MOSSAD: KIKOSI CHA "WAUAJI" WENYE SIRI NZITO/WANATUMIWA NA SERIKALI/SIRI ZAO HIZI HAPA, S01EP32.

Shirika hatari la kipelelezi nchini Israel, (MOSSAD) linatajwa kuwa ni miongoni mwa mashirika hatari ya kijasusi, walitekeleza matukio ya kutisha na yaliyo tikisa dunia.......
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#MossaD #Intelligence #Maelezo

Пікірлер: 23

  • @meckcassius3983
    @meckcassius39832 жыл бұрын

    Wew jamaa unajua sana mzee wangu

  • @WINNERSPREDICTS-dp1qd
    @WINNERSPREDICTS-dp1qd9 ай бұрын

    Kaka kazi nzuri sana. Naomba ongeza zaidi picture effects katika story. Sehemu nyingine weka pozi kisha achia sound effects kuendana na story. Upo vizuri sana kwenye simulizi, na uchaguzi wa simulizi hii ni mzuri sana

  • @marianmartin7483
    @marianmartin74832 жыл бұрын

    Brother uko vizuri sana, hongera kwa kazi hiyo ya tafiti.

  • @kalidushimaria9540
    @kalidushimaria95402 жыл бұрын

    Noma sana

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize97752 жыл бұрын

    Tupe issue Hizo Mwamba naku-appriciate Mwamba

  • @yohanakaini
    @yohanakaini2 жыл бұрын

    kazi nzuri

  • @Kagineemmanuel
    @KagineemmanuelАй бұрын

    Inatisha sana

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias99672 жыл бұрын

    Hawa jamaa noma kweli

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyilaАй бұрын

    Wanastairi

  • @macrostudios3735
    @macrostudios37352 жыл бұрын

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @samsonhumbe8220
    @samsonhumbe8220 Жыл бұрын

    Kweli Israel ni hatari sana, muda wote jamaa wako kazini, hawalali na hawajawahi kulala. Waarabu wenyewe nawajua habari yao.

  • @crescencesangawe6890
    @crescencesangawe6890 Жыл бұрын

    Uko njema Sana story za kijasusi,Ile ya Iraq ilikuwaje vile!

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph110610 ай бұрын

    Kama una kili ni wauaji wenye siri nzito basi siri zao haziko hapa

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i6 ай бұрын

    Nipe hiyo michepuo

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 Жыл бұрын

    KGB ndo imeizaa FSB,, umechanganya kidogo

  • @WINNERSPREDICTS-dp1qd

    @WINNERSPREDICTS-dp1qd

    9 ай бұрын

    Hapo hatamimi nilikuwa najiuliza Historia niliyosoma nimeisahau? Story nzuri sana, details kama hizi zinanogesha

  • @kamarukamaru7768
    @kamarukamaru77689 ай бұрын

    Taifa teule

  • @mathewkomba6724
    @mathewkomba6724 Жыл бұрын

    Bro sio Kila mossad ni muuaji.kikosi mahususi cha mauaji ndani ya mossad kinaitwa "Kidon".

  • @islamdalalnadidalal8833
    @islamdalalnadidalal88332 жыл бұрын

    Tupe historiya ya jeshi la marekani

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Жыл бұрын

    Israel nihatari sn

  • @amazingclarasson8177
    @amazingclarasson81772 жыл бұрын

    muuaji

Келесі