Unaijua UTT AMIS na namna inavyonufaisha wawekezaji? Elimu hii hapa
Unaujua mfuko wa uwekezaji wa UTT? Unajua faida za kujiunga na mfuko huo na namna unavyofanya kazi? Faraja Sendegeya amemualika mtaalamu wa masoko kutoka UTT ili kutoa elimu kwa umma na hapa anafafanua namna UTT inavyoweza kuinufaisha jamii.
Пікірлер: 8
Wow
Faraja, naomba Huyu mtu mrudishe tena siku nyingine ukiwa na muda mzuri zaidi. Wananchi tunahitaji ili somo na aelezee mifuko yote. Faraja uko vizuri sana na hiki kipindi unakipatia sana kaka. Hongera.
Asante sana..naomba pia ufafanuzi kwa mifuko iliyobaki 4
Still watching 27/ 04 / 2021
Tunaomba tupatie contact zao tuweze kufuatilia zaid huo uwekezaji please
Nilikwa naomba namba zenu za simu I'll nijifunze Zaid
Aafu hao UTT mfuko wa serikali hawana namba ya TTCL?
Nice