FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
Huyu ni Rais wa Jamhuri ya Guinea ya Ikweta yaani Ginekweta, nchi iliyobarikiwa utajiri wa mafuta na gesi ikalaaniwa viongozi! Ni nchi ndogo kuliko jiji la Dodoma na inapatikana huko Afrika Magharibi.
Macias Nguema alikuwa wa kwanza tangu nchi hiyo ipate uhuru kutoka Uhispania mwaka 1968. Kazi kubwa aliyoifanya katika utawala wake ni kuvuta bangi na kuvuruga nchi.
#MACIASNGUEMA
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID:
goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 452
Uko juu tu sana babake endelea vivyo hivyo
Bro uko vizuri sana napenda nikusikilieze kilawakati.
Kwenye maisha yangu nafarijkaga sana nikiambiwa ubarikiwe kuliko MTU kunipa pesa au kitu chochote cha thaman hivyo MBALIKIWE WOTE MNAO ANDAAA KIPIND HIKI thanks much
@bildadooko6594
3 жыл бұрын
napenda sana
@selemanisimbi5621
3 жыл бұрын
Wiz
I really like how you present the stories...I have literally spent the entire day listening to your items All the best and kudos Dennis & Ananias
@lyricnash1390
2 жыл бұрын
I dont mean to be so off topic but does any of you know a tool to get back into an instagram account?? I stupidly lost my login password. I would appreciate any assistance you can give me!
I love it, you are outstanding... Napenda hicho Swahili.
Kaka mshukuru mungu kakupa kipaji cha pekee aisee unajua ndugu
Hizi videos zako zingekuwa zinaonyeshwa mashulen hata moja kila wiki. Mwenye akili ya kufkilia ndiye atakaye faham umuhmu wa simulzi zako. Ahsante sana kaka
@asajilejohnmwakapinga1065
5 жыл бұрын
Ni noma
@tamaraeliz7114
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@castrogumbizi3874
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@livinusbazira7370
4 жыл бұрын
Kwel aisee
@alphocinyohana1999
4 жыл бұрын
Daaaah!! nikisikiliza simulizi hizi huwa najihis uzito kwel
Umetafsiri vizuri bange inavyofanya kazi kutokana na aina ya MTU... Ukiwa na roho chafu ukala dawa unakuwa roho mbaya Mara mbili na ukiwa MTU swafi ndo utatoa hata ulichobaki nacho
@mimahally1388
3 жыл бұрын
Kwel kbsa
Kaka unajua Sana una kipaji Sana una sauti Sana unampangilio mzuri unajua kuhadithia all the best bro
Just love the information wealth on this KZread channel. Endelea kaka
Bro naomba mtuandalie Historia ya Hugo Chavez,upo vizuri sana kaka
You have a very convincing voice, your punch is superb! keep it up
Jamaa uko vizuri sana kwenye simulizi
Unasimulia vizuri kweli nimependa sana hongera kaka history
Unafanya kazi vizur na unaonekana unasoma Sana unatupatia faida yako yashule Ongela tunajulishana tusivovijua asant asant endelea kusanya vingi tujifunze
Bado upo global TV tu ww level zako NI BBC ww
@fundiwayesu4607
5 жыл бұрын
Hamis Malimungu99 l
@Moses-Kuria
4 жыл бұрын
True
@mohamednyoka4027
4 жыл бұрын
Hatari sana huyu mtu kwenye macmulizi
@dennischeyo1302
4 жыл бұрын
BBC kwa mabeberu waliletwa na wazungu kuivuruga Africa
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
@@dennischeyo1302 kabisa
Excellent broo unatisha yani kwa mafundisho na kuburudisha hasa misemo na methali zako ktk story
Navutiwa sana na usimuliajii wakoo...!! Mr ananiasi edger
Nawakubali sana Global Tv haswa kwa habari zenu hizi za historia za Marais mbali mbali.......nashangaa wapumbavu kadhaa wanaomuita Rais wetu Dictecta hivi wanajua madictecta kweli.....asa hawa wakina Nguema na wengine kama kina Mobutu hawa ndio walikuwa madictecta Konkiii.....like kama umenielewa
nakuelewa kaka. u atamgaza vizuri. kaombe kazi DW au BBC. utapita tu tena bila interview. ukipeleka tu kazi zako zinapita.
Kama unapenda jana anachokifanya gonga likes apa
@daudihamza2993
5 жыл бұрын
Upo vizur kaka
@busigaramkama6369
4 жыл бұрын
Jejeji
Much respect
From Kenya i love how your explain,
the love of history made easy i love your work bro
love your documentaries
Huyu mtangazaji nimempenda saaaana kanifurahisha mpaka siku imekuwa mzuri zaidi hasa hapo kwenye mrio wa gari Haahaaaahaaaaa😘😍👍💞
Big up Denis. You know how to tell story. And you are so funny too 😂 😂😂
Kuna watu wameletwa duniani kutesa wenzao..hii familia ya nguema ni moja wapo..
Wow kaka unahitaji kunifunza kiswahili Kenya tumechafua lugha yetu ya Afrika
@danielshakany3677
5 жыл бұрын
nice kaka
Big up 4 giving us history n God bless you
BRO NAKURESCPECT BUT BANGI HAIFANYI MTU AKAWA KILLER
@anonymousxx6936
5 жыл бұрын
Bangi inasababisha kila ushenzi
@sankofaman4112
5 жыл бұрын
@@anonymousxx6936 hivi ushenzi ulio nao ni bangi hiyo? Pumbavu!
@felixochiengomondi6189
5 жыл бұрын
Kabisaa
@luluamin1388
5 жыл бұрын
Bangi ni dawa jama
@adijaadija2335
5 жыл бұрын
@@sankofaman4112😂😂😂😂😂😂😂
Asante kaka ukona ufasaha....naombi historia ya muammar Gaddafi, Mugabe, Moi,konte kamara wa guinea Bissau,,,,, pamoja na yaya jameh wa gambia tafadhali
😁😁😁😁😁Brother kazi unaijua mzee
Kazi safi twafuata hapa Kenya
I do listen to your stories and the way u bring them on table❤
Wow! thanks! you're good!dah!huku tz tunge sijui! it's just too much!
@mbarakasaidy4885
4 жыл бұрын
Nasoma coment huku nakusikiliza mtu m-baya
@shijajr9156
4 жыл бұрын
Simuriz ziko vizur m ningekuwa nasoma mwarim
This has cracked me made my night 😂😂😂😂
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuwaongoza vyema viyongozi wetu wote ewe mwenyez MUNGU mkuu
I just love U
Kaka asee hongera sana upo vizuri sana
aisee broo respect kwako baba kama sauti dingii umejaliwa
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hii nayo ni kali eddi amin wa kwanza
@rajabally2431
5 жыл бұрын
Edi amin kafnya nn mbele ya geuma aliyejiita hadi mungu
*"ujinga hauui lakini unatesa sana"* hahahaha
Bro upo vizury xan endelea na kazi hiyo hiyo
DENNIS nakuelewa.... Ninaexperience ya history kubwa sana... Lakini nimeshindwa kukutoa kasoro.. Hukosei.. Upo vizuri sana.. Big up!!
@mpagazedenis8395
5 жыл бұрын
We ni mbobezi sana mkuu
@renatusmillambo2014
5 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 siku zote wanaojua huwa hawakubali... Lakini wanachokifanya ni baaab kubwa...
We ndo mtu nnakukubari sana
Da! Bro upo good xn ,,,,,I like your voice xo much
Napendaaaaa niwaasikilizeeeeeeeeeee cnaaaa aseehhhhh
video zako nzuri sana zinaelimisha sana kazi nzuri
Documentary za Global safi sana.
Hatari sana huyo jamaa 😀😀😀😀
Uko vizuri kaka yaani hata mtu haoni kama muda unakwenda
wew jamaaa wew noma sana
history is beautiful
Mashaaall.mungu akusimamie katika kazi yako napenda stori zako.
bangi sio mchongo kwa kweli ,,,,,bangi noma ,,,,
Big up sana bro sauti ya perfect kwa kazi yako
Duuuuuhhh hatari sanaa this is Africa bana
nakukubali sana
Daaah umetisha Edgar simuliz nzuri hongera kwa muandaaji
Napenda hata sauti yako
Da napenda saana history
We jamaa BBC haijakutafuta ufanye nao kazi labda ukakataa???? Manake uko levo za juu san
Very informative and interesting narator
Bravo! Tunajifunza mengi makala zako nazipenda sana
Uko vzr Broo Haya mafundisho yangefundishwa kwa wanasiasa hasa vijana kujifunza Uongozi mzuri na mbaya
all this history nilisoma nikiwa shuleni but u are the best teacher now naelewa Kila kitu
Aisee kamanda uko vizur zaid ya sana tena unatisha balaaa!! yap hizi ndizo mambo, hata ukiwasha MB hautajutia
Bro umetisha sana
Lah uyo jamaa noma
Mnazingua. Hiyo siyo bangi, ni hakili yake.
@Omosh003
2 жыл бұрын
Acha bifu dogo
ukopoa Sanaa kaka hongeraa
Umetisha
Safi sana
You never disappoint...watching from kenya
@saidiyahayasaidiyahaya7798
3 жыл бұрын
Upo vzr kk
Umeshashinda kwa kusimulia
Asanti.lwa kazi hiyo nzuri
Bro story zako zinapendesa saana
Huyu tunampenda sana
Huyu ndo Msgufuli pure, yajayo Tz yanafurahisha. Hongera mwl Ananias, wewe ni kichwa, endelea kusomeshwa memkwa kwa tunaojifanya tulienda shule rasmi kumbe Hamna kitu tulisoma, shule ndo hii bwana!
Nice work brother 👊
Isipokuwa na viongozi wabaya tunapatanga Africa wanaotuimbie na kuwa na unyama tungekuwa mbali sana
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Na hao waliowafunga minyororo watu weusi kwenda kuwauza ulaya ni mwafrika
Uko pouwa kwa histori
Ss waafrika sjui alieturoga ni nan😢😢
@nassrahnassror971
5 жыл бұрын
Tabu sana blaza
@nassrahnassror971
5 жыл бұрын
Tabu sana blaza
@allyrasuli3356
5 жыл бұрын
Mimi na penda unavyo chambua
@mumbayeashata993
5 жыл бұрын
Wasema Pole Pole
safi sana unajua kutangaza
Duu! Huyu jamaaa ni Noma! Kwenye utangazaji,
Pamoja sana
Inavutia unavyosoma...Hongera aisee
Tisha sana kiongoz.
nimezipenda sana hizi historia
Uko vizuri sana pot! Simuliz zako zinatipa elimu kubwa na yakutosha!!
@edsonjeremia9713
5 жыл бұрын
Uko vizur bro
Safi saana👍
❤️❤️❤️❣️❣️❣️❣️
Napenda story zako
Asante kwa junielewesha kutoka 001
Dah wee jamaa wewe yaani uko vzr kinyamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!
Nawakubali sana Ila mnaniacha amnitumii stori mpya
Thanks bro!
Et uku wananchi wakiendelea kutembelea kucha😂😂😂😂
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Jamaa mnahadithia vizuri sana.