HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO...
HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO...
Dkt. Rashid Mfaume Kawawa alizaliwa Februari 27, 1926 katika Kijiji cha Matepwende, Tarafa ya Ligera, Mkoani Ruvuma na alianza shule ya msingi mwaka 1935 huko Tunduru akiwa na umri wa miaka tisa, aliandikishwa shule kwa jina la Baraka ambalo lilikuwa jina lake la utoto mpaka alipomaliza elimu yake ya msingi na baadaye alijiunga na shule ya sekondari ya Tabora na kumaliza darasa la 12 Novemba 1949 kisha Mwaka 1951 alianza kufanya kazi Idara ya Maendeleo ya Jamii
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 26
Huyu alikuwa mpigania uhuru wa Tanzania na Africa inabidi familiya yake wapewe nyumba kama ma Raisi waliopewa sasa hivi mama Samia fikiria gili kawawa familey na karume Familey muwafikirie kwa kweli.
Vraiment poa sana
Aise pazuri sana🤝🤝
Taa jamani technology ikuzwe upande wa Quality ili somo tulipate vyema
Wanatakiwa kukumbukwa kwa kweli may God rest his souls in peace
Dah familia yake nimaskin ALLAH awafanyie wepes
Kabati nimelipenda hilo tupigie picha vizuri.
JPM alisema somo la Historia lianze kufundishwa katika shule zetu. Huo mpango naona haupo tena na umezikwa pamoja naye!
Wako waliotumikia nchi hii takufikia kuahatarisha maisha yao walistaafu wakiwa maskini alikua was aminifu mno wameacha wajane wakihangaika lakini Leo hii wamesahaulika mmojawapo wapo ni mahamudu ISSA je selikali itamsaidiaje mjane aliedhumiwa nyumba yake
@lovenessvisent9408
10 ай бұрын
Hapa mabibo tunaye mzee alikuwa bregegia kabisa aliwapa mafunzo akina Samora mashell na wengine kibao na yupo hai adi Leo ila uzee unamuanda sana napata kujifunza mengi sana kwake Nampa cocacola Moja story inatembea wanasubiri afe wakapige mizinga yao
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika alikuwa mwl.J.K.Nyerere 1961 hadi 1962 wapili ni Kawawa
Mbona kuna giza
Naijua hiyo nyumba nimekaa pia hapo bombambili ninyumbani kwetu nyumba hio nikubwa sana mala yamwisho miaka 2004 au 2003 alikua aki ishi mwanae wakiume baadae palibaki bila mtu kwamiaka mingi
Historia nzuri....lakini msimulizi na sauti yake
uvamivu au uvumilivu nyosha maneno
Alikua waziri mkuu wapili wa Tanganyika
Mbona tunawasau wenginie kola Mara tunawakumbuka wana siasi tu Mimi namkumbuka kachero marehemu mahamudu ISSA jewanao mfaham wa comment
giza wekeni taa
Simba wa Ruvuma
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
MleziWakijijiChetuKiluvyaNapajuwaLkwetu.alikuwaAnakujaNyumbani.kimtembeleaBabaAngu
Huyu jamaa namchukia Sana alimuua manaharakati Edward mornge sokoine namchukia huyo mshenzi😢😢😢😢😢😢
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Mchukie tu wala haibadilishi hali yake atabaki kuwa kawawa makamu wa rais na waziri mkuu..!
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Una uhakika
@laurentbuhoy1832
Жыл бұрын
Wivu2 unakusumbua, chapa naw uache story
Hiyo hxtolia yake au histolia ya jengo
@lugwetunje3896
Жыл бұрын
Hii inaeleza alivyo ishi maisha yake,na vile alivyo jenga nyumba yake kujilinda na mkoloni