PART 2 ZAIYLISSA AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE NA DULLAH MAKABILA MIEZI MIWILI NA WIKI MBILI
Ойын-сауық
Zaiylissah muigizaji anayefanya vizuri katika tamthilia ya Jua Kali kwa mara ya kwanza ameongea kila kitu kilichotoka katika Ndoa yake na Msanii Dullah Makabila mpaka kufikia kuvunjika!
Tazama Part 2 hapa, Part 1 na 3 zipo hapa
SUBSCRIBE, LIKE, SHARE
Пікірлер: 159
Inaonyesha dula anaongozwa Sana na hisia Yan anaongozwa na mihemko,,,inabidi dula akatibiwe na mambo yake yakihasira..inaonekana dula akipenda anapenda sanaaaa kwaiyo anakuwa na wivu na anaendeshwa na hisia kwaiyo anashindwa kujizuia
@khajisokoni3790
6 ай бұрын
Dula kama mimi
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Umeongea ukweli
Hawa wanawake wamechagua maisha yakutembea na wanaume tofauti tofauti ,hawamjui ni hatari ktk ulimwengu wa roho ,kwa tamaa za umaarufu wa kidunia
Sijui kwanini watu wengi hawaoni huyu dada ni mkweli
@Official83640
8 ай бұрын
Mkweli lkn apunguze pupa za mahusiano we huwezi kuachana na mwanaume ghafla ukaanze na mwanaume mwengine na unaona kabisa km huyu Dullah hakumtaka amuoe na ndy kalazimishwa kupost na kucomment maana yupo na Dullah bado anawasiliana na Mingo na ndy 7bu Mingo alitoa ile nyimbo alishajua km ndoa hakuna itavunjika muda c mrefu huyu anapenda mateso mwenyewe haiwezekani kila mwanaume ampige
@lillylaurent7449
5 ай бұрын
😂😂
Pole sanaaa hayo ulopitiya Mimi piya niliishi ivo kwaaliyekuwa mume wangu umeniacha nikumbuke mnoooooo
Nampenda uyu dada
Huyu mrembo ana hekma sana,na ni mpole sana!!!
Alvyotajw Rj 🤣 hyo blushing ya huyo dada ss🥹❤️
Hapo kwenye RJ tutakaa 🤣🤣🤣🤣
Zaylisaa ni mzurii aisee
Mashallah mungu akujalie
Najivunia kuzaliwa tanga hivyo tuuuu❤❤❤❤
Kumbe ndoa y mtandao demu alitaka umarufu tu ili atoke na ndio maana manara ana ndoa nyingi sababu wanataka wajulikane mitandaoni haibu
Jaman mwanaume anayepiga hashaurik hata kidogo nina muunga mkono kabisaa huyu dada
@hatibbaraka3956
7 ай бұрын
Na pia tabia mbaya sana kwa mwanamme kuwa mpigaji wa wanawake. Dula bado mshamba sana.
Huyu dada ni muungwana sana hawezi wanaume wasio waungwana.Ukitaka kumchukua kisela ndio ushamshindwa
🔥🔥🔥
Mswahili sana dullah
Wamiaka 24 mbona uso umechoka kama wa miaka 50 au ndo make up next time usipake mimi nakuona rangi ya uso na wig zimefanana aliekupodoa atafika mbinguni akiwa amechoka😂😂
@neemanyove9130
7 ай бұрын
Mdogo huyu😊
@kemmypius2035
7 ай бұрын
Acha wivu😅
@lillylaurent7449
5 ай бұрын
Jmn😅😅
Zay akuwa really akumpenda dullard kbs
Bila makapu unapendeza zaidi
amekomaa sana kweli uchaw upo😂😂
Kumbe poleeeeee mwaya
Hahaa mambo ya mjini bana
she is super cute
Chini peps juu fanta
@user-eg8ri1fy4h
6 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅😅😅cjui umewaza nini 😁😁😁😅😅😅
Hapo hujapendeza bana Bora ukiwa hujapaka nekap unapendeza sana❤
@RacherBakari-qh2gx
6 ай бұрын
Kama paka shume
Weeee uuuuu weeeeee
😊😊
Huyu dada n mstaarabu sana
Bado miaka30😂😂
Duhh😂
😍 mambo ni moto
Acha kupapalikia ndoa tulia kwanza
Sikushaur dada angu mwanaume anayepiga hata usimsamehe
The way she answered about RJTHE DJ MEANS EVERYTHING 😂😂😂
@treshazchismo1764
8 ай бұрын
Walisha date kabla ya kuolewa na dullah akakuta mesej za zaman
@hamisijumanne4137
6 ай бұрын
Nimeipenda sana Ii intaviu
🙄🙄🙄🙄
Mekap. Imekupanya umekuwa mbaya
Ayo macho ya wote
Kwahyo nikama alilazimishwa au ,,mbona wadada wamjini mnajikuta Sana ,,yaani mnajipa thaman Sana mpka mnapitiliza ,,,,😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mbona wakawaida sana
@nshaijatedy5512
6 ай бұрын
Asubil miaka 40 ataelewa faida ya nyodo izo
Dada angu mrudiane bs❤❤
@BarbaraPatience-qt9cc
6 ай бұрын
Weeeeeeee
Sasa wew mguu na uso toka lini vikafanana acha wivu
Kipindi kijacho tunaomba utuleteye chino kid
Napenda mwanamke nature by looks,,na sio mwanamke Atficial by looks!
@JacklineNamundengozi
8 ай бұрын
What do you mean? You are contradicting your self just use just use your local language Swahili.
@iddykwangaya2794
8 ай бұрын
@@queenandchill91 kimewachoma Eeh,,,wanye mikorogo..Mijuso imekua mizito kama mibumunda vile nyooo!
@queenandchill91
8 ай бұрын
@@iddykwangaya2794 Nimekurekebisha SPELLING ujifunze uandishi sahihi wa ya maneno ya (kiingereza) uliyotumia kuwasilisha ujumbe wako. Utayari wa kuedit au kupuuza ujifunzaji ni maamuzi yako. Hayo mengine unayosema ni FIKRA zako. Na jinsi ulivyopokea na kureply hoja isiyo ya msingi unaonyesha jinsi gani ulivyo MPUMBAVU NA MJINGA. Na uandishi wako inaonekana sio MWANAUME ni SHOGA mzoefu asiyejitambua. KEEP IT UP
@halimahbwelele694
8 ай бұрын
@@iddykwangaya2794😂kimewaramba wenye rangi za kubuni
@iddykwangaya2794
8 ай бұрын
@@halimahbwelele694 yani wanatutia kinyaa sisi wanaume, ila basi tu
Hivi macho yangu? Miguu mieusi, USO mweupe no mtu mmoja huyo huyo au two in one.
😂😂😂😂😂 dullah alifos mapenziii
@zena6203
8 ай бұрын
😅😅😂😅😅😅😅😅😅😅
Mbona miguu myeusi uso mweupe?
acha kubicha weye ulikua na rj
Hv mahari huwa inarudishwa😂😂😂😂
@zena6203
8 ай бұрын
Yes kamaa Mimi tu nilimchoka mumewanguuuu akakata kunipa talaka nikampa mahari yake tukamalizanaaa imeisha iyo
@bimkubwaali5951
8 ай бұрын
Hii inaitwa nipunguzie adhabu naijua iyo nilimpa nikapata amani ya roho yangu
😂😂😂😂😂wanawake walefu wembamba sijui wanatatizo gani
@deborahcharles4916
8 ай бұрын
Jaman tupumzishe wanawake wRefu ongerea mtu mwenyew
@sharifabahar9905
8 ай бұрын
@@deborahcharles4916 mbona unaonekana mfupi
@wozanawewoz979
8 ай бұрын
😂 wanaringa
@deborahcharles4916
8 ай бұрын
@@wozanawewoz979 kulinga ni mtu mwenyew tu faivany mke wa raivanny ni mfupi na analinga
@gulfomanbb2119
8 ай бұрын
Wechiz kwl😂😂😂😂😂kwaiyo umeona nn mpk useme ivo
Wanadamu wana haraka ya kusema bila kuchunguza pande zote
Mmmjjjh sura nyeupeeee migummmhhhhhh
@mwajumalubunga1534
8 ай бұрын
Apo sasa 😅😅😂
@januarykasongo9298
8 ай бұрын
Jmn camera2 hiyo
@neemaseiler1122
6 ай бұрын
Mwanga uko juu zaidi
Uyu dem ni malaya saana
@MsAggie5
8 ай бұрын
Umesha lala nae?
@fatmazullu4933
8 ай бұрын
@@MsAggie5😂😂😂
@user-wr6uz1rx1o
6 ай бұрын
@@MsAggie5mwambie
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
@joycekalago532
6 ай бұрын
Hata mimi siwez kuish na manara kwa mdomo wake ule
Huyu dada hakumpenda yule kaka
@rachelmnyimwa4192
8 ай бұрын
slitka umaarufu kupitia dulla
@mwanashagladys4581
8 ай бұрын
Mbona wali sex
Kiongoz tena ndiy mahan Unaenda dodoma
Hili jamaa sio handishi bali ni dedective.
Huo mdomo umekua mbaya
Shida yako moja zai lisaa we ni muuzaji kwa nini ulie kwa kupostiwa na mumeo
Kweli huyu dada ni mkweli hadanganyi
😂😂😂😂😂huyu anataka kuuza albino kizee
Iyo mecap apana dada
@zenajustus5731
8 ай бұрын
Makeup imemzeesha😊
@fatmazullu4933
8 ай бұрын
@@zenajustus5731Bila makeup anapendeza zaidi
Mwanaume mwenye mkono wa kupiga hafai kabisa.
Kfp huyu hakumpenda dulla
Yani kutajwa jina la mnyamwezi rj the dj macho kichwa vyote vimeongea
@upendomsuya8961
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@FatmaAbdala-bu9zl
8 ай бұрын
Mrembo Sana😘❤
Apo uwongo njo mwingi sana
Naira achana na mecap haijakupendeza kabisa umekua mbayaa
Lakomaa uso
She is a wife material kabisaa jaman
Dada mrefu kweli
@Zainab_salat
8 ай бұрын
Kama mm😂😂😂 wajina
@MsAggie5
8 ай бұрын
Anapendeza kuwa model
Naira anacho igiza kinafanan na maisha yake halisi kule ghost huku dulla yan maamuzi ya fasta 😂😂😂
@user-nd6yp2gt1g
8 ай бұрын
😂😂 ghost tenaa jua kalii hyoo hahah
We ulikuwa upendi
LilOmmy Bro, Heshima yako. ''sipendi niongelee sana'' umemfungua hadi kafungua code zote 🤣🤣
Make up artist anafaa aache kazi maana kamtoa kituko
ukifika mbinguni kinyama kishanyauka kwa kila ub*o kuingia kwenye k*m* yako
Uso umemparama
Kwahyo alipigwa bila sababu
@MsAggie5
8 ай бұрын
Jamaa nakaa ana wivu Sana mwanamme WA hivi siwezi ishi nae hata wiki moja
@rehemaothman2475
8 ай бұрын
Nano neno hilo
Huyu demu jinsi anavyo ongea ni muongo nani gold digger
@sharifabahar9905
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rehemaothman2475
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Jamaniiii
@minzamariamcasmir189
8 ай бұрын
Always the mem with no gold….smh🤦♀️
@user-bm2qw9yb5x
8 ай бұрын
Yuko kwenyekameraa tunamjua Sana jilani yetu Ila anahaiba yaupore
@ashaali7154
6 ай бұрын
Eti gold digger hiyo gold iko wapi hapo hata shaba hakuna labda chuma tu. Dulla ni mshamba tu na ataendelea kuwa mshamba maisha yake yote.
Ww dada acha kicheche tulia
Kichangu tu tumekutana ista pumbavu
Sasa ushaolewa ushaachwa ushazaa ushakua na mingo ushaachwa ushaolewa na dullah ushaachwa na bado una 24yrs😢
@zainabwage4658
8 ай бұрын
Waongo hawa watu hawatak kuzeeka wakaitwa bibi
@yustersimon5104
8 ай бұрын
Kwa mkoa anaotokea kwa huo umri ni kawaida mabinti zao wanaolewa utotoni darasa la 7 tu kwisha anaposwa😢
@gulfomanbb2119
8 ай бұрын
Anatk mkoa gan
Jamani mmeona nilichoona au?? Mbn km miguu na uso tofaut?
@salmasudi8901
8 ай бұрын
Macho yako tu huyo n mweupe peee kipenz sema make up hio haijampendeza
@user-uo6bo3ph6g
8 ай бұрын
Km mm😂😂😂😂😂😂 miguu meusi tyooo
@zenajustus5731
8 ай бұрын
Coca-Cola fanta
@user-up1tb7sj2f
8 ай бұрын
Jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@matridamwalyoyo1735
8 ай бұрын
Make up
UKIACHWA TENA NA MANARA DADA UTAKUWA UNAJIHARIBIA CV
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
But huyu dem yuakaa mpole
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
Yn linaonekana nijambaz kabis hili dada
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE
@elizabethabdon2890
6 ай бұрын
Kaperekwa veseti na zawadi
HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA? KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE