VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”

Пікірлер: 478

  • @movingdiamonds5718
    @movingdiamonds571821 күн бұрын

    Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa

  • @user-wh7gj9ug9s

    @user-wh7gj9ug9s

    20 күн бұрын

    Wao ndio hawajui

  • @habibnjowele7751

    @habibnjowele7751

    18 күн бұрын

    hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz

  • @aminata3702

    @aminata3702

    16 күн бұрын

    Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo

  • @alifbe4395

    @alifbe4395

    13 күн бұрын

    Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu

  • @karibunyumbani3824

    @karibunyumbani3824

    11 күн бұрын

    Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp23 күн бұрын

    Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    23 күн бұрын

    Putin sio putting

  • @Allybinamour

    @Allybinamour

    23 күн бұрын

    😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.

  • @jamesmwita2995

    @jamesmwita2995

    23 күн бұрын

    Spika kapigwa jicho hilo

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    23 күн бұрын

    ​@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂

  • @bashiruamri2167
    @bashiruamri216723 күн бұрын

    Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa

  • @user-hd8sm4mq6i

    @user-hd8sm4mq6i

    21 күн бұрын

    Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence417621 күн бұрын

    Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje

  • @professorimmah

    @professorimmah

    17 күн бұрын

    U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country

  • @ELIAMbise-sy5ue

    @ELIAMbise-sy5ue

    14 күн бұрын

    Napenda marekani na urusi50/50

  • @HarunaMassamaky
    @HarunaMassamaky23 күн бұрын

    Hongera Mh Tulia.Big up!

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower733323 күн бұрын

    Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    23 күн бұрын

    Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama

  • @josephngwega7398

    @josephngwega7398

    23 күн бұрын

    😂😂hapo akizingua atamkimbiza

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    23 күн бұрын

    Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂

  • @nimujocentre2173

    @nimujocentre2173

    22 күн бұрын

    😂😂😂😂​@@FerdinandCharles-ko7de

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    22 күн бұрын

    @@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli

  • @ludovicsaronganangawe2720
    @ludovicsaronganangawe272021 күн бұрын

    Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!

  • @florashauri9228
    @florashauri922823 күн бұрын

    Big up madam speaker,I'm proud of you❤

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg23 күн бұрын

    Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard93323 күн бұрын

    Putin aje Tanzania jaman naomba

  • @habibnjowele7751

    @habibnjowele7751

    18 күн бұрын

    shida wamerakani hawapendi

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f20 күн бұрын

    Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph833023 күн бұрын

    Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂

  • @johngerald4677
    @johngerald467723 күн бұрын

    Mzee anaona kama anapotezewa muda2

  • @issaalfani1030

    @issaalfani1030

    22 күн бұрын

    Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize

  • @objstv6976

    @objstv6976

    22 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @dadamuebrania1539

    @dadamuebrania1539

    21 күн бұрын

    Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅

  • @sheyosquad5755

    @sheyosquad5755

    21 күн бұрын

    Acha wenge ww

  • @elvisoscar9912

    @elvisoscar9912

    21 күн бұрын

    Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin

  • @jastinekyungai1023
    @jastinekyungai102323 күн бұрын

    Tz to the world superb sana @tulia

  • @erastozawadi8002
    @erastozawadi800223 күн бұрын

    Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu386623 күн бұрын

    mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote

  • @magesagambajr3546

    @magesagambajr3546

    23 күн бұрын

    Kijana unataka Vinu😅😅

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    23 күн бұрын

    Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe

  • @evarimdecoration4256

    @evarimdecoration4256

    23 күн бұрын

    Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah

  • @evarimdecoration4256

    @evarimdecoration4256

    23 күн бұрын

    Haaaaa haaaaa

  • @JamesJastin-bg1rx

    @JamesJastin-bg1rx

    23 күн бұрын

    Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake

  • @nickoemily8267
    @nickoemily826723 күн бұрын

    Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile857221 күн бұрын

    Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.

  • @greysondavid6445
    @greysondavid644523 күн бұрын

    Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.

  • @KELVINHENRY-j1k
    @KELVINHENRY-j1k11 күн бұрын

    Respect putting

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f20 күн бұрын

    Hatua kubwa sana madam tulia

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd23 күн бұрын

    Putin ni hatari

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m22 күн бұрын

    ❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee

  • @samwelkulagwa861
    @samwelkulagwa86120 күн бұрын

    Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu

  • @joshuawenceslaus2466
    @joshuawenceslaus246623 күн бұрын

    Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa684221 күн бұрын

    Safi sana Mhe. Speaker 👏💯

  • @user-dk4iq5ct6r
    @user-dk4iq5ct6r23 күн бұрын

    Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama

  • @kibedikamba7616

    @kibedikamba7616

    23 күн бұрын

    Kirusi cha UTI 😂😂

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga251323 күн бұрын

    Big up to sipika Tulia Rais ajaee

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d23 күн бұрын

    Jaman dada yngu mungua akutunze

  • @brother_majesty
    @brother_majesty23 күн бұрын

    noma

  • @christopherkiswaga9270
    @christopherkiswaga927023 күн бұрын

    Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv12 күн бұрын

    Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢

  • @user-yu2mb4bk8i
    @user-yu2mb4bk8i10 күн бұрын

    Mnyakyusa anaflow balaaa❤

  • @ErnestMhangwa
    @ErnestMhangwa22 күн бұрын

    I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .

  • @shaibukhamis863
    @shaibukhamis86323 күн бұрын

    Jamaa jicho alichezi sio poa

  • @ericktesha1668
    @ericktesha166823 күн бұрын

    Spika katulia sana

  • @SimuliziDhahiri

    @SimuliziDhahiri

    23 күн бұрын

    Kama jina lake

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus862320 күн бұрын

    Well presentation for national ❤

  • @allironjo2698
    @allironjo269823 күн бұрын

    Nimependa sana hasa ninapomuona Dr Tulia anaongea kwa heshima sana yani kama mwanafunzi wa darasa la pili kaitwa ofisini na mwalimu mkuu nimependa hongera spika wetu

  • @kaaakwakutuliaa5179

    @kaaakwakutuliaa5179

    23 күн бұрын

    anakufaidiisha na nini

  • @evarimdecoration4256

    @evarimdecoration4256

    23 күн бұрын

    Haaaaaa haaaaaaaa

  • @boniphacelusato

    @boniphacelusato

    23 күн бұрын

    Duuuuuh! Wewe Jamaa hatari sana. Umenivunja mbavu

  • @jumampenda5805

    @jumampenda5805

    22 күн бұрын

    😂,,😂😂

  • @khalifaaliomar7989
    @khalifaaliomar798923 күн бұрын

    Asante

  • @MSAMBWANYAKUSOTA
    @MSAMBWANYAKUSOTA21 күн бұрын

    Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation

  • @Allybinamour
    @Allybinamour23 күн бұрын

    Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.

  • @drgeraldcubwa481

    @drgeraldcubwa481

    23 күн бұрын

    Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO

  • @user-hq5qx1hu2x

    @user-hq5qx1hu2x

    22 күн бұрын

    Tulia NI kama zeelenziky tu Hastahili kukaa na putin

  • @SamsonLalika
    @SamsonLalika23 күн бұрын

    Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin

  • @allythabiti8150
    @allythabiti815023 күн бұрын

    Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS

  • @user-hq5qx1hu2x

    @user-hq5qx1hu2x

    22 күн бұрын

    Hilo ndo hitaji letu

  • @idiphoncekiimbi2021

    @idiphoncekiimbi2021

    22 күн бұрын

    Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu

  • @barakamwangeni6589
    @barakamwangeni658922 күн бұрын

    Hongera sana mh Tulia Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_23 күн бұрын

    Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana

  • @josephminja7953
    @josephminja795323 күн бұрын

    RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka522423 күн бұрын

    Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara23 күн бұрын

    IPO KAZI

  • @mwarabukabandama3797
    @mwarabukabandama379717 күн бұрын

    Big up🎉

  • @issakawaya8315
    @issakawaya831523 күн бұрын

    Ongera mauwa yako❤

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo515623 күн бұрын

    TULIA NI DOCTOR KWELIKWELI SHE DESERVES TO BE A PROFESSOR

  • @rashidkingazi3430
    @rashidkingazi343021 күн бұрын

    Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤

  • @edgarlinus2720
    @edgarlinus272023 күн бұрын

    Hongera sana Mh spika Tulia Akson

  • @maidimples8236
    @maidimples823623 күн бұрын

    Ur accent is fly for sure🔥

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_23 күн бұрын

    Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂

  • @user-zr1ry5lm7d
    @user-zr1ry5lm7d23 күн бұрын

    Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉

  • @MuungwaMtwana
    @MuungwaMtwana23 күн бұрын

    Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m10 күн бұрын

    Safi spika wetu TULIA.

  • @georgeherman5613
    @georgeherman56138 күн бұрын

    President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard21 күн бұрын

    Hongera sana mh Tulia

  • @nyaturuboy1068
    @nyaturuboy106822 күн бұрын

    I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god

  • @nth3512

    @nth3512

    22 күн бұрын

    Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy23 күн бұрын

    Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    23 күн бұрын

    Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy

    @TOUNDISELASSIE-xj8oy

    23 күн бұрын

    @@ramadhanmahongole9293 Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.

  • @johnv6916

    @johnv6916

    23 күн бұрын

    ​@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy

    @TOUNDISELASSIE-xj8oy

    23 күн бұрын

    @@johnv6916 Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.

  • @johnv6916

    @johnv6916

    23 күн бұрын

    @@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.

  • @SilasKanunga
    @SilasKanunga23 күн бұрын

    Inapendeza sana

  • @victorburetta2972
    @victorburetta297223 күн бұрын

    ❤❤

  • @user-uh5rs7me2m
    @user-uh5rs7me2m22 күн бұрын

    Tulia akson🔥🔥🔥🥰

  • @rev.thobias2756
    @rev.thobias27562 күн бұрын

    HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF

  • @AthanasFrancis
    @AthanasFrancis12 күн бұрын

    Long live African Queene!!

  • @godmbise-gj9ug
    @godmbise-gj9ug16 күн бұрын

    Great Tulia Ackson

  • @selemanisabihi5994
    @selemanisabihi599423 күн бұрын

    Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa860716 күн бұрын

    Wow....madame speaker congoreee

  • @The_Original44
    @The_Original4423 күн бұрын

    Piga kazi dada yangu🫡🙏❤️ God Bless You All🙏

  • @SirPiere
    @SirPiere23 күн бұрын

    Dah kweli tuongee na Putin the tujitambue ni nini tunafanya tusiende kama maonyesho kwa Putin ❤ just like it🎉 Doctor and Tanzanian speaker

  • @jimmandela

    @jimmandela

    23 күн бұрын

    Inaonekana alikua na wakat mzuri nchini Russia kuliko alichoenda kuzungumza

  • @neemakyando2579
    @neemakyando257921 күн бұрын

    Congratulation Tilia Ackson

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo23 күн бұрын

    HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    23 күн бұрын

    Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅

  • @KelvinMauky

    @KelvinMauky

    23 күн бұрын

    Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh

  • @Sh_Taqee

    @Sh_Taqee

    23 күн бұрын

    Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?

  • @linusluka5358
    @linusluka535814 күн бұрын

    Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima

  • @swahilitheafricantongue7041
    @swahilitheafricantongue704123 күн бұрын

    Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona

  • @Aminmwansile-we8vn

    @Aminmwansile-we8vn

    23 күн бұрын

    Mshukuru nawewe mungu kwa nafasi yako

  • @swahilitheafricantongue7041

    @swahilitheafricantongue7041

    23 күн бұрын

    Always namshukuru sana

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv21 күн бұрын

    Hongera mama yetu

  • @zefamange7281
    @zefamange728123 күн бұрын

    Mnafikiri urusi kuna msaada?😂

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu19 күн бұрын

    Asante Tulia Ackson

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es23 күн бұрын

    Glory be to God kwaajili ya speaker wetu

  • @NkwabiMasanja
    @NkwabiMasanja23 күн бұрын

    Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi598523 күн бұрын

    Yeah Putin I love you so much come and invest in Tanzania we have enough urenium in the southern part and also construct us a good standard gauge railroad from mtwara to songea Ruvuma to boost the economy in mtwara development corridor.we love you Putin and Russia.karibu sana nchi ya Mwl.Nyerere.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim715022 күн бұрын

    Nimependa Brics ❤

  • @rodamkunda9081
    @rodamkunda908121 күн бұрын

    Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia

  • @herilello4
    @herilello422 күн бұрын

    Happening Macho

  • @holyspiritpropheticministr3687
    @holyspiritpropheticministr368723 күн бұрын

    Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z16 күн бұрын

    Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.

  • @HABARIKATV-q3w
    @HABARIKATV-q3w23 күн бұрын

    Duh aise noma putin

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm17 күн бұрын

    Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala

  • @AtupokleLusago
    @AtupokleLusago17 күн бұрын

    Hongela mama umetuwakilisha wa tz.

  • @eliudbeyanga8575
    @eliudbeyanga857512 күн бұрын

    Safi spika wetu

  • @kibwetere1418
    @kibwetere141823 күн бұрын

    Pootin jama katulia na tulia wetu

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi950022 күн бұрын

    Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪

  • @mwamvitamwebeyo5547
    @mwamvitamwebeyo554721 күн бұрын

    Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka.. Kwa kichwa😂😂

  • @zully756
    @zully75623 күн бұрын

    Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.

  • @professorimmah
    @professorimmah17 күн бұрын

    Mh tulia your very brain I really likely your talking

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya732023 күн бұрын

    Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa

  • @user-kd6hp1pl5k
    @user-kd6hp1pl5k23 күн бұрын

    KAZI NJEMA SANA JEMBE LETU LA MBEYA CITY.MUNGU AKULINDE

  • @NkwabiMasanja

    @NkwabiMasanja

    23 күн бұрын

    Jembe kwakoooo

  • @user-hq5qx1hu2x

    @user-hq5qx1hu2x

    22 күн бұрын

    Mungu hawezi kumsamehe Acha unazi katika maslahi ya nchi.swala la mpina ni uonevu soma nilicho andika hapo juu

  • @igotv9978
    @igotv997822 күн бұрын

    Sawa

  • @japhethrogasiano-hp3lj
    @japhethrogasiano-hp3lj19 күн бұрын

    Mama tulia umeongea vizuri sana

Келесі