IJUE BENKI KUU YA TANZANIA - DHAMANA ZA SERIKALI
Mchambuzi wa Masuala ya Fedha BoT, Bw. Fidelis Mkatte, akitoa ufafanuzi kuhusu maana na namna ya kushiriki kwenye mnada wa dhamana za serikali za muda mrefu(Treasury Bonds) na muda mfupi (Treasury Bills)
Пікірлер: 12
BoT and presenter Mr. Mkate, well done. One of the best presentation on tresury bills and bonds with simplicity and clarity. Congratulations. Nawapongeza Benki Kuu ya Tanzania na mwasilishaji wa mada Bwana Mkate kwa uwasilishaji wa mada kuhusu hatifungani (treasury bonds) na dhamana za serikali za muda mfupi (treasury bills) kwa umahiri, wepesi na urahisi. Hongera.
@mohammedrashid2906
2 жыл бұрын
Ok
Safi
Great presentation.
Asante nimepata wazo naweza wekeza kwa miaka ishirini alafu kila mwaka nikapata hela ya kulipia ada ya watoto kwa miaka ishirini na watoto watakuwa wamemaliza masomo
Excellent explanation
GOOOOD
Great
This is good investment
Nikitaka kuwekeza naenda wapi? Je ni tawi lolote la bank kuu au?
Very Sorry. I missed such a good knowledge and ended in investing in commercial banks. Mtanisaidiaje nitoe fedha yangu huko nije kwenye hii risk free investment
Mbona kila mwaka kiwango cha riba kina pungua?