Unaijua UTT AMIS na namna inavyonufaisha wawekezaji? Elimu hii hapa

Unaujua mfuko wa uwekezaji wa UTT? Unajua faida za kujiunga na mfuko huo na namna unavyofanya kazi? Faraja Sendegeya amemualika mtaalamu wa masoko kutoka UTT ili kutoa elimu kwa umma na hapa anafafanua namna UTT inavyoweza kuinufaisha jamii.

Пікірлер: 8

  • @veronicalelo332
    @veronicalelo3325 жыл бұрын

    Wow

  • @mamahustru
    @mamahustru6 жыл бұрын

    Faraja, naomba Huyu mtu mrudishe tena siku nyingine ukiwa na muda mzuri zaidi. Wananchi tunahitaji ili somo na aelezee mifuko yote. Faraja uko vizuri sana na hiki kipindi unakipatia sana kaka. Hongera.

  • @heradiussdereck2257
    @heradiussdereck22574 жыл бұрын

    Asante sana..naomba pia ufafanuzi kwa mifuko iliyobaki 4

  • @ibrahimtwahirkilagwa653
    @ibrahimtwahirkilagwa6533 жыл бұрын

    Still watching 27/ 04 / 2021

  • @umulkhairseif8120
    @umulkhairseif81203 жыл бұрын

    Tunaomba tupatie contact zao tuweze kufuatilia zaid huo uwekezaji please

  • @filberthendry8519
    @filberthendry85193 жыл бұрын

    Nilikwa naomba namba zenu za simu I'll nijifunze Zaid

  • @mamahustru
    @mamahustru6 жыл бұрын

    Aafu hao UTT mfuko wa serikali hawana namba ya TTCL?

  • @geofreymwanga1718
    @geofreymwanga17185 жыл бұрын

    Nice