WAPEMBA WATUNGA UTENZI 'MKALI' KWA RAIS MAGUFULI

Ойын-сауық

WAPEMBA WATUNGA UTENZI 'MKALI' KWA RAIS MAGUFULI
Huu ni utenzi ulioimbwa mbele ya rais MAGUFULI juzi akiwa pemba.

Пікірлер: 247

  • @nasrahassani6248
    @nasrahassani62484 жыл бұрын

    Masha Allah kwa shairi sauti masha Allah lkn ungetunga shairi kumsifu mtume wetu s.w

  • @salimaabdulmarick.safisana9647

    @salimaabdulmarick.safisana9647

    3 жыл бұрын

    Laiti ungesoma kumsifu Allah ingekuwa raha lakin umechemka

  • @fardiamohd7300
    @fardiamohd73007 жыл бұрын

    MashA allah this woman i salute you sister...+254 ( kenya

  • @bayuumohamed9048
    @bayuumohamed90484 жыл бұрын

    Masha Allah alhabb yantal hasal

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma19406 жыл бұрын

    Kuna shairi nilishalitunga kumhusu huyo kiongozi Mwadilifu .Heko, Heko, Heko gwiji.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi28755 жыл бұрын

    Mashaa Allah Very nice voice and poem

  • @immanuelswai6679
    @immanuelswai66796 жыл бұрын

    Kama ukubaliki kwenu utajuwa tu.!!! Utapokelewa na watu wenye mtazamo finyu. Hasahasa wanawake.

  • @sikudhanisalim3237
    @sikudhanisalim32373 жыл бұрын

    Hongel dad mashallll mwaaaaaaaaaa mungu akuongoz

  • @nicodemusmuneeni7440
    @nicodemusmuneeni74406 жыл бұрын

    ustaha kweli katika lugha yetu ya kiswahili hongera.

  • @channa_roblox_channel9916

    @channa_roblox_channel9916

    3 жыл бұрын

    6

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85117 жыл бұрын

    mashallah wowww mashallah hongera pembaaa

  • @ibrahimmsinga5320

    @ibrahimmsinga5320

    5 жыл бұрын

    Mm spendi rangi hi sijui kwanini mm napend nyekund na nyeupe

  • @mamyomar1241

    @mamyomar1241

    4 жыл бұрын

    @@ibrahimmsinga5320 rangi ya pepo, mboga mboga. Kama kijani hakionakani, tunakufa njaa. Ukipende kwa akili ya Allah

  • @sikudhanisalim3237

    @sikudhanisalim3237

    3 жыл бұрын

    Mumngu akulind nashal zote

  • @rehemachuma7747
    @rehemachuma77477 жыл бұрын

    Muimbaji yuko Vema......

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940

    @mwanaharakatimukoyaaywahma1940

    6 жыл бұрын

    Rehema Chuma Yuko vyema sana.Yaani apendeza. Mola ambarikie mno.

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz11 ай бұрын

    Safi sana mnaroho nzuri isiyo kua na Hira ! Mnapendeza ndugu

  • @jafferjaffer4561
    @jafferjaffer45616 жыл бұрын

    Ingekua ni qaswida zingepingwa mwanamke kuskiwa sauti

  • @sheikhasalim1190
    @sheikhasalim11904 жыл бұрын

    Kajenga nini huko Zanzibar

  • @suleimanmakame8055
    @suleimanmakame80556 жыл бұрын

    Abdalah aliward huna maneno hapa hamtotutawala mara 2

  • @didakassim8666

    @didakassim8666

    3 жыл бұрын

    🤣imefika mara Kumi na mbil

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma19406 жыл бұрын

    Gwiji bado wapepea.Wapendeza. Mashaallah! Karibu Nairobi, Kenya.

  • @gediosman6055
    @gediosman60555 жыл бұрын

    Hongera ! Hongera ! Hongera dada!.

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd8195 жыл бұрын

    Subhannallah mtoto wakiislm umesahau akhera

  • @amenaafrica7046

    @amenaafrica7046

    3 жыл бұрын

    kwan amekufuru au

  • @user-tq2rk8jw3s

    @user-tq2rk8jw3s

    5 ай бұрын

    Mna sifaaa kwan kakufr

  • @tinivanny7562
    @tinivanny75625 жыл бұрын

    huu ushirikina sijui mtaacha LINI .WANAWAKE sisi wanawake ndio vyanzo vya maasi Astaghfirullah

  • @waziriali6715
    @waziriali67155 жыл бұрын

    UPO JUU DADA MASHAALLAH MUNGU AKUJAZE

  • @truthspeaker2062

    @truthspeaker2062

    4 жыл бұрын

    Mungu hamjajii mtu anaeemda kinyume na amri zake .. kwani hujui kama mwanamke amekatazwa kupaza sauti yake juu

  • @hamidahamad9773

    @hamidahamad9773

    3 жыл бұрын

    W

  • @nazyrable
    @nazyrable6 жыл бұрын

    Mashallwa utenzi mzurii salana

  • @huzaimaemms3954
    @huzaimaemms39547 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42517 жыл бұрын

    Duh, hii kweli kiini macho

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano79387 жыл бұрын

    masha allah

  • @AhmedAhmed-ph3wq
    @AhmedAhmed-ph3wq4 жыл бұрын

    Mm Nakubali,maneno Yako.

  • @halimaally3304

    @halimaally3304

    3 жыл бұрын

    Hakika hajakosea

  • @annamhanje3167
    @annamhanje31676 жыл бұрын

    hongeraaaa ccm

  • @halimaally3304

    @halimaally3304

    3 жыл бұрын

    Ccm oyeeeeeee

  • @hanifasilima4816
    @hanifasilima48163 жыл бұрын

    Wasomaji utenzi ninowakubali ww ni no 1 mashallah nakupenda San dada kz yko nzr san

  • @onlinetv2269

    @onlinetv2269

    3 жыл бұрын

    Umesahau mwana bingwa wa utenzi ist Africa from kigamboni dsm

  • @abebechmosim8497
    @abebechmosim84977 жыл бұрын

    mash Allah

  • @zainabswaleh4907

    @zainabswaleh4907

    7 жыл бұрын

    mashallah😘

  • @jahangirmughal4626
    @jahangirmughal46264 жыл бұрын

    Maashallah

  • @amirilizo1838
    @amirilizo18384 жыл бұрын

    Mashallah halima

  • @ashirafali2235
    @ashirafali22354 жыл бұрын

    Ndo hao wasiopenda maendeleo Zanzibar umependeza wapi wewe binti au nyinyi ndo wabaya wenyewe sema kuwatengenezea Zanzibar hamna lolote cha maana au na ndio maana hatutaki muungano uwepo mmhh wews unapenda tuwe hivi kila siku uchumi uwe chini

  • @muniradaudi440

    @muniradaudi440

    3 жыл бұрын

    Uyo anayeimbaa hapo namjwa afa njaa maisha magumu alafu pemba yangaraa🤣🤣

  • @perrychicken5876
    @perrychicken58767 жыл бұрын

    Mwanamke haya zimemtoka, anatia Ainu hasa

  • @mamyomar1241

    @mamyomar1241

    4 жыл бұрын

    Kwasababu so ACT lakini engekuwa ACT ugemsifia akawa hanako. Hiyo ndio kawaida yenu kwani tuwaona wanayoyafanya hawana tofauti. Tuwaombeni kwa Allah awaongeze wote.

  • @flosinkonde6099
    @flosinkonde60995 жыл бұрын

    nimeipenda

  • @hassanabas2355
    @hassanabas23556 жыл бұрын

    mashaallah

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47307 жыл бұрын

    kina mama hawana makubwa wakipewa vitenge tu na vilemba vya ccm basi kwisha kazi

  • @saidabdulkadir377

    @saidabdulkadir377

    7 жыл бұрын

    afro khakeem msihadaewe na kanga

  • @laythatoman3945

    @laythatoman3945

    7 жыл бұрын

    afro hakeem hahaaaaaaa sio wote ni wao wajinga tu

  • @issamohammed2984

    @issamohammed2984

    7 жыл бұрын

    Said Abdulk f adir this

  • @nohatredbutlove5786

    @nohatredbutlove5786

    7 жыл бұрын

    afro hakeem ahahah, umeongea ukweli

  • @allympare4372

    @allympare4372

    5 жыл бұрын

    Hi ni

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын

    Mashallah

  • @dogojanjanuh7361
    @dogojanjanuh73614 жыл бұрын

    Una hata haya msichana

  • @munatwalib2808
    @munatwalib28083 жыл бұрын

    Hakuna kiini macho kipaji kajaaliwa,sauti nyeroro hongera

  • @hassanabdallah6716
    @hassanabdallah67167 жыл бұрын

    napenda vyenye unavyo wapa swaga

  • @zainmajengo4398

    @zainmajengo4398

    5 жыл бұрын

    @Ali Alimadebe

  • @niimasinan
    @niimasinan3 жыл бұрын

    Ahsante saana 👌🏼

  • @allybomba4125
    @allybomba41256 жыл бұрын

    maashaallah msoma shaili umejitahidi sauti

  • @zinaessa4338
    @zinaessa43386 жыл бұрын

    Mashaalaah

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser8944 жыл бұрын

    hajajenga tanzania anajenga tanganyika ila pemba na unguja sijuwi kama atawasaidia kisha waona hamna akili

  • @suleimanmakame8055
    @suleimanmakame80556 жыл бұрын

    Afro hakem wenunyinyi muna wauzia then wanawakubali nynyi hamujifahamu mana baya wafanye CCM tu nyinyi hata mkavaa chupi za SEFU hamusemi kitu ila ujue kua CCM mbele kwambele nyinyi mulisema mgumbele mguunyuma ilikua hujui kua safari haipo?

  • @awadhijuma4223
    @awadhijuma42236 жыл бұрын

    masikini wewe waimbishwa au unaakili kweli

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid22597 жыл бұрын

    Subhana Allah

  • @menaschristian7753
    @menaschristian77534 жыл бұрын

    Hongera kwako dada sauti Na mipangilio ya verse zako

  • @mohammedamour4930

    @mohammedamour4930

    Жыл бұрын

    Wav pà

  • @nasrayahaya8403
    @nasrayahaya84035 жыл бұрын

    mashallah

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2635 жыл бұрын

    Mashallha Mashallha sauti nzuri sana jamani

  • @msisilionlinetv7622
    @msisilionlinetv76223 жыл бұрын

    Ushair mzur💞

  • @tarikj3782
    @tarikj37827 жыл бұрын

    what a sellout na hao unaowona hapo watu 72 ndio ccm wa pemba nzimama hamna wengine.

  • @haidaromar2079

    @haidaromar2079

    4 жыл бұрын

    Tafuta sehem ukalale ww acha chuki izo we mshamba nini

  • @mkobapoli915
    @mkobapoli9157 жыл бұрын

    ingelikuwa nchi nyingine huyu dada angeangaliwa vizuri...si hela tu bali hata kusaidiwa ukuzaji vipaji na kumbukumbu za hazinatamaduni nchi.

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike75685 жыл бұрын

    ما شا ﷲ

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54773 жыл бұрын

    👍

  • @estermamadee8021
    @estermamadee80217 жыл бұрын

    nimependa confidence

  • @SinyamaziTVONLINE

    @SinyamaziTVONLINE

    7 жыл бұрын

    yuko vizuri

  • @munaaabdallah9434

    @munaaabdallah9434

    7 жыл бұрын

    SinyamaziTV ONLINE r

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Magufuli wetu jamani 😭😭😭R.I.P

  • @husnakijuu5259
    @husnakijuu52593 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef31776 жыл бұрын

    Magufuli hii Kiswahili fasaha itamshinda. anaonekana ''uncomfortable'' lakini sheni naona yuko sawa kabisa hapa

  • @qassimmuhammad9634

    @qassimmuhammad9634

    4 жыл бұрын

    Wewe mwenyewe hujui " sio hii kiswahili = hiki kiswahili, na sio itamshinda = kitamshinda.

  • @rashidiabdul-aziz4791
    @rashidiabdul-aziz47913 жыл бұрын

    Zitanukia karafuuu Barbara bovu kazi yako kula mihogo mikavu bila kitoeo

  • @amiribakari8347
    @amiribakari83477 жыл бұрын

    hapa kazi tuuuuuu

  • @samiamtanga1311

    @samiamtanga1311

    7 жыл бұрын

    Amiri Bakari wapo na makafili wezao

  • @hassanabdallah6716

    @hassanabdallah6716

    7 жыл бұрын

    mashallah mashairi mazuri

  • @kaizeslemani4859
    @kaizeslemani48593 жыл бұрын

    Thanksr

  • @henrymushi8340
    @henrymushi83403 жыл бұрын

    Hongera kwa utenzi mzuri

  • @tabumussa6705
    @tabumussa67053 жыл бұрын

    Mashaalah.

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis54067 жыл бұрын

    Utenzi mzuri sana.

  • @halimaally3304

    @halimaally3304

    3 жыл бұрын

    Tena mzuri sana

  • @ridhiwaniridhiwan4497
    @ridhiwaniridhiwan44975 жыл бұрын

    Mungu akulani mnafiki mkubwa wewe kiss unapewa elf kumi hpo una unene gani nja tupu wewe

  • @husenimareja1907

    @husenimareja1907

    5 жыл бұрын

    ridhiwani ridhiwan usitukane ndugu kutukana si kusaidia

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75894 жыл бұрын

    Mdada anaweza

  • @bimzahor4505

    @bimzahor4505

    3 жыл бұрын

    Asante ujiti nakuaminia machachari yako yakujipatia mahela.

  • @myqueen4397
    @myqueen43976 жыл бұрын

    nice

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53495 жыл бұрын

    Kwa kipi mnafik

  • @tinivanny7562
    @tinivanny75627 жыл бұрын

    we Muisilamu wa vipi na alokupa kibali cha kuopiga kibanda mbele ya waume nani?

  • @rayasalum4975
    @rayasalum49755 жыл бұрын

    Alo ccm Alo cuf zote maisha yetu saw na tunaend ardhni sote kubwa ni kumcha mungu

  • @HarunaSaidy-rd8rs
    @HarunaSaidy-rd8rs6 ай бұрын

    Ok

  • @mohammedathuman2868
    @mohammedathuman28686 жыл бұрын

    tukiacha kununuliwa tutapata maendeleo

  • @dukanmchina6614
    @dukanmchina66146 жыл бұрын

    maskn powlee pemba yangu uzezeeta tumetiwaa... watu wachache wanasumbua akili kulikoni?

  • @salehkhamis9978
    @salehkhamis99785 жыл бұрын

    watoaji comment mbona MNA siasa za kibaguzi kwan umeambiwa uangalie

  • @happythadeus7007
    @happythadeus70074 жыл бұрын

    madrasatshop

  • @faridaali6850
    @faridaali68505 жыл бұрын

    Ovoooooo

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12184 жыл бұрын

    Mmmmh wacha weee mwanamke wa kiislam uyo jichezeahe2 kwnye himaya zawatu

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal46086 жыл бұрын

    Dola ya Kiislam inapaswa kusimamishwa ili kuwe na heshima na amani itawale Duniani kote.

  • @khadijamhnaombamahazuhaji7260

    @khadijamhnaombamahazuhaji7260

    5 жыл бұрын

    Mzur msshallah ila saut yako ni uchi

  • @fathiyamkubwa5159

    @fathiyamkubwa5159

    5 жыл бұрын

    anza kuisimamisha kwako na familia yako iyo dola ya kiislaam

  • @fathiyamkubwa5159

    @fathiyamkubwa5159

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali sio matusi dola ya kiislam inaanza kwako binafsi ndio ije kwa umma. ww mwenyewe hujielewi hata kidogo halafu unataka dola ya kiislam. kaanze kuisoma halafu ije kwa familia yako ndo uje kuisimamisha kwa una mzima

  • @fathiyamkubwa5159

    @fathiyamkubwa5159

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali unajiona namnà ulivyo mjinga na mshenzi wa tabia eti unataka dola ya kiislam. kamuangalia mama ako kwanza huko ulikotoka halafu ndo utajua kama nalipa au laa

  • @Tdot4101
    @Tdot41017 жыл бұрын

    Pemba nkwetu

  • @halimaally3304

    @halimaally3304

    3 жыл бұрын

    Pemba oyeeeeeee

  • @fatimahamisi9235
    @fatimahamisi92353 жыл бұрын

    Utenz umepata msomaji had raha

  • @rayasalum4975
    @rayasalum49755 жыл бұрын

    Mbn mswiba huuu jmn

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mwasitsaid7644
    @mwasitsaid76446 жыл бұрын

    Mmmmh

  • @anisasaid4552
    @anisasaid45526 жыл бұрын

    Mashaallah dada unasauti allah amekujaalia

  • @halimajuma5515

    @halimajuma5515

    6 жыл бұрын

    Anisa Said shuqraan

  • @laythatoman3945
    @laythatoman39457 жыл бұрын

    ataanguka kwa kuwapa mkono washenzi wenziwe wallah twapita tu apa mnaona zambi ndogo nikubwa sana maana si ya mmoja

  • @ramaissa2620
    @ramaissa26203 жыл бұрын

    Unaimba rakini tulia cio kwahivyo

  • @hemednassour4763
    @hemednassour47633 жыл бұрын

    Anaitwaje uyo muibaji

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly96865 жыл бұрын

    Watu wananjaa mwaleta ccm

  • @kassimyahya5009
    @kassimyahya50095 жыл бұрын

    daaaa mipango

  • @devidchikwaku4572

    @devidchikwaku4572

    4 жыл бұрын

    Kassim Yahya bevl

  • @mwanaidisalehe4563
    @mwanaidisalehe45634 жыл бұрын

    dada una haya ww subuhanna llaah

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv39987 жыл бұрын

    Ilim inahitajika but jihad is only solution vyama ni ukafiri.

  • @hakizimanasterlingbilal90

    @hakizimanasterlingbilal90

    5 жыл бұрын

    That's r true bro

  • @kassimyahya5009

    @kassimyahya5009

    5 жыл бұрын

    umenena

  • @faridaali6850
    @faridaali68505 жыл бұрын

    Tatizo hatujielewi

  • @hijakisoro5376
    @hijakisoro53763 жыл бұрын

    Tunzaneni tu mwaka huu mushinde kihalali vinginevyo hatulali

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Kabisa

  • @khamiskombo9524
    @khamiskombo95247 жыл бұрын

    Huu utenzi hata sio mzuri lakin unaonekana mzuri kwa vile umepata msomaji Poleni.

  • @dhayondrama9907

    @dhayondrama9907

    5 жыл бұрын

    kuna hayo majina mengine nishida kuyataja kwenye huo utenzi

  • @babyj8063

    @babyj8063

    5 жыл бұрын

    hhhhhhhh hatare

  • @chumrashid6066
    @chumrashid60663 жыл бұрын

    Kidundo

  • @suhaylaali4979
    @suhaylaali49795 жыл бұрын

    X kwl

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын

    MashaAllah mzee barakat magufuli mujitu akuweke

  • @SinyamaziTVONLINE
    @SinyamaziTVONLINE7 жыл бұрын

    nta kweli si asali.....hahhaa

  • @hemedakida1140

    @hemedakida1140

    7 жыл бұрын

    SinyamaziTV online

  • @aminahamadi6281

    @aminahamadi6281

    7 жыл бұрын

    hujatulia mapepe mkubwa nenda uko kafie mbele..

  • @stamilimgana8739

    @stamilimgana8739

    7 жыл бұрын

    umeweza kuimba

  • @abdulhalimmohamed3643

    @abdulhalimmohamed3643

    6 жыл бұрын

    what a shame!

  • @zuweynahsalum14
    @zuweynahsalum145 жыл бұрын

    Hashuo

  • @sheikhasalim1190

    @sheikhasalim1190

    4 жыл бұрын

    Hashuo anga nzaha ha ha ha

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93133 жыл бұрын

    She is talented

  • @sharafashabani590
    @sharafashabani5905 жыл бұрын

    ali Ali hata wazazi wako unawakosea adabu

  • @halimajuma5515

    @halimajuma5515

    5 жыл бұрын

    sharafa shabani ddduuuhhh! nashkuru dada kw kuliona hilo. yaan huyu jamaa cjui ametumwa ama vp!

  • @peterchuchu5395
    @peterchuchu53957 жыл бұрын

    wanawake kwa pesa noooma

  • @kmnanamora

    @kmnanamora

    7 жыл бұрын

    PETER CHUCHU kwani wanaume hawapendi pesa!!!!!

  • @faridabakari8511

    @faridabakari8511

    7 жыл бұрын

    PETER CHUCHU 😂😂😂😁😁😀😀😁pesa haiku silimu

Келесі