MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...
MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 39
Bro Makonda, nikwambie neno moja tu, mwenyezi mungu azidi kukulinda, ameen 🤲
Kaka wewe mungu akulinde sanaa ktk kazi hii uliyolisi kutoka kwa babayetu magu
Muheshiwa Makonda Mungu akutie nguvu na akulinde kwa k unachapa kazi kuwasaidia Watanzani Mkoani Arusha
Mungu akutie nguvu na akulinde mheshimiwa! Nimelia machozi kumusikia huyu mama akizungumzia hili tukio😭
Wallah haya matukio ya ubakaji yamekuwa tishio kwa Taifa zima Mungu atunusuru na vizazi vyetu. Halafu wabakaji hawachukuliwi hatua wapo tu
@nurdinmfamau3493
12 күн бұрын
Aaamin.
Uozo mwingi sana tanzania.. Huu ni unyama gani.. Kama hao watu wafungwe maisha.. Pole sana mama
Mungu akulinde Makonda
Mungu awe nawe makonda nakukubali Sanaa toka kwa magu🙏🙏🙏🙏piga virungu wara rushwa
The guy is very humble, respectively and so on.
Aiseee uyo brother ni hatari
Mkuu wa wilaya wanamlalamkia ni tatzo anakul kodi zetu tu
Oyaaaa makonda nirushie nomber Yako nikupe gifti
Mh!Mungu akubariki mno chochote kinachotumwa juu yako hakina mamlaka katika Jina la Yesu
Mungu akulinde,uendelee kusaidia wanyonge
Siamini kama ni Tanzania😢 Police ndiyo chanzo cha matatizo yote haya hawafannyi kazi zao😢 😢
Sidhani kuna nchi raia wake wanadhulumiwa kama Tanzania, ukitoa nchi zilizo vitani.
Safi Baba kigani mungu akulinde siku Zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Huyo Dc aangaliwe vizuri hayuko nawewe huyo ,akiwa nawe nimwema lakini akiwa nawengine niadui huyo,
Mungu akulinde umekuwa faraja kwa wengi
Laanahtullah hao n kua tu, wamekula utamu saa mkono wamemkata ynn,
Jesus
Nchi haina hata haki za binadamu shem on Tanzania
Tanzania munasema hakuna vita kuna vita zaidi ya kuonewa. Nyinyi maoga tu
@CholoFaizaan
12 күн бұрын
Niwatanganyika hao cci wazanzibar hatutaki huo ujinga
Jembe!
Makonda tatizo lako unapenda kujisifu mwenyewe acha watu wakusifu bhana
@cyliruta5021
12 күн бұрын
Rubbish 😊
@rashidmsuya5721
12 күн бұрын
Kwaiyo apo kajisifu wap?
@dativachuwa3566
11 күн бұрын
Wewe hayajakukuta kwa familia yako laiti ungejua huyu mama alivyoteseka selina hospital ya Ngaramton
@user-uc6fd9md2q
11 күн бұрын
Amejifu nn hapo.ukimchikia mtu mchukie kwa sababu zako binafs.sio kumponda
@MariamJames-b5x
11 күн бұрын
Hapo kajisivu nini au nawewe niwalewale
Hilo nitatizo lakitaifa yapo mengi sana
2025 tunahitaj Rais yani akitoa saut au agizo linafanyiwa kaz kwa mda huo R.lp pombe tutakukumbuka
Hivi Sheria ya maadili inajulikana kweli haya mambo Ili yaweze kuisha ni lazima kutimiza Sheria ya maadili MTU akibaka ni lazima sehemu aliyotumia kubakia kukatwa MTU akiua ni lazima auawe hiyo Sheria inahitajika kuwekwa wazi
@beneginoboniface
11 күн бұрын
Akiua kwa makusudi ni lazima auawe kwa namna Ile ile
NAKUKUBALI MUESHIMIWA MAKONDA UBALIKIWE KWA UMAKINI WAKO ❤❤❤
Mungu akutangulie kwa kila jambo