No video

Volodymyr Zelensky Amshukia Modi wa India Kufuatia Ziara Yake Nchini Urusi

Mapema siku ya jana Rais wa Urusi Vladimir Putin alimkaribisha Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye yupo ziarani nchini Urusi kwa lengo la kuimarisha uhusiano kwenye maeno ya biashara ya nishati na uchumi kwa ujumla.
Mapokezi ya Modi yalikuwa ya aina yake, kwani licha ya Putin kumtembeza Modi kwenye makazi yake yaliyopo nje kidogo ya Moscow, wawili hao waliopoonana walisalimiana kwa bashasha na kukumbatiana kitu ambacho kilidhihirisha shauku ya mashirikiano baina ya wawili hao.
Hata hivyo wakati mapokezi hayo yakiendelea jijini Moscow, huko nchini Ukraine makombora ya Urusi yamelindima katika miji mbalimbali ikiwemo mji mkuu wa Kiev kupelekea vifo vya watu takribani 38 na wengine zaidi ya 190 wakijeruhiwa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 23

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rwАй бұрын

    Asante mody kazi nzuri

  • @ablestclemence7382
    @ablestclemence7382Ай бұрын

    Mwamba putin,,,,hiv huyu jamaa bado hajaoa😅😅😅

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fmАй бұрын

    Hao mashoga wa kimarekani ni washenzi mbona hao wanauwa Kila sehem au wakiuwa Hao sio kosa ila wenzao ndio kero hakika marekani ni mashetani wasio kuwa na faida kwenye hii dunia 😊

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2xАй бұрын

    Zelensky kazi anayo

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5dАй бұрын

    Gazaa kule amuoni kama ni ukatili putini fanya vyovyote unavyojua ww

  • @hashirali4587
    @hashirali4587Ай бұрын

    Jee gaza hakuna haki za binaadam?washenzi wakubwa

  • @Chewy___
    @Chewy___Ай бұрын

    Zelenskyy is like Oliver Twist “please sir can I have some more”

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9znАй бұрын

    Zelenski anaua raia wake bila sababu ya msingi huyu kweli mpuuzi

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828Ай бұрын

    Putini unauwa watu unapata faidagani kuuwa watu nchi siyo yako mungu anakulaani

  • @chrisdot9914
    @chrisdot9914Ай бұрын

    Zelensky kama nani? 😂 Nyie Chanzo ndio mnafanya kazi ya wabepari kupeleka agenda zao mbele

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796Ай бұрын

    Huraaa putin

  • @aeshitoyota2499
    @aeshitoyota2499Ай бұрын

    Wamagharibi wakiona hivi wanachanganyikiwa

  • @MbarakSoud
    @MbarakSoudАй бұрын

    Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah puting kapiga hospital israil amuongei anaoiga hospital anauwaaa watoto malipo hapa hapa duniani putin piga nguruwe haooo

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2qАй бұрын

    Zelensky atateseka sana

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5dАй бұрын

    Zelensiky ni kicha ambaye ayaelewrki

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874Ай бұрын

    Kwa nini hajasema Marekani na Ulaya wamekuwa bubu wakati Israel inahua watu wasio kuwa na hatia? Hata yeye Ukraine haija lahumu mahuaje ya GAZA. Unafikiri tu ndio Democrats yenu?

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6kАй бұрын

    Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa

  • @NassoroMbawala
    @NassoroMbawalaАй бұрын

    Putini hua wote paka hao huyo mmamerikani wakati anashusha mabomu Iraq. Libya. Uko akuna watoto walio stahili kuishi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112Ай бұрын

    Mpaka waseme

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535Ай бұрын

    Kubali yaishe bro utamaliza raia wako kiburi chako ndio kinampa hasira putin nyosha mikono juu maisha yaendelee? Mbona kitu simple tuh kataa kujiunga na nato huyo jamaa atakumaliza

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuicheАй бұрын

    Israel je! Uko gaza.

  • @Kituramohamed9698
    @Kituramohamed9698Ай бұрын

    Mashoga nipuuzi piga uko ulaya

Келесі