Shangwe la CCM Wakimpomkea Mchungaji Peter Msigwa, Mwenyekiti wa CCM, Dk Samia Aimba "Mlete Msigwa"

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa leo ameonekana akipokelewa ndani ya ukumbi kinapofanyika kikao cha NEC-CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan.
Bado taarifa kamili kuhusiana na uwepo Msigwa katika kikao hiko haijatolewa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 52

  • @wilbardvalerian6556
    @wilbardvalerian65568 күн бұрын

    Big up keep it up

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu8 күн бұрын

    Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    8 күн бұрын

    Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣

  • @AwardHakimu

    @AwardHakimu

    8 күн бұрын

    @@dennisungonella205 mkuda sana huyo

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai4828 күн бұрын

    Siamini!!!!!!

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga45848 күн бұрын

    Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam8 күн бұрын

    Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    8 күн бұрын

    😂😂Msigwa kaonesha rangi zake halis

  • @emilmaarufu3734
    @emilmaarufu37348 күн бұрын

    😮

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole92938 күн бұрын

    👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    8 күн бұрын

    Hata Mimi siamini macho yangu

  • @user-bs2nr7gz5p

    @user-bs2nr7gz5p

    8 күн бұрын

    Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    8 күн бұрын

    @@user-bs2nr7gz5p hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini

  • @user-bs2nr7gz5p

    @user-bs2nr7gz5p

    8 күн бұрын

    @@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?

  • @Niika870
    @Niika8708 күн бұрын

    Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂

  • @mudhihirugara8845

    @mudhihirugara8845

    8 күн бұрын

    Nikweli

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43258 күн бұрын

    🎉🎉

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella2058 күн бұрын

    Mpaka aibu, dah msigwa😂😂

  • @user-gk1zp7nr7c
    @user-gk1zp7nr7c8 күн бұрын

    Mh haya

  • @user-yr8oq8gg2k
    @user-yr8oq8gg2k8 күн бұрын

    💆💆💆💆😭😭😭😭😭

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise8 күн бұрын

    Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b8 күн бұрын

    Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku79158 күн бұрын

    Haiwasadii,

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed95898 күн бұрын

    Watanganyika hawaminiki

  • @user-km3rl2yc8s
    @user-km3rl2yc8s8 күн бұрын

    😂😂😂Akili za hawa aisee

  • @hamisimweta4505
    @hamisimweta45058 күн бұрын

    Pesa ya Abdul

  • @georgemahenge
    @georgemahenge8 күн бұрын

    Kushindwa kura na sugu.kasepa

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12348 күн бұрын

    Yuda mkubwa sana

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo98708 күн бұрын

    Namuona Yuda eskarioti

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo98708 күн бұрын

    Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba9238 күн бұрын

    Tunakutakia safari njema

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b8 күн бұрын

    Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h8 күн бұрын

    AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter8 күн бұрын

    Kanunuliwa kishamba

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro90098 күн бұрын

    Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    8 күн бұрын

    Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni89978 күн бұрын

    KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    8 күн бұрын

    Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p8 күн бұрын

    Msingwa umekwisha

  • @piusmelkizedeck9823
    @piusmelkizedeck98238 күн бұрын

    Siasa ni unafki mtupu

  • @prospermalala6636
    @prospermalala66368 күн бұрын

    Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    8 күн бұрын

    Hatari sana

  • @janeshija6638
    @janeshija66388 күн бұрын

    Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    8 күн бұрын

    Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61598 күн бұрын

    Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    8 күн бұрын

    Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu

  • @emanuelgavile3503

    @emanuelgavile3503

    8 күн бұрын

    Safi sanaaa

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    8 күн бұрын

    @@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa

  • @ZaidAKissinza

    @ZaidAKissinza

    8 күн бұрын

    Mbona kama siamini mimi jamani, my God?

  • @JosephKembe-ee6bd

    @JosephKembe-ee6bd

    8 күн бұрын

    Mchumia tumbo kama nyinyi

Келесі