ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:MIPANGO YA "URUSI"/VITA VYA UGANDA/UJASUSI NI SIRI NZITO.....
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Ujasusi #ukraine #maelezo
Пікірлер: 44
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA KIPINDI HIKI,UTAKUJIA SIKU YA JUMA PILI YA TAREHE 26/02/2023......SAA TANO KAMILI ASUBUHI
@davidshebughe3422
Жыл бұрын
Sawa
@michaeljpm5597
Жыл бұрын
Kwenye app Gani kinapatikana?
Nimepata mafunzo mzuri sana hizi maswala zinaelezea mwafrika maisha yake kila mahali afrika mashariki haswa kenya na tz
Marvelous, sijakisoma kitabu hiki, ila kupitia interview hii, kwa kweli nitakitafuta nikisome, bravo! ameiweka vizuri dhana ya ujasusi.
Dar24 mnajutahidi sn ktk mahojiano wew na Stanslaus Lambert mpo vizuri sana
Huyu Jamaa ana akili sana,Hongera sana Yericko Nyerere. Sema Upo Taifa ambalo linaamini ili utumike lazima uwe CCM
Mpo vizur sana
Yani Africa ilibidi tumuunge mkono Putin maana katusaidia Sana warus ni binadam sio wamagharibi
Nakubal sana mwanangu supa dupa✌️🤛🔥🔥🔥🔥
Hongera sana Jerico
Kaka nahitaji kitabu..Cha ujasusi wa kiuchumi na dola
Super
Daaaa aiseee
Hiki kitabu kinapatikanaje nakihitaji
Mbona mnachelewesha muendelezo sana
Nimesha jua kwann saanane alitoweka jamaa umemponza mwenzako weweee! Walio husika kuandika wote wamekimbia chama na mmoja hajulikan alipo, una bahat ya kuwa mtu mwenye damu moja na Mwalim, Ndicho kilicho kuokoa.
@deokibona2835
Жыл бұрын
Huyu hana uhusiano wowote na mwalimu. Na Wala sio mtu wa Kanda ya ziwa.
Mkuu wewe sio mtanzania wa kwanza kutumia mitandao ya kijamii miaka ya 1993 au 94 kulikuwa na Tanznet ambayo ilikuwa based US na wanafunzi wengi wa TZ tuilitumia kujua habari za nyumbani
Mjinga huwa hajiamini bali mpumbavu ndio hujiamini sana lakini hajui kitu na anajiona anajua lakini hajui kitu. Kwa mjinga yeye hajui na kweli hajui na pia anajua kuwa hajui,ukimwelewesha anajua na tayari ujinga unakuwa umekwisha.Nature kila mtu ni mjinga na hakuna mtu sio mjinga,kwani hakuna mtu anaye juwa kila kitu.
broo umepambana sana. mana kitabu kuandika kwake mpaka kitimie ni hatar
We muongo, siyo wa kwanza husidanganye watu. Mimi binafsi nimeanza kutumia mitandao 1997. Wapo wengi wa zamani siyo wewe
Tuna ma Genius Tanzania lakini kinachoharibu ni ccm
Acha uongo kitambo hcho internet cafe zlkuwa kibao t watu wanapata habar
Mtanzania wa kwanza kufanya nini! Acha matango
Naweza kupata wapi hicho kitabu
Mbona mjamaliza
Sorry hicho kitabu naweza kukipataje?
Na mm nahitaj icho kitabu wp nitakipata
uwongo yeye alikuwa mjamaa duuuu
Sehem ya pili Iko wap?
@dar24media
Жыл бұрын
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
Unauza wewe tu, na house of wisdom, so amazon na wallmart hawapo tena?
Tatzo lenu hua mnaleta stori alafu mnasema mlaleta mwendelezo n hamlet au mkileta maletaaa kwa kuchelewa utazan mb tuna tumia zenu
@dar24media
Жыл бұрын
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
Mkuu hapo umetumia kauli TATA inabidi ukaombe radhi chuoni au hata kupitia mtandaoni bila ya hivyo ni kesi hii...(CHUO CHA MA-HOUSE GIRL)
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Ndo mjitahidi Kiwe chuo cha nyumba ya maarifa
@mastaplan
Жыл бұрын
Acha kujibu kwa mhemko mkuu
@chrisscymbian4747
Жыл бұрын
Mtu kama uyu ndo siku anataka kua kiongoz uku kichwan kwake ana negative attitude km ivo
Tanikaty ilinga hiyo
Hacha uongo wewe
Kichwa Cha Habari Akiendani Na Story Zenu Inamana Mnakula MB Za Bule Kwa Habari Za Uongo Akuna Kisa Mpango Na Vita Mnaongea Ujinga Mtupu
@ericklyatuu1301
6 ай бұрын
Bado kipindi hakijaisha