No video

Tanzania na Burundi Zilivyotaka Kuingia Vitani

Пікірлер: 25

  • @jumashedafa
    @jumashedafa15 күн бұрын

    Tamu san mmetukumbusha mbali...Kumbe hawa nao walituchokoz dah! Nyerere angewap dozi kidogo

  • @massive1765
    @massive176515 күн бұрын

    Pigo la Tanzania huwa ni kubwa- malecela

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa973215 күн бұрын

    Athari za vibaraka dhidi ya 🇹🇿 na wapo mpaka leo tena jiraàaaani

  • @user-cn9br7en7w

    @user-cn9br7en7w

    15 күн бұрын

    Kuna mataifa yanatuwinda sana kuondoa amani yetu ili wanufaike huku wakitumia baadhi ya mataifa ya Africa na baadhi ya hayo mataifa ya Africa tulishawaonesh kuwa wasidhubutu kamwe

  • @davidanselmo4041

    @davidanselmo4041

    14 күн бұрын

    Sijawahi waamini Majirani hususani wakenya kwa miaka hii

  • @gervasisaya4973
    @gervasisaya497314 күн бұрын

    Hizi ndo habari sasa..tanzania tumewavumilia mengi kutoka majirani zetu.lakini bado hawaoni thamani yetu..but there is a day they will know our presence😢

  • @tgeofrey
    @tgeofrey15 күн бұрын

    Madini

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc15 күн бұрын

    Angela Davis, a genius lady

  • @yassersahin6639
    @yassersahin663914 күн бұрын

    Ahsante sana kwa kuteelimisha watoto wa 2000 ndo tumejua leo Nchi yetu imepitia mambo mengi

  • @pascalduwe3092
    @pascalduwe309215 күн бұрын

    News we ought to know and so does the Nation be protected at all costs

  • @annasuday1592
    @annasuday159215 күн бұрын

    TANZANIA NI NCHI YA AMANI YA MUNGU HATUPENDI MACHAFUKO

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo14 күн бұрын

    Wazee wetu walikuwa wazembe sana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz519215 күн бұрын

    Ubaya ulianza zaman

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias54552 күн бұрын

    ipo siku tutayivamia tanzania ili turudishe kigoma yetu ipo siku kigoma itarudia Burundi historia hayifi

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn379811 күн бұрын

    Ila tatizo vipi walio poteza Maisha yao!

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn379811 күн бұрын

    Kwa wazee wetu walikua na hekima Sasa siuna Ona mpaka Leo walirudi kuwa pamoja wakasahau yaliyopita.

  • @randompad
    @randompad15 күн бұрын

    🤝🏿🤝🏿🤝🏿

  • @user-tn4ny3ii2t
    @user-tn4ny3ii2t15 күн бұрын

    Wemuongo

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    15 күн бұрын

    Umezaliwa mwaka gani we fara

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    15 күн бұрын

    Acha ujinga umezaliww mwaka unakaa unabisha bisha kipumbavu

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi964715 күн бұрын

    Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari

  • @happynesbaemuhappynes8813

    @happynesbaemuhappynes8813

    15 күн бұрын

    Hata Burundi pia wahutu waliuliwa sana

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi964715 күн бұрын

    Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari

  • @conesmo5266

    @conesmo5266

    15 күн бұрын

    Hata Burundi, soma historia ndg sio kubisha tu.

  • @Sadi_Tv

    @Sadi_Tv

    15 күн бұрын

    @@conesmo5266kabisa watu wengi hawajui wanajua Mauaji ya kimbali yalikua Rwanda tu, Rwanda mauaji ya kimbali yamepromotiwa sana kuliko ya Burundi

Келесі