Majeshi ya Ukraine Yaachia Mji Mwingine, Zelensky Alalamika Kuchelewa Kwa Misaada

Siku za hivi karibuni zimekuwa mbaya kwa wapiganaji wa jeshi la Ukraine kufuatia mashambulizi ya vikosi vya Urusi ambavyo vimeonekana kuendelea kusonga mbele kwenye maeneo mbalimbali ya mapigano nchini Ukraine.
Siku mbili zilizopita Ukraine imethibitisha kuwa vikosi vyake vilivyokuwa vimeweka ngome katika mji wa kimkakati wa kiulinzi wa Chasivu Yar wameukimbia mji huo, na kurudi nyuma kufuatia majeshi ya Urusi kuwazingira.
Makamanda wa kijeshi wa Ukraine wamesema kuwa uamuzi wa kuuachia mji huo ulilenga kuhakikisha usalama wa vikundi vya wapiganaji wa zaidi ya Brigedi tano waliokuwa wameweka ngome mjini Chasivu Yar.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 26

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw15 күн бұрын

    hapana sio Ukraine kashindwa ni marekani imeshindwa km kawaida yake

  • @faridaseif657
    @faridaseif65715 күн бұрын

    I love u jack

  • @jaquelinevictorv9690

    @jaquelinevictorv9690

    14 күн бұрын

    Thank you ❤

  • @danielsilungwe3596
    @danielsilungwe359616 күн бұрын

    Asante sana kwa talifa zelu ukn atajuta

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo777915 күн бұрын

    Marekani wanaidanganya ukraine

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche8 күн бұрын

    Marekani na nato wamekimbia kijiji.zelesky ameshindwa zamani.

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel489316 күн бұрын

    Putini piga hasa,

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw15 күн бұрын

    Ongera kwa urusi...

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud157715 күн бұрын

    Sio siku za karibuni siku zote wanajali ngumu

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila41183 күн бұрын

    Misaada yote hiyo lakini bado tu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota583815 күн бұрын

    😂😂😂😂Eeee wapigwe tu, Sawa kabisa

  • @user-lv1ki7nn7t
    @user-lv1ki7nn7t15 күн бұрын

    Wanaume wapo kazini Russia foreva ,Good job saaaana taifa letu pendwa Russia ❤❤❤❤❤mashoga lazima waseme mbwa wale na bado wataachia mji mmoja baada ya mwingine

  • @festohaule9716
    @festohaule971616 күн бұрын

    Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...

  • @saleemsuleiman2220

    @saleemsuleiman2220

    16 күн бұрын

    Hatumii Akili angekubali yaishe tu

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz15 күн бұрын

    Acha uruss iwatandike hao wapuuzi naamini uruss kiboko ya mashoga

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go15 күн бұрын

    Watajua wenyewe 😢

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo630215 күн бұрын

    Kwani zile silaha za kupiga urusi si juei tu amepewa

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh9 күн бұрын

    Sema vkoc vya nato

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda989215 күн бұрын

    KUBARI UMESHINDWA KUMBUKA NGUO YA KUAZIMA HASTIRI MAUNGO HIYO URUSI NI LIDUDU LILILOSHINDIKANA UKAIDI WAKO UNAENDELEA KUANGAMIZA NCHI YAKO

  • @ibba8082
    @ibba808216 күн бұрын

    Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂

  • @peterludovick7020

    @peterludovick7020

    5 күн бұрын

    Alafu huo sio msaada ni mkopo sasa vita ikiisha huyo jamaa atajua hajui kabisa mbona hiyo nchi itakuwa ni kuifanyia kazi america tu

  • @ibba8082

    @ibba8082

    5 күн бұрын

    @@peterludovick7020 Ndio Mana Wakati Mwengine Nakubali kuwa Kwenda Shule Sio ndo Kuwa na Hakili Au Kuwa Mwerevu !!!

  • @solobennymwanshinga6714
    @solobennymwanshinga671415 күн бұрын

    Vita muitake nyie, lawama apewe marekani, kwan US ndo waliwatuma kupigana?

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola735115 күн бұрын

    Mpo vizuri

  • @bellasi349
    @bellasi3499 күн бұрын

    Acha upumbavu wako sasa apo pesa ya Tanzania inaingiaje why usiseme pesa za hukoguko ulaya mbuzi mweusi wewe

  • @fabiomemba9563
    @fabiomemba956316 күн бұрын

    Vivaa rusiaa❤

Келесі