Mwaka Mmoja Tangu Uasi wa Wagner. Rais wa Urusi Vladimir Putin Bado Yupo Imara?

Juni 24 mwaka huu ulitimia mwaka mmoja tangu wapiganaji wa majeshi binafsi ya Wagner wa nchini Urusi wakiongozwa na kamanda wao Prigozhin kufanya uasi uliodumu kwa takribani masaa 24.
Uasi huo wa wapiganaji wa Wagner uliibua mjadala mkubwa kote ulimwenguni kwa kuwa ilikuwa ni kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa Shirikisho la Usovyeti miaka ya mwanzoni mwa 1990, Urusi kushuhudia uasi wa namna hiyo.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 7

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn4 күн бұрын

    Mpo vizuri

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m4 күн бұрын

    Safi mh Putin.

  • @festohaule9716
    @festohaule97164 күн бұрын

    Pigozini alishapewa zawadi yake!!!

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan52854 күн бұрын

    Pigozin alimsaliti putin anaona mbal

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene4 күн бұрын

    Mtangazaji umekosa taharifa?

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59774 күн бұрын

    Putin afe

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    4 күн бұрын

    Hafi kwa sasa

Келесі