MPINA AIBUA MAZITO "NILITEGEMEA HILO, SIJAWAHI KULALAMIKA, MIMI NI MWAMINIFU" AMWIBUA NDUGAI NA....

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 20

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo17 күн бұрын

    Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.

  • @Shalom803
    @Shalom80317 күн бұрын

    Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊

  • @michaelmizambwa1246
    @michaelmizambwa124620 күн бұрын

    Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

  • @brendashao36
    @brendashao3620 күн бұрын

    Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina

  • @FelicianSimon

    @FelicianSimon

    20 күн бұрын

    😂😂

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i20 күн бұрын

    Pole sana!!

  • @user-sr9xz7od6p
    @user-sr9xz7od6p20 күн бұрын

    Kalibu chadema

  • @JosephMpina
    @JosephMpina20 күн бұрын

    Naamini munguatakutetea

  • @hakikahajijecha3558
    @hakikahajijecha355820 күн бұрын

    Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo... Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...

  • @paschalmartin9598

    @paschalmartin9598

    20 күн бұрын

    Wewe nyamaza huna unalolielewa

  • @user-kx5dt5ih2i

    @user-kx5dt5ih2i

    20 күн бұрын

    Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa

  • @George-jz3jg

    @George-jz3jg

    20 күн бұрын

    We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais

  • @FelicianSimon

    @FelicianSimon

    20 күн бұрын

    ​@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy

  • @monicachacha455
    @monicachacha45520 күн бұрын

    shida nini😂😂😂

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa778920 күн бұрын

    Jitafakari kwanza

  • @FrankAldo-z7y
    @FrankAldo-z7y20 күн бұрын

    Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau

  • @LazaroELucas
    @LazaroELucas19 күн бұрын

    Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo20 күн бұрын

    Kuna kitu hapa. Namwona Mpina akiwa chadema

  • @FelicianSimon

    @FelicianSimon

    20 күн бұрын

    Big no ccm hawata muangusha

Келесі