ZANZIBAR SI SHWARI - 01

Музыка

Hali ya kisiasa si nzuri kwa Rais Hussein Mwinyi. Hii ni sehemu ya kwanza ya uchambuzi wa hali hiyo. Sikiliza.

Пікірлер: 266

  • @fahmisaid6758
    @fahmisaid67585 ай бұрын

    Shukran Ansbert kwa kutuelimisha, Zanzibar kuna mengi na mazito endelea kutufahamisha.

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky46415 ай бұрын

    KAKA YANGU A NGURUMO, HUU UKURASA WAKO HUU UNANIPA ELIMU NZURI SANA YA KISIASA. SINA NENO ZURI ZAIDI YA NENO "ASANTE" MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE AFYA NJEMA NA QWARESMA NJEMA MPENDWA WA MUNGU.🙏🙏🙏

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    21 күн бұрын

    @@kenedyrocky4641 Maneno ya kuambiwa ....

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71495 ай бұрын

    Asante mzalendo Ansbert kwa uandishi wako mahiri, wananchi tunabahati kupata habari ingawa ni mtandaoni tutaambiana tulipofika. Huyu wa Zanzibar ameonyesha uthubutu, kama ni kwa manufaa ya wananchi iwe rahisi tu na wengine waige ili wenye mazoea wabaki wenyewe ndio demokrasia, lakini huku Tz.bara sidhani patatokea uthubutu huo zaidi ya kulindana kwa maslahi yao binafsi!.

  • @machoguhameri7757

    @machoguhameri7757

    5 ай бұрын

    Sio Zanzibar tu pasipo salaama.Hata nyumbani kwako wewe mwenyewe si shwari baina yako na mkeo na wanao.Wewe endelea kuchimba ya wengine kwako kunaporomoka

  • @stanslausmchonde7892
    @stanslausmchonde78925 ай бұрын

    Jasusi @Evarist Chahali alisema haya bila ufafanuzi sana alisema TU Ufisadi wa mheshimiwa kuwapa watu wake kazi kujinufaisha lakini Leo Ngurumo SK MEDIA ama Maswali Magumu umeibua kile kilichojificha. Ahsante sana.

  • @batrumbeziks5946

    @batrumbeziks5946

    3 ай бұрын

    Huyo aliyejifanya "Mzanzibari" uliyempa kizungumza sio Mzanzibari. Sie Wazanzibari hatuna Kiswahili kibovu kama hicho.

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi5 ай бұрын

    Bora ujiuzulu fadher mungu atakupa riziki ako kesho kiama upate pepo kazi mbaya sana

  • @myself4128
    @myself41285 ай бұрын

    Zanzibar leo hii Inatangaza Kuishiwa Pombe basi ujue Utalii umeleta Majanga! na Msisahau Mashoga na Ushoga! Nchi itanuka Mavi mkikaa Kimya!😊

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Sijui nyie mnao wapigia makofi Hawa na kuwafumbia midomo

  • @DavidDanken-uf7kp

    @DavidDanken-uf7kp

    5 ай бұрын

    Dah tutatapakaa mav aisee!

  • @meekman1805

    @meekman1805

    4 ай бұрын

    😁😁😁

  • @mwanaishaabubakar5013

    @mwanaishaabubakar5013

    4 ай бұрын

    Nchi inanuka mavi ivooo kweli kweli kabisa.

  • @user-zx9mk6pr1c
    @user-zx9mk6pr1c5 ай бұрын

    Wazanzibar wakaze ngoma siku zote maisha Yana maumivu!

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын

    Afrika tuna uhaba wa viongozi bora.Tunaongozwa na watawala wasio na uwezo,bora liende.

  • @felixmsale9244
    @felixmsale92445 ай бұрын

    Big up mkuuu .Zanzibar na Tanganyika haiwezi kua salama kabisa kwa ķosa moja kubwa .HAINA KATIBA NZURI .VIONGOZI WANAITAWALA NCHINKAMA WAFALME WANARIDHIANA MADARAKA. HATUWEZI KUA SALAMA HATA SIKU MOJA BILA KATIBA THABITI.

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Ndio ila ilo ni Moja Kati ya mambo muhimu lakini tungelimpata Mt mzalendo engerekebisha yote ayo

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    5 ай бұрын

    ​@@user-et9vf2ro2k Tanzania hakuna tatizo la Katiba tatizo ni kutokuheshimiwa na kutekelezwa. Kuna ibara kadhaa mfano 133 - 144 (Akaunti ya pamoja nk). Kubwa kuliko yote kizazi kilichopo sasa wa kila upande hawana imani tena na Muungano na kama ni hivyo Katiba haiwezi kupatikana.

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o5 ай бұрын

    Asante mchambuzi mahili wangu umenidadafulia vizuri saaana

  • @user-iu3th3my7k
    @user-iu3th3my7k5 ай бұрын

    Napenda sana melody ya huu wimbo 💕

  • @yudamtewele2006
    @yudamtewele20065 ай бұрын

    Nakuelewa Sana mkuu I wish one day uje kugombea hata uenyekiti wa Kijiji . Example

  • @frankminga9307
    @frankminga93075 ай бұрын

    Mchambuzi makini, aksante

  • @machaliakulima76

    @machaliakulima76

    5 ай бұрын

    Mchochezi makini yeye Ngurumo yuko Ulaya likitokea varangati hayumo atafuhia sababu yuko Ughaibuni

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Atakama yuko wapi watawala wanao watu wao ukouko

  • @naimaabdu8012
    @naimaabdu80124 ай бұрын

    Huo muziki unatuchanganya. Unatutoa katika kusikiliza na kutafakari linaloongelewa

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m4 ай бұрын

    ❤mchambuzi makini sana yajayo yanatisha 😢 wazanzibar hawatokubali tena kuibiwa kura na itaeleweka tu tupo tyr sote kuuwawa ikisha ccm itawale mikarafuuu😮

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi5 ай бұрын

    Jamaa kaangalia mbali Sana utalii unamambo mengi kwa Imani yake ameona kazi haifai

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    5 ай бұрын

    Ni vita tu ya maslahi. Waziri yule alikuwa ndie anaeuza pombe yote Zanzibar kama alivyosema Rais.

  • @user-hx8yd9gp2q

    @user-hx8yd9gp2q

    3 ай бұрын

    Kwahuu uliowepo zbar ndio haufai kwasababu umebeba kila aina ya maasia

  • @josephmwita6012
    @josephmwita60125 ай бұрын

    my prophetic mzee ngurumo

  • @amesalum3636
    @amesalum36365 ай бұрын

    Well done My SIR ❤

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone1825 ай бұрын

    Kwa mwendendo huu wa uongozi.. Naiona Zanzibar ikipoteza hadhi yake ambayo kwa miaka mingi inajulikana na kuwa kivutio kikubwa sana kwa watalii wengi duniani. Huyu jamaa hafai kuiongoza Zanzibar

  • @omarkapula588

    @omarkapula588

    5 ай бұрын

    Sio kweli hilo ni jambo dogo msipotoshe watu zanzibar inazidi kuwa maarufu duniani

  • @RioIpo

    @RioIpo

    5 ай бұрын

    Hufai weye

  • @giovannir.restone182

    @giovannir.restone182

    5 ай бұрын

    @@RioIpo I don't have to !

  • @mwanaishaabubakar5013

    @mwanaishaabubakar5013

    4 ай бұрын

    Zanzibar imekwisha na ishazama waliobaki majeruhi.

  • @jafarindande5574
    @jafarindande55744 ай бұрын

    Urais 2030 kazi ipo, naona Dr Mwinyi anawanyima usingizi.

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby28715 ай бұрын

    Tunakuza sana mambo madogo

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi5 ай бұрын

    Raisi mwiny umeongea point kubwa kwel kama angekufuata kwanza angetenda kitendo cha kiungwana si vizur kutangaza mtandaon kwanza bila kukufata

  • @johnambrose7223

    @johnambrose7223

    4 ай бұрын

    Ndo wale wale

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm5 ай бұрын

    Ya Kikwwte na Lowassa . Ni haya tena .

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura3 ай бұрын

    Una weledi mkubwa sana Ngurumo.

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo94064 ай бұрын

    Muda utasema! Tusubiri.

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari28675 ай бұрын

    Zanzibar tunatawaliwa na mtanganyika kwa maagizo ya uengereza na marekan ..hatu mumunyi maneno..

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    5 ай бұрын

    Tanganyika kutawala visiwa vya Zanzibar ndo salama ya visiwa hivo... vinginevyo wangechinjana na kupinduana... Mzee Karume ni kiongozi hasa,aliona mbali,alichoka haraka baada ya mapinduzi na hakuachwa salama

  • @myself4128

    @myself4128

    5 ай бұрын

    sisi wote ni Nchi moja acheni ujinga

  • @user-gd2xj3xd1b

    @user-gd2xj3xd1b

    5 ай бұрын

    ​@@myself4128Tanzania ni nchi 2 zenye geographia tofauti,historia tofaut ,mipaka tofaut ni utashi TU wachama tawala ila sio wananchi Zanzibar muungano tumeukataa zaman sana

  • @afropatriot7769

    @afropatriot7769

    5 ай бұрын

    Na tanganyika tunatawaliwa na mzanzibar kwa mamlaka ya nani

  • @barakanyamafu5937

    @barakanyamafu5937

    5 ай бұрын

    Wewe ni mwongo

  • @ChabAlly-jq6oo
    @ChabAlly-jq6oo4 ай бұрын

    Fitna tupu. Hakuna chochote hapo.Udini pia umetiwa ki namna.Na kumfanya Mwinyi si Mzanzibari. Matatizo kuyapeleka kwenye pombe ili kunyanyua hisia za wazanzbari. Mwinyi anafanya vizuri sana Zbar.

  • @user-ev3pw5me1w
    @user-ev3pw5me1w4 ай бұрын

    Huyu sio rais huyu ni gavana wa Zanzibar

  • @dn.n4983
    @dn.n49835 ай бұрын

    Huyu baba kweli tunakulenda sana

  • @msabahaali758
    @msabahaali7585 ай бұрын

    ngurumo nimekukubali kuichambua Zanzibar ni ombi langu kwa muda mrefu huku ni shamba la bibi mwinyi anakipakulia minyama tu

  • @issayahya1640
    @issayahya16405 ай бұрын

    Mwinyi watu wengi hawamjui ila ni fisadi sana na ana ujamaa sana. Ulizia kampujimya Tronic ni ya nani

  • @user-qv7nx2tx6t
    @user-qv7nx2tx6t5 ай бұрын

    Uyo raix wa zanzibar anakula hela tuu alafu aondoke mchezo uishe

  • @humuodkindi4926
    @humuodkindi49265 ай бұрын

    Zanzibar kuko shuwari kabisa. Haya maneno ni kawaida upande wapili wakiona shuwari hawapati usingizi

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    5 ай бұрын

    Tena shwara kweli kweli We acha unafiki na kutia watu wasiwasi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74385 ай бұрын

    Hayo ni ya kawaida mbona Lowasa slijiudhuru Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    5 ай бұрын

    Lowasa amekujaje hapa 2naongelea kuhusu Znz

  • @abdifaraji2883

    @abdifaraji2883

    5 ай бұрын

    Kwa sababu Luwasa ni Mtanzania wa kupigiwa mfano.

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b5 ай бұрын

    Safi sana

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar66494 ай бұрын

    WAHAKIKISHA WEWE NDIE ULIWAFUNGA MSHEIKH WA ZANZIBA KUUNGWA MYAKA 9 HADI WENGINE KUWA WALEMAVU UKIMTIIKIKWEE BADALA YA MUNGU WAKO ,ILI UPWE URAISI ,HATA IDDI AMIN GADAFI NA ....WALIKUTANA NA MUNKARI NA NAKIR ....

  • @zapauzapau-ts7se
    @zapauzapau-ts7se4 ай бұрын

    Sahihi usemayo

  • @farisomar1889
    @farisomar18894 ай бұрын

    Ni vibarak wa ccm kuiangamiza Zanzibar tu

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo94064 ай бұрын

    Hii familia ya mzee mwinyi inajua faida ya biashara ya pombe.ndo maana tangu zamani wanaipenda hii biashara

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka57124 ай бұрын

    There must be a very crucial issue,so huwezi kusema eti Zanzibar si shwari. Lazima KUNA sababu

  • @froma3732
    @froma37325 ай бұрын

    Ukiwa unaongea hizo nyimbo hazihitajiki inakuwa unatuchanganya

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez93962 ай бұрын

    Urais wa kumwaga damu za wasio na hatia ili awe rais dhulma haidumu na ikidumu inadamirisha

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97294 ай бұрын

    Historia ya zanzibari kwa elimu ya dini ya mungu nchi iliyo jaa misikiti kila pahala haifai kutenda mambo enayo katazwa katika dini ya kiislaam hapo braka la mungu haitaendelea kwa uasi pombe utali ushoga pesa sio kila kitu masahaba hawakuwa hivyo bora ritha mungu NA kusoma gruani NA maana yake baraka itajaa tele kwa watoto na vizazi NA kwa nchi

  • @AnsbertNgurumo

    @AnsbertNgurumo

    4 ай бұрын

    Zanzibar ni nchi inayotegemea sana UTALII. Ule si utalii wa kidini. Eleweni.

  • @ismaeldiwani1595
    @ismaeldiwani15955 ай бұрын

    Fanyia utafiti mambo mengine unayoyawasilisha. Ukiendelea hivi utajivunjia heshima ya umakini

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    5 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @rashidkihunga2938

    @rashidkihunga2938

    5 ай бұрын

    usiyo yajua kaa kimya uyajue

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si5 ай бұрын

    Huyu Mzee SAA ingine kama hazimtoshi kabisaa! Yeye ni mwandishi wa kizamaani ! Sasa hapa znz huwa hatubahatishi!

  • @patrickmarwa9587
    @patrickmarwa95875 ай бұрын

    History of Gaddafi of Libya

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo38555 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka57124 ай бұрын

    Duuh! Kama ni HIVYO basi ni balaa. LAKINI hii haitoshi kusema Zanzibar si shwari

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola88355 ай бұрын

    Kila mtu na kipaji chake kweli, kwa upande wa chaneli hii, uchambuzi yakinifu wa kisiasa ndio mahali pake, safi kabisa ndugu, barikiwa, tunainjoi.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya16935 ай бұрын

    kama ni kweli Rais Mwinyi amegawa tenda za pombe kwa upendeleo kwa ndugu zake, basi huyu ni Rais bomu na Z'bar inaelekea kuzimu.

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    5 ай бұрын

    Shabib.... mzigo uliwekwa

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Una Dhani nini wewe

  • @w4058

    @w4058

    5 ай бұрын

    Majambazi tu hao CCM wakosefu wa utu imani hawana jengine washenzi wakubwa

  • @w4058

    @w4058

    5 ай бұрын

    Allah atuhifadhi Ansberten kipenzi chetu wapenda haki

  • @leotvke.
    @leotvke.4 ай бұрын

    Bila shaka unayoyasema yanauzito mkubwa na mimi kama mchambuzi chipukizi wa siasa za kimataifa naunga a na wewe Mia fili Mia, 2022 ni litembelea taifa hilo na nikaona hata kampuni zinazopewa tenda za ujenzi ni kupitia jina lake kama vile Mwinyi contraction engineering hilo lilinishangaza na vyombo vya habari na mashirika ya haki za uma yamekaa kimya juu ya huo unyama

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan4 ай бұрын

    😒 Muziki sauti punguza please

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l5 ай бұрын

    Bora ujiuzulu zanzibar sinchi hii mkoa tu huu wewe waziri unaweza kwenda tia saini Kenya waje Kenya waje aekeze watu

  • @user-gd2xj3xd1b

    @user-gd2xj3xd1b

    5 ай бұрын

    Zanzibar ni mkowa wenye tarehe yake ya uhuru,katiba yake,Sheria zake,mipaka yake ni tofaut na mikoa ya Tanganyika kama vile Tanga,Daresalam,Dodoma nk

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Kweli tumshauri huyu Mt kwa Hali ilivo bora a hie t akafanye mwengine yabinafsi

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    5 ай бұрын

    ​@@Sheba4651 Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo ndani ya Muungano nje ya mataifa mengine Zanzibar sio nchi hata Ireland, Scotland, England na Wales zinafanya United Kingdom (Uingereza) passport yao ni moja hivyo nje ya nchi nyingine zote hizo sio nchi, nchi ni United Kingdom (Uingereza) na Tanzania ipo kama hivyo Zanzibar na Tanganyika zote sio nchi, nchi ni Tanzania.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything5 ай бұрын

    👊✌👍.

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Chadema au ccm

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    😮

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah94075 ай бұрын

    Kumbe kisa ulevi?

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz5 ай бұрын

    Hahaha serikali ya kifalme baba mwana

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck27 күн бұрын

    Asante sana.

  • @user-ly7yx2be1p
    @user-ly7yx2be1p4 ай бұрын

    Wewe ngurumo unapandiwa kumbeee

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын

    Serekali si ndo baraza la mawaziri au anaongelea nn Mwinyi wa mkulanga

  • @mwanalelee6

    @mwanalelee6

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn5 ай бұрын

    Huu mziki unakeraaa

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    5 ай бұрын

    2lia ww ndo unaleta stim ya kusikiliza vizuri kinacho ongewa

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Ndio ila kwa wengine unafurahisha maana kwaya wanazipenda Sana hawa

  • @godsson5954

    @godsson5954

    5 ай бұрын

    bora umeongea ni heri awe anaongea bila mziki au bora waweke beat tu

  • @stanslausmchonde7892

    @stanslausmchonde7892

    5 ай бұрын

    Huo mziki ndio kitambulisho Cha chanel hii ya SK MEDIA

  • @HhhTt-vl9ct
    @HhhTt-vl9ct5 ай бұрын

    Sami ni waziri wa utalii na utalii unataka anasa Moja wapo ni pombe Sasa serikali imezuiya kuingiza pombe Zanzibar na yeye simai ana bar kubwa pale Zanzibar na ni kitovu Cha watalui wanao tumia vileo kwa ufupi hiyo ndio story.

  • @RioIpo

    @RioIpo

    5 ай бұрын

    Mercury na 6 degrees zote zake

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy13185 ай бұрын

    Sisi wanzanzibar tupo shwar saana kwa sasa, hakuna shida YOYOTE wala vurugu, habar ya viongozi tunawaachia wenyewe hadi 2025 😅 vurugu kwetu uchaguzi tu basi

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Sawa ila isimaanishe kwa mba2025 ndo tufanye vurugu ama tufanyiwe hapana bali ni historian t kua kila uchaguzi tunafanyiwa fujo Mara hii bass ujinga ujinga huu

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka46254 ай бұрын

    huo muziki kstska tsarifa zako unakera

  • @alvinbernad6549
    @alvinbernad65494 ай бұрын

    Kimeumana😂😂

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki48524 ай бұрын

    Eeeheee

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari28675 ай бұрын

    Manyan yakipigana nyas ndio zinaumia

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    😮😮Kaja bila ya WAZANZIBARI kujuwa nani raisi na yeye katumia kupiga watu na kuuwa alikuwa zaidi ya kujiuzuzu lakini kaganda na damu za watu 😮😮😢😢😢😮

  • @lucylyuki4852

    @lucylyuki4852

    4 ай бұрын

    Kumbeeerr

  • @makibadatela7865
    @makibadatela78655 ай бұрын

    Kujiuzulu sio kwenda kumwomba Bosi wako kuwa mie naacha kazi au la, Bali ni uamuzi wako kuwa una acha kazi na hutoendelea nayo akubali au akatae, kumwarifu ni utaratibu tu haubadili umuzi uamuzi wako na ungwana, Hilo la kutaka kujizulu halafu bosi akakataa !!!!!

  • @muuminsaid-bd6cm
    @muuminsaid-bd6cm4 ай бұрын

    Mm namkubali raisi wangu mwinyi pija kazi

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45815 ай бұрын

    Kagame anaivamia nchi moja ya Africa mashariki Ndani ya wiki mbili hizi...fuatilia hii...it is serious

  • @user-mn7zq7cd5t

    @user-mn7zq7cd5t

    5 ай бұрын

    Inchi gani

  • @freduallughano2301

    @freduallughano2301

    4 ай бұрын

    Mmmh Kagame anajua madhara ya vita labda apigane na Burundi lkn kwa tz au kenya hawezi labda alazimike kupigana.

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim5 ай бұрын

    Uyo simai anauza pombe na mwinyi anaitk biashara ya pombe, kiufupi wote wanapigania matumbo Yao.

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Una uhakika gani tupe uhakika sasaiv ili tujiridhishe ili tuingie mzigoni

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    😮WAZANZIBARI HATUTAKI MUUNGANO HARAMU USIO NA MSINGI WA KIMAADILI WAZANZIBARI NA NCHI YAO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @begukulemosobe9685

    @begukulemosobe9685

    5 ай бұрын

    Maadili yapi? Wakati kumechafuka hatari

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r5 ай бұрын

    Eti anataka kugombea urais Bara na siumesema Bara ndiokwao kwani akigombea anaizuia chadema kushinda, jinga Sana wewe

  • @pherdsonmasansi3068
    @pherdsonmasansi30685 ай бұрын

    Biashara ya Bia

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo85465 ай бұрын

    Acha uchonganishi Mzee miyeyusho

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana21525 ай бұрын

    Kwani serekali ni nani si pamoja na huyo aliyejiuzulu?? Kama ana mawazo tofauti ndo ajiuzulu😢😢

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani52284 ай бұрын

    Hivi ni kweli channel hii haijaona mema kwenye Serikali hizi mbili?

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima26845 ай бұрын

    Naona nikiendelea kufurahia bando langu

  • @benedictmichael2425
    @benedictmichael24255 ай бұрын

    Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Tunausubiri huo mshindo....

  • @edesaron9070
    @edesaron90705 ай бұрын

    Duuu urafi wa madaraka

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb5 ай бұрын

    Muongo hukutaka kujiuzulu muongo

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Eeee we Nani unaejiamini ili na sisi tupate ujasiri

  • @josephbundala1475
    @josephbundala14755 ай бұрын

    Huyu si mchambuzi. Ni mzushi tu.

  • @AnsbertNgurumo

    @AnsbertNgurumo

    5 ай бұрын

    Hongera!

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    HUYU RAISI SI MUISLAMU HATOKI MISIKITI I MBONA ANAJIHUSISHA NA POMBE POMBE AU MLEVI KAMA KARUME HAWA WATU HAWANA IMANI YA UISLAMU PESA MBELE WAMEWEKA SIO WATU WAZURI 😮😮😮 .

  • @godsson5954
    @godsson59545 ай бұрын

    UCHAMBUZI UFANYIKE BILA HUO WIMBO(BACKGROUND MUSICS SUCKS)

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima765 ай бұрын

    Rais Hussein si mlevi wala mnywaji wa vilevi

  • @rashidkihunga2938

    @rashidkihunga2938

    5 ай бұрын

    kama haukili wache wakile.kama hanywi ache wanywe

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu59375 ай бұрын

    MIMI SIONI TATIZO HAPO RAISI YUKO VIZURI TU

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51575 ай бұрын

    HHHHHHHH IMEFIKA ZAMA WATU NI WAZUR KUWASHAURI WENZA WAO ILA WAO NI NGUMU KUZIKUTA IZO TABIA KUWANAZO😂😂😂😂😂😂😂LAZIMA TUWE WA KWELI😂😂😂😂😂😂

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd84285 ай бұрын

    Zanzibar ni shwari na amani

  • @machaliakulima76

    @machaliakulima76

    5 ай бұрын

    Ngurumo anachuki sana sana sana na Tanzania

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    5 ай бұрын

    Huyu mzee ametumwa

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Alokwambia Nani au kimya cha njaa ndio tunagugumia acha masihara yako wewe

  • @user-tk8nn2tu3u
    @user-tk8nn2tu3u5 ай бұрын

    Iko wapi Zanzibar tunayoijuwa?

  • @user-jq7cf9qe8o

    @user-jq7cf9qe8o

    4 ай бұрын

    😂😂😂ipo subiria inaandaliwa vizury maanake ushoga unaenea kila kona usagaji usiseme dhulma n.k still kunawajinga wa unguja wanaipenda CCM ila tuendeleee😂😂

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima26845 ай бұрын

    Mtu mzima ukizungumza ukiwa umeegemea kitu kama hiyo pulpit ni dalili ya kuongea uongo

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima765 ай бұрын

    Hussein Ali Hassan Mwinyi yuko vizuri kiutendaji tunayaona maendeleo anayofanya na ari ya kuijenga Zanzibar kama vile kuboresha na kujenga miundo mbinu kama vile barabara, maskuli ya kisasa, vituo vya kisasa vya usafiri wa jamii kama vile pale Malindi nk. Lakini akina aina ya Ngurumo hawapendi kuona Zanzibar ikiwa na amani wanapenda kuona vurugu, misuguano nk. Zanzibar ni portpal ni visiwa vya watu mchanganyiko karibu ulimwengu wote, iweje akina ALI HASSAN MWINYI, Ngurumo awaseme si wazanzibar mbona huyu mwandishi anatumia kalamu kalamu yake kuibomoa Zanzibar?

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    5 ай бұрын

    Ametumwa huyo

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Wewe hujui kitu tulia unacho kiona wewe ni mshahara wako t

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    5 ай бұрын

    @@user-et9vf2ro2k Wewe pia unachokiona ni chuki roho mbaya na husda tu ya Kipemba ndio unayoiona ila hahaha Mitano Tena kwa Daktari Hussein Mwinyi kipenzi cha Wazanzibari wanaojielewa

  • @user-gd2xj3xd1b

    @user-gd2xj3xd1b

    5 ай бұрын

    Mkereketwa kanena hhhhh

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    22 күн бұрын

    ​@@rajabmsinzia1715 jiseme nafsi yko wa zanzibar wanaojielew ni wale wanaotka mamlaka kamili hayo anayofanya mwinyi n lazima wafenye kama serekali barabara hospital nk hayo majukum yao

  • @Iptysamkihiyo
    @Iptysamkihiyo4 ай бұрын

    acheni unafki ni chuki tu

  • @alexmachare6495
    @alexmachare64955 ай бұрын

    Maswali magumu

  • @alijuju8697
    @alijuju86974 ай бұрын

    Kwani huyo seif hakuwa muislam? mbona...

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    😮SHAMTE MPUMBAVU MNAFIKI MUONGO HAJIJUWI WAPI YUPO 😮😮😮😮

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es5 ай бұрын

    Akioshwa Kwa Damu ya Yesu atatakata na kung'aa kabisa.

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    5 ай бұрын

    Au sio ulijuaje

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    5 ай бұрын

    Imeandikwa ktk Isaiah.1:18.

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    5 ай бұрын

    ​@@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Ati damu ya Yesu ! Kwani alitoka damu? Hizo habari za kutoka damu mbona ni uongo, hata Paulo ana shaka nalo. Alisema, aliokolewa, sasa tushike lipi, kuna damu ya Yesu ama aliokolewa? ##Waebrania 5:7

  • @mrishojuma4695

    @mrishojuma4695

    5 ай бұрын

    Mjinga wewe we mwenyewe hujaoshwa na Yesu kwamaana hakujui Yesu mwenyewe kwamaana humuabudu Mungu Bali unawaabudu wazayuni

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    5 ай бұрын

    Haya ni Maneno ya Hekima, na Hekima ni Mafumbo.Mithali.1:1-7,Tunaweza kutambua kweli Fulani zilizofichwa tkt Maneno ya Hekima Kwa Hekima hiyo hiyo.John.1:29. Tangu kale watu walitumia kafara za wanyama Ili kuondoa khatiya,Nuksi,mikosi,na mabalaa. Na hata Sasa Bado Kuna njia watu wanazitumia.

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy13185 ай бұрын

    Ukitaka ujikute matatani basi ujadili suala la Zanzibar kwa akili yako,, utajikuta yule unae mtetea anakubadilikia ,, Sisi wazanzibar hatuna tabia ya chuki za kuendelea, soon utakuja kusikia kitu kuhusu Mwinyi na Wazir simai, ya ngoswe mwachie ngoswe

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis23884 ай бұрын

    We mpumbavu huyu ni daktari unayemuongelea ,acha uchochezi unajifanya una akili sana sio, na unaipenda Zanzibar!!!???

  • @joojombi2341
    @joojombi23415 ай бұрын

    Wacheni kupotosha umma nyie na unafki wenu na chanel yako brth. Muogope mungu wako brth. Muongo mkubwa fatani mkubwa wee

  • @AnsbertNgurumo

    @AnsbertNgurumo

    5 ай бұрын

    Unajua maana ya unafiki au unalitumia kwa mazoea tu? Wanafiki ni wale wanaojipendekeza kwa Mwinyi mchana halafu usiku wanasema ukweli wake. Wapo pia wanaomwambia anaupiga mwingi huku wakijua fika kuwa anaboronga! Chunga sana!

  • @joojombi2341

    @joojombi2341

    5 ай бұрын

    @@AnsbertNgurumo ningekua cjui nisinge sema njoo Zanzibar Mkwajuni upewe darsa wee na kutuletea habari za uongo mtupu na ufatani mtupu. Utamjubu nn mola wako cku ya hesabu zako

  • @AnsbertNgurumo

    @AnsbertNgurumo

    5 ай бұрын

    @@joojombi2341 Hata mlipomteka na kumpigia Bakari Shamte mlikanusha, na mkamtisha akusaidieni kukanusha. Asante kwa makaribisho.

Келесі