KOMANDO ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:ANGEMPIGA RISASI/VITA VYA UGANDA/NI SIRI NZITO.PART3

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 56

  • @msemakweli5938
    @msemakweli593810 ай бұрын

    Anajaribu kutengeneza Historia ambayo ajaifanyia utafiti wa Kina ,kwanza sio kweli mwaka 1992 hapakuwapo jaribio la mapinduzi ya kumtoa Nyerere ,kwa sababu mwaka 1992 mwalimu alikuwa hayupo madarakani,

  • @user-hv9js2vv7v
    @user-hv9js2vv7v Жыл бұрын

    Alikuwa anatoka Butiama sio Kenya na walitaka kumuulia kanisani St Peter

  • @leonardchabruma2377
    @leonardchabruma237714 күн бұрын

    Aiseee this guy knows something

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97588 ай бұрын

    Broo nakubali sana sana unaongea ukweli Sasa hivi Dunia imebadilika ukweli unatakiwa sio uongo umetawalaa

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp2 ай бұрын

    Yamipaka sawa nimekuelewa

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp2 ай бұрын

    Kwatanzania nikiongozi gani ametengenezwa

  • @user-hv9js2vv7v
    @user-hv9js2vv7v Жыл бұрын

    Walitaka kumuulia kanisani st Peter oysterbay sio airpot.hii ni historia kuwa makini.

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Жыл бұрын

    Uko sahihi sn, atakaekupinga ni mpuuzi

  • @minabw7301

    @minabw7301

    Жыл бұрын

    Story zake sio sahihi kihivyooo. Mwenye story za uhakika kuhusu maswala hayo ni mzee Peter Bwimbo yupo hai miaka 94 na akili timamu. Mzee anaishi Dar as salaam na ndie alikua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na ndiye aliyemlinda na kumficha katika matukio hayo. Kitabu chake kinaitwa Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere Kiki Amazon , Google

  • @eliufoom6195
    @eliufoom6195 Жыл бұрын

    Yuko vizuri sana shida ni hapo kwenye kuamini mizimu tu ndio panaponikera

  • @valentinernestkavishe7297

    @valentinernestkavishe7297

    6 ай бұрын

    Iyo ndo dini ya kweli Africa, yani kuamini kwenye ukristo au uslam ni sawa na mtu aliyeajiriwa, kumwamini mungu ni sawa na mtu aliyejiajiri! Sasa maamuzi ni yako , kujiajiri au kuajiriwa, kumbukumbu dini tumeletewa

  • @elinisafibabarita

    @elinisafibabarita

    6 ай бұрын

    @@valentinernestkavishe7297 Ila weweee🤣🤣🤣 haya bana. Duh

  • @luzigakapande6921
    @luzigakapande69216 ай бұрын

    Alikuwa hatuki Kenya alikuwa anatoka Butiama. Historical zenu zinapotosha watu fanyeni utafiti Kwanza

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Жыл бұрын

    Kaka na kuelewa sana vp naweza je kupata vitabu vyako kununua mie nipo south Africa 🇿🇦

  • @luzigakapande6921
    @luzigakapande69216 ай бұрын

    Rip Makufuli

  • @leonardchabruma2377
    @leonardchabruma237714 күн бұрын

    Very funny guy

  • @aloycekayanja1756
    @aloycekayanja17565 ай бұрын

    Hapo kibiti umendanganya jeshi yaani jwtz,Sio kweli waulize walio kwenda kwabahati Mambo hayo hayana mda mrefu waliohusika wapi!

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Жыл бұрын

    Istoria yeke takusoma ila r.I.p magu

  • @user-re4uz7uw1e
    @user-re4uz7uw1e11 ай бұрын

    Kwahiyo hata mafunzo ya kijeshi tulipewa n a jeshi la Nigeri

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Жыл бұрын

    Huyu kijana Ni mwongo . Hajui historia ya Jambo analolizumgumzia

  • @minabw7301

    @minabw7301

    Жыл бұрын

    Yap! mwache ajichanganye tu ataingi 18 za watu. Ukweli wa historia hizi pata kwa Mzee Peter Bwimbo yupo hai na akili timamu miaka 94. Mzee anaishi jijini Dar na ndio aliyekua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na vilevile mzee Bwimbo Ana mji mkoa wa Mara silaha ya Bunda kijiji cha kisorya uliza kwa Bwimbo utaonyeshwa na Bwimbo ni nani

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi1186 ай бұрын

    Mtani wangu upo sahihi

  • @josephmaleckela9904
    @josephmaleckela99047 ай бұрын

    Dah ! Huyu kijana mtupu mnooo ! Hajui historia yeyote ile ! Ni vurugu tupu !!

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Жыл бұрын

    Mwl Nyerere alitaka kupinduliwa mwaka 1983 na siyo 1992 chimba tena upate uhakika Maelezo yako ni mazuri

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 Жыл бұрын

    Bro hii story yako tafuta walioona live wakupe details, unapenda. Hadithi lakini huna details za ukweli, tutafute tukupe details za ukweli

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Жыл бұрын

    Any person not any people.

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    We ni nani vilee ivi Mambo yote unayajua

  • @dahlainismail6837
    @dahlainismail6837 Жыл бұрын

    Tupe madini mkuu ututoe matogotogo

  • @Andres-qt6kp
    @Andres-qt6kp Жыл бұрын

    Hajakariri vizuri historian lazima iheshimiwe kwa ukweli wa historia yenyewe Raisi Ally Hassan Mwinyi 1992 hakuwahi kupata jaribio lolote

  • @hamischilinga6706

    @hamischilinga6706

    Жыл бұрын

    Nadhani alikusudia 1982

  • @charlesmapunda2002

    @charlesmapunda2002

    Жыл бұрын

    Ni makosa ya matamshi Ila Kuna sehemu kasema 82

  • @victorlashikoni-ji3js
    @victorlashikoni-ji3js4 ай бұрын

    Mwongo wewe Mohamed Tamimu hakuwa Commando

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Жыл бұрын

    Danganya mbumbu wenzako wasiojua historia ya kweli.

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Жыл бұрын

    Amekosea ila nadhani anamaanisha mwaka 1982 sio 92

  • @simonitolya8029

    @simonitolya8029

    4 ай бұрын

    Yes,upon sahihi,,92 Mwalimu hakuwa madarakani

  • @jeromejosia-zp7gr
    @jeromejosia-zp7gr Жыл бұрын

    Naweza kupata kitabu

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Жыл бұрын

    Anatoaje historia nyeti hivyo za kiUsalama???Kama lengo la serikali lilikua ni kuziHide, yy kapata wap kibali cha kuziToa???? HAMUONI KAMA MNAMPONZA?

  • @minabw7301
    @minabw7301 Жыл бұрын

    Huyu anadhani watu waliokuwepo wakati huo walishakufa wote kwahiyo anabwabwaja utumbo. Well, some are still alive. Huyu si anajidai anajua sana usalama wa Taifa sasa aeleze lile gorofa la Uhamiaji pale kurasini original owner alikua nani? Na gorofa la pili yake wanapoishi mapadri au wakatoliki nani original owner wa Ile ngome? Na magorofa ya mitaa Ile nani original owners? Anajitia mjuaji

  • @MorganMwaipyana-tz9vc

    @MorganMwaipyana-tz9vc

    Жыл бұрын

    Hajui chochote

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Dupa unachukua madini kwa mshuwa yerico mabadiliko yanakuja

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Жыл бұрын

    Ilikuwa mwaka 92 au 82 ? Najua unayasoma jitahidi kutunza kumbukumbu, mwaka 92 Raisi alikuwa Mwinyi.

  • @haidarishemahonge9357
    @haidarishemahonge9357 Жыл бұрын

    Sometime jamaa Anakuja alafu kama vile namkataa fran hv...nikisoma comments ...Mnao jua vema ...Embu Mkaombe nafas kama hz...Mtupe sis wa miaka 84 ..tutaamin wap?

  • @minabw7301

    @minabw7301

    Жыл бұрын

    Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere yupo hai Ana miaka 94 yupo jijini Daressalaam na akili timamu na Ana kitabu kinaitwa mwalimu mkuu wa mwalimu Nyerere Kiko google, Amazon. Mzee Peter D. M. Bwimbo, mzee black belt na ndio aliyemficha mwalimu kwahiyo hakuna risasi ingeweza mpata mwalimu nyerere.

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Жыл бұрын

    Tamimu alitokea tanga

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Жыл бұрын

    kwanza anaonekana ana chuki na RAISI WETU WA WANYONGE, The Late JPM, MSIMLETE HAPA HUYU MJINGA

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    7 ай бұрын

    Hiyo si yy tu watu wote waliopoteza watu wao ktk utawala wake wa kiimla hawampendi

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Жыл бұрын

    Dar 24 ndo watu kama Hawa mnawaleta studio hawana pointi wajinga eti unazungumza udini acha kupotosha umma waislam wamepigania uhuru wa nchi hili hata Nyerere mwenyewe alikiri Hilo miongoni mean hotuba zake we huna unachojua unaleta habari za mo setung dikteta wa china acha kuchambua wewe.

  • @jamirually893
    @jamirually893 Жыл бұрын

    Miaka mitano ya jpm ndo idara zilifanya kaz vzuri ww kumbe una chuki mshenz hapo umeharibu ujui chochote

  • @venanceassey7909

    @venanceassey7909

    Жыл бұрын

    Ni mwaka 1982

  • @wilbatnyato4679

    @wilbatnyato4679

    Жыл бұрын

    Zilipata uoga sio kupata uimara

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    7 ай бұрын

    Hazikufanya kazi vizuri bali ziliharibu kazi kwa kuuwa uwa watu ovyo

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    We jamaa una matanizo na upwani na uislam?mie nakuna kama unapiga story tu tena story za upande mmoja tu but you don't have any proof so it's hard for reasonable man to believe your story bna kwendraaa huko

  • @cosmasmwaitete5004

    @cosmasmwaitete5004

    9 ай бұрын

    Mshapigwa nyie

  • @cosmasmwaitete5004

    @cosmasmwaitete5004

    9 ай бұрын

    Poleni sana

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Жыл бұрын

    TAFUTENI WATU SAHIHI WA KUWAHOJI HISTORIA YA NCHI HII,,,, sio mtu kasimuliwa huko, na nyie mnamuita kusimulia alivosimuliwa

Келесі