Jamhuri ya Uchawa. Muongozo wa Kujenga Taifa Lisilojiamini

Katika mtazamo huu wa pili tunaangalia hali iliyopo katika jamii ya Tanzania, uchawa; hali ambayo ni kiungo muhimu cha kutengeneza taifa lisilojiamini. Tunatokaje kwenye hali hii?
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 36

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga12 күн бұрын

    Shukrani kwa TV Mwanzo, Alfred na Aidan kwa maelezo mazuri. Nafurahi kumwona Aidan mwanauchumi kwani hatukuwasikia wanauchumi muda mrefu kuhusu mwelekeo ya mtu mmoja mmoja uchumi wa Taifa. Naona wataalam mnaanza kujitambua na kuchumbua mfumo au Taifa lenye kujiamini. Hongeren

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa836011 күн бұрын

    Asante Aidan

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola751212 күн бұрын

    Uchawa unaharibu sana Taifa letu

  • @albamwanja4304

    @albamwanja4304

    12 күн бұрын

    Kabisaa yaani, changamoto kwenye Jamie zipo lkn wanafumba macho wanatetea upuuzi

  • @knight6757

    @knight6757

    12 күн бұрын

    Kwa ajili ya tumbo !!

  • @GavyoleJonas
    @GavyoleJonas11 күн бұрын

    Nakerwa sana hasa na wabunge,wakuu wa wilaya,mikoa,mawaziri,viongozi wa chama hasa ccm,wanamziki,vyombo vya habari ni uchawa tu.

  • @user13375

    @user13375

    9 күн бұрын

    Uchawa ungebaki kwa wanamziki tu,usingekuwa na adhari ,lakini kwa siasa ni mbaya na hatari sana😮😮😮😮

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h12 күн бұрын

    Yaani unaona mbali sana angalia hadi wasanii wa move kama wakina stev nyelele wamegeuka kuwa machawa yaani jamii imegeuka kuwa machawa taifa lawatu machawa tu watu hawajiamini kabisa hawawezi kukosoa hata mabaya wao nikusifia tu

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f12 күн бұрын

    Mtu anayewamiliki Chawa anafaidika na anawadhibiti wasijitambue bali wamwabudu Ndipo mlipo watanzania Mmekwisha aibu kwenu

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes302712 күн бұрын

    Hivi watu wanasikia haya?????

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob57957 күн бұрын

    Kuamuka kupo kabla ya hata Yesu kurudi elimu hii ifundishwe kuanzia shule za chekechea

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga12 күн бұрын

    Chanzo siyo mwanzo. Samahani

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel714912 күн бұрын

    Hata kumpa mtu mmoja mamlaka makubwa kana kwamba mlolongo woote wa wasaidizi wake tunaowagharamia mishahara minono ili kumsaidia katika kuongoza nchi lakini hawana maamuzi yoyote bila yeye ni UDEMAGOG wa aina yake ambao wamekubaliana kwamba sisi tutakua tunapata mgao kwako,na kazi yetu ni kukupamba,kuusifia uongozi wako,kulinda mfumo kwa kubana uhuru wa habari,na kuwatisha wanaojaribu kutupinga kwa hoja.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael612312 күн бұрын

    Ni kunguni.

  • @aeshitoyota2499
    @aeshitoyota249911 күн бұрын

    Hili ni darasa kubwa sana inatakiwa vijana waipate elimu hii.

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd12 күн бұрын

    tz vijana amkeni, awa viongozi awtokuja badrika abadani, mpaka walazimishwe, wamelewa madalaka.

  • @birianination7097
    @birianination709711 күн бұрын

    Je umejaribu kutafakari madhara ya uchawa wajami, Tabia ya kusema au kufanya yale yatakayo pendwa na kushabikiwa na jamii. Kwa mfano kiongozi kulaumu serikali kwa kupanda kwa bei ya mafuta ingawa anajua sababu halisi, ila analalamikia serikali akijua kua watu watamsifu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything12 күн бұрын

    👊✌🙏

  • @jesaminzo
    @jesaminzo12 күн бұрын

    Jamhuri ya Uchawa! Ni kweli kabisa, tunakoenda ni giza totoro!

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    7 күн бұрын

    No tunatoka gizani kwenda kwenye nuru

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist12 күн бұрын

    samia ametengeneza mfumo wa uchawa na kuweka watu wanaoangalia upande wake hii italeta crisis in the future

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph787711 күн бұрын

    Taifa la hovyo sana tanzania vijana ndio taifa la kesho lakini tumekuwa machawa hatari sana uko mbele

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla818312 күн бұрын

    Ukubwa wa Serikali ya Tz ni gharama kwa walipa kodi isiyo na manufaa yoyote kwani mwenye mamlaka ya maamuzi ni mmoja tu.(Rais). Ndio maana ya uwepo wa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, kiutendaji kwa maufaa ya Watanzania, HAUNA FAIDA yoyote zaidi ya manufaa kwa Rais pekee.

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema972711 күн бұрын

    Vijana sasa awmepoteza kujiamni, hata kusimamia taaluma zao ndo maana mambo mengi yameharibika!!!

  • @bilid4128
    @bilid412812 күн бұрын

    Na Mimi ni Afred K ,karibu 😂😂😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446411 күн бұрын

    Labda iwekwe kwenye mitaala ya elimu, maana hata kwenye jamii zetu hiyo hali ya uchawa IPO, akionekana mtu kwenye ukoo au familia ana kapesa au ka cheo mhh hata kama akikosea hakemewi wala hakosolewi, ni kumsifia tu. Ole wako mwenzangu nA mie huna hela halafu ukamsema utatengwa na ukoo au familia. Kwa hiyo kama tunataka hii hali iondoke tuanzie kwenye familia

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz12 күн бұрын

    Uchawa ndio tunaumia raia w Tanganyika uchawa,leo maduka yamefungwa mtajiju,TRA wafungue Duka lao c kudhulumu raia ili faini y million 12 wazilipe

  • @pandungozi1072
    @pandungozi107211 күн бұрын

    Dawa ya machawa ni closon poison😮

  • @mgungulem3187
    @mgungulem318711 күн бұрын

    Mafisiem yote ni machawa

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe154412 күн бұрын

    Habari hii iwafikie wabunge, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengine wote

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa836011 күн бұрын

    Inatia aibu msomi mzima kumsifia mtu, ni unafiki na utumwa wa fikra

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege621012 күн бұрын

    Ni uchawa na kujikombakomba na unafiki.

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v12 күн бұрын

    Chanzo cha uchawa hutokana na kiongozi anayeongoza Taifa kwa muda husika, na linaweza kuzuiliwa na kiongozi husika kwa muda husika, je!, ni kwanini viongozi wetu wanapenda kusifiwa sifiwa?.

  • @venanceassey7909
    @venanceassey790911 күн бұрын

    Wakumbushe watawaka kuwa bila kilimo.hatuwezi kusonga mbele

Келесі