Tozo Kwenye Gesi. Ni Nani Aliyetuloga Watanzania? | Mtazamo wa Pili

Karibu kwenye Mtazamo wa Pili (Ep 04), katika kipindi hiki tumeangalia Tozo ambayo serikali imependekeza kwenye bajeti yake ya mwaka 2024/25 kwa ajili ya gesi inayotumika kwenye magari
Tanzania ina takribani futi za ujazo za gesi Trilioni 57, hata hivyo ni asilimia moja tu imeweza kutumika katika kipindi cha miaka 20,serikali imependekeza kuweka tozo ya 382 kwa kila kilogramu inayotumika kwenye magari, haya ni maendeleo au la? fuatilia kwenye uchambuzi huu.
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 34

  • @Mpakele
    @MpakeleАй бұрын

    Huku Wanasema nishati safi, Huku wanaongeza bei ya gesi ili watu washindwe kuitumia

  • @UncleBigi

    @UncleBigi

    26 күн бұрын

    Cjui wanaona tunafaidi sana au lengo ni turudi kwenye mafuta 😢

  • @dullyjabri8393
    @dullyjabri839323 күн бұрын

    Kwa kifupi toka tumpoteze Magufuli sitaki tena kusikiliza Habari. Kwa mambo kama hayo vìongozi wa nchi wanapiga dili. Hawana huruma

  • @wilesadatare6866
    @wilesadatare6866Ай бұрын

    Yaani Tanzania kweli tumepigwa sana hawa watu walituingiza kwenye majanga sana

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias39227 күн бұрын

    Tozo kwenye kila kitu inawaumiza WANANCHI wa rika zote, saa hii tozo kwenye kutoa pesa kutumia simu janja makato ni makubwa mno, na zinaongezwa kiholela bila taarifa, UJANJA NYANI HII AU SIASA CHAFU....

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa844329 күн бұрын

    Hii nchi inawanufaisha familia fulani fulani maana haya mambo yangetokea nchi fulani wananchi wangefanya challenge kujua undani wake. Mfano kama yangetokea Kenya viongozi wangeshikishwa adabu lakini hapa kwetu Tanzania Kila wananchi tu wapole. Maana kiongozi akiamka anaota tozo nyingine na nyingine zisizo na tija Kwa maisha ya watanzania. hata hao wanaojiita wapinzani hawawezi tena kuhoji maana wameshapewa mafungu yao

  • @yusuphmark3257
    @yusuphmark325729 күн бұрын

    Kaka kaka hongera sana kaka nakuelewa snaa MUNGU aendelee kubariki kazi ya mikono yako unanifanya sasa naielewa nchi yangu vizur sana

  • @KanyanaGerald
    @KanyanaGeraldАй бұрын

    Umetisha sana brother for more explanation, tumelogwa na viongozi ambao sio wazalendo wanaotanguliza maslahi yao mbele kuliko taifa.

  • @BusokeloTV
    @BusokeloTVАй бұрын

    Daah uchambuzi jadidi. Ahsante sana Tony

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519Ай бұрын

    Kwakweli Kwahili Mwigulu hayuko sahihi. Tunatafuta kupromote clean and safe energy. Hapa tulipaswa kuwagawia wananchi bure. Bei ya mauzo ingetosha. Kuweka tozo juu ya gesi nikuzuia tusiende kwenye clean energy. Nimesikia kwamba mheshimiwa Mwigulu ni Daktari! Is it true?

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158Ай бұрын

    Ubinafsi Ndo Tatizo letu Hatuwazi Vizazi na Vizazi Tunajifikiria sisi Tu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446424 күн бұрын

    Ni mekupa hongera kwa kumkumbuka Jpm. Kwa kweli pamoja na mapungufu yake alikuwa jembe

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari286729 күн бұрын

    Munauliza Nan kawaroga.. umemsahau muingereza na marekan hao ndio wameturoga nduguyangu.. kune mengi yanakuja mbona hayo bado.. mlisema tutaisoma sasa tunaisoma pamoja😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias39227 күн бұрын

    Mama WANANCHI wamekuamini lakini mhhh, jee mungu anakuona au....

  • @reginas1832
    @reginas1832Ай бұрын

    KENYA HOYEEE

  • @UncleBigi

    @UncleBigi

    26 күн бұрын

    Hoyee❤

  • @magesadani9058
    @magesadani905828 күн бұрын

    Walioko mbele yetu ndio hawapo kwa ajili yetu wapo kwa ajili yao na mamafya mabeberu shida iko hapo mpaka siku wabunge wetu wakiwa ni wawakilishi wa wananchi kiuhalisia

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629Ай бұрын

    Safi kwa uchambuzi huu niwakati wa watanzania kuamka Serikali ya CCM imeshindwa kusaidia wanainchi wake kwa kuwaongezea zigo la tozo lukuki wanainchi wake.

  • @allymganga3223
    @allymganga322324 күн бұрын

    Kishelia nchi izi za galf wenzetu wanaingia ubia lakini kama unavyo sema mkataba utakapotekelezwa na kuisha mali mitambo vinaludi kwa serekali nchi yetu tuna umaskini wa viongozi

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Ccm haijawahi kuwafikilia wananchi wa tanganyika juu ya kuwa punguza ghalama za maisha wanaona wakipunguza maisha kwa watanganyika hao wananchi watafaidi sana maisha

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m25 күн бұрын

    Ndo maana wakenya wanachoka nikitu kibaya sana tunaomba viongozi wasitufikishe huko kwa wakenya

  • @bilid4128
    @bilid4128Ай бұрын

    Daaah 🔥🔥🔥

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748Ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086Ай бұрын

    Kaka wacha kuharibu lugha yetu ni kuroga na sio kuloga nenda Tanga ukafundishwe kiswahili fasaha.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho180028 күн бұрын

    Tupunguze magari ya kifahari na matumizi yasiyolazima kuliko kupandisha gas.

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502Ай бұрын

    Mi sijui ni waziri sijui ni serikali lakini mambo wanayofanya ni ya hovyo ni hatusikii mkataba umeisha kwa sababu ni siri ili warudishie ufisadi JPM alisema bwawa likikamilika unit itauzwa sh 50 sisikii tena hicho kitu yaani ni shida

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana650225 күн бұрын

    Aliyewaroga aliisha fariki huyo ndo mtihani ambao mnayo

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Tuna ichi yeti au ya wachache tu

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyesАй бұрын

    Wakenya wanaandamana waTanzania mnasemea majumbani tu acha serikali iongeze tena tena msitumalizie bandos zetu wajinga ndo waliwao 2025 mitano tena😂😂😂

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael612324 күн бұрын

    Tanzania mafya ni viongozi..

  • @Worldunite
    @Worldunite27 күн бұрын

    Bandari tumemkabidhi mwekezaji DP kwamba tutapata faida, migodi nayo tumeingia mikataba, na maeneo mengi tumeingia mikataba, sasa kupitia mikataba yooote hiyo,ina maana wananchi tumepata ahueni gani zaidi ya kupigwa tozo kwenye simu na sasa gesi jmn?????

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2juАй бұрын

    Tunawasomi majambazi kwenye nchi hiiii na wanaingia mikataba ya kishenzi Kama huu mkataba pumbafuuuuuuuuuuuuuuuu

Келесі