ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 73

  • @yasameja2241
    @yasameja224126 күн бұрын

    Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia

  • @williamdetkvant1313
    @williamdetkvant13132 жыл бұрын

    Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)

  • @jumannemlacha7429
    @jumannemlacha74292 жыл бұрын

    Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.652 жыл бұрын

    Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu61422 жыл бұрын

    Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.

  • @rafoursamiol5244
    @rafoursamiol5244Күн бұрын

    Hakika inapendeza kusikiliza 🎉

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli Жыл бұрын

    Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.

  • @stephenaxwessp7087
    @stephenaxwessp70875 ай бұрын

    Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NI KWELI

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm5 ай бұрын

    Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MAJARIBU HAYOOOO

  • @thelixyn1315
    @thelixyn13152 жыл бұрын

    Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    JAMANI,JAMANIIII

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula16584 ай бұрын

    Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi50203 ай бұрын

    Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HAWALALI JAMANI

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NIKAZI NGUMU SANA

  • @user-xi7oe1xr9j
    @user-xi7oe1xr9j6 ай бұрын

    Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HONGERA SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    TUWAOMBEE SANA

  • @jumamwanga6634
    @jumamwanga66345 ай бұрын

    Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    Uwiiiiii

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 ай бұрын

    Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri

  • @abdulrahmanmwadini5925
    @abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын

    Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HEEEEEEEE SAFI SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NIKWELI KABISA

  • @isackmgema7376
    @isackmgema73764 ай бұрын

    What an interview 🎉

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂

  • @mutahangarwasamwel4643
    @mutahangarwasamwel46432 жыл бұрын

    Nakukubari ruteni jenelali

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MUNGU MLINDE SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    Ahaaaaa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    WACHAAA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HAKUNA KULALA

  • @vanpzle6710
    @vanpzle67105 ай бұрын

    Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    ❤Amen

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi71994 ай бұрын

    Maashallah kiboko

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    KARAMAAAAA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    POLENI SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    DUUUUUH

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    POKEA MAUA YAKOOOO

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HONGERENI

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    MLIWAKOMESHA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    UAMINIFU

  • @lawskuli9876
    @lawskuli98765 ай бұрын

    Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NUNDU ZAKUTOSHA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    BUSARA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    KUMBEEEE

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA

  • @hazjay4671
    @hazjay46712 жыл бұрын

    Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    5 ай бұрын

    Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea

  • @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
    @sheikhabdul-raufalmunaawiy33672 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lX2C1q6yg7ashbg.html FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88742 жыл бұрын

    Utumishi ulio tukuka mzee wetu

  • @elifadilykagossy1030

    @elifadilykagossy1030

    2 жыл бұрын

    Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore

  • @elifadilykagossy1030

    @elifadilykagossy1030

    2 жыл бұрын

    scauti pale same

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    HONGERA SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    NIKWELI KABISA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    POLENI SANA

  • @marylibaba2589
    @marylibaba258921 күн бұрын

    DUUUUUH

Келесі