Baraka Shamte, kada mkongwe wa CCM, ametekwa na kupigwa baada ya kutoa maoni yake juu ya siasa za Zanzibar, na kupinga sera ya uwekezaji katika visiwa hivyo.
Жүктеу.....
Пікірлер: 272
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Hussei Mwinyi hana uchungu na Zanzibari, si alisena anaye mkosowa anampenda! kumbe mnafiki akiambiwa ukweli anakuwa mkali hadi moto wa mdomo unamtoka 🔥🔥🔥.
@kingmartin49242 жыл бұрын
Mzeee yuko sawasawaaaa sawia tena nampongeza hajaogopa kuchana ukweli safiiiii sana mzee tu nakuombea kwa Allah utapona
@ussiussi34132 жыл бұрын
Kazi nzuri sana, hongera Mzee.
@geraldemanuel36132 жыл бұрын
Shamte amesema ukweli na huku bara ndivyo ilivyo
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Huu uwekezaji ni chanzo tu cha rushwa hamna lolote, Mzee anasema ukweli, lakini CCM hawakubali kukosolewa!
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
Wanatakiwa akina Mzee Shamte kama kumi tu. Viongozi wetu wafanye kazi kwa umakini mkubwa,na hofu ya Mwenyezi Mungu.Nyerere amekufa lakini Mzee Shamte yupo tusemee na huku bara. Wazee wa bara wamepigwa ganzi.Utawasikia tu kwenye kupongeza; lakini kuionya Serikali ifuate mwelekeo ulio sawa, kwa maslahi ya nchi,na watu wake mmmh!!!!!! Ganzi.
@kenedrocky59642 жыл бұрын
CCM imeishiwa sera na busara za kuongoza nchi yetu. Tutake tusitake nimaoni yangu tu.
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Biblia inasema ktk muhubiri wafalme wanatembea kwa miguu watumwa wamepanda farasi, inamaana Sana hii. Maana mfalme ni mfalme tu na Mtumwa ni Mtumwa tu hatakama apande punda Mungu atamjaza hekima ya utawala yule aliempaka mafuta ya kutawala japo atembee kwa miguu.
@pauloegbert515
2 жыл бұрын
Hajakukosoa kasema ukweli
@user-cf7yo3il6g
11 ай бұрын
Lilljl Oinlpp
@nassernassor85622 жыл бұрын
Baraka kasema kweli, hata wakimteka na kumpiga lkn ukweli ndio ushasemwa
@saidmasoud15482 жыл бұрын
CCM mishenzi hii lkn m/mungu wallah atawahukumu mmoja mmoja mpaka mutamaliza kila mwenye nia mbaya na Zanzibar na wazanzibar wenyewe
@hodhoj6092 жыл бұрын
Msema kweli mpenzi wa Mungu inshaaaaaalwah mzee baraka Shamte utapona tu kwa kudra za alwah
@kassimali2273
2 жыл бұрын
Atapona lakini Mzee ametitukana sn wapizani saivi yanamrudia CCM sio poa kabisa
@mwailubikamongo97742 жыл бұрын
Niatali sana kumpinga mtu unaumizwa CCM wanasiasa zakipuuz sana
@msafirimwenyemvua78892 жыл бұрын
Hongera sana mzee, wewe umezeeka mwili tu lakini akili yako Bado ni changa.
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Mzee shamte Ana hakili sana na anaongea point tupu.
@barakamwakapoma27022 жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sana
@geraldbenjamin93022 жыл бұрын
This is very sad, why nchi hii Tanzania kwa ujumla mawazo kinzani ni dhambi? Watu tunawachagua wenyewe kisha tujihoji utendaji wao tunanekana wabaya? This must be stopped
@mansourahmed216
2 жыл бұрын
Kuna kukosoa na kukashif ni vitu viwili tofauti
@f.w.z24462 жыл бұрын
Hongera sana mzee umezungumza kwel jaman baada ya miaka mitano hii tusimpe tena tutafute raisi mwingine
@rajabmsinzia1715
2 жыл бұрын
Kwa mfano Apewe Nani kwa akili yako?
@jongosalehe10362 жыл бұрын
Daaaaah hatari hiiii Mzee yupo vzr sana..
@allenudindo38032 жыл бұрын
huyu mzee yupo sawa kabisa ila watu wengi wanakula tu bila kuwakimbuka wanyonge pia wazee kama huyu ni wachache sana,na kila mtu ana maoni yake 👍
@salummussa6102 жыл бұрын
Zamu yao. Mungu haachi mnafik
@froma3732
2 жыл бұрын
Atajipanga MUNGU Anataka kuwalipia wale walokuwa wakifanyiwa na yeye akafurahia ati anesema ukweli manafik mferji umefungwa hazipatikani tena za bure
@farajibuteta62582 жыл бұрын
This guy is genius
@karakatamuumba43102 жыл бұрын
Samia na Mwinyi wana agenda kubwa kuiua Tanzania.Wana genge la watu wa Ulaya kuiuza bara na visiwani.maraisi hovyo kabisa.!Magufuli baba tunateseka !
Huyu mzee anaongea kwa maslah mapana ya wazanzibar wengi wanyonge… wakubwa hawatapenda kauli zake
@pauloalfayo18682 жыл бұрын
Haya ni maoni ya mtu ,unajua watu kama hawa waxema kweli hawapo wametoweka wengi Mzee mungu akubariki
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
Sasa mzee naona anasema waarabu wakati kisiwa chenyewe kishachukuliwa na watanganyika hahaha
@augustuss4503
2 жыл бұрын
@@sleemhamoud4394 kivipi kimechukuliwa na watanganyika, naomba nieleweshe
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
@@augustuss4503 Rais kikwete alisema nje ya Tanzania ni nchi moja unakumbuka Na ili uwe nchi kamili utambulike ulimwengu je znz inatambulika ?
@salumrwambo57522 жыл бұрын
Kuna watu hiyo ccm hujifanya kama yao sisi tulio mitaani tunakodisha nyumba zetu mwacheni Kaka Mwinyi akodishe visiwa apate pesa atuletee maendeleo msituzinguwe tushampa nnchi mwacheni afanye yake akimaliza mdawake ndiyo muhoji sasahivi mwacheni, fanyeni kazi
@uklife52322 жыл бұрын
CCM inatakiwa iachie nchi wengine wao hawawezi tena kwa kweli
@delasdiego65372 жыл бұрын
Mbona shamte kapigwa na amesema Kwer embu tafuta Cha kuongea sio useme tu kusikia hatusikii Hata kuona basi hatuoni eti wampenda msema kweli wakati ww mwenyewe muongo tu
@abuialmarjibi9792 жыл бұрын
We mzee usituchanganye huwenda umenyimwa mgao umedum CCM miaka hukuyaona hayo yote pambana na hali yako
Allah anajua kila mtu na makusudio yake,ila siasa mbaya uleta hali mbaya ya inchi na siasa nzuri huweka hali nzur ya inchi. tujenge inchi tuawache Mambo hayaa. mm sio mwana siasa ila mwana inchi😊😅😢😮😂❤❤😊😊😊
@najashdawood96802 жыл бұрын
Wao wenyewe wameyafanya mengi ya uovu ..sasa yanawageuka wenyewe.
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Zanzibar nchi yao inawauma sana,sijui lini Tanganyika yetu itatuuma?.Mwana wa mfalme wa Saudia kauziwa Mbuga ya Loliondo na Rais Ali Hassani Mwinyi, hadi Leo Wamasai na Wasonjo wanateswa na huyu mwaarabu. Mwinyi yeye kastaafu katulia tuli Zanzibar, ana shida gani. "Kisha kaanga mbuyu kaachia wenye meno watafune" Ole wee Tanganyika yetu.
@abuutasniym2675
2 жыл бұрын
Nani alikwambia kua Ali Hassan anaishi Zanzibar ndugu?
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
@@abuutasniym2675 Unataka kuniambia Mzee Mwinyi hana mji Zanzibar? Unataka kuniambia kuwa alikuwa anatoka bara kuja Zanzibar kugombea U-Rais wa Zanzibar kisha kurudi bara (Dar)? Mimi ninaye andika makala haya sio mbumbumbu.Najua Mwinyi aliletwa Zanzibar na Marehemu baba yake kwa minajili ya kusoms elimu ya dini ya kiislamu.Najua asili yake Tanganyika,mwenyeji wa Wilaya ya Mkuranga; kwa kuwa bado anamiliki mahame ya chimbuko lake hadi Kijiji cha kisiju ana ardhi huko.Tena ujue huyu mzee nchi inamheshimu na mimi pia namheshimu sana,kwani makosa mengine ya viongozi wetu hutokana na wapambe nukusi,na washauri wabaya.Tena wapambe hawa wana mbinu za kumdhibiti kweli kweli kiongozi asisikie ushauri wa mtu yeyote zaidi yao; asije akapata ufahamu wakapoteza masilahi yao binafsi kwake. Tena kuonyesha msisitizo Washauri hawa wabaya humchonganisha Rais na watu wema,kwa kumwambia "watu hawa hawakupendi wanakupiga vita.Rais asipotumia busara atajikuta wema wanawekwa ndani,na wabaya wake wanaongoza nchi bila yeye kujijua!!!.
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
@@salma0000 huyo haji omary heri unyama alofanya ktk hii nchi si wakusema kitu amwache raisi afanye yake aache chuki na kuleta fitna
@kassimali2273
2 жыл бұрын
@@salma0000 visiwa vinamilikiwa na Zanzibar sio Tanganyika na haitotokea visiwa vye2 vikamikikiwa na baraa
@caashamacalini3887
2 жыл бұрын
ndio maana Zanzibar wanataka sehemu Yao waitawale wenyewe pamoja wazenji ni karibuni wote ni wanyamwezi, na wahehe alafu wanajiita albaghareseni yaani koo za kiarabu ukiangalia ni deep huyo karume ni mnyasab wote ni watu wakuja pale Zanzibar watu wametokea sehemu tofauti alafu anakwambia mwarabu, nendeni tabora mabaki yamebaki ya warabu mwanza sukuma mabaki yamebaki
@saidmohd19752 жыл бұрын
Labda nikuulize swali boss kwan mwiz anapoiba mtaani serikal inataka apigwe na kufa c anapelekwa sehem husika kufuata sheria sasa kwa nn wananchi wenye hasira wanamaliza hasira zao
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Inategemea na watu watakaomkamata, anaweza valishwa mataili na kupigwa kibiriti na watu wenye hasira. Mungu tusaidie
@saidhassan77792 жыл бұрын
MITANO TUU MARA HII
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
Ishatosha😂😂😂😂
@personpeter2221
2 жыл бұрын
@@salma0000 hyo tanganyika mbona hamwshi kumsemq
@lamlanyava61532 жыл бұрын
Hapa nimethibitisha kumbe bado tunawazee vichwa kaongea kilichowashinda wabunge
@duniamapitosotewamungu34672 жыл бұрын
Na tukiwaacha wazee kama hawa pia hatutakuwa salama
@amosmichael4872 жыл бұрын
Mungu atujalie mwisho mwema
@johnkyara80612 жыл бұрын
HUYU MZEE ANAONGEA POINT SANA HIZI NCHI ZINAUZWA
@josephjuma19292 жыл бұрын
Uyu mzee anajiamini sn tumekuelewa mzee wangu
@hamzasuleiman96052 жыл бұрын
Wamegeuka samaki sasa walana wao kwa wao , ISSA MATONA
@abdallajuma62622 жыл бұрын
Yupo sawa huyu Mzee kipi alichokosea hapo tukubali kukosolewa
@valenakomba92182 жыл бұрын
KWA HILO MZEE UMEONGEA VIZURI . SANAAA. HUWEZI KUUZIA TENA WAARABU NNCHI AMBAYO TULIWANYA ANG'ANYA. HIVI WATANZANIA WAMEROGWAA?.
@mohdomar88462 жыл бұрын
Mchunga kupigwa na ng'ombe wake ni sawa tu na kawaida tumbiri akiisha miti huja muilini muache yamfike wakati wapinzani wakipata kipigo alifurahia
@michaelmfangavo7360
2 жыл бұрын
wanaosimamia sharia ndio wavunja sheria kilamtu ana haki katika nchi hii
@mohdomar8846
2 жыл бұрын
@@michaelmfangavo7360 kilamtu Ana haki katika nchi hii munaijua leo
@shabanseif69142 жыл бұрын
Msema kwel uyo mzee apewe ulinzi alaka sana
@nassirali74992 жыл бұрын
Mzee pole sana kwa yaliyokufika lkn kama hayo yaliwafika wenzako kwa miongo kadhaa. Ila achana nao miaka 84 tena iyo, focus na akhera yako tena achana nao CCM kwanza washakufukuza!
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Rais Hussein mwinyi miaka 5 tena 😘😘
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Mzee Yuko sahihi wallah
@altonkanjolonga23802 жыл бұрын
Znz hakujawahi kuwa shwari,kutoa maoni ni haki yake.Mzee ameonewa amenyanyaswa kwenye nchi yake.MUNGU IBARIKI TANZANIA
@mamuumamuu16232 жыл бұрын
💕Rais wangu ❤️
@revocatusreuben46052 жыл бұрын
Pole sana
@jonasynyasika63912 жыл бұрын
Hatari sana
@billgussy60992 жыл бұрын
Mnampiga huyu mzee kwakuwa kasema ukweli amewaumbua na mmeshindwa kumjibu hoja zake ….aibu kubwa sana kwa ccm. Hovyo kabisa
@abuubakalmtangenange43892 жыл бұрын
Babu upo sahh sana
@meekman18052 жыл бұрын
Kumbe!☝ tunaelekea wapi!
@user-xf9or5cv1d2 жыл бұрын
Wanatakiwa wa manga inaonyesha huyu hakusoma wala hajui stori ya hao wamanga aulize huo uko wake kama hawana damu ya kimanga
@mussajuma74602 жыл бұрын
Hatutaki kukodisha visiwa vyetu kwa lazima kukodisha alaf utakodisha vipi kisiwa miaka 60
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Ili kulinda maslahi yao,wako tayari kurejea kufanya yale walioyafanya kwenye uchaguzi wa 2020.
@duniamapitosotewamungu34672 жыл бұрын
kilicho mkuta ni haki yake yule mzee anataka kutuletea ubaguzi wa ukabila
@miletuskgmiletus15632 жыл бұрын
Mzee upo sawa
@diolindanativo72682 жыл бұрын
Ipo siku hii TZ yetu wana nchi wataamka na hawa viongozi wajinga watakufa vifo vibaya sana.
@Rukaiya-lt3hmАй бұрын
Wazee kama hawa wakati ni ccm hawana ukweli wowote
@mokolakipande2952 жыл бұрын
Ndugu zangu Kila lenye mwanzo uwa alikos mwisho katikati kusiwachanganye mkasaau chanzo
@babasamir26822 жыл бұрын
Huna jipya saahz mama aisha wamaliza kiasa hamna hoja sasa
@mabenaluca68242 жыл бұрын
Nimebahatika kukaa na Mzee BARAKA Shamte huyu Mzee Ana mengi sana kuhusu Zanzibar Na Tanzania kwa ujumla anyway kutoa maoni ni haki yake ilipaswa apingwe kwa hoja
@sagandampullo74052 жыл бұрын
BARAKA. SHAMTE KASEMA UKWELI. TATIZO CCM = WAKOLONI. ZANZIBAR WANAPORWA MALI NA VITEGA UCHUMI. NI SHIDA YA KUTANGAZA WATU WASIO WAZANZIBAR ASILIA KUTAWALA Zanzibar
@ahmedhamad24102 жыл бұрын
Mzee umetufumbuwa macho sana kumbe ccm ni wanyonyaji kiasi chote icho
@uklife52322 жыл бұрын
Yaani ukiwa CCM lazima uwe muuwaji
@rajabmsinzia17152 жыл бұрын
Kwani ukodishwa aji viziwa Kaanza Hussein Mwinyi? Au kwa Kuwa yeye amekuwa muwazi? Tatizo zanzibar mushazowea kupiga hela mzee wewe unatumika take care
@mzalendowaasili17272 жыл бұрын
Tanganyika na sisi tuamke , nchi isiuzwe
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Nan anaetaka nchi imejaa mbuu telee na vipindupindu.
@khamischumu68302 жыл бұрын
Serikali ya zanzibar yote ni wauwaji na ni washenzi nchi ngumu hii
@mosesndahani33152 жыл бұрын
Nyerere alisema mtu akizoea kula nyama mtu ataendelea tu. Lema alisema wapinzani waki sha wamaliza .....
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Mimi niulize tu kitu kwani hao viongozi walopita hapa Zanzibar walifanya Nini ?mwacheni mwinyi afanye kazi Ni nyinyi ccm wenyewe mulotupeleka huku ..kwa iyo mwinyi Ni raisi mwacheni afanye kazi yake km walofanya wengine
@akidasaid67842 жыл бұрын
Huyu sio Baraka ila ni Kibaraka
@kipyakizuri2 жыл бұрын
Sheria ya Tanzania kinachopatikana chini ya ardhi mita 5 ni Mali ya Serikali hata kama eneo umenunua au umekodishiwa. Kwahiyo kama Mafuta yakipatikana kwenye kisiwa sio Mali ya Muwekezaji. Yaani Waitalia wamekodishiwa visiwa miaka yote wanashughulikiana hamkusema kitu na nani kakuambia Waarabu peke yao wanakodishiwa hivyo visiwa? Mimi naanza kuumini Umasikini wa Wazanzibari unatokana na roho zao. Kweli ALLAH amesema hawabadilishi watu nafsi zao mpaka wao wenyewe wabadilike kwanza.
@salehaliy7198
2 жыл бұрын
Sasa mtu keshawekeza,utamuhamishaje bila kumlipa gharama zake?soma sheria ya mkataba utaelewa
@hassanjongo43092 жыл бұрын
Ok 🤔🤔🤔
@maimunashaban95382 жыл бұрын
Kwei kabisa
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Ccm ni washenzi
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
SHEIKH HUSEN MWINYI, USIKUBALI VUJO ZA WASIOPENDA MAWAZO CHANYA! POLE MZEE SHAMTE!!
@aliramadhan7181
2 жыл бұрын
Shekhe kapotea
@nassoursaleh31442 жыл бұрын
mtajuana wenyewe Mungu anawasubir kaz yenu zulma tu nyote huyo mzee nae akipewa shavu tu kimya mara hii hajapewa kwn pole pole nae alikua hvo hvo
@omarissamashaallahpresiden29202 жыл бұрын
Na ss wa michenzani tunataka tukodishwe miaka 66 Mzee
@saidhassan77792 жыл бұрын
MITANO TUU BABA MARA HII
@jaanjaan1112 жыл бұрын
Safi sana ccm kwa kipigo takatifu huyu kenge alishamzoea maalimu sefu kumzalilisha amesahau kama malipo ni duniani ugua pole kenge ww
@malikajohnson8897
2 жыл бұрын
😂😂😂 Wanasema muosha huoshwa pia. Analipwa hapa hapa kwanza
@rehemamdoro51652 жыл бұрын
Wana ccm kuweni na akili ya kufikili hivi kwa maneno ya maana kama haya alafu mnampinga basi Mungu atawalaani alatu mnamteka na kumtesa anzeni kuomba Rehema za Mungu awasemehe maana hamjitambui
@w4058
2 жыл бұрын
Ajabu ikisha vile vitimbwakwir vikojozi washenzi wakubwa
Jibuni hoja kama wanaume kweli nyooni mmepewa ukweli mumempiga washenzi nyie wakati alikuwa akikufanyieni kampeni
@w4058
2 жыл бұрын
Kwa ukweli huu ulosema Allah atakunyanyuwa
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Kwa nn apigwe Kama kafanya makosa sheria zipo na akamatwe, wazanzibr kitu kinachotukera na kutukatisha tamaa kwa serekali hii nikuona bado yale tusioyataka bado yapo na yanaendelea.mambo yakupigana wapi na wapi.
@umsalim65152 жыл бұрын
Waarabu wamewakaa rohoni bure, hakun muarabu anoitaka znz , Africa yote wazungu wamegawana zamani mpaka sasa ziko chini yao, hata hapo alipokuwepo mfalme alikuwa hana mamlaka kamili, yote yalikuwa chini ya uingereza hata passport na vyeti vya kuzaliwa vilikuwa vina jina la muingereza sio sultan. Wacheni chuki na wamanga
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Waambie wasikie maaana wamezidi sjui wanaumia na nn kwa waarabu.
@fathiyasalim3946
2 жыл бұрын
Maneno ya Shamte ni sawa kabisa. Ila nyani akimaliza miti huja mwiliniiii. Alipokua akimtukana Maalim Seif mlikua mnafurahi sana. Sasa wacha yawakute na nyie. Mzimu wa Maalim Seif unaanza kumtesa Baraka
@fathiyasalim3946
2 жыл бұрын
Baraka shamte wanaomfadhili miongoni mwao ni hao waarabu. Marehem Widadi alokua mke wa Shamte na kamzalia mtoto 1 nae alikua ana asili ya kiarabu. Huyu shamte hana radhi za wazee wake na kivuli cha Maalim kinamsumbua. Baraka utapata taabu sana kwa kuwakilisha walojificha nyuma yako. Mwinyi Rais wangu kumbe nawe huna moyo wa kukosolewa wala kuelekezwa. Punguza presha ilikua umuiite Mzee baraka muongee ungepata mengì. Usalama wako nao wana safura hawakushauri vyema. Mwinyi kuwa huru ili upokee maoni kwa raia zako
@davisfidelis4149
2 жыл бұрын
Au na wewe ni Mmanga?
@umsalim6515
2 жыл бұрын
@@davisfidelis4149 Zingatia ukweli sio kutizama mmanga au sio mmanga. Muulizeni huyo Mzee Shamte, cheti chake cha kuzaliwa kimeandikwaje
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Babu nduni spanking up for zanzibar people together front act wazalendo
@rukiahassan40162 жыл бұрын
Ulisema kweliii ñdioo wakuupigee
@zariadunia63282 жыл бұрын
Mzee anajilipua katumwa
@ibrahimabdullah18872 жыл бұрын
Ukipona soma kisomo cha nguvu alio shiriki kupiga au atoaamri watie adabu
@abedmzungu90572 жыл бұрын
Mzee hakika una uelewa taka zitolewe tena kwa gharama duuu
@muzzamilzaharan67992 жыл бұрын
basi mkitaka dunia tutawapa ila kumbukeni akheri mtaangakukia patupu😢
@dismasmtui7292 жыл бұрын
katiba mpya ni muhimu ili kuleta nidhamu na uwajibikaji!
@djfeda39882 жыл бұрын
Babu umeongea ukweli hawakodishwi wanauziwa miaka 60 unakodisha au unauza dah Zanzibar tunauzwa Allah yupo atatulinda
@delasdiego65372 жыл бұрын
Shida ni kwamba wasema kwer hua wanawekwa pabaya huyu Mzee amesema kwer tupu ndio Maana wanamuandama na vibaraka wao. Ivi kwani Kuna kilichofanyika Kwa huyu Mzee zimwi wanamtetea wakati hakuna mzanzibar aliemchamgua Kwa kura Zaid ya nguvu walizotumia na Bado wanazotumia Kwa wasema kwer kama Mzee shamte Cha muim shamte kaza tutakupenda kama lissu wa Zanzibar Mungu akuponye Mzee wetu na wao awaangamize
@tonnyford57822 жыл бұрын
Ajengewe Sanamu michenzani
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Huyu janajike kisa anapata kuiba kwa hiyo mkali na yote hana elimu ameekwa to hapo kwa ajili ya kufunuliwa chupi
@abdulmuhidin14892 жыл бұрын
Kwanini mtu akisema ukweli baadhi yao hawaupendi tulisikia mengi tunasikia mengi na tutasikia mengi letu sikio tu allah atulinde kwa kweli hatujui huko tunakokwenda kutatokea nini
@fatmasaid90742 жыл бұрын
😭😭😭😭
@sameraakhf56052 жыл бұрын
Nayy kapata kipigo kama walivo pata wapinzani
@msabahaali7582 жыл бұрын
Hakika rais mwinyi hana uvumikivu wa kukosolewa ata kidogo ana misimamo wa kimagufulimagufuli ACT kimya ata kulaani kuteswa kwa mzee shamte mmeshindwa sawa hii Zanzibar mwinyi kashakuja achume utajir ss wananchi tubaki tufe na dhiki na ufukara
@malikajohnson8897
2 жыл бұрын
Kwani ACT walipopigwa watu wao is 2020 ulimuona ccm gani akikemea? Huwa wanaona sawa tu. Hawajui kuwa ubaya hauna kwao. Sasa wanapigwa na wao unataka ACT waseme nini? Wacha wapigane tu.
Пікірлер: 272
Hussei Mwinyi hana uchungu na Zanzibari, si alisena anaye mkosowa anampenda! kumbe mnafiki akiambiwa ukweli anakuwa mkali hadi moto wa mdomo unamtoka 🔥🔥🔥.
Mzeee yuko sawasawaaaa sawia tena nampongeza hajaogopa kuchana ukweli safiiiii sana mzee tu nakuombea kwa Allah utapona
Kazi nzuri sana, hongera Mzee.
Shamte amesema ukweli na huku bara ndivyo ilivyo
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Huu uwekezaji ni chanzo tu cha rushwa hamna lolote, Mzee anasema ukweli, lakini CCM hawakubali kukosolewa!
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
Wanatakiwa akina Mzee Shamte kama kumi tu. Viongozi wetu wafanye kazi kwa umakini mkubwa,na hofu ya Mwenyezi Mungu.Nyerere amekufa lakini Mzee Shamte yupo tusemee na huku bara. Wazee wa bara wamepigwa ganzi.Utawasikia tu kwenye kupongeza; lakini kuionya Serikali ifuate mwelekeo ulio sawa, kwa maslahi ya nchi,na watu wake mmmh!!!!!! Ganzi.
CCM imeishiwa sera na busara za kuongoza nchi yetu. Tutake tusitake nimaoni yangu tu.
@frankjohn8706
2 жыл бұрын
Biblia inasema ktk muhubiri wafalme wanatembea kwa miguu watumwa wamepanda farasi, inamaana Sana hii. Maana mfalme ni mfalme tu na Mtumwa ni Mtumwa tu hatakama apande punda Mungu atamjaza hekima ya utawala yule aliempaka mafuta ya kutawala japo atembee kwa miguu.
@pauloegbert515
2 жыл бұрын
Hajakukosoa kasema ukweli
@user-cf7yo3il6g
11 ай бұрын
Lilljl Oinlpp
Baraka kasema kweli, hata wakimteka na kumpiga lkn ukweli ndio ushasemwa
CCM mishenzi hii lkn m/mungu wallah atawahukumu mmoja mmoja mpaka mutamaliza kila mwenye nia mbaya na Zanzibar na wazanzibar wenyewe
Msema kweli mpenzi wa Mungu inshaaaaaalwah mzee baraka Shamte utapona tu kwa kudra za alwah
@kassimali2273
2 жыл бұрын
Atapona lakini Mzee ametitukana sn wapizani saivi yanamrudia CCM sio poa kabisa
Niatali sana kumpinga mtu unaumizwa CCM wanasiasa zakipuuz sana
Hongera sana mzee, wewe umezeeka mwili tu lakini akili yako Bado ni changa.
Mzee shamte Ana hakili sana na anaongea point tupu.
Huyu mzee ana akili sana
This is very sad, why nchi hii Tanzania kwa ujumla mawazo kinzani ni dhambi? Watu tunawachagua wenyewe kisha tujihoji utendaji wao tunanekana wabaya? This must be stopped
@mansourahmed216
2 жыл бұрын
Kuna kukosoa na kukashif ni vitu viwili tofauti
Hongera sana mzee umezungumza kwel jaman baada ya miaka mitano hii tusimpe tena tutafute raisi mwingine
@rajabmsinzia1715
2 жыл бұрын
Kwa mfano Apewe Nani kwa akili yako?
Daaaaah hatari hiiii Mzee yupo vzr sana..
huyu mzee yupo sawa kabisa ila watu wengi wanakula tu bila kuwakimbuka wanyonge pia wazee kama huyu ni wachache sana,na kila mtu ana maoni yake 👍
Zamu yao. Mungu haachi mnafik
@froma3732
2 жыл бұрын
Atajipanga MUNGU Anataka kuwalipia wale walokuwa wakifanyiwa na yeye akafurahia ati anesema ukweli manafik mferji umefungwa hazipatikani tena za bure
This guy is genius
Samia na Mwinyi wana agenda kubwa kuiua Tanzania.Wana genge la watu wa Ulaya kuiuza bara na visiwani.maraisi hovyo kabisa.!Magufuli baba tunateseka !
Mzee aliuwepo yakifanyika haya yote vip Leo,kunani kimetokea? 😢😢😢😢😊😊. kumbe ulifosiwa!! jamani kaaeni uzuri tuijenge inchi tuache maneno maneno ,kazi iendelee.
Huyu mzee anaongea kwa maslah mapana ya wazanzibar wengi wanyonge… wakubwa hawatapenda kauli zake
Haya ni maoni ya mtu ,unajua watu kama hawa waxema kweli hawapo wametoweka wengi Mzee mungu akubariki
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
Sasa mzee naona anasema waarabu wakati kisiwa chenyewe kishachukuliwa na watanganyika hahaha
@augustuss4503
2 жыл бұрын
@@sleemhamoud4394 kivipi kimechukuliwa na watanganyika, naomba nieleweshe
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
@@augustuss4503 Rais kikwete alisema nje ya Tanzania ni nchi moja unakumbuka Na ili uwe nchi kamili utambulike ulimwengu je znz inatambulika ?
Kuna watu hiyo ccm hujifanya kama yao sisi tulio mitaani tunakodisha nyumba zetu mwacheni Kaka Mwinyi akodishe visiwa apate pesa atuletee maendeleo msituzinguwe tushampa nnchi mwacheni afanye yake akimaliza mdawake ndiyo muhoji sasahivi mwacheni, fanyeni kazi
CCM inatakiwa iachie nchi wengine wao hawawezi tena kwa kweli
Mbona shamte kapigwa na amesema Kwer embu tafuta Cha kuongea sio useme tu kusikia hatusikii Hata kuona basi hatuoni eti wampenda msema kweli wakati ww mwenyewe muongo tu
We mzee usituchanganye huwenda umenyimwa mgao umedum CCM miaka hukuyaona hayo yote pambana na hali yako
Happy birthday Hon. Freeman Mbowe
Angekuwa Cadema mngesema hawana nıa mzur huyu ccm mwenyewe Mungu anawaumbua mmjammja
Allah anajua kila mtu na makusudio yake,ila siasa mbaya uleta hali mbaya ya inchi na siasa nzuri huweka hali nzur ya inchi. tujenge inchi tuawache Mambo hayaa. mm sio mwana siasa ila mwana inchi😊😅😢😮😂❤❤😊😊😊
Wao wenyewe wameyafanya mengi ya uovu ..sasa yanawageuka wenyewe.
Zanzibar nchi yao inawauma sana,sijui lini Tanganyika yetu itatuuma?.Mwana wa mfalme wa Saudia kauziwa Mbuga ya Loliondo na Rais Ali Hassani Mwinyi, hadi Leo Wamasai na Wasonjo wanateswa na huyu mwaarabu. Mwinyi yeye kastaafu katulia tuli Zanzibar, ana shida gani. "Kisha kaanga mbuyu kaachia wenye meno watafune" Ole wee Tanganyika yetu.
@abuutasniym2675
2 жыл бұрын
Nani alikwambia kua Ali Hassan anaishi Zanzibar ndugu?
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
@@abuutasniym2675 Unataka kuniambia Mzee Mwinyi hana mji Zanzibar? Unataka kuniambia kuwa alikuwa anatoka bara kuja Zanzibar kugombea U-Rais wa Zanzibar kisha kurudi bara (Dar)? Mimi ninaye andika makala haya sio mbumbumbu.Najua Mwinyi aliletwa Zanzibar na Marehemu baba yake kwa minajili ya kusoms elimu ya dini ya kiislamu.Najua asili yake Tanganyika,mwenyeji wa Wilaya ya Mkuranga; kwa kuwa bado anamiliki mahame ya chimbuko lake hadi Kijiji cha kisiju ana ardhi huko.Tena ujue huyu mzee nchi inamheshimu na mimi pia namheshimu sana,kwani makosa mengine ya viongozi wetu hutokana na wapambe nukusi,na washauri wabaya.Tena wapambe hawa wana mbinu za kumdhibiti kweli kweli kiongozi asisikie ushauri wa mtu yeyote zaidi yao; asije akapata ufahamu wakapoteza masilahi yao binafsi kwake. Tena kuonyesha msisitizo Washauri hawa wabaya humchonganisha Rais na watu wema,kwa kumwambia "watu hawa hawakupendi wanakupiga vita.Rais asipotumia busara atajikuta wema wanawekwa ndani,na wabaya wake wanaongoza nchi bila yeye kujijua!!!.
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
@@salma0000 huyo haji omary heri unyama alofanya ktk hii nchi si wakusema kitu amwache raisi afanye yake aache chuki na kuleta fitna
@kassimali2273
2 жыл бұрын
@@salma0000 visiwa vinamilikiwa na Zanzibar sio Tanganyika na haitotokea visiwa vye2 vikamikikiwa na baraa
@caashamacalini3887
2 жыл бұрын
ndio maana Zanzibar wanataka sehemu Yao waitawale wenyewe pamoja wazenji ni karibuni wote ni wanyamwezi, na wahehe alafu wanajiita albaghareseni yaani koo za kiarabu ukiangalia ni deep huyo karume ni mnyasab wote ni watu wakuja pale Zanzibar watu wametokea sehemu tofauti alafu anakwambia mwarabu, nendeni tabora mabaki yamebaki ya warabu mwanza sukuma mabaki yamebaki
Labda nikuulize swali boss kwan mwiz anapoiba mtaani serikal inataka apigwe na kufa c anapelekwa sehem husika kufuata sheria sasa kwa nn wananchi wenye hasira wanamaliza hasira zao
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Inategemea na watu watakaomkamata, anaweza valishwa mataili na kupigwa kibiriti na watu wenye hasira. Mungu tusaidie
MITANO TUU MARA HII
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
Ishatosha😂😂😂😂
@personpeter2221
2 жыл бұрын
@@salma0000 hyo tanganyika mbona hamwshi kumsemq
Hapa nimethibitisha kumbe bado tunawazee vichwa kaongea kilichowashinda wabunge
Na tukiwaacha wazee kama hawa pia hatutakuwa salama
Mungu atujalie mwisho mwema
HUYU MZEE ANAONGEA POINT SANA HIZI NCHI ZINAUZWA
Uyu mzee anajiamini sn tumekuelewa mzee wangu
Wamegeuka samaki sasa walana wao kwa wao , ISSA MATONA
Yupo sawa huyu Mzee kipi alichokosea hapo tukubali kukosolewa
KWA HILO MZEE UMEONGEA VIZURI . SANAAA. HUWEZI KUUZIA TENA WAARABU NNCHI AMBAYO TULIWANYA ANG'ANYA. HIVI WATANZANIA WAMEROGWAA?.
Mchunga kupigwa na ng'ombe wake ni sawa tu na kawaida tumbiri akiisha miti huja muilini muache yamfike wakati wapinzani wakipata kipigo alifurahia
@michaelmfangavo7360
2 жыл бұрын
wanaosimamia sharia ndio wavunja sheria kilamtu ana haki katika nchi hii
@mohdomar8846
2 жыл бұрын
@@michaelmfangavo7360 kilamtu Ana haki katika nchi hii munaijua leo
Msema kwel uyo mzee apewe ulinzi alaka sana
Mzee pole sana kwa yaliyokufika lkn kama hayo yaliwafika wenzako kwa miongo kadhaa. Ila achana nao miaka 84 tena iyo, focus na akhera yako tena achana nao CCM kwanza washakufukuza!
Rais Hussein mwinyi miaka 5 tena 😘😘
Mzee Yuko sahihi wallah
Znz hakujawahi kuwa shwari,kutoa maoni ni haki yake.Mzee ameonewa amenyanyaswa kwenye nchi yake.MUNGU IBARIKI TANZANIA
💕Rais wangu ❤️
Pole sana
Hatari sana
Mnampiga huyu mzee kwakuwa kasema ukweli amewaumbua na mmeshindwa kumjibu hoja zake ….aibu kubwa sana kwa ccm. Hovyo kabisa
Babu upo sahh sana
Kumbe!☝ tunaelekea wapi!
Wanatakiwa wa manga inaonyesha huyu hakusoma wala hajui stori ya hao wamanga aulize huo uko wake kama hawana damu ya kimanga
Hatutaki kukodisha visiwa vyetu kwa lazima kukodisha alaf utakodisha vipi kisiwa miaka 60
Ili kulinda maslahi yao,wako tayari kurejea kufanya yale walioyafanya kwenye uchaguzi wa 2020.
kilicho mkuta ni haki yake yule mzee anataka kutuletea ubaguzi wa ukabila
Mzee upo sawa
Ipo siku hii TZ yetu wana nchi wataamka na hawa viongozi wajinga watakufa vifo vibaya sana.
Wazee kama hawa wakati ni ccm hawana ukweli wowote
Ndugu zangu Kila lenye mwanzo uwa alikos mwisho katikati kusiwachanganye mkasaau chanzo
Huna jipya saahz mama aisha wamaliza kiasa hamna hoja sasa
Nimebahatika kukaa na Mzee BARAKA Shamte huyu Mzee Ana mengi sana kuhusu Zanzibar Na Tanzania kwa ujumla anyway kutoa maoni ni haki yake ilipaswa apingwe kwa hoja
BARAKA. SHAMTE KASEMA UKWELI. TATIZO CCM = WAKOLONI. ZANZIBAR WANAPORWA MALI NA VITEGA UCHUMI. NI SHIDA YA KUTANGAZA WATU WASIO WAZANZIBAR ASILIA KUTAWALA Zanzibar
Mzee umetufumbuwa macho sana kumbe ccm ni wanyonyaji kiasi chote icho
Yaani ukiwa CCM lazima uwe muuwaji
Kwani ukodishwa aji viziwa Kaanza Hussein Mwinyi? Au kwa Kuwa yeye amekuwa muwazi? Tatizo zanzibar mushazowea kupiga hela mzee wewe unatumika take care
Tanganyika na sisi tuamke , nchi isiuzwe
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Nan anaetaka nchi imejaa mbuu telee na vipindupindu.
Serikali ya zanzibar yote ni wauwaji na ni washenzi nchi ngumu hii
Nyerere alisema mtu akizoea kula nyama mtu ataendelea tu. Lema alisema wapinzani waki sha wamaliza .....
Mimi niulize tu kitu kwani hao viongozi walopita hapa Zanzibar walifanya Nini ?mwacheni mwinyi afanye kazi Ni nyinyi ccm wenyewe mulotupeleka huku ..kwa iyo mwinyi Ni raisi mwacheni afanye kazi yake km walofanya wengine
Huyu sio Baraka ila ni Kibaraka
Sheria ya Tanzania kinachopatikana chini ya ardhi mita 5 ni Mali ya Serikali hata kama eneo umenunua au umekodishiwa. Kwahiyo kama Mafuta yakipatikana kwenye kisiwa sio Mali ya Muwekezaji. Yaani Waitalia wamekodishiwa visiwa miaka yote wanashughulikiana hamkusema kitu na nani kakuambia Waarabu peke yao wanakodishiwa hivyo visiwa? Mimi naanza kuumini Umasikini wa Wazanzibari unatokana na roho zao. Kweli ALLAH amesema hawabadilishi watu nafsi zao mpaka wao wenyewe wabadilike kwanza.
@salehaliy7198
2 жыл бұрын
Sasa mtu keshawekeza,utamuhamishaje bila kumlipa gharama zake?soma sheria ya mkataba utaelewa
Ok 🤔🤔🤔
Kwei kabisa
Ccm ni washenzi
SHEIKH HUSEN MWINYI, USIKUBALI VUJO ZA WASIOPENDA MAWAZO CHANYA! POLE MZEE SHAMTE!!
@aliramadhan7181
2 жыл бұрын
Shekhe kapotea
mtajuana wenyewe Mungu anawasubir kaz yenu zulma tu nyote huyo mzee nae akipewa shavu tu kimya mara hii hajapewa kwn pole pole nae alikua hvo hvo
Na ss wa michenzani tunataka tukodishwe miaka 66 Mzee
MITANO TUU BABA MARA HII
Safi sana ccm kwa kipigo takatifu huyu kenge alishamzoea maalimu sefu kumzalilisha amesahau kama malipo ni duniani ugua pole kenge ww
@malikajohnson8897
2 жыл бұрын
😂😂😂 Wanasema muosha huoshwa pia. Analipwa hapa hapa kwanza
Wana ccm kuweni na akili ya kufikili hivi kwa maneno ya maana kama haya alafu mnampinga basi Mungu atawalaani alatu mnamteka na kumtesa anzeni kuomba Rehema za Mungu awasemehe maana hamjitambui
@w4058
2 жыл бұрын
Ajabu ikisha vile vitimbwakwir vikojozi washenzi wakubwa
@w4058
2 жыл бұрын
Umewapa kweli imewauma punda wakubwa hao wanatukera mpaka tunafika kuwaita majina mabaya
@w4058
2 жыл бұрын
Jibuni hoja kama wanaume kweli nyooni mmepewa ukweli mumempiga washenzi nyie wakati alikuwa akikufanyieni kampeni
@w4058
2 жыл бұрын
Kwa ukweli huu ulosema Allah atakunyanyuwa
Kwa nn apigwe Kama kafanya makosa sheria zipo na akamatwe, wazanzibr kitu kinachotukera na kutukatisha tamaa kwa serekali hii nikuona bado yale tusioyataka bado yapo na yanaendelea.mambo yakupigana wapi na wapi.
Waarabu wamewakaa rohoni bure, hakun muarabu anoitaka znz , Africa yote wazungu wamegawana zamani mpaka sasa ziko chini yao, hata hapo alipokuwepo mfalme alikuwa hana mamlaka kamili, yote yalikuwa chini ya uingereza hata passport na vyeti vya kuzaliwa vilikuwa vina jina la muingereza sio sultan. Wacheni chuki na wamanga
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Waambie wasikie maaana wamezidi sjui wanaumia na nn kwa waarabu.
@fathiyasalim3946
2 жыл бұрын
Maneno ya Shamte ni sawa kabisa. Ila nyani akimaliza miti huja mwiliniiii. Alipokua akimtukana Maalim Seif mlikua mnafurahi sana. Sasa wacha yawakute na nyie. Mzimu wa Maalim Seif unaanza kumtesa Baraka
@fathiyasalim3946
2 жыл бұрын
Baraka shamte wanaomfadhili miongoni mwao ni hao waarabu. Marehem Widadi alokua mke wa Shamte na kamzalia mtoto 1 nae alikua ana asili ya kiarabu. Huyu shamte hana radhi za wazee wake na kivuli cha Maalim kinamsumbua. Baraka utapata taabu sana kwa kuwakilisha walojificha nyuma yako. Mwinyi Rais wangu kumbe nawe huna moyo wa kukosolewa wala kuelekezwa. Punguza presha ilikua umuiite Mzee baraka muongee ungepata mengì. Usalama wako nao wana safura hawakushauri vyema. Mwinyi kuwa huru ili upokee maoni kwa raia zako
@davisfidelis4149
2 жыл бұрын
Au na wewe ni Mmanga?
@umsalim6515
2 жыл бұрын
@@davisfidelis4149 Zingatia ukweli sio kutizama mmanga au sio mmanga. Muulizeni huyo Mzee Shamte, cheti chake cha kuzaliwa kimeandikwaje
Babu nduni spanking up for zanzibar people together front act wazalendo
Ulisema kweliii ñdioo wakuupigee
Mzee anajilipua katumwa
Ukipona soma kisomo cha nguvu alio shiriki kupiga au atoaamri watie adabu
Mzee hakika una uelewa taka zitolewe tena kwa gharama duuu
basi mkitaka dunia tutawapa ila kumbukeni akheri mtaangakukia patupu😢
katiba mpya ni muhimu ili kuleta nidhamu na uwajibikaji!
Babu umeongea ukweli hawakodishwi wanauziwa miaka 60 unakodisha au unauza dah Zanzibar tunauzwa Allah yupo atatulinda
Shida ni kwamba wasema kwer hua wanawekwa pabaya huyu Mzee amesema kwer tupu ndio Maana wanamuandama na vibaraka wao. Ivi kwani Kuna kilichofanyika Kwa huyu Mzee zimwi wanamtetea wakati hakuna mzanzibar aliemchamgua Kwa kura Zaid ya nguvu walizotumia na Bado wanazotumia Kwa wasema kwer kama Mzee shamte Cha muim shamte kaza tutakupenda kama lissu wa Zanzibar Mungu akuponye Mzee wetu na wao awaangamize
Ajengewe Sanamu michenzani
Huyu janajike kisa anapata kuiba kwa hiyo mkali na yote hana elimu ameekwa to hapo kwa ajili ya kufunuliwa chupi
Kwanini mtu akisema ukweli baadhi yao hawaupendi tulisikia mengi tunasikia mengi na tutasikia mengi letu sikio tu allah atulinde kwa kweli hatujui huko tunakokwenda kutatokea nini
😭😭😭😭
Nayy kapata kipigo kama walivo pata wapinzani
Hakika rais mwinyi hana uvumikivu wa kukosolewa ata kidogo ana misimamo wa kimagufulimagufuli ACT kimya ata kulaani kuteswa kwa mzee shamte mmeshindwa sawa hii Zanzibar mwinyi kashakuja achume utajir ss wananchi tubaki tufe na dhiki na ufukara
@malikajohnson8897
2 жыл бұрын
Kwani ACT walipopigwa watu wao is 2020 ulimuona ccm gani akikemea? Huwa wanaona sawa tu. Hawajui kuwa ubaya hauna kwao. Sasa wanapigwa na wao unataka ACT waseme nini? Wacha wapigane tu.
KUKOSOLEWA NDO NJIA YA KUJIFUNZA.