ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►INSTAGRAM: / azamsports2 ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Жүктеу.....
Пікірлер: 73
@yasameja224126 күн бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@williamdetkvant13132 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@jumannemlacha74292 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@chidiomari.652 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@felixmagulu61422 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@rafoursamiol5244Күн бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@RamadhanAli Жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@stephenaxwessp70875 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@marylibaba258921 күн бұрын
NI KWELI
@mohamedkondo-tq2bm5 ай бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@marylibaba258921 күн бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@marylibaba258921 күн бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@marylibaba258921 күн бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@thelixyn13152 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@marylibaba258921 күн бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@juliusmlula16584 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@freddymtashi50203 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba258921 күн бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba258921 күн бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@user-xi7oe1xr9j6 ай бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@marylibaba258921 күн бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba258921 күн бұрын
TUWAOMBEE SANA
@jumamwanga66345 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba258921 күн бұрын
Uwiiiiii
@michaelndilima62104 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@marylibaba258921 күн бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@marylibaba258921 күн бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@marylibaba258921 күн бұрын
NIKWELI KABISA
@isackmgema73764 ай бұрын
What an interview 🎉
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@marylibaba258921 күн бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@mutahangarwasamwel46432 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@marylibaba258921 күн бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba258921 күн бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba258921 күн бұрын
WACHAAA
@marylibaba258921 күн бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba258921 күн бұрын
HAKUNA KULALA
@vanpzle67105 ай бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@marylibaba258921 күн бұрын
❤Amen
@marylibaba258921 күн бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@marylibaba258921 күн бұрын
❤❤❤❤
@hasaabdi71994 ай бұрын
Maashallah kiboko
@marylibaba258921 күн бұрын
KARAMAAAAA
@marylibaba258921 күн бұрын
POLENI SANA
@marylibaba258921 күн бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba258921 күн бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba258921 күн бұрын
DUUUUUH
@marylibaba258921 күн бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba258921 күн бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@marylibaba258921 күн бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba258921 күн бұрын
HONGERENI
@marylibaba258921 күн бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@marylibaba258921 күн бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba258921 күн бұрын
UAMINIFU
@lawskuli98765 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@marylibaba258921 күн бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba258921 күн бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@marylibaba258921 күн бұрын
BUSARA
@marylibaba258921 күн бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba258921 күн бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@hazjay46712 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri431
5 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
Пікірлер: 73
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
NI KWELI
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
MAJARIBU HAYOOOO
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
JAMANI,JAMANIIII
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
HAWALALI JAMANI
NIKAZI NGUMU SANA
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
HONGERA SANA
TUWAOMBEE SANA
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
Uwiiiiii
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
HEEEEEEEE SAFI SANA
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
NIKWELI KABISA
What an interview 🎉
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
Nakukubari ruteni jenelali
MUNGU MLINDE SANA
Ahaaaaa
WACHAAA
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
HAKUNA KULALA
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
❤Amen
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
❤❤❤❤
Maashallah kiboko
KARAMAAAAA
POLENI SANA
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
DUUUUUH
POKEA MAUA YAKOOOO
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
HONGERENI
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
MLIWAKOMESHA
UAMINIFU
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
NUNDU ZAKUTOSHA
BUSARA
KUMBEEEE
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri431
5 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
kzread.info/dash/bejne/lX2C1q6yg7ashbg.html FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
@elifadilykagossy1030
2 жыл бұрын
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore
@elifadilykagossy1030
2 жыл бұрын
scauti pale same
HONGERA SANA
NIKWELI KABISA
POLENI SANA
DUUUUUH