haina makosa

  • @MuhammadAli-eo1tj

    @MuhammadAli-eo1tj

    6 жыл бұрын

    Rehema Bakari poleni saana wazenji

  • @thabitnassoro2929

    @thabitnassoro2929

    5 жыл бұрын

    Rehema Bakari pole sana ndg yang

  • @maryamsaid6010

    @maryamsaid6010

    4 жыл бұрын

    Rehema bakari pole sana mamy mtakutana firdous insha'Allah 😭😭😭😭😭

  • @rtxwalker
    @rtxwalker3 жыл бұрын

    INNALILLAH WAINNALILLAHI RAJIUN

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla76243 жыл бұрын

    Allahumma aaammiin ya rabby kwa kila dua iloombwa humu ya rabby Kila nnapoisikia utadhani km tukio limetokea jana

  • @thuwaibashabani6959
    @thuwaibashabani69595 жыл бұрын

    Mungu awalaze mahala pema peponi amiin

  • @sendeuonlinetv7795
    @sendeuonlinetv77952 жыл бұрын

    Mm machuzi inani mwagika Allah awasamehe ndugu zetu na ss tunakuja hukohuko kama sio leo kesho inshallah

  • @MohamedMohamed-fc7vh
    @MohamedMohamed-fc7vh Жыл бұрын

    Allah akuzidishie kheri dada Kwa waadhi,,,unotuzidisha uchaMungu...

  • @muhammadjabbir8857
    @muhammadjabbir88577 жыл бұрын

    INNA LILLAHY WAINNA ILAYHY RAAJIUUN

  • @kapituomary2344
    @kapituomary2344 Жыл бұрын

    Aisee haita sahaulika

  • @AzzaAldahnani
    @AzzaAldahnani22 күн бұрын

    Amni yarabli 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲Daima milele sitosahau hiii sku mngu awarehem wote walotangulia na azabu ya moto

  • @soudnassor3924
    @soudnassor39247 жыл бұрын

    innaalillah wainnaa ilayh rajiuun

  • @zainabomar9139
    @zainabomar91394 жыл бұрын

    Allahu akbar allah awasamehe na awape mema maqam yarrab

  • @naimahassan7386
    @naimahassan73866 жыл бұрын

    inailah wainailah rajiunah Alhamdulillah a'alakul hal qadarallahu wamashaa fa'alla

  • @khadujifuad9360
    @khadujifuad9360 Жыл бұрын

    Huu utenzi huwezi kujizuia usilie.. Walipotea watt 7 ukoo 1.. siwezi sahau.. Allah atujutanishe soote tukiwa jannah Amin 2022

  • @mwanaamour4046

    @mwanaamour4046

    Жыл бұрын

    Kweli lazima ulie,nimewakumbuka wanafunzi wenzetu walikufa,wengine hawakupatikana,Allah wasamehe uwalipe pepo inshaaallah aaaamin.

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany93736 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah awasameh makosa yao haiwez kusahaulika ck hii Mana Si maskhara mama na watt au mama na watt na baba (Allahu akbar) huu ni ukumbusho tosha

  • @zuchumamy8875
    @zuchumamy8875 Жыл бұрын

    Allah awarehem 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dickensotiende6649
    @dickensotiende6649 Жыл бұрын

    Inallilah wa inaillahi raajoon mola awape njema shufa waliotangulia inahuzunisha sana now is 11 years.

  • @thuwaybah5679
    @thuwaybah56792 жыл бұрын

    Innallilah wayna ilaihi rajiuun Allah awasamehe makosa Yao ya dhahiri na ya siri na sisi atujaalie mwisho mwema🤲🤲🤲AMIIIN

  • @surujajwie4768
    @surujajwie47683 жыл бұрын

    Innalillh waina ilah rajiun Allah rehemk llah 😭😭

  • @ndatulumasalu3731
    @ndatulumasalu37317 жыл бұрын

    All people are equal

  • @saidkasege9835
    @saidkasege98356 жыл бұрын

    innalilah wainailah rajiun hongera msomaji kwa utenzi mzuri

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali4944 жыл бұрын

    Huu utenzi mwenye nao naomba

  • @ayshaayush8539
    @ayshaayush85397 жыл бұрын

    Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. Ameen.

  • @abdallahmakame245

    @abdallahmakame245

    3 жыл бұрын

    msiba umetugusa

  • @kwabijokha
    @kwabijokha12 жыл бұрын

    MashaaAllah Mw Mungu akupe kila la kheri msomaji na awape walokufa kweny ajali hii pepo ya daraja la juu kabisa. Na tulobakia Mw Mungu atupe subira na atusameh kwa makosa tunoyajua na tusoyajua. INNA LILAHI WA INNA ILAYHI RAJIUN Amin

  • @fatmasalum1180

    @fatmasalum1180

    6 жыл бұрын

    inalilah Wa inailah rajiun

  • @ndoshomohammed16

    @ndoshomohammed16

    4 жыл бұрын

    inalilah wainailaih rajuuni

  • @mdroman6547
    @mdroman65474 жыл бұрын

    HII.TAREHE.9.9.2011.SITAISAHAI.KATU😢😢😢😢😭😭😭😭

  • @zanzimaore2148
    @zanzimaore214811 жыл бұрын

    salam zanzibar je suis triste pour cette catastrophe mes ont vas les voir au paradis

  • @rehemabakari6403

    @rehemabakari6403

    6 жыл бұрын

    Km.utojali naomba huu utenzi ,,+968 91745441

  • @zariamandoti4875
    @zariamandoti48754 жыл бұрын

    9/9/2019 Still hurting

  • @AbuubakariMohamed

    @AbuubakariMohamed

    10 ай бұрын

    acha uongo na acha uzungu

  • @atfatnassor4393
    @atfatnassor43934 жыл бұрын

    😢😓😭😭😭😭😭😭😭يارب حسن الخاتمة😥🙏🙏

  • @aminamwinyi5528

    @aminamwinyi5528

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @aliidrisaxmad5169
    @aliidrisaxmad51693 жыл бұрын

    Siwezi kusikia najikaza nimi pango ya Allah

  • @asmarashidsaidsaid3818

    @asmarashidsaidsaid3818

    2 жыл бұрын

    Hata usiseme ndgu yangu sitosahu mpk naingia kaburi ,Allah amsamehe mume wngu akhera alipo ilikua ndio kwnza biharus hata syajui machungu ya ndoa najua ndoa ni Raha tu ukaniacha kipenzi sitosahu

  • @kanoa645
    @kanoa6452 жыл бұрын

    Kila nisikiapo utenzi huu, lazima machozi yanibubujika, subhanallah

  • @AbuubakariMohamed

    @AbuubakariMohamed

    10 ай бұрын

    uongo huo

  • @ashasuleimani2057
    @ashasuleimani2057 Жыл бұрын

    Mungu awape kaul thabit innalillah wainnailayh rajiun 😭😭😭😭😭😭😭

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv34705 жыл бұрын

    2019 still in my mind

  • @AbuubakariMohamed

    @AbuubakariMohamed

    10 ай бұрын

    acha uzungu

  • @OmaryDanga
    @OmaryDanga7 ай бұрын

    Safi sana utenzi

  • @azizamohammedsaid3753
    @azizamohammedsaid37532 жыл бұрын

    Allahu Akbaar😭😭😭😭💔

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72454 жыл бұрын

    ALLAHUMMA. GH'UFIR. LLAHU WARAHAMHU. WASKINUHU FIL JANNA

  • @fatimaabdulla1320

    @fatimaabdulla1320

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @MadinaBinde
    @MadinaBinde2 ай бұрын

    Inshallah Allah atatip subra

  • @yusuphmalolo4792
    @yusuphmalolo4792 Жыл бұрын

    Mungu awalaze Mahal pema peponi

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 Жыл бұрын

    mungu atakujaliya salama

  • @Baynumberonee
    @Baynumberonee6 жыл бұрын

    Mungu atuepushe tuliobaki nvifo vyapamoja kamahvi

  • @fatmaramuno9206
    @fatmaramuno92066 жыл бұрын

    Innalillah wainalilahi raajiun

  • @shamsahassan2586
    @shamsahassan25865 жыл бұрын

    mungu awarehemu ndugu zetu

  • @user-jf8yk8yq3m
    @user-jf8yk8yq3m Жыл бұрын

    Munguu awalaze mahala.pema peponi ni tukio lisilosahaulika ,lilitukumba wapembaa 😭😭😭

  • @IDRISSAHAMAD
    @IDRISSAHAMAD12 жыл бұрын

    Ni utenzi mzuri sana.... na msomaji pia Mashallah. Allah awape kheri waliotayarisha na awajaliye utenzi huu uwe ni kwa ajili yake. Allah awajaaliye waliotangulia pepo na waliobakia SUBRA na Amali njema na atupe sisi Khatma njema. Kuhusu kuwa shari na kheri zote zinatokana na Allah hakuna shaka..... pia Allah mahala mwingi amesisitiza kuwa matendo yetu, hata hivyo, YEYE ndie MKADIRIAJI NA MUAMUAJI. Huu ni msingi Tauwhidi.

  • @rehemabakari6403

    @rehemabakari6403

    6 жыл бұрын

    Inaniuma sn zaidi ya sn sina mengi ya kusema zaidi ya dua kuwaombea......maana mungu ndyo anajua wapi alipowahifadhi..... allaha awape kauli njema ww pamoja na mdogo wang kwa maana miaka 6 leo tangu mtupotee.

  • @aishaubalozi7088

    @aishaubalozi7088

    6 жыл бұрын

    IDRISSAHAMAD uteziwa hukumu walajiriba namaliza yatima

  • @fatmasalum1180

    @fatmasalum1180

    6 жыл бұрын

    tuwe pole wanzanzibar msiba huu ni wote sote

  • @fatmasalum1180

    @fatmasalum1180

    6 жыл бұрын

    inauma na hatuwezi kusahau

  • @mussakivumbi2930

    @mussakivumbi2930

    6 жыл бұрын

    Innalillah wainnailah rajiun,sote twapita tu ktk hii duni,Allah awasamehe na awarehemu,nasi pia Allah atusamehe na aturehemu,,,,..

  • @zenazainab-485
    @zenazainab-4859 ай бұрын

    9/9/11 still we never 4get

  • @MariamMohamed-h4i
    @MariamMohamed-h4i5 күн бұрын

    Amina ishaallah

  • @swabrahkai9774
    @swabrahkai977417 күн бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi raajiun

  • @mtzmtulivu
    @mtzmtulivu11 жыл бұрын

    hili shairi limenikuna si utani.Huyu mshairi anafahamika au?Kipaji anacho na hongera kede kede kama nimemnunia vile nampa.Thank you for putting this up.Thare is a lot to be thankful for in this world even when we are dirty poor.Having the ability to push air in and out of our chests is all the wealth we ever really need.

  • @sheikhasalim1190

    @sheikhasalim1190

    5 жыл бұрын

    Anajulikana anaitwa Mwana. Akikaa kigamboni dar es salaam

  • @nahdamohammed6201
    @nahdamohammed62012 жыл бұрын

    leo ni mwaka wa 10 tokea wametutoka ndugu zetu Allah awajaalie pepo na awasamehe zambi zao inshllh 😭😭😭

  • @asmarashidsaidsaid3818

    @asmarashidsaidsaid3818

    2 жыл бұрын

    Ameena yarabiy😭😭😭hatutosahau katu

  • @aishazimba4774
    @aishazimba47747 жыл бұрын

    mola hawape subra Wote walofikwa n msiba huyo. Amiin

  • @rehemabakari6403

    @rehemabakari6403

    6 жыл бұрын

    Amiini rabbirahlamii

  • @Qatar-vh5ff

    @Qatar-vh5ff

    4 жыл бұрын

    Amiin amiin yaarab

  • @abdallahmuhammad4729
    @abdallahmuhammad47295 жыл бұрын

    Allahu Akbar sie sote kwako tulitoka na vilevile tutaregea.ya Allahu warehemu jamii ya waislu waliotangulia mbele yako.

  • @mselemabeid3765
    @mselemabeid37653 жыл бұрын

    9/9/2020 still hurting

  • @naymaramadhanikate3741
    @naymaramadhanikate37412 жыл бұрын

    Nimelia wallah

  • @khadijamasoud7261
    @khadijamasoud7261 Жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajiun. Subhallah

  • @seifswaleheswalehe2709
    @seifswaleheswalehe27097 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi raajiuun

  • @kellugumba8172
    @kellugumba81723 жыл бұрын

    Innalillah waina ileih rag_ghuun.

  • @fatuminafarah2524
    @fatuminafarah25247 жыл бұрын

    lnnaillah wainnaillah rajiun inauma sanaa kwakila mtu akikumbuka

  • @SamsungGalaxy-rx6xw
    @SamsungGalaxy-rx6xw4 жыл бұрын

    inauma sana kila nikiikumbuka hii siku

  • @omartamim278

    @omartamim278

    4 жыл бұрын

    Tupoe Samsung yote ni kheri tu na ni mipango ya Allah

Келесі