CHINA YAPELEKA MAJESHI YAKE URUSI| YATANGAZA KUWEPO KWA MATAIFA MENGINE KUUNGANA URUSI

Пікірлер: 90

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 Жыл бұрын

    Imekaa powa Pyongyang Viva Beijing Viva mosico Viva atauku mitaani tunaleta mapindunzi mapya yani Wana kuja Wana mapindunzi wapya daima tutapinga ubabe wanyonge wote tuungane

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Mazoezi ya mgambo,waguse moto wa marekani waonemoto,hao wanaokula mizoga watapigwa mpaka watapike panya

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Hilo jina tu eti Talimo ndio wale wale 🤣🤣🏃🏃 ili yamradi nawe u comment

  • @salehkombo8205

    @salehkombo8205

    Жыл бұрын

    Moscow

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Жыл бұрын

    ohooo NATO ,mmekwisha khakika

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 Жыл бұрын

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa

  • @elishantelekwa9793

    @elishantelekwa9793

    Жыл бұрын

    Hata mimi pia

  • @DottoMussa-ro6rw

    @DottoMussa-ro6rw

    19 күн бұрын

    utanipitia na mie naandaa mabegi

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Жыл бұрын

    Umefika mda wa mataifa makubwa kuzifinya Nchi masikini zinazotegemea wazungu zitakufa njaa Maneno ya Mungu yanasema Amelaniwa mtu Amtegemeae mwanadamu maana moyoni amemwacha Mungu, Afrika tuache kutegemea wazungu,hiyo Ni Rana,

  • @ramirezsaane7444
    @ramirezsaane7444 Жыл бұрын

    Big up sana broo upo vizuri

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 Жыл бұрын

    Asante saana kwa taarifa

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 Жыл бұрын

    Mwana tupo pamoja mdukuzi wabongo tuna kupata

  • @wamburamaswe8073

    @wamburamaswe8073

    Жыл бұрын

    Hii ndoimekaa vyema wangu

  • @jumamalkio4210
    @jumamalkio42102 ай бұрын

    Tumechoka kutungiwa Sheria wenyewe hawazifanyi hizo sherea

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Жыл бұрын

    SAFI komesha nato muuwaji wa viongoz wa africa wasio na hatia

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Hawawezi kitu watapigwa kipigo cha mbwa koko

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Marekani atawafanyakitu mbaya,

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 Жыл бұрын

    Asante kwa taarifa

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 Жыл бұрын

    Aisee mmepotea wapi..? Habari zimeisha huko..?

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 Жыл бұрын

    Kama wangap iv?, nimeisubir Sana iyo Bado n korea

  • @eriasorina5119
    @eriasorina5119 Жыл бұрын

    Kwani mlienda wapi sioni apdate zenu siasa za kweti ni Elias

  • @jumamalkio4210
    @jumamalkio42102 ай бұрын

    Huo ndio upendo wa dhati

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Жыл бұрын

    Asante kwa taarifa Putin 🤛🤛

  • @elishantelekwa9793
    @elishantelekwa9793 Жыл бұрын

    Hata hvo hatua hyo ilichelewa unganeni then perish manyangau

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 Жыл бұрын

    Haya viinchi vya kiafrika ndio vitajifia tu njaa zao vita ya mataifa makubwa ikipamba moto miongoni mwa mataifa makubwa na tajiri

  • @tinangimba8909

    @tinangimba8909

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @naimanjoshuazakaria2009
    @naimanjoshuazakaria2009 Жыл бұрын

    Weka mlio mwingine toa gunji gunji

  • @pastorygeraz9582
    @pastorygeraz9582 Жыл бұрын

    Asia's powerful 2new world order America nao wafanye kwao sio Korea ..watakoma wamaks na ukoloni

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Жыл бұрын

    wanao comment ujinga vita ikianza huko America ndo mtajua kurud kwenu tena mnao ishi nchi za nje mkakimbia nchi zenu acha vita ianze kweli tuone mtakimbilia wap asa rangi nyeusi kila mmoja anze kujianda kurud aliko toka hi vita ikianza ndo mtajua kua wachina na Russia na iran India mwoto utakua balaaaa mnao penda America apo ndo mtaisoma number waswahili wanasema dilili ya mvua mawingu sasa hivi izo nchi zinajianda vita

  • @amirinestory
    @amirinestory Жыл бұрын

    Vita ya tatu ya dunia inanukia,hizo Ni lasha lasha mvua kubwa inakuja

  • @kassuqutbi2199

    @kassuqutbi2199

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Hakunakitu,kunamchezo marekani anawachezea hawa mabwege,urus,na China,anataka kuzishusha kiuchumi,ziwe masikini,ili azitawale,subr ucheke

  • @reubenbushiri1753

    @reubenbushiri1753

    Жыл бұрын

    @@geraldtarimo3210 we ndo umenena kweli kabisa exactly

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu Tarimo kitu kama hukijui ni bora uwe kimya usiwe una comment ujinga ujinga kwa mfano mm nipo huku UK 🇬🇧 yaani mpaka nakuonea huruma hii nikuonyesha kama umefunikwa kwenye mtungi na hujui kinachoendelea nnje pole sana ndugu yangu we kaa hivyo hivyo na ujinga wako hii ni kuonyesha huwa unakesha kuangalia 📺 za cnn na bbc tafuta kitu kinaitwa RT yaani Russia today 📺 ili uondoe matongo tongo kwenye mijicho yako

  • @geraldtarimo3210

    @geraldtarimo3210

    Жыл бұрын

    Kuwa UK hakumanishi kuwa na uelewa,kilamtu anaukomo wa uelewa wake,ndiyomaana kilamtu anauhuru wakutoa maoni kulingana nauelewa alionao

  • @eliaelialugongo9617
    @eliaelialugongo9617 Жыл бұрын

    Wacha kinuke

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Жыл бұрын

    Acha wafinyane eeeyetu niatari mno yetu macho na masikio

  • @abdallahyusuph8715
    @abdallahyusuph8715 Жыл бұрын

    Vita vya tatu Dunia vinanukia.

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Жыл бұрын

    Mrusi na mchina ni masheitwani wawili

  • @maulidipingika4452

    @maulidipingika4452

    Жыл бұрын

    Na ww ni nan

  • @yohanamasebo3478

    @yohanamasebo3478

    Жыл бұрын

    MAREKANI JAMBAZI SANA ndiye shetani hao wengine ni wasafi sama nyakati imetabiriwa kwenye biblia soma ezekiel 38:7

  • @sadyrajabu9318

    @sadyrajabu9318

    Жыл бұрын

    Unaumwa nyie ndo mnaohitaji mapenzi ya jinsia moja

  • @johnabel4308

    @johnabel4308

    Жыл бұрын

    Unaongea2 maana hujui atakinachoendelea.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Жыл бұрын

    Sikumoja tutashuhudia kama walivyoshuhudia watu wa sodoma nagomola, vilevile wakati wamafuriko ya Noah tujitayalishe,!!!

  • @amiriforjesus8689

    @amiriforjesus8689

    Жыл бұрын

    Kabisa maana hizi nisiku za mwisho YESU KRISTO anarudi na razima kutokee vita kama arivyo sema nikikaribia kurudi taifa ritaondoka na kwenda kupigana nataifa ringine

  • @tinangimba8909
    @tinangimba8909 Жыл бұрын

    Tuyaonapo haya tuchangamshe vichwa vyetu

  • @jabuhamisi4015
    @jabuhamisi4015 Жыл бұрын

    Mabutu seseseko kukungwendu

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Жыл бұрын

    Mikwala2 hamna kitu

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 Жыл бұрын

    Uwingi si kitu. NATO kiboko. Hawezi kukubali kushindwa.....

  • @martinemifuko71

    @martinemifuko71

    Жыл бұрын

    Marekani hawaijui kwakweli wanajihami tu

  • @mohammedbinjumaabinaweisal9188

    @mohammedbinjumaabinaweisal9188

    Жыл бұрын

    Wale walioshindwa pale Afghanistan na Syria ni necta sio NATO

  • @rahmajaffar794

    @rahmajaffar794

    Жыл бұрын

    Waswahili wanasema asiekubali kushindwa so Mshindani Ila sisi waafrica tujitahidi kwenye kilimo, ufugaji, na shuhuli nyengine za kiuchumi kwani Kuna dalili ngumu zinotukabili. Tusisahau kuimarisha ulinzi wa mmoja mmoja, jamii, taifa na kikanda kwani vita havichagui

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Жыл бұрын

    Urusi, China na N. Korea ni Mikwara tu, Marekani wanapajua lkn wanaishia kupiga kelele tu.. Wajaribu hata kupiga kombora mpakani mwa Marekani tuone

  • @nasseralhatmi1762

    @nasseralhatmi1762

    Жыл бұрын

    Mie nashangaa watu kama nyie marekani unaitwa mweusi sio nchi yako na bado unawatetea hao sijui unapenda mbooo zao?

  • @saidmathayo872

    @saidmathayo872

    Жыл бұрын

    @@nasseralhatmi1762 ww mbona unafirwa mkundu na baba yako mzazi hatusemi. Shoga mweusi we.

  • @omarsaid4702

    @omarsaid4702

    Жыл бұрын

    Marekani anamuogopa mrusi mbona ameshindwa Ukraine urusi ni supa power ataichkua Ukraine yote

  • @saidmathayo872

    @saidmathayo872

    Жыл бұрын

    @@nasseralhatmi1762 punguza ujinga fala ww, wale weusi kule sio kwao Kivipi. Si bora marekani wanaishi weusi wenzetu.

  • @yohanamasebo3478

    @yohanamasebo3478

    Жыл бұрын

    UNAONGEA KAMA MLEVI MAREKANI NAYE HANA UWEZO WA KURUSHA KOMBORA URUSI ITAKUWA NDO MWISHO WA MAREKAN

  • @bertrandniyonkuru8523
    @bertrandniyonkuru8523 Жыл бұрын

    Andka kinachoeleweka

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Жыл бұрын

    Urus na China ninchi zenye utawala wakipuuzi kabisa Tena wanamkakati wakuangusha utawala wakiloma ,wanaoshabikia bila kuogopa/kutafakali tutakujakujuta,nasikitika sana!!!!!

  • @chazy7ya216

    @chazy7ya216

    Жыл бұрын

    Kwani roma ni nchi au niutawala ww ndio ujui ulipo sasa Dini yakweli iliyobaki ni orthodox ambayo ipo urusi Bible yao haikubadilishwa kama yetuyakiroma yakiroma kilasiku wanabadilisha vifingu mwombe Mungu akuonyeshe njia sahihi kwanza urusi akuna mashoga lakini roma wapo na israel wapo

  • @hilarylaurian7896

    @hilarylaurian7896

    Жыл бұрын

    Umenena ukweli. Warusi wanapinga New World Order ambayo Marekani na washirika wake wanataka kuileta itakayoongozwa na Ant Christ(666) ambayo inataka kuleta dini moja, serikali moja hadi jeshi moja. Warusi ndio watetezi wa mwisho wa imani. Wamarekani ambao kiasilia ni Freemasons wanaotaka kuleta NWO kwa kumshusha Kristo fake pale Israel wanawaona Warusi ni nuksi. Ila warusi watasimamia wanachokiamini

  • @josephmakutano7067

    @josephmakutano7067

    Жыл бұрын

    @@chazy7ya216 unapendasana dictator wewe nijamii yamaccm nimekwelewa,

  • @gervasexavery2977
    @gervasexavery2977 Жыл бұрын

    Anatafutwa mtawala wa dunia MWENYE no 666 anakuja Wala si mda mrefu. lazima uwepo mlango wa kuingilia .

  • @alinekasinyabo4959
    @alinekasinyabo4959 Жыл бұрын

    Urusi ime ishiwa nguvu ina itajaji msahada sasa hahaha 🤣🤣🤣🤣 Ukrainian nyama zingine zile za Kichina zina kuja kule kwenu ila mukuwe makini muzi vaccines kwanza mbele zikuye pigana Ukrainian juu zina yala Corona virus 🦠 American 🇺🇸 super power please Mufukuze ba immigration kwanu na ba Refugees bote muba fukuze juu habana shukrani bana ba Africa and student 👩‍🎓 bote mufukuze kwenu

  • @amarali05

    @amarali05

    Жыл бұрын

    Ukute huyu ni guy

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Nahisi una firwa na mmarekani si bule ndugu yangu tena pole sana

  • @rosemuhandoofficial5676

    @rosemuhandoofficial5676

    Жыл бұрын

    Ndugu zako wa Congolese refugee's wamejazana huku tz NAO tunawafukuza,jipange

  • @jumaseif548
    @jumaseif548 Жыл бұрын

    Ngoja niaze mazoezi kabisa maana uondo unakuja

  • @uwimanauwimana7692

    @uwimanauwimana7692

    Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 Жыл бұрын

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa

  • @josephmakutano7067

    @josephmakutano7067

    Жыл бұрын

    Hunaakili hujuwi maana yakuwepo kwa taasisi mhimu duniani,Au wewe unamatatizo kiakili,kuwakiongozi nikuonyeshanjia,unasumbuliwa naubinafusi hupendi haki

  • @jambiajuma7199

    @jambiajuma7199

    Жыл бұрын

    @@josephmakutano7067 nani hana akili? Ulitaka nishobokee Wenda wazimu kama wewe? Peleka uhanisi wenu huko.taasisi zakukomba Mali za wengine? Poyoyotu usie jielewa

  • @josephmakutano7067

    @josephmakutano7067

    Жыл бұрын

    @@jambiajuma7199 wewe hunauwezo wakubuni chochote unategemea Nini zaidi yawazungu kujakukukomba, ujinga unakusumbua tu,

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Жыл бұрын

    Mnatoa faraja ulimwenguni napenda hizo taarifa zenu zina furahisha hao mabeberu yanaipata ukoloni umeisha

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 Жыл бұрын

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa

Келесі