Most people have been taught how to work for money and not how money works. Thus we go through life chasing money only to not be able to retire. This channel have been dedicated to providing information that can help you make better decisions about your finances. For personalised solutions you can contact me through +255755518289.
Пікірлер
This sound so 👌 interesting and straightforward ,anyone here who has tried the past 3 years constantly??
Save
great ambition
Powerful and Transformative
Fandamental
Vitabu vyako vina madini sana..
Somo zuri mziki mkubwa
Safi sana mzee wangu
Mwenye anajua Ig yake plz
Asante na uhendelee
Mtaalamu wa kutufundisha ubahili
Fresh nimeipenda hiyo I'll mwanzo kianzio
Je naweza kopa Hela commercial bank na kuinvest kwenye Treasury bonds then nikatumia coupon kulipia mkopo wangu?
Thank you sana
Umechambua vizuri sana hata kwa mtu asiye na msingi wa elimu ya uchumi anaweza kuelewa.. Asante sana kwa hioi darasa zuri..
Nimeanza mwezi wa nne mwaka huu na Hisa 100000 tayari. Week tano kila week nanunua hisa 200 CRBD. Umekuwa ulevi. Km kamari fulani nacheza.
Asee una nunua wapi nipe uzoefu
Unanunuaje?
That is the problems when it comes iterms of terminalogies
😅😅😅😅😅😅😅😅
Very powerful presentation
You are copying everything from Joel very bad!
The problem is that people do not read books; everything being discussed here comes from books, and she has mentioned those books. If you read the books she has mentioned, you will clearly understand what she is talking about and learn much more than what she has discussed.
Dear Mr. @edmundmunyagi, naweza kupata kitabu kinachoelezea juu ya uwekezaji wa UTT AMIS hasa mifuko ya Ukwasi na Hatifungani? Kindly, reply me back when you find this quest message!
nipe namba yako ya whatsup nikutumie
Nashauri vipindi hivi vihaririwe na kuwe kunaonyeshwa masuala muhimu ya presentation. Mfano wakati anauliza hii picha inafundisha nini, mhariri alipaswa kutuonyesha picha hiyo. Vivyo hivyo kwa dots muhimu za mwezeshaji.
Kingereza kingi na Utanzania 0%
Maua yako mama🎉❤
Nmeipenda sana hii❤
This training is very important to us ( youth)
Ahsante sana kwa maelezo mazuri
Bila C3 huwezi kuelewaa huu mtanange
Asante sana nimepata mwanga pamoja na matumani mungu akubaliki sana
Mijadala mizuri sana Asantee
Nimejifunza mengi
Thanks madam
Kampuni gani
Naanzaje kununua hisa?
Hii sound track inafany mtu asisikie vizuri, ingetoka au watu wakiwa wanaongea vitu vya muhimu kama hivi punguza sauti ya track au itoe kabisa.
Ireal love this channel
Nataka namba zake
I wished I learned this before I retired but still I have time to work on what I learned.
Upo vizuri kaka
Content nzur ila caption co nzur
Mungu akubariki sana mpendwa ,niwachache wenye moyo kama wako ubarikiwe sana sana na umenipa matumaini sana
Faida naipataje in cash nikiihitaji
Je unaweza kuwekezq ukiwa na laki moja
inawezekana sana tena kwenye UKWASI ndiyo kianzio
Du! Hii elimu ni muhimu sana sana,jamani huu ni utajiri wa kutosha kabisa
MBONA SIJAJUA HIVI VITU MAPEMA
Naomba number yake...
Mimi Niko Drc ndawezaje kuwekeza kwenye hisa?
Nakubali sana
Mwenyezi Mungu aendelee kujaza haya maarifa maana unanifanua niwe mpya kila siku
Hi