MOSSAD: KIKOSI CHA "WAUAJI" WENYE SIRI NZITO/WANATUMIWA NA SERIKALI/SIRI ZAO HIZI HAPA, S01EP32.
Shirika hatari la kipelelezi nchini Israel, (MOSSAD) linatajwa kuwa ni miongoni mwa mashirika hatari ya kijasusi, walitekeleza matukio ya kutisha na yaliyo tikisa dunia.......
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#MossaD #Intelligence #Maelezo
Пікірлер: 23
Wew jamaa unajua sana mzee wangu
Kaka kazi nzuri sana. Naomba ongeza zaidi picture effects katika story. Sehemu nyingine weka pozi kisha achia sound effects kuendana na story. Upo vizuri sana kwenye simulizi, na uchaguzi wa simulizi hii ni mzuri sana
Brother uko vizuri sana, hongera kwa kazi hiyo ya tafiti.
Noma sana
Tupe issue Hizo Mwamba naku-appriciate Mwamba
kazi nzuri
Inatisha sana
Hawa jamaa noma kweli
Wanastairi
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kweli Israel ni hatari sana, muda wote jamaa wako kazini, hawalali na hawajawahi kulala. Waarabu wenyewe nawajua habari yao.
Uko njema Sana story za kijasusi,Ile ya Iraq ilikuwaje vile!
Kama una kili ni wauaji wenye siri nzito basi siri zao haziko hapa
Nipe hiyo michepuo
KGB ndo imeizaa FSB,, umechanganya kidogo
@WINNERSPREDICTS-dp1qd
9 ай бұрын
Hapo hatamimi nilikuwa najiuliza Historia niliyosoma nimeisahau? Story nzuri sana, details kama hizi zinanogesha
Taifa teule
Bro sio Kila mossad ni muuaji.kikosi mahususi cha mauaji ndani ya mossad kinaitwa "Kidon".
Tupe historiya ya jeshi la marekani
Israel nihatari sn
muuaji