Masoud Pezeshkian achaguliwa kuwa Rais mpya wa Iran

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 43

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi931415 күн бұрын

    Tuko pamoja na Iran mpaka hatua ya mwixh 🇹🇿🇮🇷

  • @PUTINN365
    @PUTINN36515 күн бұрын

    Viva iran from tanzania

  • @abel_esam
    @abel_esam15 күн бұрын

    Umetisha Ally Masubi. Kudos kwako

  • @thefactbook...1607

    @thefactbook...1607

    14 күн бұрын

    Pamoja abel

  • @jkifutu7936
    @jkifutu793615 күн бұрын

    More blessings rais

  • @user-nq4ti9uh4h
    @user-nq4ti9uh4h15 күн бұрын

    Hongera, endeleza kazi ya ibrahim rais.

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4ef15 күн бұрын

    Kilalakheri masud

  • @jut1161
    @jut116115 күн бұрын

    Wazungu hawana nia safi na nchi nyengine zozote bila ya kuwa na maslahi yao mbele

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g14 күн бұрын

    Hapa iran wamepoteza

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw15 күн бұрын

    Yeye hana mamlaka hayo mwenye mamlaka hayo ni khomenei huyu hana mamlaka yoyote ya kupanga kitu ndani ya serikali ya khomenei

  • @drsilo
    @drsilo15 күн бұрын

    Iran bye byee 😢😢😢😢Allah awaongoze

  • @hopechidera

    @hopechidera

    15 күн бұрын

    Kwan Iran imetoweka kwa ramani ya dunia ?! Eti bye bye...

  • @moudys
    @moudys14 күн бұрын

    Hafai mpolesana

  • @hopechidera
    @hopechidera15 күн бұрын

    Jaman kwan vijana hawataki siasa?! Mbona wazee ndo wameanza ongoza kua marais inchi nyingi...

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley563215 күн бұрын

    Tuone atafata hatua kama ile ya kombora five hundred

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189915 күн бұрын

    Soon utasikiya haki za kina gasho kuruhusiwa

  • @hopechidera

    @hopechidera

    15 күн бұрын

    🤣🤣🤣eti gasho...

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    15 күн бұрын

    @@hopechidera Ao wa Ngese 😂😂😂

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z15 күн бұрын

    Uyo dactari kweli sio Tanzania kupeana vyeo pasipo Elimu .

  • @Pablolookman
    @Pablolookman15 күн бұрын

    Zao la wazee wa maghrib

  • @hajiramadhanihaji355

    @hajiramadhanihaji355

    15 күн бұрын

    Hapana

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp14 күн бұрын

    Watu wengi hawafahamu Iran haiongozwi na mtu bali na mfumo na msifikirie rais ana nguvu kias hiiicho la na la pil nani aliyekwambia mrithi wa supreme leader lazima atoke kwenye urais kwanza? Msichanganye mambo

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q15 күн бұрын

    Mnawaza bifu na wakati wa irani wanaitaji amani

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa213715 күн бұрын

    Yoyote atakae kaa mfumo wao ni ule ule tu

  • @mdimistudio6041
    @mdimistudio604115 күн бұрын

    Snitch kwaiyo😅au zao la wazee wa magharibiii

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw15 күн бұрын

    Kwisha iran

  • @hopechidera

    @hopechidera

    15 күн бұрын

    Kwisha na nini...

  • @raymrash
    @raymrash15 күн бұрын

    Ukimwangalia kama Myahudi😂😂😂😂

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @DAVIDMMASSY
    @DAVIDMMASSY15 күн бұрын

    Hatimaye wamekamilisha regime change in Iran from a hardliner to a diplomat wamemtoa kiongozi mwenye msimamo wamehakikisha anakuja kiongozi diplomat anaueamini kwenye mazungumzo tutaonja yatakayofuata

  • @radjabusuleiman6486

    @radjabusuleiman6486

    14 күн бұрын

    Hakuna kitakacho badilika, mwenye maamuzi Iran ni Ali khomeini

  • @veeJesus
    @veeJesus14 күн бұрын

    Hongera Rais Mpya wa Iran. Fanya vyote ila Usiguse kitu kinaitwa Israel kaa nao mbali la sivyo utamfata ibrahim rais jehanam mda si mrefu. Jizime data kama waharabu wengine 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱

  • @aishabrondi236

    @aishabrondi236

    14 күн бұрын

    Akili huna nyoko wewe

  • @veeJesus

    @veeJesus

    14 күн бұрын

    @@aishabrondi236 🐷🐷🐷🐷🐷

  • @mustaphakhamisikhamisi

    @mustaphakhamisikhamisi

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 ety akili huna

  • @mohammadabdallahmzee3825
    @mohammadabdallahmzee382515 күн бұрын

    Mbona kafanana na Bush

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x15 күн бұрын

    Sma anajamba tu tunataka alete uongo wake maana gaidi kafa tumweka mtu anaejua ubinadamu

  • @hatibumohamedi3471

    @hatibumohamedi3471

    14 күн бұрын

    wewe kafili ume umekuja nahuku kuharibu yuhoma kume kushinda nini

  • @alphoncemtahuka9938
    @alphoncemtahuka993815 күн бұрын

    Mmmmh wameisha ilan tayar huyo kawekwa na wazungu huyo

  • @eliasaNgahehwa-l2f

    @eliasaNgahehwa-l2f

    15 күн бұрын

    Unaijua iran wewe

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    15 күн бұрын

    Wamemchagua wananchi maana yake wairan wako against na sera za NCHI yao

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    15 күн бұрын

    Wamemchagua wananchi maana yake wairan wako against na sera za NCHI yao

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    15 күн бұрын

    Jipe moyo Sera ni zile zile

Келесі