TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
Emilian Busara ana taaluma ya uhasibu na ni muwekezaji na Mtaalam wa uwekezaji kwenye soko la hisa.
Katika video hii, Emilian Busara ameelezea historia yake kwenye uwekezaji katika hisa, umuhimu wa kuwekeza kwenye hisa, jinsi ya kuchagua hisa za kununua nk.
Hakika ni mafunzo muhimu kwa kila mtanzania.
Пікірлер: 101
Umechambua vizuri sana hata kwa mtu asiye na msingi wa elimu ya uchumi anaweza kuelewa.. Asante sana kwa hioi darasa zuri..
Haya ndio mambo yakuangalia sio mambo ya kwa mwamposa tu kila siku. Hongera sana matumizi mazuri ya muda na mtandao.
@Harrison-zh9sb
Жыл бұрын
Sasa mwamposa anahusianaje hapa boss??
@legacytrainingservices
Ай бұрын
Hahaa watakujia juu😢
Kwa mara ya kwanza nimeielewa hisa vizuri Kwa kurelax Bila kutumia nguvu nyingi, appreciate nyingi Sana kwako mkuu Ubarikiwe mno🙏
@nguombagalarang3jfashioncl524
6 күн бұрын
Dada habari samahan naomba unieleweshe huwa nasikia tu lla sija elewa vizuli, nisaidia, hivi hisa kwa hiyo ni pesa ??, halafu kama ukiwa nayo una weza kwenda benk na kuawambia nata hisa? au una fanyaje?
Asante sana nimepata mwanga pamoja na matumani mungu akubaliki sana
Uliyerekodi hii una ujinga mwingi sana, concentrate na slides na sio presenter
@shabaniissa5522
Жыл бұрын
Maisha sio magumu hivyo relax
@onesmomassawe30
6 ай бұрын
Ni miyeyusho kweli kweli
Ni nzuri lakini Kwa wakati mwingine tuone na ubaoni Ili tuelewe zaidii🙏
Asante sana kwa darasa nzuri sana, sasa nimepata mwanga wa kutosha kuhusu hisa, Mungu akubariki sana, natamani kama unaweza kutupa mawasiliano yako. last but not list, naomba wakati mwingine, huyo anayerekodi awe anachukuwa kila kitu siyo kumulika sehemu moja katunyima uhundo sana🥲
Ahsante sana kwa maelezo mazuri
Asante na mungu aendelee kukuhifadhi. AMIIIN
Thank you soo much Sir
Very interesting one
AH I NEED THIS TODAY
Nmeipenda sana hii❤
Mungu akubariki sana mpendwa ,niwachache wenye moyo kama wako ubarikiwe sana sana na umenipa matumaini sana
Thanks
Shukran sana ndugu umetufungua akili
Nice
God is good for all the time
Pamoja sana ndugu
Nashukuru kaka
Safi sana mzee wangu
Nimeanza mwezi wa nne mwaka huu na Hisa 100000 tayari. Week tano kila week nanunua hisa 200 CRBD. Umekuwa ulevi. Km kamari fulani nacheza.
@sindabahabwoyaanacret660
17 күн бұрын
Asee una nunua wapi nipe uzoefu
@hadijakampeni8702
7 күн бұрын
Unanunuaje?
Asante
Hisa ni zuri inaweza kumuinua mtu kutoka ulipo na kuelekea ahali pennine kwangu mimi ni zuri
Ok vizr
Thanks a lot, I have been looking for a channel with this kind of contents.
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Karibu sana.. 🙏🏿
@hansperson1012
2 жыл бұрын
Asante
Vitabu vyako vina madini sana..
Edmund ni vizur pia ukitoa lecture ya jinsi ya kucheza game ya Cashflow game km hautajali unaweza nishirikisha tusaidiane kidogo
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Unazungumzia Game ya Cashflow 101 kutoka kwa Kiyosaki?
@qualifyreferencesmedia6804
2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi ndo hilo hilo
@qualifyreferencesmedia6804
2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi pia itawafungulia mengi katika elimu ya uwekezaji
@aloycejumbe9300
2 жыл бұрын
Hellow naomba kufundishwa juuu ya hisa in deep
@qualifyreferencesmedia6804
2 жыл бұрын
@@aloycejumbe9300 fuatilia vizur video za Edmund na pia km ukiweza tafuta game ya Cashflow ili uelew kwa urahis zaidi
Great and educative content!! Post more of the videos
@EdmundMunyagi
3 жыл бұрын
Thank you! Will do!
@ereneusmujuni6380
3 жыл бұрын
How do we find speaker phone number
@ereneusmujuni6380
3 жыл бұрын
How do we find speaker phone number
@EdmundMunyagi
3 жыл бұрын
Ereneus Naomba unicheki kwenye 0755518289
@ereneusmujuni6380
3 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi thanks a lot
aliechukua video kazingua sana hatuonyeshi slide
Nashukuru kwa Elimu nzuri ila nahitaji msaada zaidi wa Elimu nakupataje?
Broker gani mzuri ktk investment ya shares
Ahsante Hisa zina bima
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Hapana hazina bima na unaweza kupoteza pesa hivyo lazima ujikite kwenye kujifunza au utumie wataalam kukupa ushauri kabla ya kununua.
@mohammedrashid2906
2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi safi sana
@Kanyawela
10 ай бұрын
Je naweza kuweka hisa mara Ngapi katika kampuni moja?
@syliviakaigarula1250
3 ай бұрын
@@EdmundMunyagi hi, samahani hao wataalamu nawapata wai
Mafundisgi masuri sana,,nawesa pata wasap nambayako tafafhali
Tunashukuru sana kaka...
@EdmundMunyagi
3 жыл бұрын
Karibuni sana...
Hello, thanks for sharing . Una video za UTT and Bonds?
@EdmundMunyagi
3 жыл бұрын
Yes videos zipo kwenye channel hapa hapa.
I need a good broker, Im itching to start
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Check with Orbit Securities.
Sorry ninaomba namba zako za wsp
Nataka namba zake
kaka mimi natumia pc nawezaje kununua hisa
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Nenda kwenye website ya DSE
Naanzaje sasa kununua hisa
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Inabidi uwasiliane na broker wako wa karibu, au download app ya DSE inaitwa Hisa Kiganjani..
Je unaweza kuwekezq ukiwa na laki moja
@mbatatakiazi1678
4 ай бұрын
inawezekana sana tena kwenye UKWASI ndiyo kianzio
Hellow brother mungi aah nimeona una reply, sory naweza nikapata contact zako napenda kuwekeza kwenye isa na napenda kuji jengea uchumii binafsi aah naomba your contact..
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
0755518289. Karibu sana.
@pharmacistantykamaleki5642
2 ай бұрын
Hivi kweli hizo channel zipo alafu tunapoteza mbs zetu bure kule😅
Safi sana hizi Slides zinapatikana kwa public ?
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Hapana.
Naomba no kwa ushauli binafsi
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
0755518289
Mimi Niko Drc ndawezaje kuwekeza kwenye hisa?
Sorry, nawezaje kupata uptade za kila siku za sokonla hisa?
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Kwenye website ya DSE dse.co.tz
Samahani naomba kuuliza unawekeza je?
Naanzaje kununua hisa?
Naweza kupata mawasiliano yake Mr Busara? Kiongozi...
Content nzur ila caption co nzur
Hisa inanunuliwa je?
Nipo mwanza-sengerama Hawa brokers nawapataje napenda kununua hisa za DSE Tcc,TbL,nisaidie kaka angu nataka kuwekeza sasa
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Wasiliana nami kwa 0755518289
dah inaudhi kamera man ubaoni mbona haurekodi
Camera man hayuko sharp 😢
Naomba kujua mtu akiwa nje ya nchi anaweza kuwekeza hisa Tanzania
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
Ndio anaweza kuwekeza kwenye hisa Tanzania. Ni kuwasiliana na Broker wa Tanzania na kupata namna ya kutuma pesa Tanzania ambazo zipo njia nyingi siku hizi.
@rehemaothuman3764
2 жыл бұрын
Broker tunampataje
@EdmundMunyagi
2 жыл бұрын
@@rehemaothuman3764 ukienda kwenye website ya DSE dse.co.tz kuna sehemu ina liat ya brokers.
😅😅😅😅😅😅😅😅
Tunaomba uwe unaonyesha slide zaidi kushinda presenter
Kampuni gani
MBONA SIJAJUA HIVI VITU MAPEMA
Sorry naitaji msaada katika uwekezaji namba yangu ya whatsap ni 0628969140
@geofreyedwin5062
Жыл бұрын
Nimepata namba yako nitakutafuta kaka nahitaji hii elimu yako ubarikiwe sana.