UWEKEZAJI NA MANUFAA YAKE: UTT AMIS WANATOA UFAFANUZI ZAIDI
Спорт
Je, umefanya uwekezaji wowote kwenye mifuko ya uwekezaji nchini?
Je, unajua ni faida kiasi gani unaweza kupata kwa kuwekeza kwenye mifuko sahihi?
Ungana na Daud Mbaga kutoka UTT-AMIS akifafanua kwa kina uwekezaji na manufaa yake na fursa zilizopo kwenye UTT-AMIS.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 9
Duuuh watanzania hatujui madini yapo wap yaan miaka miwili comment mbili kwa madini haya
nimejifunza vitu vingi sana siku ya leo-----> T- bill & T - bonds, power of compound interests, Fixed deposits and faida za uwekezaji pamoja
Elimu mzuri Sana
Wanapatikana wapi
Samahani napenda kujua UTT Amis inapatikana wapi
Nice
Unguja mpo utt?
Samahani napenda kujua UTT Amis inapatikana wapi
@demandonlinetv5516
4 ай бұрын
Posta jengo la sukari House ndyo makao makuu