ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:MIPANGO YA "URUSI"/VITA VYA UGANDA/UJASUSI NI SIRI NZITO.....

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Ujasusi #ukraine #maelezo

Пікірлер: 44

  • @dar24media
    @dar24media Жыл бұрын

    USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA KIPINDI HIKI,UTAKUJIA SIKU YA JUMA PILI YA TAREHE 26/02/2023......SAA TANO KAMILI ASUBUHI

  • @davidshebughe3422

    @davidshebughe3422

    Жыл бұрын

    Sawa

  • @michaeljpm5597

    @michaeljpm5597

    Жыл бұрын

    Kwenye app Gani kinapatikana?

  • @leahmwangi1198
    @leahmwangi1198 Жыл бұрын

    Nimepata mafunzo mzuri sana hizi maswala zinaelezea mwafrika maisha yake kila mahali afrika mashariki haswa kenya na tz

  • @yazidusaidi8843
    @yazidusaidi8843 Жыл бұрын

    Marvelous, sijakisoma kitabu hiki, ila kupitia interview hii, kwa kweli nitakitafuta nikisome, bravo! ameiweka vizuri dhana ya ujasusi.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Жыл бұрын

    Dar24 mnajutahidi sn ktk mahojiano wew na Stanslaus Lambert mpo vizuri sana

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Жыл бұрын

    Huyu Jamaa ana akili sana,Hongera sana Yericko Nyerere. Sema Upo Taifa ambalo linaamini ili utumike lazima uwe CCM

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Жыл бұрын

    Mpo vizur sana

  • @jamirually893
    @jamirually893 Жыл бұрын

    Yani Africa ilibidi tumuunge mkono Putin maana katusaidia Sana warus ni binadam sio wamagharibi

  • @mphotshoke7760
    @mphotshoke7760 Жыл бұрын

    Nakubal sana mwanangu supa dupa✌️🤛🔥🔥🔥🔥

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana215211 ай бұрын

    Hongera sana Jerico

  • @elvissamwel6676
    @elvissamwel6676 Жыл бұрын

    Kaka nahitaji kitabu..Cha ujasusi wa kiuchumi na dola

  • @reygalnmahundi7754
    @reygalnmahundi7754 Жыл бұрын

    Super

  • @ameokichaka9456
    @ameokichaka9456 Жыл бұрын

    Daaaa aiseee

  • @alimsuleiman465
    @alimsuleiman465 Жыл бұрын

    Hiki kitabu kinapatikanaje nakihitaji

  • @jacobmazengo6302
    @jacobmazengo6302 Жыл бұрын

    Mbona mnachelewesha muendelezo sana

  • @albertkassim3286
    @albertkassim3286 Жыл бұрын

    Nimesha jua kwann saanane alitoweka jamaa umemponza mwenzako weweee! Walio husika kuandika wote wamekimbia chama na mmoja hajulikan alipo, una bahat ya kuwa mtu mwenye damu moja na Mwalim, Ndicho kilicho kuokoa.

  • @deokibona2835

    @deokibona2835

    Жыл бұрын

    Huyu hana uhusiano wowote na mwalimu. Na Wala sio mtu wa Kanda ya ziwa.

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Жыл бұрын

    Mkuu wewe sio mtanzania wa kwanza kutumia mitandao ya kijamii miaka ya 1993 au 94 kulikuwa na Tanznet ambayo ilikuwa based US na wanafunzi wengi wa TZ tuilitumia kujua habari za nyumbani

  • @issamakwaya-fo4qw
    @issamakwaya-fo4qw Жыл бұрын

    Mjinga huwa hajiamini bali mpumbavu ndio hujiamini sana lakini hajui kitu na anajiona anajua lakini hajui kitu. Kwa mjinga yeye hajui na kweli hajui na pia anajua kuwa hajui,ukimwelewesha anajua na tayari ujinga unakuwa umekwisha.Nature kila mtu ni mjinga na hakuna mtu sio mjinga,kwani hakuna mtu anaye juwa kila kitu.

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 Жыл бұрын

    broo umepambana sana. mana kitabu kuandika kwake mpaka kitimie ni hatar

  • @NETIQIncorporation
    @NETIQIncorporation Жыл бұрын

    We muongo, siyo wa kwanza husidanganye watu. Mimi binafsi nimeanza kutumia mitandao 1997. Wapo wengi wa zamani siyo wewe

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana215211 ай бұрын

    Tuna ma Genius Tanzania lakini kinachoharibu ni ccm

  • @allymoshi2053
    @allymoshi2053 Жыл бұрын

    Acha uongo kitambo hcho internet cafe zlkuwa kibao t watu wanapata habar

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Жыл бұрын

    Mtanzania wa kwanza kufanya nini! Acha matango

  • @salimucvales7495
    @salimucvales7495 Жыл бұрын

    Naweza kupata wapi hicho kitabu

  • @blackjack3356
    @blackjack3356 Жыл бұрын

    Mbona mjamaliza

  • @augustinob.toke1012
    @augustinob.toke1012 Жыл бұрын

    Sorry hicho kitabu naweza kukipataje?

  • @khalifaaliomar7989
    @khalifaaliomar7989 Жыл бұрын

    Na mm nahitaj icho kitabu wp nitakipata

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Жыл бұрын

    uwongo yeye alikuwa mjamaa duuuu

  • @jamirually893
    @jamirually893 Жыл бұрын

    Sehem ya pili Iko wap?

  • @dar24media

    @dar24media

    Жыл бұрын

    usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 Жыл бұрын

    Unauza wewe tu, na house of wisdom, so amazon na wallmart hawapo tena?

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath2480 Жыл бұрын

    Tatzo lenu hua mnaleta stori alafu mnasema mlaleta mwendelezo n hamlet au mkileta maletaaa kwa kuchelewa utazan mb tuna tumia zenu

  • @dar24media

    @dar24media

    Жыл бұрын

    usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili

  • @mastaplan
    @mastaplan Жыл бұрын

    Mkuu hapo umetumia kauli TATA inabidi ukaombe radhi chuoni au hata kupitia mtandaoni bila ya hivyo ni kesi hii...(CHUO CHA MA-HOUSE GIRL)

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Ndo mjitahidi Kiwe chuo cha nyumba ya maarifa

  • @mastaplan

    @mastaplan

    Жыл бұрын

    Acha kujibu kwa mhemko mkuu

  • @chrisscymbian4747

    @chrisscymbian4747

    Жыл бұрын

    Mtu kama uyu ndo siku anataka kua kiongoz uku kichwan kwake ana negative attitude km ivo

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Жыл бұрын

    Tanikaty ilinga hiyo

  • @donnyshule7432
    @donnyshule7432 Жыл бұрын

    Hacha uongo wewe

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Kichwa Cha Habari Akiendani Na Story Zenu Inamana Mnakula MB Za Bule Kwa Habari Za Uongo Akuna Kisa Mpango Na Vita Mnaongea Ujinga Mtupu

  • @ericklyatuu1301

    @ericklyatuu1301

    6 ай бұрын

    Bado kipindi hakijaisha

Келесі