Shangwe la CCM Wakimpomkea Mchungaji Peter Msigwa, Mwenyekiti wa CCM, Dk Samia Aimba "Mlete Msigwa"
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa leo ameonekana akipokelewa ndani ya ukumbi kinapofanyika kikao cha NEC-CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan.
Bado taarifa kamili kuhusiana na uwepo Msigwa katika kikao hiko haijatolewa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 52
Big up keep it up
Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti
@dennisungonella205
8 күн бұрын
Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣
@AwardHakimu
8 күн бұрын
@@dennisungonella205 mkuda sana huyo
Siamini!!!!!!
Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu
Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda
@dennisungonella205
8 күн бұрын
😂😂Msigwa kaonesha rangi zake halis
😮
👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha
@jumakapilima7295
8 күн бұрын
Hata Mimi siamini macho yangu
@user-bs2nr7gz5p
8 күн бұрын
Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM
@ramadhanmahongole9293
8 күн бұрын
@@user-bs2nr7gz5p hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini
@user-bs2nr7gz5p
8 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?
Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂
@mudhihirugara8845
8 күн бұрын
Nikweli
🎉🎉
Mpaka aibu, dah msigwa😂😂
Mh haya
💆💆💆💆😭😭😭😭😭
Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa
Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho
Haiwasadii,
Watanganyika hawaminiki
😂😂😂Akili za hawa aisee
Pesa ya Abdul
Kushindwa kura na sugu.kasepa
Yuda mkubwa sana
Namuona Yuda eskarioti
Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.
Tunakutakia safari njema
Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu
AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE
Kanunuliwa kishamba
Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.
@dennisungonella205
8 күн бұрын
Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅
KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.
@dennisungonella205
8 күн бұрын
Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣
Msingwa umekwisha
Siasa ni unafki mtupu
Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm
@jumakapilima7295
8 күн бұрын
Hatari sana
Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.
@dennisungonella205
8 күн бұрын
Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao
Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi
@jumakapilima7295
8 күн бұрын
Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu
@emanuelgavile3503
8 күн бұрын
Safi sanaaa
@ramadhanmahongole9293
8 күн бұрын
@@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa
@ZaidAKissinza
8 күн бұрын
Mbona kama siamini mimi jamani, my God?
@JosephKembe-ee6bd
8 күн бұрын
Mchumia tumbo kama nyinyi