AHMED GHAILAN: MTANZANIA ALIYETIKISA DUNIA KWA UGAIDI, AKIMSAIDIA OSAMA, AKAFUNGWA MAISHA GUANTANAMO

AHMED GHAILAN: MTANZANIA ALIYETIKISA DUNIA KWA UGAIDI, AKIMSAIDIA OSAMA, AKAFUNGWA MAISHA GUANTANAMO
HII ni simulizi ya Mtanzania Ahmed Ghailan, ambaye ni mtanzania wa kwanza kuitikisa dunia kwa ugaidi hadi kufikia hatua ya kufungwa katika gereza la Guantanamo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 204

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Жыл бұрын

    Mungu ataiangamiza hiyo dola ya merekani inshalla

  • @wanaupendotv7183

    @wanaupendotv7183

    Жыл бұрын

    Kumbe mimi na wewe tumeona tumechelewa mi nimeiona leo na nimempenda niko upande wake

  • @johngerald4677

    @johngerald4677

    Жыл бұрын

    @@wanaupendotv7183 nenda wakuue kafir mkubwa

  • @faithfaith-zr6gz

    @faithfaith-zr6gz

    7 ай бұрын

    Dua la kuku alimpati mwewe..

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    7 ай бұрын

    @@faithfaith-zr6gz sio ungwana kumunga mkono merekani kwa kukandamiza wanadai uhuru wao

  • @poulletkavuvi7451

    @poulletkavuvi7451

    4 ай бұрын

    😂​@@faithfaith-zr6gz

  • @rajabjabir2622
    @rajabjabir2622 Жыл бұрын

    Gaidi namba moja dunian ni america

  • @khamismtwara5544
    @khamismtwara5544 Жыл бұрын

    Allah amfanyie subra Ahmed

  • @12322879

    @12322879

    4 ай бұрын

    Subra gani kwa gaidi?..

  • @naimamoddy
    @naimamoddy Жыл бұрын

    Story yako nzuri but kumbuka kuwa alisingiziwa na hizi hatia zote. Na ujue kuwa Marekani siku zote hawakubali kushindwa lazima waoshe dunia kama wameshamkamata muualifu na ikiwa siyo kweli,vijana wengi wanatiwa ktk case ambayo hawajahusika na hii yote kutokana wanajua familia nyingi hazina huwezo wa kulipia lawyer. Hii story ya Ahmed haina ukweli kama alitenda hayo matukio.kumbuka ww mtangazaji na mm pia naye comment hatujui deep side ya ugomvi wa Osama na Marekani. So please leave our brother alone he been through enough,Pray for him not to detroyed him.

  • @ahmedalshaibany

    @ahmedalshaibany

    Жыл бұрын

    Exactly, Marekani wanafanya lot of crazy decisions and full of injustice na hakuna democracy wala hizo human rights wanazozitangaza. Ni kuoneana, ubaguzi, na kujiona wao ndio wanajua zaidi.

  • @naimamoddy

    @naimamoddy

    Жыл бұрын

    @@ahmedalshaibany yah kuna yule dogo wa hapa Canada walimkamata wakamfunga huko huko tk pre teen wamemtesa wee kisa tu kaonekana ktk pictures karibu na hizo kambi, ikiwa huyu kijana kila summer wanaenda kwao vacation, na km unavyojua utoto unacheza huku na kule na wenzake,kuona tu picha tayari wamemkamata mtuhumiwa. Amekaa jela miaka mingi sana ameachiwa na amelipwa hela nyingi sanaa, even though wameshamuharibu kisaikolojia n.k. Na mpk kutoka families na nchi yake wamempigania ndy maana katoka. Sasa unafikiri Ahmed angekuwa katoka ktk nchi yenye msimamo na inasimamia raia wake vzr hata hicho kifungo asingefungwa sema nchi yake ni watu kadhaa na group la watu kadhaa wengine wote wazaliwa wa hiyo nchi wanawasindikiza wenye nchi wenye kula nchi toka wamezaliwa mpk wana watoto na wajukuu zao hawajui shida na mgao wa maji wa umeme, hospitals wanatibiwa nzuri au wanaenda nje ya nchi kutibiwa. Tanzanian wanatakiwa wasimame kama nchi nyingine kutetea watanzania wenzao ambao wapo ktk same situation like Ahmed ambao wamesingiziwa case ambazo hazina ukweli ndani yake.

  • @charlesassey5642

    @charlesassey5642

    6 ай бұрын

    Huwezi kusema kuwa alisingiziwa wakati hujui alichokuwa anakifanya ktk mizunguko yake ya kibiashara, anayeweza kujua ukweli ni yule aliyechunguza kwa kina akapita kote alikopita akapata jibu sahihi kwahiyo mwache apate anachostaili Pumbavu

  • @utaani1

    @utaani1

    4 ай бұрын

    ​@@ahmedalshaibanyhuman rights ni kwa ajili ya lgbt pamoja na watu walokuwa hawautaki uisilamu basi

  • @mamyomar1241

    @mamyomar1241

    4 ай бұрын

    ​@@charlesassey5642yote hayo usemayo kwa sababu, si mtu wako wajaribu. Lakini anaye hukumu ni Allah. Huo ni udhalimu.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Siku hzi hata bila tafiti yoyote unaweza kupost tu mawazo yako ya usiku.....

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Жыл бұрын

    Allah amlahisishie basi ameshakoma msameheni allah akupe subra Imani na uvumilivu jitahi na swala allah atakuongoza

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 Жыл бұрын

    Yaani Wakoloni ndyo cku hzi wanapewa kichwa na kutunga story za uwongo

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 Жыл бұрын

    Sidhani kama ni kweli

  • @Mamyalley6666
    @Mamyalley6666 Жыл бұрын

    Namjuwa sanaaa!! Tulikuwa majirani malindi Subhanallah.

  • @norbertkashindi8150

    @norbertkashindi8150

    Жыл бұрын

    Skgroqfjsjgr❤🎉

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    Жыл бұрын

    Malindi zanzibar ndo tulikua wote napia wakiwa pia nanyumba mochenzani

  • @omarhussen4513

    @omarhussen4513

    Жыл бұрын

    Uwongo uyo hajaishi malindi,,,,,uyo kwao gongoni kisima jongoo msikitini pale

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    @@khajumkhamis7910 mnawaabudu waarabu ndo maana Tanzania sijui mkoje

  • @rahmaarrington9019

    @rahmaarrington9019

    Жыл бұрын

    @@omarhussen4513 ni kweli kikwajuni kisimamajongoo kule kwa anty sania

  • @samgwazay1208
    @samgwazay1208 Жыл бұрын

    Mnapenda sana kuwaandikia story mbaya ndugu zenu.

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow5 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu ambadilishe

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84698 ай бұрын

    Kinachonishangaza waislam wakisikia mwislamu mwenzao anafanya mabaya unashangaa comment za waislamu kutetea hv mna nini wakati mnajua kila mwanadamu anautashi wake bila kujali Imani yk

  • @12322879

    @12322879

    4 ай бұрын

    Wote wehu tu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын

    Unatoa story kama mohammed Ally wa kenya utapenda unavyosimulia🙏🇹🇿🇬🇷

  • @petrowashale1891

    @petrowashale1891

    Жыл бұрын

    We mwamba umenikoshaa Mohammed Ali anajuaa hatariiii

  • @ahmedmohamed-rm9jn

    @ahmedmohamed-rm9jn

    4 ай бұрын

    Ila huyu anaongeza chumvi, mwongo saana Mohamed Ally alikuwa amachunguza vizuuri

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Жыл бұрын

    Huyu mtoto hahusiki lolote na tukio la ugaidi. Wakati anakamatwa alikuwa na umri usiozidi miaka 16, aliwezaje kuwa mfanyabiashara mkubwa na kisha mlinzi wa osama. We mtangazaji wacha chuki dhidi ya waislamu utaangamia.

  • @priscuskimario495

    @priscuskimario495

    Жыл бұрын

    Alizaliwa 1974 hivyo hadi 1998 alikuwa na miaka 24 hadi kukamatwa alikuwa na umri wa miaka 30

  • @rocyncathbert4527

    @rocyncathbert4527

    Жыл бұрын

    @@priscuskimario495 sahihi

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    @@priscuskimario495 SAWA HATA AWE NA MIAKA 40 HAIMANISHI ATI KAHUSIKA.

  • @peacemwesiga

    @peacemwesiga

    8 ай бұрын

    Sura yeyewe ñ jibu tosha

  • @user-xf8ug9vu2h

    @user-xf8ug9vu2h

    4 ай бұрын

    Ndunia ni nduara na anaye ielewa Mungu tu, anaye jua ukweli ni Mungu pekee.

  • @kevinmangena1904
    @kevinmangena1904 Жыл бұрын

    Iyo milipuko ni njama ya wao wenyewe marekani Ili wapate sababu ya kuzipiga nchi za kiarabu na kuchukua maliasili zao. Wamemuonea tu kijana anaatia. Uwezi kuingia kwenye ugaidi baada ya miaka 3 uweumeaminiwa kabisa na kuwa karibu na Osama

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @manilabonalumanula9210

    @manilabonalumanula9210

    Жыл бұрын

    Kumbe! Kwa hiyo ilikuwa adumu kwa muda gani ili aaminiwe na Osama kwa uzoefu wako?

  • @ZeAniamalTV

    @ZeAniamalTV

    Жыл бұрын

    Gaidi sio wakuchekewa

  • @rahmajaffar794

    @rahmajaffar794

    Жыл бұрын

    Mungu awape subira wazazi wake kwa maumivu makali wanayopata na kuhusu yeye Mungu pekee ndie anaejua nini kafanya na nini hajafanya Mungu ampatie haki yake anayostahili

  • @rosemkude4804

    @rosemkude4804

    Жыл бұрын

    Si mpaka huyo Osama awe binadamu. Kumalizia hadithi yao ya kutunga wakadai wamemuua na kumtupa baharini......kichekesho cha karne

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu942 Жыл бұрын

    Acha uongo broo shambulizi LA Nairobi na TZ ni abdul fazul ndiye alilipua

  • @12322879

    @12322879

    4 ай бұрын

    Unajuaje,au ulishiriki?

  • @njonjolomahfudh3238

    @njonjolomahfudh3238

    8 күн бұрын

    ivi Ahmed sio alikamatwa 2001 baada ya September 11?

  • @allyninja8083
    @allyninja8083 Жыл бұрын

    Family ya ghailan kuweni na subra,, ghailan ywateseka duniani Lakini in shaa Allah atafurahi peponi,, pepo ni milele Dunia ni wakati tu

  • @hasaninuru3830
    @hasaninuru3830 Жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @sephaniasanga1037
    @sephaniasanga1037 Жыл бұрын

    Nawapata vizuri.habari zenu nzuri sana zinatupa habari nzito

  • @petermwaniki3079
    @petermwaniki3079 Жыл бұрын

    Excellent job. Keep it up 😜☺️.

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 Жыл бұрын

    Nawaapia sijawah kuipenda America maana wameiumiza sana Africa naapia mungu yupo urusi itawanyoosha

  • @BonnyMwajombe-iu7hb

    @BonnyMwajombe-iu7hb

    6 ай бұрын

    Kapime akili

  • @user-jp8lf7dy5z

    @user-jp8lf7dy5z

    5 ай бұрын

    Me too

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 Жыл бұрын

    Mweyezimugu ampe wepes America inshallah mungu atawapa afhabu yamaishallah

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_10 ай бұрын

    Ugaid sio mzuri, Tanzania sio sehem ya hayo mambo, ukishikwa Kuna ndege inakusubiri kwenda Guantanamo, kurudi ni ngumu

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536227 күн бұрын

    Allah ampe wepesi Ghailan

  • @aishatarimotarimo2689
    @aishatarimotarimo2689 Жыл бұрын

    Hii stor angesoma Amir likonde ingekuwa poa sana

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Жыл бұрын

    Asante studios

  • @norbertkashindi8150
    @norbertkashindi8150 Жыл бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢 and I❤miss Fresh nisubisgvnzsuvtipwcbstkfs waDrawings of country so so bad can believe everybody’s going missing today just going on with going today going to see God so good but my feelings so sad I love you guys so much byeMixer don’t even if you see I’m still gonna just run okay 👍 😊

  • @witnessngunja1896
    @witnessngunja18962 жыл бұрын

    Mashaallah director kazi nzuri

  • @tumainjuliusmakurilo9337
    @tumainjuliusmakurilo9337 Жыл бұрын

    Shida umeongea ujinga mwingi kuliko point

  • @freddokuckelmann8502

    @freddokuckelmann8502

    Жыл бұрын

    Ujinga ni nini na point ni nini? Wivu tu, wacha domo kaya

  • @yusuphlulex3174
    @yusuphlulex3174 Жыл бұрын

    Stori za ku ssimua ha napenda stori zako

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz4 ай бұрын

    Tuache bro

  • @jemakhalfan6726
    @jemakhalfan67264 ай бұрын

    Story imekosa ukweli. hakuishia darasa la saba. By the time anamaliza primary Zanzibar tulikuwa tunamaliza darasa la nane. Darasa la nane alifaulu vizuri tena vipawa maalumu katika sekondari ya Vikokotoni. Na alimaliza darasa la 12.

  • @AllySaid-vx1zw

    @AllySaid-vx1zw

    4 ай бұрын

    Dahhh kumbe skuli yangu imetoa watu wakubwa hizi history zinatakiwa kuhakikiwa kabla kutolewa na hawa watu wastoe bila utafiti wa kina

  • @hajamijohana
    @hajamijohana Жыл бұрын

    hakuna mjanja kwenye hii dunia ote tunapita kwa mungu ndo kuna majibu yote mi naamin kua mungu yupo km kwer wao wajanja wasife

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga88694 ай бұрын

    "Justice Delayed is a Justice Denied."

  • @pasmaentreprises4970
    @pasmaentreprises49702 жыл бұрын

    Mmmmh

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 Жыл бұрын

    Kuna ushahidi gani kama ni kweli yeye jamaa anahusika 100%? Walijuaje kama ni yy kweli ?

  • @zakiaabdula4709
    @zakiaabdula47092 жыл бұрын

    Na wewe mengine kamaumeongeza utakwenda kujibu mbele yamungu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Жыл бұрын

    Ateswe tu

  • @emanuelabed3736
    @emanuelabed3736 Жыл бұрын

    ikosawa

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudini8 ай бұрын

    Mmarekani ndo gaidi wa kwanza dunia hii acheni ujinga

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Жыл бұрын

    Utia chachu kwakua sio kichogo mwezenu wapuuzi niyie

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Ndo kina nani hao 😃kina kichogo ww uko Sawa huna kichogo😃

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 Жыл бұрын

    Hata Tanzania ni Nchi yenye shilling bwaaaana, usijaribu🙏

  • @mvanobilali8502
    @mvanobilali8502 Жыл бұрын

    tukio la miripuko alina uusiano na osama ata nuktwa moja mimi na kushanga msumuliaji na muandazi

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Жыл бұрын

    Uongi mtupuuuu

  • @NassoroMakamla
    @NassoroMakamla2 ай бұрын

    Iyo stor ya kweli au mapicha

  • @user-sv4lk1zo9t
    @user-sv4lk1zo9t6 ай бұрын

    Huyu jamaa alikua noma

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Жыл бұрын

    Wamarekani watu wabaya sana wakishirikiana na mosad kutengeneza ugaidi ilikujipatia uhalali wakuwatesa waislamu nakupora vamia jamii za kiislamu na bado nia yao inajulikana

  • @rajabjabir2622
    @rajabjabir2622 Жыл бұрын

    Mtiga abdllah ndio atacmulia hii habari (The story book) deeply and clearly sio ww sauti mbovu pyaaa

  • @kassimsaid1723
    @kassimsaid17237 ай бұрын

    Akakombolewe mara moja

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Жыл бұрын

    Kama kweli aliuwa basi hiyo ndio adhabu yake

  • @charlesassey5642
    @charlesassey56426 ай бұрын

    Vijana wengi wa kiislam walijiunga na makundi ya kigaidi hata Kenya walikama vijana wengi waliokuwa enrolled, sababu ni kuaminishwa kuwa unaenda kutetea iman ya kiislam, kitu ambacho ni Upumbavu mtupu , yaani Iman inatetewa kwa kuua watu wengine, Arusha Mashekh 6 walihukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kulipua kanisa la Olasiti Arusha , eti wanatete iman , sijui huu Upumbavu waislam mnautoa wapi ???

  • @henrypeter1361
    @henrypeter1361 Жыл бұрын

    huyo ndiyo shujaaa siyo gaidi

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 Жыл бұрын

    Ni uwongo zote mipango ya marekani katka kutafuta kisingizio cha kuangusha dola wasizo zitaka mama clitone aliyaongea

  • @lawabidingcitizen3427
    @lawabidingcitizen3427 Жыл бұрын

    Duh sijawahi kumsikiliza mtu muongo kama huyu msimuliaji wa hii habari. "Bodogadi" wa Osama? Duh, njaa mbaya sana!

  • @msungumwilapwa4234
    @msungumwilapwa42345 ай бұрын

    Mbona wamesema not guilty bana, hebu acheni kuchafua watu na kutofanya tafiti

  • @rashadmohamed4357
    @rashadmohamed43574 ай бұрын

    Ni aibu media kubwa kutoa habari za uongo

  • @albertmbise2670

    @albertmbise2670

    3 ай бұрын

    Ukweli ni upi?

  • @YohanaSapuro-xx9xo
    @YohanaSapuro-xx9xo10 ай бұрын

    Duuuuuuuuh

  • @susans4490
    @susans4490 Жыл бұрын

    Zanzibar ilikuwq mwisho darasa la 8 time so hiyo 0 aliitolea wapi

  • @mohamedvuaa1579

    @mohamedvuaa1579

    Жыл бұрын

    Hawa ni waongo yot walosema kwanza zanzibar wakati huo matokeo ya darasa la saba hayaorodheshwi maks pili ukiwa hukufaulu michepuo basi unaendlea lanane halafu hawakutaja aina ya biashara alokua akifanya na hawakuainisha makundi gani alokua akishirikiana nayo hapa zenji hawakusema kivipi kaanza kukutana na usama pia gujirati ipo india si pakistan 😢 inakuaje mashtaka yot yawe batili tena yalichunguzwa na fbi na cia ispokua mojatu ilhali ushahid wote walkuanao mashtaka yote wabatilishe ispokua mojatu na nakuaje mda mfupitu upate dhamana ya kua na cheo kikubwa kama hicho na kwanini hata serekali ya tanzania iliwahi kumtetea ikiwa kweli anahatia hawa ni waongo kuliko uongo wenyewe ugaidi ni nguo wamvika na kumvua wamtakae na huyukatama kakamatwa kwanini serekali ya usa ilipe hela walotaja na kama katekwa alitekwa na nani 😊❤

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Жыл бұрын

    Duuu

  • @user-uc5py2ll5n
    @user-uc5py2ll5n6 ай бұрын

    Umelipwa sh.ngapi?kwa kutoa masimuliz ya uongo.

  • @azhadsoud1433
    @azhadsoud14338 ай бұрын

    Hyu anaitwa Mbarouk Mabomu Yupo ilala apo saiv Anauza spair

  • @rizikimbeve8611
    @rizikimbeve8611 Жыл бұрын

    Wamarekan wanataka kuiingilia Tanzania huo ni upuuzi so habar za kuaminika

  • @g-belltesh
    @g-belltesh5 ай бұрын

    Kwaio mtanzania alihusika kwenye tukio ndio maanake au?

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Жыл бұрын

    Chezea Russians sio US

  • @eddybrokaliieddybrokalii196
    @eddybrokaliieddybrokalii196 Жыл бұрын

    we muwongo bana waliokamatwa wa kwanza alikuwa ni Tomas lyimo ambaye alifungwa na badae kuachiwa bada ya kukuta hana kosa ila alihusika na kutengeneza mitungi ya mabomu bila yeye kujua sabubu uyu Tomas lyimo alikuwa ni fundi wa matenk ya malori pale kimara korogwe saiv panaitwa bucha zaman palokuwa panaitwa kwa Tomas lyimo na alivyoachiwa tu na nchi alihama ad leo

  • @huseninchasi
    @huseninchasi Жыл бұрын

    Unauhakika unacjokizungumza

  • @AbacarTeresa-dn6wj
    @AbacarTeresa-dn6wj5 ай бұрын

    Mbesa ni kimasai

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm5584 ай бұрын

    Mlijuaje nyie mnampa kesi tuu .naserikali yetu hainachuruna na raia wake kwani wasimfunge hapahapa nchini .

  • @Denisdankton
    @Denisdankton7 ай бұрын

    Acheni uongo wazungu ndo wabaya awafai

  • @ziggyhendrixx7445
    @ziggyhendrixx74454 ай бұрын

    hayuko guantamano yupo adx florence

  • @adimusaid5379
    @adimusaid53795 ай бұрын

    hujuwi hata sitori yake unadanganya watu acha uwongo

  • @SalimAli-wz3mi
    @SalimAli-wz3mi4 ай бұрын

    Fanya utafiti .upate habari sahihi

  • @ENTPowerproduction
    @ENTPowerproduction5 ай бұрын

    Hakuna Kitu kama Osama bin Laden msidanganye...Osama was a creative story

  • @stanslausmgabhagowe1250
    @stanslausmgabhagowe1250 Жыл бұрын

    E

  • @SaidMaurid
    @SaidMaurid2 ай бұрын

    Najapani.hilivyopigwa.usa.nanini.gaidi

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495Ай бұрын

    Porojo za hovyo tu

  • @malikmasoud3190
    @malikmasoud3190 Жыл бұрын

    We mtangazaji mongoose na ujui unachokisema au km unatafuta viewers bs utakuwa umepata

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын

    Hamna kitu apo. Tushaelimika

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 Жыл бұрын

    Uongo huu hata ibilis hatoi mguu

  • @omarothman6608
    @omarothman6608 Жыл бұрын

    Wao ndiomagaidi

  • @arafatlubricants7225
    @arafatlubricants7225 Жыл бұрын

    Gereza sio Geleza

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    5 ай бұрын

    Kwani Kuna utofauti gani Kati ya gereza na geleza

  • @gabrieladam1065
    @gabrieladam1065 Жыл бұрын

    Kwa hyo wwe unaamini Osama alikuwa gaidi?

  • @atupelejohnmwakangale3226

    @atupelejohnmwakangale3226

    Жыл бұрын

    Alikuwa mpiganaji aliyetumika na America kuangamiza mataifa mengine. Aliwasaliti America.

  • @saidsofo
    @saidsofo5 ай бұрын

    Wamemuonea tuu

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    Daah we mtangazaji kama wewe ndiye uliyefanya research hii juu ya Ghailan hakuna shaka we ni kilaza cz history ya Ghailan imejaa uongo mtupu tena unaoonyesha kabisa kuwa hujatulia wakati unaandaa makala hii kwanza Ghailani hajazaliwa kijijini wala kukulia kijijini pia hajawahi kufanikiwa katika biashara kama unavyoiongelea lakini pia Ghailani amesoma wala sio Darasa la saba

  • @user-fx5ks2qc3u
    @user-fx5ks2qc3u7 ай бұрын

    HII dini YANGU Ina shida Gani??? MBONA Kila siku UGAIDI NI SISI TU.. AU NI SIFA.... MBONA MIMI SIELEWI.... MBONA MAKAFIRI HAWAPO HO YO... TUNA SHIDA GANI?????JAMANI TUSAIDIANE KAMA NI SUALA LA KIOMANI NAOMBA MTU AJE HATA INBOX ANIFUNDISHE... NAKEREKA SANA.. SANA. SANA, SANA... UGAIDI SISI TU... TUNA SHIDA GANI..????

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw Жыл бұрын

    Mshenzi acha kumsingizia uongo ghailani alikua nimtu mzuri

  • @nasserrr90
    @nasserrr905 ай бұрын

    UNA UHAKIKA?

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 Жыл бұрын

    Sukweli hakua mfanya biashara alikua anauza kiduka cha spea zakagari tu namjua tukiakaa jirani namdgo wqke tumesoma wote shule moja

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa99365 ай бұрын

    Mwandishi umechemka hujui unachokieleza huna uhakika unachokieleza hujui kilichokuwepo nyuma ya pazia, hizo ni propaganda za serikali ya marekani na propaganda hizo zimetengenezwa na fbi na cia

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz7 ай бұрын

    Mshahara wa dhambi ni mauti, kama kwl alitenda basi hiyo ndio adhabu yake, hao waliokufa ni inzi siyo!!! Au kwakuwa sio damu za ndugu zenu azijamwagika!!! Mmmh mmarekani afanyagi jambo bila ushahidi.

  • @IsmailAli-wx7tg
    @IsmailAli-wx7tg7 ай бұрын

    Poa king twendele

  • @abdulnadhiif6083
    @abdulnadhiif60834 ай бұрын

    Ni uongo😂

  • @binallyamuz6895
    @binallyamuz6895 Жыл бұрын

    Elimu ya Zenji mwisho sio darasa la saba ni darasa la 10 na hamba zero mwandishi unaropokwa tu bc

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Wewe unashona zanzbar ya Kenya labda lakini hii ya tz wengi wetu wanaishia la nne tena hata kuandika vzr hatujui maneno mengi Tu mdomoni UNGUJA kwetu tumekuwa hatuoni umuhim wa Elimu tunaomba tumalize shule tukimbie bongo kutafuta maisha nyerere ametufanya kitu kibaya sana imagine 😢

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya5 ай бұрын

    Huwo ni uongo asingepereka biashara kwa kwa bini radeni kirahisi lahisi hivyo wewe ni muongo

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub99859 ай бұрын

    Eti Ghailani. Mnajifanya waarabu kumbe ni mashombe wa zanzibari

  • @user-pm7yo3xi3h

    @user-pm7yo3xi3h

    8 ай бұрын

    Wewe inakuhusu nini hata akijifanya mwarabu wewe inakuuma kwa kuwa ana asili ya kiarabu na wewe jinasibu kwa asili yako . Mnyaturu kichogo wewe

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga88694 ай бұрын

    RAFIKI NI MKIA WA FISI UKISHIRIKI ATAKUFILISI. Sivyo unavyotuambia wewe

  • @user-ou7pe3mv6k
    @user-ou7pe3mv6k2 жыл бұрын

    Duuh

  • @HemedHemed-qp2wt
    @HemedHemed-qp2wt9 ай бұрын

    Ww unakasumba

  • @seifmasoud3061
    @seifmasoud30615 ай бұрын

    Huyo sio gaidi wewe wacha unafiki mtangazaji mjinga.

  • @bonheurNimbeshaho-qy7sy
    @bonheurNimbeshaho-qy7sy8 ай бұрын

    Obama bhana kaua wengi kwa kuwasingizia ughaidi

Келесі