PART 2 ZAIYLISSA AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE NA DULLAH MAKABILA MIEZI MIWILI NA WIKI MBILI

Ойын-сауық

Zaiylissah muigizaji anayefanya vizuri katika tamthilia ya Jua Kali kwa mara ya kwanza ameongea kila kitu kilichotoka katika Ndoa yake na Msanii Dullah Makabila mpaka kufikia kuvunjika!
Tazama Part 2 hapa, Part 1 na 3 zipo hapa
SUBSCRIBE, LIKE, SHARE

Пікірлер: 159

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54818 ай бұрын

    Inaonyesha dula anaongozwa Sana na hisia Yan anaongozwa na mihemko,,,inabidi dula akatibiwe na mambo yake yakihasira..inaonekana dula akipenda anapenda sanaaaa kwaiyo anakuwa na wivu na anaendeshwa na hisia kwaiyo anashindwa kujizuia

  • @khajisokoni3790

    @khajisokoni3790

    6 ай бұрын

    Dula kama mimi

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    6 ай бұрын

    Umeongea ukweli

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael72966 ай бұрын

    Hawa wanawake wamechagua maisha yakutembea na wanaume tofauti tofauti ,hawamjui ni hatari ktk ulimwengu wa roho ,kwa tamaa za umaarufu wa kidunia

  • @judyngowi391
    @judyngowi3918 ай бұрын

    Sijui kwanini watu wengi hawaoni huyu dada ni mkweli

  • @Official83640

    @Official83640

    8 ай бұрын

    Mkweli lkn apunguze pupa za mahusiano we huwezi kuachana na mwanaume ghafla ukaanze na mwanaume mwengine na unaona kabisa km huyu Dullah hakumtaka amuoe na ndy kalazimishwa kupost na kucomment maana yupo na Dullah bado anawasiliana na Mingo na ndy 7bu Mingo alitoa ile nyimbo alishajua km ndoa hakuna itavunjika muda c mrefu huyu anapenda mateso mwenyewe haiwezekani kila mwanaume ampige

  • @lillylaurent7449

    @lillylaurent7449

    5 ай бұрын

    😂😂

  • @user-kw3xw3kv8f
    @user-kw3xw3kv8f5 ай бұрын

    Pole sanaaa hayo ulopitiya Mimi piya niliishi ivo kwaaliyekuwa mume wangu umeniacha nikumbuke mnoooooo

  • @InnocentCherryDumplings-rg1tj
    @InnocentCherryDumplings-rg1tj5 ай бұрын

    Nampenda uyu dada

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc6 ай бұрын

    Huyu mrembo ana hekma sana,na ni mpole sana!!!

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim47748 ай бұрын

    Alvyotajw Rj 🤣 hyo blushing ya huyo dada ss🥹❤️

  • @upendomsuya8961
    @upendomsuya89618 ай бұрын

    Hapo kwenye RJ tutakaa 🤣🤣🤣🤣

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd7 ай бұрын

    Zaylisaa ni mzurii aisee

  • @Abbaskhashiat
    @Abbaskhashiat3 ай бұрын

    Mashallah mungu akujalie

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa41928 ай бұрын

    Najivunia kuzaliwa tanga hivyo tuuuu❤❤❤❤

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i6 ай бұрын

    Kumbe ndoa y mtandao demu alitaka umarufu tu ili atoke na ndio maana manara ana ndoa nyingi sababu wanataka wajulikane mitandaoni haibu

  • @Prisca-sn3zd
    @Prisca-sn3zd8 ай бұрын

    Jaman mwanaume anayepiga hashaurik hata kidogo nina muunga mkono kabisaa huyu dada

  • @hatibbaraka3956

    @hatibbaraka3956

    7 ай бұрын

    Na pia tabia mbaya sana kwa mwanamme kuwa mpigaji wa wanawake. Dula bado mshamba sana.

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v6 ай бұрын

    Huyu dada ni muungwana sana hawezi wanaume wasio waungwana.Ukitaka kumchukua kisela ndio ushamshindwa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50438 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf6 ай бұрын

    Mswahili sana dullah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh8 ай бұрын

    Wamiaka 24 mbona uso umechoka kama wa miaka 50 au ndo make up next time usipake mimi nakuona rangi ya uso na wig zimefanana aliekupodoa atafika mbinguni akiwa amechoka😂😂

  • @neemanyove9130

    @neemanyove9130

    7 ай бұрын

    Mdogo huyu😊

  • @kemmypius2035

    @kemmypius2035

    7 ай бұрын

    Acha wivu😅

  • @lillylaurent7449

    @lillylaurent7449

    5 ай бұрын

    Jmn😅😅

  • @josephmaka925
    @josephmaka9256 ай бұрын

    Zay akuwa really akumpenda dullard kbs

  • @fridakaria9904
    @fridakaria99048 ай бұрын

    Bila makapu unapendeza zaidi

  • @user-mn8dw5of8l
    @user-mn8dw5of8l5 ай бұрын

    amekomaa sana kweli uchaw upo😂😂

  • @eliachaula6542
    @eliachaula65423 ай бұрын

    Kumbe poleeeeee mwaya

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce10898 ай бұрын

    Hahaa mambo ya mjini bana

  • @katieabraham2013
    @katieabraham20138 ай бұрын

    she is super cute

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo96038 ай бұрын

    Chini peps juu fanta

  • @user-eg8ri1fy4h

    @user-eg8ri1fy4h

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😅😅😅😅cjui umewaza nini 😁😁😁😅😅😅

  • @user-cj4cv3jo6p
    @user-cj4cv3jo6p6 ай бұрын

    Hapo hujapendeza bana Bora ukiwa hujapaka nekap unapendeza sana❤

  • @RacherBakari-qh2gx

    @RacherBakari-qh2gx

    6 ай бұрын

    Kama paka shume

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis80428 ай бұрын

    Weeee uuuuu weeeeee

  • @JacintaLyuki-ph6jf
    @JacintaLyuki-ph6jf7 ай бұрын

    😊😊

  • @lisamandela9987
    @lisamandela99876 ай бұрын

    Huyu dada n mstaarabu sana

  • @EvelineMasubo
    @EvelineMasubo8 ай бұрын

    Bado miaka30😂😂

  • @user-yu7uv6ws9h
    @user-yu7uv6ws9h9 ай бұрын

    Duhh😂

  • @magrethgeorge1368
    @magrethgeorge13688 ай бұрын

    😍 mambo ni moto

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62378 ай бұрын

    Acha kupapalikia ndoa tulia kwanza

  • @Prisca-sn3zd
    @Prisca-sn3zd8 ай бұрын

    Sikushaur dada angu mwanaume anayepiga hata usimsamehe

  • @ebanosafarikenya7390
    @ebanosafarikenya73908 ай бұрын

    The way she answered about RJTHE DJ MEANS EVERYTHING 😂😂😂

  • @treshazchismo1764

    @treshazchismo1764

    8 ай бұрын

    Walisha date kabla ya kuolewa na dullah akakuta mesej za zaman

  • @hamisijumanne4137

    @hamisijumanne4137

    6 ай бұрын

    Nimeipenda sana Ii intaviu

  • @salha6596
    @salha65969 ай бұрын

    🙄🙄🙄🙄

  • @jovinlawi2999
    @jovinlawi29998 ай бұрын

    Mekap. Imekupanya umekuwa mbaya

  • @user-gr7ty6nz1l
    @user-gr7ty6nz1l6 ай бұрын

    Ayo macho ya wote

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles60278 ай бұрын

    Kwahyo nikama alilazimishwa au ,,mbona wadada wamjini mnajikuta Sana ,,yaani mnajipa thaman Sana mpka mnapitiliza ,,,,😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mbona wakawaida sana

  • @nshaijatedy5512

    @nshaijatedy5512

    6 ай бұрын

    Asubil miaka 40 ataelewa faida ya nyodo izo

  • @shamsamohad4887
    @shamsamohad48876 ай бұрын

    Dada angu mrudiane bs❤❤

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    6 ай бұрын

    Weeeeeeee

  • @hajially4527
    @hajially45276 ай бұрын

    Sasa wew mguu na uso toka lini vikafanana acha wivu

  • @user-gl2mr6uy7v
    @user-gl2mr6uy7v8 ай бұрын

    Kipindi kijacho tunaomba utuleteye chino kid

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya27948 ай бұрын

    Napenda mwanamke nature by looks,,na sio mwanamke Atficial by looks!

  • @JacklineNamundengozi

    @JacklineNamundengozi

    8 ай бұрын

    What do you mean? You are contradicting your self just use just use your local language Swahili.

  • @iddykwangaya2794

    @iddykwangaya2794

    8 ай бұрын

    @@queenandchill91 kimewachoma Eeh,,,wanye mikorogo..Mijuso imekua mizito kama mibumunda vile nyooo!

  • @queenandchill91

    @queenandchill91

    8 ай бұрын

    @@iddykwangaya2794 Nimekurekebisha SPELLING ujifunze uandishi sahihi wa ya maneno ya (kiingereza) uliyotumia kuwasilisha ujumbe wako. Utayari wa kuedit au kupuuza ujifunzaji ni maamuzi yako. Hayo mengine unayosema ni FIKRA zako. Na jinsi ulivyopokea na kureply hoja isiyo ya msingi unaonyesha jinsi gani ulivyo MPUMBAVU NA MJINGA. Na uandishi wako inaonekana sio MWANAUME ni SHOGA mzoefu asiyejitambua. KEEP IT UP

  • @halimahbwelele694

    @halimahbwelele694

    8 ай бұрын

    ​@@iddykwangaya2794😂kimewaramba wenye rangi za kubuni

  • @iddykwangaya2794

    @iddykwangaya2794

    8 ай бұрын

    @@halimahbwelele694 yani wanatutia kinyaa sisi wanaume, ila basi tu

  • @dorahy1579
    @dorahy15795 ай бұрын

    Hivi macho yangu? Miguu mieusi, USO mweupe no mtu mmoja huyo huyo au two in one.

  • @mwanaelmwinbe-pb5qv
    @mwanaelmwinbe-pb5qv8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 dullah alifos mapenziii

  • @zena6203

    @zena6203

    8 ай бұрын

    😅😅😂😅😅😅😅😅😅😅

  • @edinamathews7717
    @edinamathews77178 ай бұрын

    Mbona miguu myeusi uso mweupe?

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l9 ай бұрын

    acha kubicha weye ulikua na rj

  • @NextoEmanuel-hw7jq
    @NextoEmanuel-hw7jq8 ай бұрын

    Hv mahari huwa inarudishwa😂😂😂😂

  • @zena6203

    @zena6203

    8 ай бұрын

    Yes kamaa Mimi tu nilimchoka mumewanguuuu akakata kunipa talaka nikampa mahari yake tukamalizanaaa imeisha iyo

  • @bimkubwaali5951

    @bimkubwaali5951

    8 ай бұрын

    Hii inaitwa nipunguzie adhabu naijua iyo nilimpa nikapata amani ya roho yangu

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar99058 ай бұрын

    😂😂😂😂😂wanawake walefu wembamba sijui wanatatizo gani

  • @deborahcharles4916

    @deborahcharles4916

    8 ай бұрын

    Jaman tupumzishe wanawake wRefu ongerea mtu mwenyew

  • @sharifabahar9905

    @sharifabahar9905

    8 ай бұрын

    @@deborahcharles4916 mbona unaonekana mfupi

  • @wozanawewoz979

    @wozanawewoz979

    8 ай бұрын

    😂 wanaringa

  • @deborahcharles4916

    @deborahcharles4916

    8 ай бұрын

    @@wozanawewoz979 kulinga ni mtu mwenyew tu faivany mke wa raivanny ni mfupi na analinga

  • @gulfomanbb2119

    @gulfomanbb2119

    8 ай бұрын

    Wechiz kwl😂😂😂😂😂kwaiyo umeona nn mpk useme ivo

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e6 ай бұрын

    Wanadamu wana haraka ya kusema bila kuchunguza pande zote

  • @zena6203
    @zena62038 ай бұрын

    Mmmjjjh sura nyeupeeee migummmhhhhhh

  • @mwajumalubunga1534

    @mwajumalubunga1534

    8 ай бұрын

    Apo sasa 😅😅😂

  • @januarykasongo9298

    @januarykasongo9298

    8 ай бұрын

    Jmn camera2 hiyo

  • @neemaseiler1122

    @neemaseiler1122

    6 ай бұрын

    Mwanga uko juu zaidi

  • @abdulabdallh9506
    @abdulabdallh95068 ай бұрын

    Uyu dem ni malaya saana

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    8 ай бұрын

    Umesha lala nae?

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    8 ай бұрын

    ​@@MsAggie5😂😂😂

  • @user-wr6uz1rx1o

    @user-wr6uz1rx1o

    6 ай бұрын

    ​@@MsAggie5mwambie

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @joycekalago532

    @joycekalago532

    6 ай бұрын

    Hata mimi siwez kuish na manara kwa mdomo wake ule

  • @kisakageorge7706
    @kisakageorge77068 ай бұрын

    Huyu dada hakumpenda yule kaka

  • @rachelmnyimwa4192

    @rachelmnyimwa4192

    8 ай бұрын

    slitka umaarufu kupitia dulla

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    8 ай бұрын

    Mbona wali sex

  • @user-my7oz7kw6p
    @user-my7oz7kw6p8 ай бұрын

    Kiongoz tena ndiy mahan Unaenda dodoma

  • @eagleeyes4449
    @eagleeyes44496 ай бұрын

    Hili jamaa sio handishi bali ni dedective.

  • @Neema-lh8pi
    @Neema-lh8pi8 ай бұрын

    Huo mdomo umekua mbaya

  • @khajisokoni3790
    @khajisokoni37906 ай бұрын

    Shida yako moja zai lisaa we ni muuzaji kwa nini ulie kwa kupostiwa na mumeo

  • @christinafrimin5615
    @christinafrimin56158 ай бұрын

    Kweli huyu dada ni mkweli hadanganyi

  • @jamohbabayaofamily4879
    @jamohbabayaofamily48795 ай бұрын

    😂😂😂😂😂huyu anataka kuuza albino kizee

  • @MimyLenge-gp2xe
    @MimyLenge-gp2xe8 ай бұрын

    Iyo mecap apana dada

  • @zenajustus5731

    @zenajustus5731

    8 ай бұрын

    Makeup imemzeesha😊

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    8 ай бұрын

    ​@@zenajustus5731Bila makeup anapendeza zaidi

  • @Neema92
    @Neema925 ай бұрын

    Mwanaume mwenye mkono wa kupiga hafai kabisa.

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo81198 ай бұрын

    Kfp huyu hakumpenda dulla

  • @jumasungula8510
    @jumasungula85109 ай бұрын

    Yani kutajwa jina la mnyamwezi rj the dj macho kichwa vyote vimeongea

  • @upendomsuya8961

    @upendomsuya8961

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @FatmaAbdala-bu9zl

    @FatmaAbdala-bu9zl

    8 ай бұрын

    Mrembo Sana😘❤

  • @juliennefitina6529
    @juliennefitina65298 ай бұрын

    Apo uwongo njo mwingi sana

  • @user-cj4cv3jo6p
    @user-cj4cv3jo6p6 ай бұрын

    Naira achana na mecap haijakupendeza kabisa umekua mbayaa

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda65546 ай бұрын

    Lakomaa uso

  • @emeldanicholaus6944
    @emeldanicholaus69448 ай бұрын

    She is a wife material kabisaa jaman

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim67388 ай бұрын

    Dada mrefu kweli

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    8 ай бұрын

    Kama mm😂😂😂 wajina

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    8 ай бұрын

    Anapendeza kuwa model

  • @salmasudi8901
    @salmasudi89018 ай бұрын

    Naira anacho igiza kinafanan na maisha yake halisi kule ghost huku dulla yan maamuzi ya fasta 😂😂😂

  • @user-nd6yp2gt1g

    @user-nd6yp2gt1g

    8 ай бұрын

    😂😂 ghost tenaa jua kalii hyoo hahah

  • @jumasungula8510
    @jumasungula85109 ай бұрын

    We ulikuwa upendi

  • @footballmagichighlights
    @footballmagichighlights8 ай бұрын

    LilOmmy Bro, Heshima yako. ''sipendi niongelee sana'' umemfungua hadi kafungua code zote 🤣🤣

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil61215 ай бұрын

    Make up artist anafaa aache kazi maana kamtoa kituko

  • @user-yd3hz6hq6q
    @user-yd3hz6hq6q5 ай бұрын

    ukifika mbinguni kinyama kishanyauka kwa kila ub*o kuingia kwenye k*m* yako

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda65546 ай бұрын

    Uso umemparama

  • @veronicalufingo3513
    @veronicalufingo35138 ай бұрын

    Kwahyo alipigwa bila sababu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    8 ай бұрын

    Jamaa nakaa ana wivu Sana mwanamme WA hivi siwezi ishi nae hata wiki moja

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    8 ай бұрын

    Nano neno hilo

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir51278 ай бұрын

    Huyu demu jinsi anavyo ongea ni muongo nani gold digger

  • @sharifabahar9905

    @sharifabahar9905

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂Jamaniiii

  • @minzamariamcasmir189

    @minzamariamcasmir189

    8 ай бұрын

    Always the mem with no gold….smh🤦‍♀️

  • @user-bm2qw9yb5x

    @user-bm2qw9yb5x

    8 ай бұрын

    Yuko kwenyekameraa tunamjua Sana jilani yetu Ila anahaiba yaupore

  • @ashaali7154

    @ashaali7154

    6 ай бұрын

    Eti gold digger hiyo gold iko wapi hapo hata shaba hakuna labda chuma tu. Dulla ni mshamba tu na ataendelea kuwa mshamba maisha yake yote.

  • @kiya0910
    @kiya09108 ай бұрын

    Ww dada acha kicheche tulia

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu49076 ай бұрын

    Kichangu tu tumekutana ista pumbavu

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah15958 ай бұрын

    Sasa ushaolewa ushaachwa ushazaa ushakua na mingo ushaachwa ushaolewa na dullah ushaachwa na bado una 24yrs😢

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    8 ай бұрын

    Waongo hawa watu hawatak kuzeeka wakaitwa bibi

  • @yustersimon5104

    @yustersimon5104

    8 ай бұрын

    Kwa mkoa anaotokea kwa huo umri ni kawaida mabinti zao wanaolewa utotoni darasa la 7 tu kwisha anaposwa😢

  • @gulfomanbb2119

    @gulfomanbb2119

    8 ай бұрын

    Anatk mkoa gan

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo8 ай бұрын

    Jamani mmeona nilichoona au?? Mbn km miguu na uso tofaut?

  • @salmasudi8901

    @salmasudi8901

    8 ай бұрын

    Macho yako tu huyo n mweupe peee kipenz sema make up hio haijampendeza

  • @user-uo6bo3ph6g

    @user-uo6bo3ph6g

    8 ай бұрын

    Km mm😂😂😂😂😂😂 miguu meusi tyooo

  • @zenajustus5731

    @zenajustus5731

    8 ай бұрын

    Coca-Cola fanta

  • @user-up1tb7sj2f

    @user-up1tb7sj2f

    8 ай бұрын

    Jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @matridamwalyoyo1735

    @matridamwalyoyo1735

    8 ай бұрын

    Make up

  • @marygregory7566
    @marygregory75666 ай бұрын

    UKIACHWA TENA NA MANARA DADA UTAKUWA UNAJIHARIBIA CV

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mwanamkuumohamed7344
    @mwanamkuumohamed73445 ай бұрын

    But huyu dem yuakaa mpole

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws7 ай бұрын

    Yn linaonekana nijambaz kabis hili dada

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @elizabethabdon2890

    @elizabethabdon2890

    6 ай бұрын

    Kaperekwa veseti na zawadi

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini91067 ай бұрын

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

Келесі