HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
#CHIFUMKWAWA
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 709
Anastahili views milioni mm Mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4 😂😂😂😂
@noob3605
5 жыл бұрын
Ven The Guy 😂😂😂😂😂me too
@edwingwesso129
5 жыл бұрын
Wengne tunamuelewa Sana fatilia tena
@daudijuma9093
5 жыл бұрын
Ven the guy pol
@daudijuma9093
4 жыл бұрын
@Ven hiii
@amirbalali6483
4 жыл бұрын
Ven The Guy duh
Wahehe naomba like zenu me mbena
Jamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm .gonga like hapa tujuane
@AliMasudi-mc2sj
2 ай бұрын
Maamyuzi.unajizima.data.hata Mimi nimeipenda.hiyo
Napenda sana vile huyu jamaa husoma historia..... Nikiwa hapa Nairobi/Kenya
@musasaid964
3 жыл бұрын
Mtafute mtiga abdalla utaewa kuliko huyu
""Najivunia Kuwa MHEHE,""
Kama ww ni mhehe gongaa like
Wahehe hoyee!!!!!!! Fantastic
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
nyumbani nn!
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
Hoyeeeeeee!!!kamwene
@Elicha883
3 жыл бұрын
Wahehe ni watani zangu Mimi ni Mndamba kutoka ifakara
@zawadichalale4047
3 жыл бұрын
Hoyeeeeeeeeeeeeeeee!
2024 Niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya CHIEF MKWAWA.🎖️👑
Kama ungependa hii story waifanyie movie Kama mimi ninavyotamani gonga like 💗
kusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro 👏👏
@daudijuma9093
5 жыл бұрын
Hhhh mwaija
@maijayahaya3770
5 жыл бұрын
daudi Juma 😂😂 beee!!
@evanamyinga1512
3 жыл бұрын
Polee
@ricksonlyimo5594
3 жыл бұрын
Shule akuna mwalimu anaweza kukufundisha hv zaidi ya kuambiwa tafuta kitabu utapata story yote ila hapa unaelewa zaidi ya shulen
nyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like
@adcutey9112
4 жыл бұрын
Nakuelewa wa iringa unaishi wap
anayemuelewa mkwawa agonge like hapa
@daudijuma9093
5 жыл бұрын
Namuelew saan!2
@tamaraemmanuel9804
4 жыл бұрын
Why??????????
@gaudencegabriel4880
4 жыл бұрын
upo vizur
@neemaroja6273
4 жыл бұрын
Wahehe magaidi...
@abasirashidi5240
4 жыл бұрын
mohamedi Kibasa nc
Global tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya Mwalimu Nyerere, Kenyatta, Joseph Kony, mauji ya Kimbari Rwanda. Waiyaki wa Hinga kutoka Kenya na zingine ambazo nitazitaja tukisonga. itakuwa bora kama Ananias Edigar atakuwa msimulizi kama kawaida. long live global tv long live Ananias Edigar.
@slyvesterngusa2972
3 жыл бұрын
Sanaaa
@ricksonlyimo5594
3 жыл бұрын
Mauaji ya kimbari ipo mbona story ya nyerere nayo ipo na ya kenyatta ipo zitafute utaziona
Afrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. 🤣😄😃😀😆👍👍👍👏👏👏 Asantee Sana kutujuza kaka pamoja sana🤝
Una miaka 30 halafu unalala kwenu halafu unakoroma ukilala
Hongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi
@unamimlay7619
3 жыл бұрын
Nimependa story yako iko poa sana inafundisha
Tunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali mbali
im proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao uleeee
@godfreymlonganile2933
3 жыл бұрын
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
@godfreymlonganile2933
3 жыл бұрын
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
@godfreymlonganile2933
3 жыл бұрын
Bbbbbbb
Hapo inaonyesha Uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa Mswimi toka Uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo Uhehe wenyewe, ni Genius, wahehe wote, na Mkwawa ni Mhehe, waache wivu,
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
ni wahaBeshi / wahaVeshi.?
@lilianluhasi7685
4 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 ndiyo koo zaidi ya 100 zimezaa na kupanuka, ndiyo kabila LA wahehe
@lilianluhasi7685
4 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 waabeshi
@lilianluhasi7685
4 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 waabeshi samahani nolikosea
@mnzavachris5423
4 жыл бұрын
Lilian Luhasi arlaah kuumbe!
Nisidangany mm now had simuamin mungu najali miungu yangu ya kikabila maana God kaletwa na mzungu yaaani mm sinahamu nao mm nawapenda miungu wangu wa kihehe na Leo nimeenda makumbusho kwao
@dralhajijbmatatala4580
3 жыл бұрын
Hahahaha
Kaka hongera kwa simuliz maridhawa.. Naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga!!
@saidkhadija7557
4 жыл бұрын
Kabiisa
@uwezofadhili7098
3 жыл бұрын
Hahahaha
@lukaslaizer1839
Жыл бұрын
Ameisha simuliaga ebu andika Denis mpanga simuliz ya wachaga
Mpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana,
it hurts ukisikiliza baadhi ya vitu , ni kweli huyo mjusi (dinosaur) inasemekana walichukua skeleton yake wakapeleka kwenye museum huko German, nowadays they are making a lot of money kupitia hcho walichotuibia, bado utackia mtanzania anasema wazungu ni watu wazuri.
@monicahovda5890
5 жыл бұрын
Wewe uki google utapata historia yote ya huyo mjusi. Dinosaur. Sio mpka usikilize ndio huujue ukweli. Muwe wepesi wa kusoma yote wameyandika kwenye vitabu. Na wamerahisisha kwenye Gooogle.kila kitu
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@monicahovda5890 hmmm
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@monicahovda5890 tena gugo huko ndo wamechuja mpaaka, vema maktaba zetu wenyewe ndo zipatikane na hizi hadithi/vitabu
Bro unaipenda kwel kaz yako.. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr
@tinatanamahondo9292
2 жыл бұрын
Yani wew Acha tu
Resistance Against The Imposition Of Colonial Rule Small Scale Resistance# Mtwa Mkwawa
Kamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuru sana---umenielimisha ziada ya niliyofundishwa shule ya msingi Forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika kitabu cha historia ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya Mangi Meli, Isiki, Rumanyika wa Karagwe, Mirambo, nk. Na methali zako---eee---hizo zilinoga kweli
Da! Broo mgejaribu kuwa mnatoa CD tunazinunua mnauza hata Cd moja ina stori mbili mbili 2000 ingekuwa vizuri sana
@kacherosimba5762
4 жыл бұрын
Kweli kabisa dah sipati picha ukiwa geto kwako una sikiza saiti hii dah story mzuli sana
Nikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na Global TV Nakushukuru Ananias Mpagaze
Wazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo.
we Jamaa Nakupenda Sana Wewe, hd sauti yako. tuletee watemi na machifu wa singida
Brother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza Kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! MUNGU AKUINUE katika kazi zako
@salimawishenga7588
2 жыл бұрын
So nitakufata kamzizi
Sikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir Kama wa zamani aise, Mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatariii.
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
Sio kwamba hawazaliwi, wapo ila wanaogopa kufa
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@mohamedothman9769 ndo hawapo tena au wana mapungufu kama yote
Story zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya Gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako BIG up
@hellenmattaba9961
4 жыл бұрын
Usalliti. Tangu zamani upo Hivo tusishangae
Brilliant narrator, you are so eloquent that I love listening to your story.
Hawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii
wakala visivyoliwa kabla ya Ndoa binti akapata ujauzito kijana akala kona kuogopa Mikono ya cheaf akakutana na mbogo msituni akalestiishwa in peace Aaaaamin 😂😂😂😂😂 huyu bro anajua mpaka homa aisee Duh!!!
@upstar4951
5 жыл бұрын
Christopher Soty saf
@jeyadam833
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 kile kipande katishaaaa😂😂😂😂😂
Elimu ya wazungu kwa wa-Afrika is a system of misseducation us as Afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua
Mkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetu itakayofundishwa kwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina Livingstone na Karl Peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu.
Hongela mkwawa my friend
Ananias unavyosimulia utadhani alikuwepo 😂😂😂hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa.
Napenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza💪👏👏👏👏
Story nzuri nimependa.
TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN HAKIKA MKWAWA WETU ALIKUWA NI CHUMA KAMA WW NI WA KWETU GONGA LIKE TWENDE SAUWA
@adcutey9112
4 жыл бұрын
Zamani paliitwa amakambako
@jamesrichard957
4 жыл бұрын
Wa hehe mpooo
Asante san histolia nzuri san
Naskia raha sana, historia kutolewa kwa kiswahili....hongera kutoka Kenya...
Nzuri sanaa🙏🙏🙏🙏👏👏👏...#Elimu hii
Leo hii kuwa kiongozi Tanzania si elimu wala ushujaa bali ukiijua Ilani ya CCM umepita.
@farajaluoga9930
5 жыл бұрын
😂😂😂
@muulamagolima4572
5 жыл бұрын
Utajuaje ilani ya CCM bila kuwa na elimu? Au kwako elimu Nini?
NAMKUBALI SANA MKWAWA NA UWA SICHOKI KUTEMBELEA FUVU NA MAKAZI YAKE KULE KARENGA
Shukrani sana Anania Ediga.
“Ukimpa mimba mtoto wa kihehe lazima akutaje”😂😂😂
@officialkisura6520
4 жыл бұрын
Logater Charles nomaxana
@hassanmfaume4522
3 жыл бұрын
Leo uzinifu umekuwa kama maji ya kunywa zamani ukizini na mtoto wa mtu unauwawa hii sheria bora irudishwe tena..!
@ashrafsalum2521
3 жыл бұрын
Nikae kimya ili
@tinatanamahondo9292
2 жыл бұрын
Naachaje sasa kukutaja
Kama unamkubali huyu msimuliaji like hapa,,,
@aliiwema5179
3 жыл бұрын
Nakubali kaka
Asante kutupatia kitu kizuri kama hiki
Asante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa👏👏
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Umeelewa kwa kweli shukrani zimefika
upo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi
@gosberthussalvatory7992
3 жыл бұрын
Tuanze tamadumi zetu tuwe na umoja wa afrika
Ningependa kuona library yako ya vitabu.kwa akili hii nahisi husomi pumba
@juliasfredrick491
4 жыл бұрын
Shukran denisi mpagaze
Kaka uko sawa tena makini sana , historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru.
@fredymassawenomasanaakome9332
5 жыл бұрын
H
Daaa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu
@lilianluhasi311
5 жыл бұрын
Na hata asili hasa ya Uhehe ni nini? Ni mchanganyiko wa uzao wa Mhaveshi na wazawa waliowakuta hapo, uzao wa koo hizo ndiyo Uhehe wenyewe, hapo mwanzo ilikuwa wabena tu, ambao nao inasemekana walitokea Ghana
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@lilianluhasi311 dooh, wabena nao kumbe iletwe ya kwao hapa
@lilianluhasi7685
4 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 wabena walitokea Ghana mababu wanasema
@mnzavachris5423
4 жыл бұрын
Lilian Luhasi asee!
@mnzavachris5423
4 жыл бұрын
Lilian Luhasi asee.,yaonesha iringa ni nyumbani
Yaan ww daa nakupendaga sana bs tuu
Kumbeeee brooh upo vizuriiiiiiiiii cana aseehhhh
Hongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya
Mtangazaji unatangaza vizuri saana
Big story 💯🏃💥
Naikubali sana sauti yako ndugu msimuliaji Edga, so you make me concentrate to your stories.
Ananias Edgar ni best historical ever🙌
Itabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi
@aluteboy1302
4 жыл бұрын
vipi
Dah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana
Msukuma chapa ya ng'0mbe ...daaah umejua kunifurahisha
@hijjaferrari3874
4 жыл бұрын
Bado historia ya samori toure
Asante sana
Umeisimilia vizuri Endelea na kazi
Historia nzur sana msoma historia upo vzr
Duh! Sauti ya nguvu kweli! Ananias Edgar nimekubali...Mie nakupata moja kwa moja kutoka nchini kenya
Safi sana nakupata mkuu uko vizur
Simulizi kali sana muhimu kusikiliza asante
I appreciate you✔✔✔
Help kwa historian nzuri
Yesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu Tanzania
@kanutierasto9897
Жыл бұрын
Kakaunawezasanakusimulia
Kwaukweli Edgar kila nikiskia tafsiri yako unavyo tafsiri hunahap kilasiku kuskiliza istoria zako sikuzote ongera
Somo zuri ubarikiwe
@siliviamyinga1400
4 жыл бұрын
Siliviamyinga Nashukuru sana kumbebabu mkwawa ametoka alichanganyika kabila mbili, nashukuru kujua historia
safi sana mkuu hao panya road ote wanaokuiga tupa kule
simulizi nzuri sana inazidikuwa tamu kwa ajili ya sauti ya Edgar mpangaze kazi safi
Hapa kweli history nilisoma kama ngonjera bila ata kujuaa... Shukrani mtaalamu kwa kazi zako nzurii... Andaa ktk majarida au CD ili ata wenzetu wasio na cm kubwa waweze kupata utamu huu
Iko vizuri kaka.....ni Mwambambe...
Asanteee kaka...... 🙏
Mizimu yote ya africa ikagonga cheers
Natamani simulizi hii ingekuwa Movie fulani hivi .
@shaibuabdallah631
5 жыл бұрын
Dogo ismaVEVO . . .
@adcutey9112
4 жыл бұрын
Karibuni kwetu Iringa muje muone hiyo movie kalenga museum kuna fuvu la mkwawa na pia kuna sehemu kikongoma mama mkwawa alifia pale n.k Karibuni sanaaaa
@emmanueljest6786
4 жыл бұрын
Jasiri Mkombo🐻 iuhyh1
@nuratkalinga581
4 жыл бұрын
Hiyo kuua ukoo mzima ipo mpaka leo ,akiba mmoja wanateketea ukoo mzima labda mkaombe msamaha.
Dah! Hatari fire !!!
Ananias edgas umetishaaaa cnaaaaaa
Mkwawa ni moto mkali jmn🔥🔥🤝🤝🤝
Napenda historia zenu
Chiffu wetu alitisha. Sana huyu. Alikuwa mwamba najivunia kuwa mhehe
najivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule ya kusoma.najivunia glabal tv
Nakukubali saana brother kwa usimulizi wako
THANKS A MILLION TIMES.
Asante sana glob tv...maana mkotupeleka sipabaya kbs..hendeleni kutujuza kbs..asanteni sana.
Noma sanaaa big up kwako kaka
Nimeipenda sana
Umetisha sana
good work
Bigup saana kwa history
Napenda sana kazi yako