SIRI YA WALIOPANGA MAPINDUZI:USALAMA WA TAIFA/KUNYONGA/WATU WASIOJULIKANA..NYERERE&KARUME

#karume #zanzibar #mapinduzi
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 51

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97734 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu HAKUGHAFILIKA na watu WEZI WANAFIKI WAONGO MADHALIM HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Жыл бұрын

    Mapinduzi hayakuwa ya wazanzibari Bali yalikuwa ni ya Nyerere zidi ya wazanzibari na Zanzibar Yao

  • @user-um8xn4ge4i

    @user-um8xn4ge4i

    5 ай бұрын

    Kabisa nyerere alitumwa na uingereza na marekani ilimradi kuuwa nguvu Islamic km ilivyo bara

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri Жыл бұрын

    History ni nzuri Sana

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Жыл бұрын

    Kwani nani aliekua hajui km alieongozà mauaji ya zanzibar km ni John okelo kumbe unajua km nyie na okelo ndio mliowauwa watu wa zanzibar acha fitna izo km huna kazi ya kufanya tafuta bao la Kete ucheze alf ivo unavoongea unaongea kinafiki kw kujichekeshacheksha hovyo tu

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Жыл бұрын

    Asante Mzee wa mizimu

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @mohammedshaabani6506
    @mohammedshaabani65064 ай бұрын

    Jama anatufunga kamba mchana kweupeeee

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Жыл бұрын

    Karume Hakuwa Na Nguvu ya Kunchukua Hanga kutoka Bara, Hanga alikabidhiwa kwa Karume na Nyerere

  • @hamiskalinga2416
    @hamiskalinga2416 Жыл бұрын

    Kaka yeriko nawezaje kupata kitabu chako naona kina simulizi kali na historia ya Dunia hii ya kutisha

  • @omarabdallah3883
    @omarabdallah3883 Жыл бұрын

    HISTORIA YA ZANZIBAR HUIJUI KAA KIMYA..

  • @TheTarabist
    @TheTarabist24 күн бұрын

    Kijana hukujibu suali kuhusu Seif Sharifu.

  • @raymondonyona.2736
    @raymondonyona.27363 ай бұрын

    Niko Ilemela Mza, nawezaje kupata nakala za vitabu vyako hivyo?

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Жыл бұрын

    Yerico Amesema Uwongo Juu ya Hanga, Nyerere Alimlinda? Alichukuliwaje kwenda Zanzibar, Anasahau Masaa Machache Kabla ya Kurudishwa Zanzibar Nyerere alifanya Mkutano wa Hadhara Mnazi Mmoja na Akamtukana Sana hanga, Then Usiku Huo akapelekwa Zanzibar?

  • @marcusmalyceline7060
    @marcusmalyceline7060 Жыл бұрын

    😂😂😂 mwandishi wa habari huyu anachekesha eti enhhhhe,ndiyooo, anhaaaaa okay kumbeeee iinn hahahah hajui anajifanya anadandia mada kwa mbele alafu anakata sauti inapiga kelele ila anafili gudi alafu pia video fupi sana

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Жыл бұрын

    Si uongo vizuri havidumu kweli na muendelee tu kuwataja mana c okelo pekeyake mnaemkusudia wapo wengi mkimalizana nae

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын

    Huyo alikuwa mwandishi wa habari wa Uingereza.Katika mahojiano hayo na Okelo,ambapo Abdulrahman babu ndie aliyekuwa akitasiri kwa vile okelo alikuwa hajui kiengereza.

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Жыл бұрын

    Huyu jamaa muongo sana

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Жыл бұрын

    Okelo aliuliwa na idi Amin hiyo inajulikana duniani

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Жыл бұрын

    Sefu Bakari, baba yangu aliwai kunihadithia kuhusu uyu mtu, alinieleza kuwa alikua hatari sana alikua namba 2 after Mzee Karume, hatari uyo. Baada ya yote akapelekwa kwenda mkuu wa mkoa..................

  • @saidmasoud8449
    @saidmasoud84495 ай бұрын

    Kaka husemi ukweli. Karue alikuwa Unguja na wanamapinduzi wengine. Halafu Seif Bakari majeshi yalipata mafunzo Ujerumani Mashariki. Na huu muungano ni project ya CIA naMI6. Ndo maaana Wazanzibari hawaypendi ulianza kama project ya miaka 10 lkn alipouawawa Karyme ndo mambo yakaparanganyuka.

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan9308 Жыл бұрын

    Uongo tu

  • @samsonkibona7376
    @samsonkibona7376 Жыл бұрын

    Daaaah ama kweli vizuri havidumu yaani ndo NIMEKAA makini Sasa kumsikiza af ndo Kipindi kinaisha kati kati ya Radha duplin master usitufanyie hvyo bhana angalau Kipindi kiwe na dk 45 Hivi mpaka lisaa li1 hata Kwa tozo mtutoze tu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaongopa kama mtu anasoma hii comment asome Kitabu kinaitwa" Kwa heri Ukoloni kwa Heri Uhuru" hapo ndio kuna ukweli wa Mapinduzi.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU kisomwe kwenye Skuli za Tanzania.

  • @abubakariali9848

    @abubakariali9848

    Жыл бұрын

    Kaka kumbe tupo wengi hunaojua historia yetu Soma na (Harakati ya Abdul wahid Sykes katika kudai uhuru) asitupotoshe

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @Abubakari Ali. Wakiwa Tanganyika, Waislam wa Zanzibar walipinga Ukoloni na walishiriki harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika kabla ya Julius Nyerere kuunda Tanganyika African National Union (TANU) kwa Tanganyika. FADHILA ZA PUNDA Julius Nyerere aliuondosha Uhuru wa Zanzibar kwa Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar. Baadae, alilazimisha Ukoloni wa Tanganyika kufuatana na Udini wake. KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU.

  • @kamanyolabilajasho3833

    @kamanyolabilajasho3833

    2 ай бұрын

    Kwa Heri Ukoloni Kwa Heri Uhuru ndio kitabu nimesoma nikapata uhakika wa nani walihuhusika na mapinduzi kwa kuwa mwandishi alinukuu na waliohusika front line ktk mapinduzi na reference tele za kuhakiki!

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    Tafuta mtu aliekuepo siku hiyo huyo 64 ht hajazaliwa stori kitabu ht mimi naandika anachokfanya huyu nikiwachafua viongozi tuu

  • @goodluckmolleltennis5980
    @goodluckmolleltennis5980 Жыл бұрын

    Kitabu chako kinaitwaje Bei Na Kufika arusha au kwa arusha unapatikana wap

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 Жыл бұрын

    Naomba namba ya huyu jamaa.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    Naukifatilia uhuru wa nchi za ulaya hutaamin hz dini mana wamezileta sababu yakuteka nakumiliki madaraka

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Жыл бұрын

    Hicho kitabu kinapatikanaje na bei gani

  • @haidarykufakunoga5973
    @haidarykufakunoga5973 Жыл бұрын

    Brother Uko vizuri. KITABU chako kinapatikana wapi?

  • @sulimanm6525
    @sulimanm6525 Жыл бұрын

    Na wewe sema ukweli basi sababu karume kipibwa risasi

  • @williamdevis3955
    @williamdevis3955 Жыл бұрын

    Nitakupataje hicho kitabu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97734 ай бұрын

    😮😮😮 Karume bastard killer 😮😮

  • @mbarakahaji4302
    @mbarakahaji43026 ай бұрын

    Wewe muwongo unawadanganya watu tunaojuwa mapinduzi ya znz tupo cc wazawa wa znz ucdanganye watu.

  • @omarabdallah3883
    @omarabdallah3883 Жыл бұрын

    MAPINDUZI YANATOKEA KARUME ALIKUA UNGUJA PAMOJA NA. ALI NABWA ,USIPOTOSHE WATU.

  • @menlandmutashobya8377

    @menlandmutashobya8377

    Жыл бұрын

    Babu na karume walikuwa dar

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Жыл бұрын

    Acha kudanganya

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Жыл бұрын

    upezani mwanzo mwisho mpaka kieleweke sawa

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Жыл бұрын

    📝 Kiongoz nimeanz kukufiatilia zamani san na nimejifunza meng ila naon kama sasa hiv unatupotosha hiv.., Hebu nenda kasome vitabu hiv 1 - Kwaheri ukoloni kwaheri uhuru ✅️ 2 - Harakati za Abdul wahid Sykes katika kudai uhuru ✅️ 3 - Pugu Haji Palamiho ✅️ Half uje udanganye ten watu wasioijua historia ya Uhuru na Nchi yao

  • @komboruga4271

    @komboruga4271

    Жыл бұрын

    Mwongeze na 4. Siku 100 za Kuundwa muungano.

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda5 ай бұрын

    Mpumbaviu msenge shoga Weeee samora humjui wa mondolane ukiwa dakitari huwezi kuwa mwananeshi

  • @MorganMwaipyana-tz9vc

    @MorganMwaipyana-tz9vc

    3 ай бұрын

    Usiwe mkali sana,Samora alikuwa na medical background

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda5 ай бұрын

    Weeeee unapotosha katoliki ana mchango Gani zaidi ya ujinga tuu pumbu zako

  • @johnmichaellukindo21

    @johnmichaellukindo21

    4 ай бұрын

    Athumani jina tu kweli huna akili!

Келесі