AHMED GHAILAN: MTANZANIA ALIYETIKISA DUNIA KWA UGAIDI, AKIMSAIDIA OSAMA, AKAFUNGWA MAISHA GUANTANAMO
AHMED GHAILAN: MTANZANIA ALIYETIKISA DUNIA KWA UGAIDI, AKIMSAIDIA OSAMA, AKAFUNGWA MAISHA GUANTANAMO
HII ni simulizi ya Mtanzania Ahmed Ghailan, ambaye ni mtanzania wa kwanza kuitikisa dunia kwa ugaidi hadi kufikia hatua ya kufungwa katika gereza la Guantanamo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 204
Mungu ataiangamiza hiyo dola ya merekani inshalla
@wanaupendotv7183
Жыл бұрын
Kumbe mimi na wewe tumeona tumechelewa mi nimeiona leo na nimempenda niko upande wake
@johngerald4677
Жыл бұрын
@@wanaupendotv7183 nenda wakuue kafir mkubwa
@faithfaith-zr6gz
7 ай бұрын
Dua la kuku alimpati mwewe..
@alialamoudi9729
7 ай бұрын
@@faithfaith-zr6gz sio ungwana kumunga mkono merekani kwa kukandamiza wanadai uhuru wao
@poulletkavuvi7451
4 ай бұрын
😂@@faithfaith-zr6gz
Gaidi namba moja dunian ni america
Allah amfanyie subra Ahmed
@12322879
4 ай бұрын
Subra gani kwa gaidi?..
Story yako nzuri but kumbuka kuwa alisingiziwa na hizi hatia zote. Na ujue kuwa Marekani siku zote hawakubali kushindwa lazima waoshe dunia kama wameshamkamata muualifu na ikiwa siyo kweli,vijana wengi wanatiwa ktk case ambayo hawajahusika na hii yote kutokana wanajua familia nyingi hazina huwezo wa kulipia lawyer. Hii story ya Ahmed haina ukweli kama alitenda hayo matukio.kumbuka ww mtangazaji na mm pia naye comment hatujui deep side ya ugomvi wa Osama na Marekani. So please leave our brother alone he been through enough,Pray for him not to detroyed him.
@ahmedalshaibany
Жыл бұрын
Exactly, Marekani wanafanya lot of crazy decisions and full of injustice na hakuna democracy wala hizo human rights wanazozitangaza. Ni kuoneana, ubaguzi, na kujiona wao ndio wanajua zaidi.
@naimamoddy
Жыл бұрын
@@ahmedalshaibany yah kuna yule dogo wa hapa Canada walimkamata wakamfunga huko huko tk pre teen wamemtesa wee kisa tu kaonekana ktk pictures karibu na hizo kambi, ikiwa huyu kijana kila summer wanaenda kwao vacation, na km unavyojua utoto unacheza huku na kule na wenzake,kuona tu picha tayari wamemkamata mtuhumiwa. Amekaa jela miaka mingi sana ameachiwa na amelipwa hela nyingi sanaa, even though wameshamuharibu kisaikolojia n.k. Na mpk kutoka families na nchi yake wamempigania ndy maana katoka. Sasa unafikiri Ahmed angekuwa katoka ktk nchi yenye msimamo na inasimamia raia wake vzr hata hicho kifungo asingefungwa sema nchi yake ni watu kadhaa na group la watu kadhaa wengine wote wazaliwa wa hiyo nchi wanawasindikiza wenye nchi wenye kula nchi toka wamezaliwa mpk wana watoto na wajukuu zao hawajui shida na mgao wa maji wa umeme, hospitals wanatibiwa nzuri au wanaenda nje ya nchi kutibiwa. Tanzanian wanatakiwa wasimame kama nchi nyingine kutetea watanzania wenzao ambao wapo ktk same situation like Ahmed ambao wamesingiziwa case ambazo hazina ukweli ndani yake.
@charlesassey5642
6 ай бұрын
Huwezi kusema kuwa alisingiziwa wakati hujui alichokuwa anakifanya ktk mizunguko yake ya kibiashara, anayeweza kujua ukweli ni yule aliyechunguza kwa kina akapita kote alikopita akapata jibu sahihi kwahiyo mwache apate anachostaili Pumbavu
@utaani1
4 ай бұрын
@@ahmedalshaibanyhuman rights ni kwa ajili ya lgbt pamoja na watu walokuwa hawautaki uisilamu basi
@mamyomar1241
4 ай бұрын
@@charlesassey5642yote hayo usemayo kwa sababu, si mtu wako wajaribu. Lakini anaye hukumu ni Allah. Huo ni udhalimu.
Siku hzi hata bila tafiti yoyote unaweza kupost tu mawazo yako ya usiku.....
Allah amlahisishie basi ameshakoma msameheni allah akupe subra Imani na uvumilivu jitahi na swala allah atakuongoza
Yaani Wakoloni ndyo cku hzi wanapewa kichwa na kutunga story za uwongo
Sidhani kama ni kweli
Namjuwa sanaaa!! Tulikuwa majirani malindi Subhanallah.
@norbertkashindi8150
Жыл бұрын
Skgroqfjsjgr❤🎉
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Malindi zanzibar ndo tulikua wote napia wakiwa pia nanyumba mochenzani
@omarhussen4513
Жыл бұрын
Uwongo uyo hajaishi malindi,,,,,uyo kwao gongoni kisima jongoo msikitini pale
@machetebogota4218
Жыл бұрын
@@khajumkhamis7910 mnawaabudu waarabu ndo maana Tanzania sijui mkoje
@rahmaarrington9019
Жыл бұрын
@@omarhussen4513 ni kweli kikwajuni kisimamajongoo kule kwa anty sania
Mnapenda sana kuwaandikia story mbaya ndugu zenu.
Mwenyezi Mungu ambadilishe
Kinachonishangaza waislam wakisikia mwislamu mwenzao anafanya mabaya unashangaa comment za waislamu kutetea hv mna nini wakati mnajua kila mwanadamu anautashi wake bila kujali Imani yk
@12322879
4 ай бұрын
Wote wehu tu
Unatoa story kama mohammed Ally wa kenya utapenda unavyosimulia🙏🇹🇿🇬🇷
@petrowashale1891
Жыл бұрын
We mwamba umenikoshaa Mohammed Ali anajuaa hatariiii
@ahmedmohamed-rm9jn
4 ай бұрын
Ila huyu anaongeza chumvi, mwongo saana Mohamed Ally alikuwa amachunguza vizuuri
Huyu mtoto hahusiki lolote na tukio la ugaidi. Wakati anakamatwa alikuwa na umri usiozidi miaka 16, aliwezaje kuwa mfanyabiashara mkubwa na kisha mlinzi wa osama. We mtangazaji wacha chuki dhidi ya waislamu utaangamia.
@priscuskimario495
Жыл бұрын
Alizaliwa 1974 hivyo hadi 1998 alikuwa na miaka 24 hadi kukamatwa alikuwa na umri wa miaka 30
@rocyncathbert4527
Жыл бұрын
@@priscuskimario495 sahihi
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@priscuskimario495 SAWA HATA AWE NA MIAKA 40 HAIMANISHI ATI KAHUSIKA.
@peacemwesiga
8 ай бұрын
Sura yeyewe ñ jibu tosha
@user-xf8ug9vu2h
4 ай бұрын
Ndunia ni nduara na anaye ielewa Mungu tu, anaye jua ukweli ni Mungu pekee.
Iyo milipuko ni njama ya wao wenyewe marekani Ili wapate sababu ya kuzipiga nchi za kiarabu na kuchukua maliasili zao. Wamemuonea tu kijana anaatia. Uwezi kuingia kwenye ugaidi baada ya miaka 3 uweumeaminiwa kabisa na kuwa karibu na Osama
@abuusufian6506
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@manilabonalumanula9210
Жыл бұрын
Kumbe! Kwa hiyo ilikuwa adumu kwa muda gani ili aaminiwe na Osama kwa uzoefu wako?
@ZeAniamalTV
Жыл бұрын
Gaidi sio wakuchekewa
@rahmajaffar794
Жыл бұрын
Mungu awape subira wazazi wake kwa maumivu makali wanayopata na kuhusu yeye Mungu pekee ndie anaejua nini kafanya na nini hajafanya Mungu ampatie haki yake anayostahili
@rosemkude4804
Жыл бұрын
Si mpaka huyo Osama awe binadamu. Kumalizia hadithi yao ya kutunga wakadai wamemuua na kumtupa baharini......kichekesho cha karne
Acha uongo broo shambulizi LA Nairobi na TZ ni abdul fazul ndiye alilipua
@12322879
4 ай бұрын
Unajuaje,au ulishiriki?
@njonjolomahfudh3238
8 күн бұрын
ivi Ahmed sio alikamatwa 2001 baada ya September 11?
Family ya ghailan kuweni na subra,, ghailan ywateseka duniani Lakini in shaa Allah atafurahi peponi,, pepo ni milele Dunia ni wakati tu
Allah Akbar
Nawapata vizuri.habari zenu nzuri sana zinatupa habari nzito
Excellent job. Keep it up 😜☺️.
Nawaapia sijawah kuipenda America maana wameiumiza sana Africa naapia mungu yupo urusi itawanyoosha
@BonnyMwajombe-iu7hb
6 ай бұрын
Kapime akili
@user-jp8lf7dy5z
5 ай бұрын
Me too
Mweyezimugu ampe wepes America inshallah mungu atawapa afhabu yamaishallah
Ugaid sio mzuri, Tanzania sio sehem ya hayo mambo, ukishikwa Kuna ndege inakusubiri kwenda Guantanamo, kurudi ni ngumu
Allah ampe wepesi Ghailan
Hii stor angesoma Amir likonde ingekuwa poa sana
Asante studios
😢😢😢😢😢😢😢😢 and I❤miss Fresh nisubisgvnzsuvtipwcbstkfs waDrawings of country so so bad can believe everybody’s going missing today just going on with going today going to see God so good but my feelings so sad I love you guys so much byeMixer don’t even if you see I’m still gonna just run okay 👍 😊
Mashaallah director kazi nzuri
Shida umeongea ujinga mwingi kuliko point
@freddokuckelmann8502
Жыл бұрын
Ujinga ni nini na point ni nini? Wivu tu, wacha domo kaya
Stori za ku ssimua ha napenda stori zako
Tuache bro
Story imekosa ukweli. hakuishia darasa la saba. By the time anamaliza primary Zanzibar tulikuwa tunamaliza darasa la nane. Darasa la nane alifaulu vizuri tena vipawa maalumu katika sekondari ya Vikokotoni. Na alimaliza darasa la 12.
@AllySaid-vx1zw
4 ай бұрын
Dahhh kumbe skuli yangu imetoa watu wakubwa hizi history zinatakiwa kuhakikiwa kabla kutolewa na hawa watu wastoe bila utafiti wa kina
hakuna mjanja kwenye hii dunia ote tunapita kwa mungu ndo kuna majibu yote mi naamin kua mungu yupo km kwer wao wajanja wasife
"Justice Delayed is a Justice Denied."
Mmmmh
Kuna ushahidi gani kama ni kweli yeye jamaa anahusika 100%? Walijuaje kama ni yy kweli ?
Na wewe mengine kamaumeongeza utakwenda kujibu mbele yamungu
Ateswe tu
ikosawa
Mmarekani ndo gaidi wa kwanza dunia hii acheni ujinga
Utia chachu kwakua sio kichogo mwezenu wapuuzi niyie
@machetebogota4218
Жыл бұрын
Ndo kina nani hao 😃kina kichogo ww uko Sawa huna kichogo😃
Hata Tanzania ni Nchi yenye shilling bwaaaana, usijaribu🙏
tukio la miripuko alina uusiano na osama ata nuktwa moja mimi na kushanga msumuliaji na muandazi
Uongi mtupuuuu
Iyo stor ya kweli au mapicha
Huyu jamaa alikua noma
Wamarekani watu wabaya sana wakishirikiana na mosad kutengeneza ugaidi ilikujipatia uhalali wakuwatesa waislamu nakupora vamia jamii za kiislamu na bado nia yao inajulikana
Mtiga abdllah ndio atacmulia hii habari (The story book) deeply and clearly sio ww sauti mbovu pyaaa
Akakombolewe mara moja
Kama kweli aliuwa basi hiyo ndio adhabu yake
Vijana wengi wa kiislam walijiunga na makundi ya kigaidi hata Kenya walikama vijana wengi waliokuwa enrolled, sababu ni kuaminishwa kuwa unaenda kutetea iman ya kiislam, kitu ambacho ni Upumbavu mtupu , yaani Iman inatetewa kwa kuua watu wengine, Arusha Mashekh 6 walihukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kulipua kanisa la Olasiti Arusha , eti wanatete iman , sijui huu Upumbavu waislam mnautoa wapi ???
huyo ndiyo shujaaa siyo gaidi
Ni uwongo zote mipango ya marekani katka kutafuta kisingizio cha kuangusha dola wasizo zitaka mama clitone aliyaongea
Duh sijawahi kumsikiliza mtu muongo kama huyu msimuliaji wa hii habari. "Bodogadi" wa Osama? Duh, njaa mbaya sana!
Mbona wamesema not guilty bana, hebu acheni kuchafua watu na kutofanya tafiti
Ni aibu media kubwa kutoa habari za uongo
@albertmbise2670
3 ай бұрын
Ukweli ni upi?
Duuuuuuuuh
Zanzibar ilikuwq mwisho darasa la 8 time so hiyo 0 aliitolea wapi
@mohamedvuaa1579
Жыл бұрын
Hawa ni waongo yot walosema kwanza zanzibar wakati huo matokeo ya darasa la saba hayaorodheshwi maks pili ukiwa hukufaulu michepuo basi unaendlea lanane halafu hawakutaja aina ya biashara alokua akifanya na hawakuainisha makundi gani alokua akishirikiana nayo hapa zenji hawakusema kivipi kaanza kukutana na usama pia gujirati ipo india si pakistan 😢 inakuaje mashtaka yot yawe batili tena yalichunguzwa na fbi na cia ispokua mojatu ilhali ushahid wote walkuanao mashtaka yote wabatilishe ispokua mojatu na nakuaje mda mfupitu upate dhamana ya kua na cheo kikubwa kama hicho na kwanini hata serekali ya tanzania iliwahi kumtetea ikiwa kweli anahatia hawa ni waongo kuliko uongo wenyewe ugaidi ni nguo wamvika na kumvua wamtakae na huyukatama kakamatwa kwanini serekali ya usa ilipe hela walotaja na kama katekwa alitekwa na nani 😊❤
Duuu
Umelipwa sh.ngapi?kwa kutoa masimuliz ya uongo.
Hyu anaitwa Mbarouk Mabomu Yupo ilala apo saiv Anauza spair
Wamarekan wanataka kuiingilia Tanzania huo ni upuuzi so habar za kuaminika
Kwaio mtanzania alihusika kwenye tukio ndio maanake au?
Chezea Russians sio US
we muwongo bana waliokamatwa wa kwanza alikuwa ni Tomas lyimo ambaye alifungwa na badae kuachiwa bada ya kukuta hana kosa ila alihusika na kutengeneza mitungi ya mabomu bila yeye kujua sabubu uyu Tomas lyimo alikuwa ni fundi wa matenk ya malori pale kimara korogwe saiv panaitwa bucha zaman palokuwa panaitwa kwa Tomas lyimo na alivyoachiwa tu na nchi alihama ad leo
Unauhakika unacjokizungumza
Mbesa ni kimasai
Mlijuaje nyie mnampa kesi tuu .naserikali yetu hainachuruna na raia wake kwani wasimfunge hapahapa nchini .
Acheni uongo wazungu ndo wabaya awafai
hayuko guantamano yupo adx florence
hujuwi hata sitori yake unadanganya watu acha uwongo
Fanya utafiti .upate habari sahihi
Hakuna Kitu kama Osama bin Laden msidanganye...Osama was a creative story
E
Najapani.hilivyopigwa.usa.nanini.gaidi
Porojo za hovyo tu
We mtangazaji mongoose na ujui unachokisema au km unatafuta viewers bs utakuwa umepata
Hamna kitu apo. Tushaelimika
Uongo huu hata ibilis hatoi mguu
Wao ndiomagaidi
Gereza sio Geleza
@khadjamhozya
5 ай бұрын
Kwani Kuna utofauti gani Kati ya gereza na geleza
Kwa hyo wwe unaamini Osama alikuwa gaidi?
@atupelejohnmwakangale3226
Жыл бұрын
Alikuwa mpiganaji aliyetumika na America kuangamiza mataifa mengine. Aliwasaliti America.
Wamemuonea tuu
Daah we mtangazaji kama wewe ndiye uliyefanya research hii juu ya Ghailan hakuna shaka we ni kilaza cz history ya Ghailan imejaa uongo mtupu tena unaoonyesha kabisa kuwa hujatulia wakati unaandaa makala hii kwanza Ghailani hajazaliwa kijijini wala kukulia kijijini pia hajawahi kufanikiwa katika biashara kama unavyoiongelea lakini pia Ghailani amesoma wala sio Darasa la saba
HII dini YANGU Ina shida Gani??? MBONA Kila siku UGAIDI NI SISI TU.. AU NI SIFA.... MBONA MIMI SIELEWI.... MBONA MAKAFIRI HAWAPO HO YO... TUNA SHIDA GANI?????JAMANI TUSAIDIANE KAMA NI SUALA LA KIOMANI NAOMBA MTU AJE HATA INBOX ANIFUNDISHE... NAKEREKA SANA.. SANA. SANA, SANA... UGAIDI SISI TU... TUNA SHIDA GANI..????
Mshenzi acha kumsingizia uongo ghailani alikua nimtu mzuri
UNA UHAKIKA?
Sukweli hakua mfanya biashara alikua anauza kiduka cha spea zakagari tu namjua tukiakaa jirani namdgo wqke tumesoma wote shule moja
Mwandishi umechemka hujui unachokieleza huna uhakika unachokieleza hujui kilichokuwepo nyuma ya pazia, hizo ni propaganda za serikali ya marekani na propaganda hizo zimetengenezwa na fbi na cia
Mshahara wa dhambi ni mauti, kama kwl alitenda basi hiyo ndio adhabu yake, hao waliokufa ni inzi siyo!!! Au kwakuwa sio damu za ndugu zenu azijamwagika!!! Mmmh mmarekani afanyagi jambo bila ushahidi.
Poa king twendele
Ni uongo😂
Elimu ya Zenji mwisho sio darasa la saba ni darasa la 10 na hamba zero mwandishi unaropokwa tu bc
@machetebogota4218
Жыл бұрын
Wewe unashona zanzbar ya Kenya labda lakini hii ya tz wengi wetu wanaishia la nne tena hata kuandika vzr hatujui maneno mengi Tu mdomoni UNGUJA kwetu tumekuwa hatuoni umuhim wa Elimu tunaomba tumalize shule tukimbie bongo kutafuta maisha nyerere ametufanya kitu kibaya sana imagine 😢
Huwo ni uongo asingepereka biashara kwa kwa bini radeni kirahisi lahisi hivyo wewe ni muongo
Eti Ghailani. Mnajifanya waarabu kumbe ni mashombe wa zanzibari
@user-pm7yo3xi3h
8 ай бұрын
Wewe inakuhusu nini hata akijifanya mwarabu wewe inakuuma kwa kuwa ana asili ya kiarabu na wewe jinasibu kwa asili yako . Mnyaturu kichogo wewe
RAFIKI NI MKIA WA FISI UKISHIRIKI ATAKUFILISI. Sivyo unavyotuambia wewe
Duuh
Ww unakasumba
Huyo sio gaidi wewe wacha unafiki mtangazaji mjinga.
Obama bhana kaua wengi kwa kuwasingizia ughaidi