MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...

MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 39

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha676412 күн бұрын

    Bro Makonda, nikwambie neno moja tu, mwenyezi mungu azidi kukulinda, ameen 🤲

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt12 күн бұрын

    Kaka wewe mungu akulinde sanaa ktk kazi hii uliyolisi kutoka kwa babayetu magu

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda350212 күн бұрын

    Muheshiwa Makonda Mungu akutie nguvu na akulinde kwa k unachapa kazi kuwasaidia Watanzani Mkoani Arusha

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim764512 күн бұрын

    Mungu akutie nguvu na akulinde mheshimiwa! Nimelia machozi kumusikia huyu mama akizungumzia hili tukio😭

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g12 күн бұрын

    Wallah haya matukio ya ubakaji yamekuwa tishio kwa Taifa zima Mungu atunusuru na vizazi vyetu. Halafu wabakaji hawachukuliwi hatua wapo tu

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    12 күн бұрын

    Aaamin.

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe47111 күн бұрын

    Uozo mwingi sana tanzania.. Huu ni unyama gani.. Kama hao watu wafungwe maisha.. Pole sana mama

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni833212 күн бұрын

    Mungu akulinde Makonda

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb280812 күн бұрын

    Mungu awe nawe makonda nakukubali Sanaa toka kwa magu🙏🙏🙏🙏piga virungu wara rushwa

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary66710 күн бұрын

    The guy is very humble, respectively and so on.

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z12 күн бұрын

    Aiseee uyo brother ni hatari

  • @JosephAnangisye
    @JosephAnangisye12 күн бұрын

    Mkuu wa wilaya wanamlalamkia ni tatzo anakul kodi zetu tu

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z12 күн бұрын

    Oyaaaa makonda nirushie nomber Yako nikupe gifti

  • @dativachuwa3566
    @dativachuwa356611 күн бұрын

    Mh!Mungu akubariki mno chochote kinachotumwa juu yako hakina mamlaka katika Jina la Yesu

  • @JudetyMbila
    @JudetyMbila10 күн бұрын

    Mungu akulinde,uendelee kusaidia wanyonge

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11869 күн бұрын

    Siamini kama ni Tanzania😢 Police ndiyo chanzo cha matatizo yote haya hawafannyi kazi zao😢 😢

  • @Nedjadist
    @Nedjadist12 күн бұрын

    Sidhani kuna nchi raia wake wanadhulumiwa kama Tanzania, ukitoa nchi zilizo vitani.

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe84511 күн бұрын

    Safi Baba kigani mungu akulinde siku Zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv12 күн бұрын

    Huyo Dc aangaliwe vizuri hayuko nawewe huyo ,akiwa nawe nimwema lakini akiwa nawengine niadui huyo,

  • @husseinmrisho8601
    @husseinmrisho860112 күн бұрын

    Mungu akulinde umekuwa faraja kwa wengi

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz11 күн бұрын

    Laanahtullah hao n kua tu, wamekula utamu saa mkono wamemkata ynn,

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno791412 күн бұрын

    Jesus

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11869 күн бұрын

    Nchi haina hata haki za binadamu shem on Tanzania

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m12 күн бұрын

    Tanzania munasema hakuna vita kuna vita zaidi ya kuonewa. Nyinyi maoga tu

  • @CholoFaizaan

    @CholoFaizaan

    12 күн бұрын

    Niwatanganyika hao cci wazanzibar hatutaki huo ujinga

  • @allyfutto8763
    @allyfutto876312 күн бұрын

    Jembe!

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke69512 күн бұрын

    Makonda tatizo lako unapenda kujisifu mwenyewe acha watu wakusifu bhana

  • @cyliruta5021

    @cyliruta5021

    12 күн бұрын

    Rubbish 😊

  • @rashidmsuya5721

    @rashidmsuya5721

    12 күн бұрын

    Kwaiyo apo kajisifu wap?

  • @dativachuwa3566

    @dativachuwa3566

    11 күн бұрын

    Wewe hayajakukuta kwa familia yako laiti ungejua huyu mama alivyoteseka selina hospital ya Ngaramton

  • @user-uc6fd9md2q

    @user-uc6fd9md2q

    11 күн бұрын

    Amejifu nn hapo.ukimchikia mtu mchukie kwa sababu zako binafs.sio kumponda

  • @MariamJames-b5x

    @MariamJames-b5x

    11 күн бұрын

    Hapo kajisivu nini au nawewe niwalewale

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni833212 күн бұрын

    Hilo nitatizo lakitaifa yapo mengi sana

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p11 күн бұрын

    2025 tunahitaj Rais yani akitoa saut au agizo linafanyiwa kaz kwa mda huo R.lp pombe tutakukumbuka

  • @beneginoboniface
    @beneginoboniface11 күн бұрын

    Hivi Sheria ya maadili inajulikana kweli haya mambo Ili yaweze kuisha ni lazima kutimiza Sheria ya maadili MTU akibaka ni lazima sehemu aliyotumia kubakia kukatwa MTU akiua ni lazima auawe hiyo Sheria inahitajika kuwekwa wazi

  • @beneginoboniface

    @beneginoboniface

    11 күн бұрын

    Akiua kwa makusudi ni lazima auawe kwa namna Ile ile

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405412 күн бұрын

    NAKUKUBALI MUESHIMIWA MAKONDA UBALIKIWE KWA UMAKINI WAKO ❤❤❤

  • @user-di3lr4xb9c
    @user-di3lr4xb9c12 күн бұрын

    Mungu akutangulie kwa kila jambo

Келесі