HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!

HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
#CHIFUMKWAWA
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 709

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto5 жыл бұрын

    Anastahili views milioni mm Mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4 😂😂😂😂

  • @noob3605

    @noob3605

    5 жыл бұрын

    Ven The Guy 😂😂😂😂😂me too

  • @edwingwesso129

    @edwingwesso129

    5 жыл бұрын

    Wengne tunamuelewa Sana fatilia tena

  • @daudijuma9093

    @daudijuma9093

    5 жыл бұрын

    Ven the guy pol

  • @daudijuma9093

    @daudijuma9093

    4 жыл бұрын

    @Ven hiii

  • @amirbalali6483

    @amirbalali6483

    4 жыл бұрын

    Ven The Guy duh

  • @annahjoxhua1953
    @annahjoxhua19534 жыл бұрын

    Wahehe naomba like zenu me mbena

  • @shabanikamsawa424
    @shabanikamsawa4244 жыл бұрын

    Jamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm .gonga like hapa tujuane

  • @AliMasudi-mc2sj

    @AliMasudi-mc2sj

    2 ай бұрын

    Maamyuzi.unajizima.data.hata Mimi nimeipenda.hiyo

  • @djatm1319
    @djatm13195 жыл бұрын

    Napenda sana vile huyu jamaa husoma historia..... Nikiwa hapa Nairobi/Kenya

  • @musasaid964

    @musasaid964

    3 жыл бұрын

    Mtafute mtiga abdalla utaewa kuliko huyu

  • @dralhajijbmatatala4580
    @dralhajijbmatatala45803 жыл бұрын

    ""Najivunia Kuwa MHEHE,""

  • @kindoleenock6708
    @kindoleenock67083 жыл бұрын

    Kama ww ni mhehe gongaa like

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3115 жыл бұрын

    Wahehe hoyee!!!!!!! Fantastic

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    nyumbani nn!

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    4 жыл бұрын

    Hoyeeeeeee!!!kamwene

  • @Elicha883

    @Elicha883

    3 жыл бұрын

    Wahehe ni watani zangu Mimi ni Mndamba kutoka ifakara

  • @zawadichalale4047

    @zawadichalale4047

    3 жыл бұрын

    Hoyeeeeeeeeeeeeeeee!

  • @andrewshustle1331
    @andrewshustle13315 ай бұрын

    2024 Niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya CHIEF MKWAWA.🎖️👑

  • @abdallahhamad4499
    @abdallahhamad44994 жыл бұрын

    Kama ungependa hii story waifanyie movie Kama mimi ninavyotamani gonga like 💗

  • @maijayahaya3770
    @maijayahaya37705 жыл бұрын

    kusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro 👏👏

  • @daudijuma9093

    @daudijuma9093

    5 жыл бұрын

    Hhhh mwaija

  • @maijayahaya3770

    @maijayahaya3770

    5 жыл бұрын

    daudi Juma 😂😂 beee!!

  • @evanamyinga1512

    @evanamyinga1512

    3 жыл бұрын

    Polee

  • @ricksonlyimo5594

    @ricksonlyimo5594

    3 жыл бұрын

    Shule akuna mwalimu anaweza kukufundisha hv zaidi ya kuambiwa tafuta kitabu utapata story yote ila hapa unaelewa zaidi ya shulen

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid49585 жыл бұрын

    nyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like

  • @adcutey9112

    @adcutey9112

    4 жыл бұрын

    Nakuelewa wa iringa unaishi wap

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa4185 жыл бұрын

    anayemuelewa mkwawa agonge like hapa

  • @daudijuma9093

    @daudijuma9093

    5 жыл бұрын

    Namuelew saan!2

  • @tamaraemmanuel9804

    @tamaraemmanuel9804

    4 жыл бұрын

    Why??????????

  • @gaudencegabriel4880

    @gaudencegabriel4880

    4 жыл бұрын

    upo vizur

  • @neemaroja6273

    @neemaroja6273

    4 жыл бұрын

    Wahehe magaidi...

  • @abasirashidi5240

    @abasirashidi5240

    4 жыл бұрын

    mohamedi Kibasa nc

  • @FamSalome
    @FamSalome5 жыл бұрын

    Global tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya Mwalimu Nyerere, Kenyatta, Joseph Kony, mauji ya Kimbari Rwanda. Waiyaki wa Hinga kutoka Kenya na zingine ambazo nitazitaja tukisonga. itakuwa bora kama Ananias Edigar atakuwa msimulizi kama kawaida. long live global tv long live Ananias Edigar.

  • @slyvesterngusa2972

    @slyvesterngusa2972

    3 жыл бұрын

    Sanaaa

  • @ricksonlyimo5594

    @ricksonlyimo5594

    3 жыл бұрын

    Mauaji ya kimbari ipo mbona story ya nyerere nayo ipo na ya kenyatta ipo zitafute utaziona

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula73513 жыл бұрын

    Afrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. 🤣😄😃😀😆👍👍👍👏👏👏 Asantee Sana kutujuza kaka pamoja sana🤝

  • @kimwelshebuge8772
    @kimwelshebuge87724 жыл бұрын

    Una miaka 30 halafu unalala kwenu halafu unakoroma ukilala

  • @marymichelle6280
    @marymichelle62805 жыл бұрын

    Hongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi

  • @unamimlay7619

    @unamimlay7619

    3 жыл бұрын

    Nimependa story yako iko poa sana inafundisha

  • @victorsimfukwe5309
    @victorsimfukwe53094 жыл бұрын

    Tunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali mbali

  • @jimmyandrew3883
    @jimmyandrew38834 жыл бұрын

    im proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao uleeee

  • @godfreymlonganile2933

    @godfreymlonganile2933

    3 жыл бұрын

    Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu

  • @godfreymlonganile2933

    @godfreymlonganile2933

    3 жыл бұрын

    Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu

  • @godfreymlonganile2933

    @godfreymlonganile2933

    3 жыл бұрын

    Bbbbbbb

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3115 жыл бұрын

    Hapo inaonyesha Uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa Mswimi toka Uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo Uhehe wenyewe, ni Genius, wahehe wote, na Mkwawa ni Mhehe, waache wivu,

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    ni wahaBeshi / wahaVeshi.?

  • @lilianluhasi7685

    @lilianluhasi7685

    4 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 ndiyo koo zaidi ya 100 zimezaa na kupanuka, ndiyo kabila LA wahehe

  • @lilianluhasi7685

    @lilianluhasi7685

    4 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 waabeshi

  • @lilianluhasi7685

    @lilianluhasi7685

    4 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 waabeshi samahani nolikosea

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    4 жыл бұрын

    Lilian Luhasi arlaah kuumbe!

  • @adcutey9112
    @adcutey91124 жыл бұрын

    Nisidangany mm now had simuamin mungu najali miungu yangu ya kikabila maana God kaletwa na mzungu yaaani mm sinahamu nao mm nawapenda miungu wangu wa kihehe na Leo nimeenda makumbusho kwao

  • @dralhajijbmatatala4580

    @dralhajijbmatatala4580

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @innocentmmbando5484
    @innocentmmbando54845 жыл бұрын

    Kaka hongera kwa simuliz maridhawa.. Naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga!!

  • @saidkhadija7557

    @saidkhadija7557

    4 жыл бұрын

    Kabiisa

  • @uwezofadhili7098

    @uwezofadhili7098

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @lukaslaizer1839

    @lukaslaizer1839

    Жыл бұрын

    Ameisha simuliaga ebu andika Denis mpanga simuliz ya wachaga

  • @owinochris9886
    @owinochris98863 жыл бұрын

    Mpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana,

  • @benjaminphilip7408
    @benjaminphilip74085 жыл бұрын

    it hurts ukisikiliza baadhi ya vitu , ni kweli huyo mjusi (dinosaur) inasemekana walichukua skeleton yake wakapeleka kwenye museum huko German, nowadays they are making a lot of money kupitia hcho walichotuibia, bado utackia mtanzania anasema wazungu ni watu wazuri.

  • @monicahovda5890

    @monicahovda5890

    5 жыл бұрын

    Wewe uki google utapata historia yote ya huyo mjusi. Dinosaur. Sio mpka usikilize ndio huujue ukweli. Muwe wepesi wa kusoma yote wameyandika kwenye vitabu. Na wamerahisisha kwenye Gooogle.kila kitu

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    @@monicahovda5890 hmmm

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    @@monicahovda5890 tena gugo huko ndo wamechuja mpaaka, vema maktaba zetu wenyewe ndo zipatikane na hizi hadithi/vitabu

  • @ahmadkafashe7427
    @ahmadkafashe74275 жыл бұрын

    Bro unaipenda kwel kaz yako.. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr

  • @tinatanamahondo9292

    @tinatanamahondo9292

    2 жыл бұрын

    Yani wew Acha tu

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5214 жыл бұрын

    Resistance Against The Imposition Of Colonial Rule Small Scale Resistance# Mtwa Mkwawa

  • @duniacafe
    @duniacafe3 жыл бұрын

    Kamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuru sana---umenielimisha ziada ya niliyofundishwa shule ya msingi Forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika kitabu cha historia ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya Mangi Meli, Isiki, Rumanyika wa Karagwe, Mirambo, nk. Na methali zako---eee---hizo zilinoga kweli

  • @Respicius
    @Respicius5 жыл бұрын

    Da! Broo mgejaribu kuwa mnatoa CD tunazinunua mnauza hata Cd moja ina stori mbili mbili 2000 ingekuwa vizuri sana

  • @kacherosimba5762

    @kacherosimba5762

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa dah sipati picha ukiwa geto kwako una sikiza saiti hii dah story mzuli sana

  • @sheldonmbakaya
    @sheldonmbakaya4 жыл бұрын

    Nikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na Global TV Nakushukuru Ananias Mpagaze

  • @joshualwelu7302
    @joshualwelu73024 жыл бұрын

    Wazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo.

  • @johnsylivester8412
    @johnsylivester84125 жыл бұрын

    we Jamaa Nakupenda Sana Wewe, hd sauti yako. tuletee watemi na machifu wa singida

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu4 жыл бұрын

    Brother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza Kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! MUNGU AKUINUE katika kazi zako

  • @salimawishenga7588

    @salimawishenga7588

    2 жыл бұрын

    So nitakufata kamzizi

  • @allythabiti8150
    @allythabiti81505 жыл бұрын

    Sikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir Kama wa zamani aise, Mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatariii.

  • @mohamedothman9769

    @mohamedothman9769

    5 жыл бұрын

    Sio kwamba hawazaliwi, wapo ila wanaogopa kufa

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    @@mohamedothman9769 ndo hawapo tena au wana mapungufu kama yote

  • @jumamdoe5123
    @jumamdoe51235 жыл бұрын

    Story zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya Gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako BIG up

  • @hellenmattaba9961

    @hellenmattaba9961

    4 жыл бұрын

    Usalliti. Tangu zamani upo Hivo tusishangae

  • @bonifacechengula6117
    @bonifacechengula61172 жыл бұрын

    Brilliant narrator, you are so eloquent that I love listening to your story.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab72385 жыл бұрын

    Hawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii

  • @christophersoty101
    @christophersoty1015 жыл бұрын

    wakala visivyoliwa kabla ya Ndoa binti akapata ujauzito kijana akala kona kuogopa Mikono ya cheaf akakutana na mbogo msituni akalestiishwa in peace Aaaaamin 😂😂😂😂😂 huyu bro anajua mpaka homa aisee Duh!!!

  • @upstar4951

    @upstar4951

    5 жыл бұрын

    Christopher Soty saf

  • @jeyadam833

    @jeyadam833

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kile kipande katishaaaa😂😂😂😂😂

  • @isackhassan6551
    @isackhassan65515 жыл бұрын

    Elimu ya wazungu kwa wa-Afrika is a system of misseducation us as Afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura36453 жыл бұрын

    Mkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetu itakayofundishwa kwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina Livingstone na Karl Peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu.

  • @solanzakalolo2782
    @solanzakalolo27822 жыл бұрын

    Hongela mkwawa my friend

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын

    Ananias unavyosimulia utadhani alikuwepo 😂😂😂hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa.

  • @fineskilatu5432
    @fineskilatu54325 жыл бұрын

    Napenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza💪👏👏👏👏

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo62623 жыл бұрын

    Story nzuri nimependa.

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday18865 жыл бұрын

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN HAKIKA MKWAWA WETU ALIKUWA NI CHUMA KAMA WW NI WA KWETU GONGA LIKE TWENDE SAUWA

  • @adcutey9112

    @adcutey9112

    4 жыл бұрын

    Zamani paliitwa amakambako

  • @jamesrichard957

    @jamesrichard957

    4 жыл бұрын

    Wa hehe mpooo

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san histolia nzuri san

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili30532 жыл бұрын

    Naskia raha sana, historia kutolewa kwa kiswahili....hongera kutoka Kenya...

  • @givenngoko4528
    @givenngoko45285 жыл бұрын

    Nzuri sanaa🙏🙏🙏🙏👏👏👏...#Elimu hii

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr50355 жыл бұрын

    Leo hii kuwa kiongozi Tanzania si elimu wala ushujaa bali ukiijua Ilani ya CCM umepita.

  • @farajaluoga9930

    @farajaluoga9930

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @muulamagolima4572

    @muulamagolima4572

    5 жыл бұрын

    Utajuaje ilani ya CCM bila kuwa na elimu? Au kwako elimu Nini?

  • @mpogoletv.5966
    @mpogoletv.59665 жыл бұрын

    NAMKUBALI SANA MKWAWA NA UWA SICHOKI KUTEMBELEA FUVU NA MAKAZI YAKE KULE KARENGA

  • @josej9888
    @josej98885 жыл бұрын

    Shukrani sana Anania Ediga.

  • @logatercharles3665
    @logatercharles36654 жыл бұрын

    “Ukimpa mimba mtoto wa kihehe lazima akutaje”😂😂😂

  • @officialkisura6520

    @officialkisura6520

    4 жыл бұрын

    Logater Charles nomaxana

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    3 жыл бұрын

    Leo uzinifu umekuwa kama maji ya kunywa zamani ukizini na mtoto wa mtu unauwawa hii sheria bora irudishwe tena..!

  • @ashrafsalum2521

    @ashrafsalum2521

    3 жыл бұрын

    Nikae kimya ili

  • @tinatanamahondo9292

    @tinatanamahondo9292

    2 жыл бұрын

    Naachaje sasa kukutaja

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu77715 жыл бұрын

    Kama unamkubali huyu msimuliaji like hapa,,,

  • @aliiwema5179

    @aliiwema5179

    3 жыл бұрын

    Nakubali kaka

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala73325 жыл бұрын

    Asante kutupatia kitu kizuri kama hiki

  • @tinawilliam4961
    @tinawilliam49615 жыл бұрын

    Asante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa👏👏

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Umeelewa kwa kweli shukrani zimefika

  • @georgenagabona203
    @georgenagabona2035 жыл бұрын

    upo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi

  • @gosberthussalvatory7992

    @gosberthussalvatory7992

    3 жыл бұрын

    Tuanze tamadumi zetu tuwe na umoja wa afrika

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu21305 жыл бұрын

    Ningependa kuona library yako ya vitabu.kwa akili hii nahisi husomi pumba

  • @juliasfredrick491

    @juliasfredrick491

    4 жыл бұрын

    Shukran denisi mpagaze

  • @denismugendi1034
    @denismugendi10345 жыл бұрын

    Kaka uko sawa tena makini sana , historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru.

  • @fredymassawenomasanaakome9332

    @fredymassawenomasanaakome9332

    5 жыл бұрын

    H

  • @zawadigwimile2637
    @zawadigwimile26375 жыл бұрын

    Daaa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    5 жыл бұрын

    Na hata asili hasa ya Uhehe ni nini? Ni mchanganyiko wa uzao wa Mhaveshi na wazawa waliowakuta hapo, uzao wa koo hizo ndiyo Uhehe wenyewe, hapo mwanzo ilikuwa wabena tu, ambao nao inasemekana walitokea Ghana

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    @@lilianluhasi311 dooh, wabena nao kumbe iletwe ya kwao hapa

  • @lilianluhasi7685

    @lilianluhasi7685

    4 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 wabena walitokea Ghana mababu wanasema

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    4 жыл бұрын

    Lilian Luhasi asee!

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    4 жыл бұрын

    Lilian Luhasi asee.,yaonesha iringa ni nyumbani

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni28475 жыл бұрын

    Yaan ww daa nakupendaga sana bs tuu

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin3344 жыл бұрын

    Kumbeeee brooh upo vizuriiiiiiiiii cana aseehhhh

  • @saidmosh2695
    @saidmosh26955 жыл бұрын

    Hongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya

  • @watotowamungubyfreconicide1505
    @watotowamungubyfreconicide15055 жыл бұрын

    Mtangazaji unatangaza vizuri saana

  • @mrsmile6649
    @mrsmile6649 Жыл бұрын

    Big story 💯🏃💥

  • @sylvesternzowa8458
    @sylvesternzowa84585 жыл бұрын

    Naikubali sana sauti yako ndugu msimuliaji Edga, so you make me concentrate to your stories.

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 Жыл бұрын

    Ananias Edgar ni best historical ever🙌

  • @allythabiti8150
    @allythabiti81505 жыл бұрын

    Itabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi

  • @aluteboy1302

    @aluteboy1302

    4 жыл бұрын

    vipi

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57624 жыл бұрын

    Dah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana

  • @manyandatimoth7
    @manyandatimoth75 жыл бұрын

    Msukuma chapa ya ng'0mbe ...daaah umejua kunifurahisha

  • @hijjaferrari3874

    @hijjaferrari3874

    4 жыл бұрын

    Bado historia ya samori toure

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel99045 жыл бұрын

    Asante sana

  • @marcelmlacha8596
    @marcelmlacha85965 жыл бұрын

    Umeisimilia vizuri Endelea na kazi

  • @nyavaelly5450
    @nyavaelly54505 жыл бұрын

    Historia nzur sana msoma historia upo vzr

  • @langatemmanuel7359
    @langatemmanuel73594 жыл бұрын

    Duh! Sauti ya nguvu kweli! Ananias Edgar nimekubali...Mie nakupata moja kwa moja kutoka nchini kenya

  • @ismailmangare547
    @ismailmangare5475 жыл бұрын

    Safi sana nakupata mkuu uko vizur

  • @mukikibati3519
    @mukikibati35193 жыл бұрын

    Simulizi kali sana muhimu kusikiliza asante

  • @musaomary590
    @musaomary5905 жыл бұрын

    I appreciate you✔✔✔

  • @donaldmwita4227
    @donaldmwita42273 жыл бұрын

    Help kwa historian nzuri

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58044 жыл бұрын

    Yesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu Tanzania

  • @kanutierasto9897

    @kanutierasto9897

    Жыл бұрын

    Kakaunawezasanakusimulia

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry80115 жыл бұрын

    Kwaukweli Edgar kila nikiskia tafsiri yako unavyo tafsiri hunahap kilasiku kuskiliza istoria zako sikuzote ongera

  • @johnsahani1325
    @johnsahani13255 жыл бұрын

    Somo zuri ubarikiwe

  • @siliviamyinga1400

    @siliviamyinga1400

    4 жыл бұрын

    Siliviamyinga Nashukuru sana kumbebabu mkwawa ametoka alichanganyika kabila mbili, nashukuru kujua historia

  • @kherysalum638
    @kherysalum6385 жыл бұрын

    safi sana mkuu hao panya road ote wanaokuiga tupa kule

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau82345 жыл бұрын

    simulizi nzuri sana inazidikuwa tamu kwa ajili ya sauti ya Edgar mpangaze kazi safi

  • @ditrickmotto2448
    @ditrickmotto24485 жыл бұрын

    Hapa kweli history nilisoma kama ngonjera bila ata kujuaa... Shukrani mtaalamu kwa kazi zako nzurii... Andaa ktk majarida au CD ili ata wenzetu wasio na cm kubwa waweze kupata utamu huu

  • @kenyfrancis2946
    @kenyfrancis29464 жыл бұрын

    Iko vizuri kaka.....ni Mwambambe...

  • @jacklinejonas5096
    @jacklinejonas50964 жыл бұрын

    Asanteee kaka...... 🙏

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail464 жыл бұрын

    Mizimu yote ya africa ikagonga cheers

  • @jasirimkombozi4926
    @jasirimkombozi49265 жыл бұрын

    Natamani simulizi hii ingekuwa Movie fulani hivi .

  • @shaibuabdallah631

    @shaibuabdallah631

    5 жыл бұрын

    Dogo ismaVEVO . . .

  • @adcutey9112

    @adcutey9112

    4 жыл бұрын

    Karibuni kwetu Iringa muje muone hiyo movie kalenga museum kuna fuvu la mkwawa na pia kuna sehemu kikongoma mama mkwawa alifia pale n.k Karibuni sanaaaa

  • @emmanueljest6786

    @emmanueljest6786

    4 жыл бұрын

    Jasiri Mkombo🐻 iuhyh1

  • @nuratkalinga581

    @nuratkalinga581

    4 жыл бұрын

    Hiyo kuua ukoo mzima ipo mpaka leo ,akiba mmoja wanateketea ukoo mzima labda mkaombe msamaha.

  • @charlesntemi1683
    @charlesntemi16835 жыл бұрын

    Dah! Hatari fire !!!

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin3344 жыл бұрын

    Ananias edgas umetishaaaa cnaaaaaa

  • @AnnaBoniphace-dw7py
    @AnnaBoniphace-dw7py10 ай бұрын

    Mkwawa ni moto mkali jmn🔥🔥🤝🤝🤝

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 Жыл бұрын

    Napenda historia zenu

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ctКүн бұрын

    Chiffu wetu alitisha. Sana huyu. Alikuwa mwamba najivunia kuwa mhehe

  • @masaulihassan2463
    @masaulihassan24635 жыл бұрын

    najivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule ya kusoma.najivunia glabal tv

  • @givaantv2417
    @givaantv24174 жыл бұрын

    Nakukubali saana brother kwa usimulizi wako

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    THANKS A MILLION TIMES.

  • @starwayafricatv5017
    @starwayafricatv50174 жыл бұрын

    Asante sana glob tv...maana mkotupeleka sipabaya kbs..hendeleni kutujuza kbs..asanteni sana.

  • @suleimankiumwa5328
    @suleimankiumwa53285 жыл бұрын

    Noma sanaaa big up kwako kaka

  • @moonlight-tz5985
    @moonlight-tz59855 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @rashidhassankadege1455
    @rashidhassankadege14555 жыл бұрын

    Umetisha sana

  • @jamesmwangi5176
    @jamesmwangi51762 күн бұрын

    good work

  • @teebeka9117
    @teebeka91175 жыл бұрын

    Bigup saana kwa history

  • @justinjohn3785
    @justinjohn37855 жыл бұрын

    Napenda sana kazi yako

Келесі