FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia

FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
Huyu ni Rais wa Jamhuri ya Guinea ya Ikweta yaani Ginekweta, nchi iliyobarikiwa utajiri wa mafuta na gesi ikalaaniwa viongozi! Ni nchi ndogo kuliko jiji la Dodoma na inapatikana huko Afrika Magharibi.
Macias Nguema alikuwa wa kwanza tangu nchi hiyo ipate uhuru kutoka Uhispania mwaka 1968. Kazi kubwa aliyoifanya katika utawala wake ni kuvuta bangi na kuvuruga nchi.
#MACIASNGUEMA
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID:
goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 452

  • @johnirungu9955
    @johnirungu99554 жыл бұрын

    Uko juu tu sana babake endelea vivyo hivyo

  • @sospeterlenjole872
    @sospeterlenjole8725 жыл бұрын

    Bro uko vizuri sana napenda nikusikilieze kilawakati.

  • @captainmalogo2530
    @captainmalogo25305 жыл бұрын

    Kwenye maisha yangu nafarijkaga sana nikiambiwa ubarikiwe kuliko MTU kunipa pesa au kitu chochote cha thaman hivyo MBALIKIWE WOTE MNAO ANDAAA KIPIND HIKI thanks much

  • @bildadooko6594

    @bildadooko6594

    3 жыл бұрын

    napenda sana

  • @selemanisimbi5621

    @selemanisimbi5621

    3 жыл бұрын

    Wiz

  • @abelmokaya8699
    @abelmokaya86994 жыл бұрын

    I really like how you present the stories...I have literally spent the entire day listening to your items All the best and kudos Dennis & Ananias

  • @lyricnash1390

    @lyricnash1390

    2 жыл бұрын

    I dont mean to be so off topic but does any of you know a tool to get back into an instagram account?? I stupidly lost my login password. I would appreciate any assistance you can give me!

  • @davidmusyimi2994
    @davidmusyimi29945 жыл бұрын

    I love it, you are outstanding... Napenda hicho Swahili.

  • @bahatiswago1027
    @bahatiswago10275 жыл бұрын

    Kaka mshukuru mungu kakupa kipaji cha pekee aisee unajua ndugu

  • @rukinanizz2011
    @rukinanizz20115 жыл бұрын

    Hizi videos zako zingekuwa zinaonyeshwa mashulen hata moja kila wiki. Mwenye akili ya kufkilia ndiye atakaye faham umuhmu wa simulzi zako. Ahsante sana kaka

  • @asajilejohnmwakapinga1065

    @asajilejohnmwakapinga1065

    5 жыл бұрын

    Ni noma

  • @tamaraeliz7114

    @tamaraeliz7114

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @castrogumbizi3874

    @castrogumbizi3874

    4 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @livinusbazira7370

    @livinusbazira7370

    4 жыл бұрын

    Kwel aisee

  • @alphocinyohana1999

    @alphocinyohana1999

    4 жыл бұрын

    Daaaah!! nikisikiliza simulizi hizi huwa najihis uzito kwel

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala81195 жыл бұрын

    Umetafsiri vizuri bange inavyofanya kazi kutokana na aina ya MTU... Ukiwa na roho chafu ukala dawa unakuwa roho mbaya Mara mbili na ukiwa MTU swafi ndo utatoa hata ulichobaki nacho

  • @mimahally1388

    @mimahally1388

    3 жыл бұрын

    Kwel kbsa

  • @kinglance6365
    @kinglance63655 жыл бұрын

    Kaka unajua Sana una kipaji Sana una sauti Sana unampangilio mzuri unajua kuhadithia all the best bro

  • @felixjeremy
    @felixjeremy5 жыл бұрын

    Just love the information wealth on this KZread channel. Endelea kaka

  • @kibasaomary5574
    @kibasaomary55745 жыл бұрын

    Bro naomba mtuandalie Historia ya Hugo Chavez,upo vizuri sana kaka

  • @AlinanusweKasyele
    @AlinanusweKasyele5 жыл бұрын

    You have a very convincing voice, your punch is superb! keep it up

  • @piusnkwale
    @piusnkwale5 жыл бұрын

    Jamaa uko vizuri sana kwenye simulizi

  • @gibonssamsonkabigili7633
    @gibonssamsonkabigili76335 жыл бұрын

    Unasimulia vizuri kweli nimependa sana hongera kaka history

  • @eddympagike5839
    @eddympagike58395 жыл бұрын

    Unafanya kazi vizur na unaonekana unasoma Sana unatupatia faida yako yashule Ongela tunajulishana tusivovijua asant asant endelea kusanya vingi tujifunze

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu99595 жыл бұрын

    Bado upo global TV tu ww level zako NI BBC ww

  • @fundiwayesu4607

    @fundiwayesu4607

    5 жыл бұрын

    Hamis Malimungu99 l

  • @Moses-Kuria

    @Moses-Kuria

    4 жыл бұрын

    True

  • @mohamednyoka4027

    @mohamednyoka4027

    4 жыл бұрын

    Hatari sana huyu mtu kwenye macmulizi

  • @dennischeyo1302

    @dennischeyo1302

    4 жыл бұрын

    BBC kwa mabeberu waliletwa na wazungu kuivuruga Africa

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    @@dennischeyo1302 kabisa

  • @paulmssoma5340
    @paulmssoma53404 жыл бұрын

    Excellent broo unatisha yani kwa mafundisho na kuburudisha hasa misemo na methali zako ktk story

  • @darviswantana7669
    @darviswantana76695 жыл бұрын

    Navutiwa sana na usimuliajii wakoo...!! Mr ananiasi edger

  • @cathyjamesobasanjocathy90
    @cathyjamesobasanjocathy905 жыл бұрын

    Nawakubali sana Global Tv haswa kwa habari zenu hizi za historia za Marais mbali mbali.......nashangaa wapumbavu kadhaa wanaomuita Rais wetu Dictecta hivi wanajua madictecta kweli.....asa hawa wakina Nguema na wengine kama kina Mobutu hawa ndio walikuwa madictecta Konkiii.....like kama umenielewa

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa4185 жыл бұрын

    nakuelewa kaka. u atamgaza vizuri. kaombe kazi DW au BBC. utapita tu tena bila interview. ukipeleka tu kazi zako zinapita.

  • @robymoshi2350
    @robymoshi23505 жыл бұрын

    Kama unapenda jana anachokifanya gonga likes apa

  • @daudihamza2993

    @daudihamza2993

    5 жыл бұрын

    Upo vizur kaka

  • @busigaramkama6369

    @busigaramkama6369

    4 жыл бұрын

    Jejeji

  • @mwailimasson1885
    @mwailimasson18855 жыл бұрын

    Much respect

  • @Jayjaywaziri
    @Jayjaywaziri5 жыл бұрын

    From Kenya i love how your explain,

  • @ceowamairura7507
    @ceowamairura75075 жыл бұрын

    the love of history made easy i love your work bro

  • @kibetjoram
    @kibetjoram4 жыл бұрын

    love your documentaries

  • @hadija846
    @hadija8463 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji nimempenda saaaana kanifurahisha mpaka siku imekuwa mzuri zaidi hasa hapo kwenye mrio wa gari Haahaaaahaaaaa😘😍👍💞

  • @lightofshadow395
    @lightofshadow3955 жыл бұрын

    Big up Denis. You know how to tell story. And you are so funny too 😂 😂😂

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16505 жыл бұрын

    Kuna watu wameletwa duniani kutesa wenzao..hii familia ya nguema ni moja wapo..

  • @mkenyamzalendo4130
    @mkenyamzalendo41305 жыл бұрын

    Wow kaka unahitaji kunifunza kiswahili Kenya tumechafua lugha yetu ya Afrika

  • @danielshakany3677

    @danielshakany3677

    5 жыл бұрын

    nice kaka

  • @divrasonrafael5552
    @divrasonrafael55524 жыл бұрын

    Big up 4 giving us history n God bless you

  • @solidmusicrecords
    @solidmusicrecords5 жыл бұрын

    BRO NAKURESCPECT BUT BANGI HAIFANYI MTU AKAWA KILLER

  • @anonymousxx6936

    @anonymousxx6936

    5 жыл бұрын

    Bangi inasababisha kila ushenzi

  • @sankofaman4112

    @sankofaman4112

    5 жыл бұрын

    @@anonymousxx6936 hivi ushenzi ulio nao ni bangi hiyo? Pumbavu!

  • @felixochiengomondi6189

    @felixochiengomondi6189

    5 жыл бұрын

    Kabisaa

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    5 жыл бұрын

    Bangi ni dawa jama

  • @adijaadija2335

    @adijaadija2335

    5 жыл бұрын

    @@sankofaman4112😂😂😂😂😂😂😂

  • @evansmadanji7561
    @evansmadanji75615 жыл бұрын

    Asante kaka ukona ufasaha....naombi historia ya muammar Gaddafi, Mugabe, Moi,konte kamara wa guinea Bissau,,,,, pamoja na yaya jameh wa gambia tafadhali

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95285 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁Brother kazi unaijua mzee

  • @bobwanjane
    @bobwanjane5 жыл бұрын

    Kazi safi twafuata hapa Kenya

  • @fredrickluizcr7358
    @fredrickluizcr73585 ай бұрын

    I do listen to your stories and the way u bring them on table❤

  • @hadijahalifa5418
    @hadijahalifa54185 жыл бұрын

    Wow! thanks! you're good!dah!huku tz tunge sijui! it's just too much!

  • @mbarakasaidy4885

    @mbarakasaidy4885

    4 жыл бұрын

    Nasoma coment huku nakusikiliza mtu m-baya

  • @shijajr9156

    @shijajr9156

    4 жыл бұрын

    Simuriz ziko vizur m ningekuwa nasoma mwarim

  • @fusionstudios2931
    @fusionstudios29315 жыл бұрын

    This has cracked me made my night 😂😂😂😂

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuwaongoza vyema viyongozi wetu wote ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @Jo-kx8le
    @Jo-kx8le5 жыл бұрын

    I just love U

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69725 жыл бұрын

    Kaka asee hongera sana upo vizuri sana

  • @joshuajoseph3618
    @joshuajoseph36185 жыл бұрын

    aisee broo respect kwako baba kama sauti dingii umejaliwa

  • @joleenmasha
    @joleenmasha5 жыл бұрын

    Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hii nayo ni kali eddi amin wa kwanza

  • @rajabally2431

    @rajabally2431

    5 жыл бұрын

    Edi amin kafnya nn mbele ya geuma aliyejiita hadi mungu

  • @RyanMuthui
    @RyanMuthui4 жыл бұрын

    *"ujinga hauui lakini unatesa sana"* hahahaha

  • @francismr920
    @francismr9204 жыл бұрын

    Bro upo vizury xan endelea na kazi hiyo hiyo

  • @renatusmillambo2014
    @renatusmillambo20145 жыл бұрын

    DENNIS nakuelewa.... Ninaexperience ya history kubwa sana... Lakini nimeshindwa kukutoa kasoro.. Hukosei.. Upo vizuri sana.. Big up!!

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    5 жыл бұрын

    We ni mbobezi sana mkuu

  • @renatusmillambo2014

    @renatusmillambo2014

    5 жыл бұрын

    @@mpagazedenis8395 siku zote wanaojua huwa hawakubali... Lakini wanachokifanya ni baaab kubwa...

  • @tajjudinihaji2776
    @tajjudinihaji27763 жыл бұрын

    We ndo mtu nnakukubari sana

  • @ethirompaul1503
    @ethirompaul15034 жыл бұрын

    Da! Bro upo good xn ,,,,,I like your voice xo much

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin3345 жыл бұрын

    Napendaaaaa niwaasikilizeeeeeeeeeee cnaaaa aseehhhhh

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau82345 жыл бұрын

    video zako nzuri sana zinaelimisha sana kazi nzuri

  • @marcelmlacha8596
    @marcelmlacha85965 жыл бұрын

    Documentary za Global safi sana.

  • @mantz3763
    @mantz37635 жыл бұрын

    Hatari sana huyo jamaa 😀😀😀😀

  • @elisanteshibanda7920
    @elisanteshibanda79205 жыл бұрын

    Uko vizuri kaka yaani hata mtu haoni kama muda unakwenda

  • @jamesmayunga5802
    @jamesmayunga58025 жыл бұрын

    wew jamaaa wew noma sana

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi46305 жыл бұрын

    history is beautiful

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia41534 жыл бұрын

    Mashaaall.mungu akusimamie katika kazi yako napenda stori zako.

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын

    bangi sio mchongo kwa kweli ,,,,,bangi noma ,,,,

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif29845 жыл бұрын

    Big up sana bro sauti ya perfect kwa kazi yako

  • @abuusufian6506
    @abuusufian65065 жыл бұрын

    Duuuuuhhh hatari sanaa this is Africa bana

  • @muddabdallah4236
    @muddabdallah42364 жыл бұрын

    nakukubali sana

  • @emmanuelkiserere3523
    @emmanuelkiserere35234 жыл бұрын

    Daaah umetisha Edgar simuliz nzuri hongera kwa muandaaji

  • @geresonochieng7098
    @geresonochieng70985 жыл бұрын

    Napenda hata sauti yako

  • @bonephasbenjamin4848
    @bonephasbenjamin48485 жыл бұрын

    Da napenda saana history

  • @justinwakudat6792
    @justinwakudat67925 жыл бұрын

    We jamaa BBC haijakutafuta ufanye nao kazi labda ukakataa???? Manake uko levo za juu san

  • @lesiroyo7564
    @lesiroyo75644 жыл бұрын

    Very informative and interesting narator

  • @philonchimbi07
    @philonchimbi074 жыл бұрын

    Bravo! Tunajifunza mengi makala zako nazipenda sana

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto53925 жыл бұрын

    Uko vzr Broo Haya mafundisho yangefundishwa kwa wanasiasa hasa vijana kujifunza Uongozi mzuri na mbaya

  • @maggiesamanda879
    @maggiesamanda8795 жыл бұрын

    all this history nilisoma nikiwa shuleni but u are the best teacher now naelewa Kila kitu

  • @nyakinyaki1702
    @nyakinyaki17025 жыл бұрын

    Aisee kamanda uko vizur zaid ya sana tena unatisha balaaa!! yap hizi ndizo mambo, hata ukiwasha MB hautajutia

  • @barakadavidhaule3611
    @barakadavidhaule36115 жыл бұрын

    Bro umetisha sana

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo34085 жыл бұрын

    Lah uyo jamaa noma

  • @deomichael3081
    @deomichael30815 жыл бұрын

    Mnazingua. Hiyo siyo bangi, ni hakili yake.

  • @Omosh003

    @Omosh003

    2 жыл бұрын

    Acha bifu dogo

  • @nicolausngoliga3154
    @nicolausngoliga31545 жыл бұрын

    ukopoa Sanaa kaka hongeraa

  • @bensonthobias8401
    @bensonthobias84015 жыл бұрын

    Umetisha

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat20495 жыл бұрын

    Safi sana

  • @bonifacemwangi2599
    @bonifacemwangi25995 жыл бұрын

    You never disappoint...watching from kenya

  • @saidiyahayasaidiyahaya7798

    @saidiyahayasaidiyahaya7798

    3 жыл бұрын

    Upo vzr kk

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich79595 жыл бұрын

    Umeshashinda kwa kusimulia

  • @lowkey_toppa6628
    @lowkey_toppa66283 жыл бұрын

    Asanti.lwa kazi hiyo nzuri

  • @reaganpatrick3323
    @reaganpatrick33235 жыл бұрын

    Bro story zako zinapendesa saana

  • @carolinecubwa3163
    @carolinecubwa31635 жыл бұрын

    Huyu tunampenda sana

  • @bahatisamwel1147
    @bahatisamwel11475 жыл бұрын

    Huyu ndo Msgufuli pure, yajayo Tz yanafurahisha. Hongera mwl Ananias, wewe ni kichwa, endelea kusomeshwa memkwa kwa tunaojifanya tulienda shule rasmi kumbe Hamna kitu tulisoma, shule ndo hii bwana!

  • @abudunn7329
    @abudunn73295 жыл бұрын

    Nice work brother 👊

  • @djatm1319
    @djatm13195 жыл бұрын

    Isipokuwa na viongozi wabaya tunapatanga Africa wanaotuimbie na kuwa na unyama tungekuwa mbali sana

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Na hao waliowafunga minyororo watu weusi kwenda kuwauza ulaya ni mwafrika

  • @maketajr6558
    @maketajr65585 жыл бұрын

    Uko pouwa kwa histori

  • @gaetanoscirea6442
    @gaetanoscirea64425 жыл бұрын

    Ss waafrika sjui alieturoga ni nan😢😢

  • @nassrahnassror971

    @nassrahnassror971

    5 жыл бұрын

    Tabu sana blaza

  • @nassrahnassror971

    @nassrahnassror971

    5 жыл бұрын

    Tabu sana blaza

  • @allyrasuli3356

    @allyrasuli3356

    5 жыл бұрын

    Mimi na penda unavyo chambua

  • @mumbayeashata993

    @mumbayeashata993

    5 жыл бұрын

    Wasema Pole Pole

  • @crispinpayovela7903
    @crispinpayovela79035 жыл бұрын

    safi sana unajua kutangaza

  • @allymohamed5328
    @allymohamed53285 жыл бұрын

    Duu! Huyu jamaaa ni Noma! Kwenye utangazaji,

  • @abinarisy1080
    @abinarisy10805 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula9705 жыл бұрын

    Inavutia unavyosoma...Hongera aisee

  • @sylvesternzowa8458
    @sylvesternzowa84585 жыл бұрын

    Tisha sana kiongoz.

  • @hemediissa9458
    @hemediissa94585 жыл бұрын

    nimezipenda sana hizi historia

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro63325 жыл бұрын

    Uko vizuri sana pot! Simuliz zako zinatipa elimu kubwa na yakutosha!!

  • @edsonjeremia9713

    @edsonjeremia9713

    5 жыл бұрын

    Uko vizur bro

  • @remedymoody
    @remedymoody5 жыл бұрын

    Safi saana👍

  • @saadamohammed916
    @saadamohammed9163 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❣️❣️❣️❣️

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro14525 жыл бұрын

    Napenda story zako

  • @geresonochieng7098
    @geresonochieng70985 жыл бұрын

    Asante kwa junielewesha kutoka 001

  • @ramadhankimbeiye8293
    @ramadhankimbeiye82935 жыл бұрын

    Dah wee jamaa wewe yaani uko vzr kinyamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!

  • @ahmadyabdallah4029
    @ahmadyabdallah40295 жыл бұрын

    Nawakubali sana Ila mnaniacha amnitumii stori mpya

  • @muhinasundi1206
    @muhinasundi12065 жыл бұрын

    Thanks bro!

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent76365 жыл бұрын

    Et uku wananchi wakiendelea kutembelea kucha😂😂😂😂

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @isaacnewton1516
    @isaacnewton15165 жыл бұрын

    Jamaa mnahadithia vizuri sana.