Maandamano Nchini Kenya Yawaibuka Kenyatta na Odinga
Kufuatia maandamano na vurugu zilizotokea nchini Kenya siku ya Juni 25, 2024, Rais wa awamu wa nne wa nchi hiyo Uhuru Kenyata na Mwanasiasa mkongwe Raila Odinga wametoa matamko kukemea mauji yanayodaiwa kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya waandamanaji.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 2
Asante san
Aliacha deni kubw la taifa mpaka kuleta yote hayo ni nani??????? Ni knyata?