Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.
@Shalom80317 күн бұрын
Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊
@michaelmizambwa124620 күн бұрын
Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
@brendashao3620 күн бұрын
Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina
@FelicianSimon
20 күн бұрын
😂😂
@user-kx5dt5ih2i20 күн бұрын
Pole sana!!
@user-sr9xz7od6p20 күн бұрын
Kalibu chadema
@JosephMpina20 күн бұрын
Naamini munguatakutetea
@hakikahajijecha355820 күн бұрын
Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo... Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...
@paschalmartin9598
20 күн бұрын
Wewe nyamaza huna unalolielewa
@user-kx5dt5ih2i
20 күн бұрын
Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa
@George-jz3jg
20 күн бұрын
We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais
@FelicianSimon
20 күн бұрын
@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy
@monicachacha45520 күн бұрын
shida nini😂😂😂
@kiboshokiboshomungumkubwa778920 күн бұрын
Jitafakari kwanza
@FrankAldo-z7y20 күн бұрын
Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau
@LazaroELucas19 күн бұрын
Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania
Пікірлер: 20
Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.
Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊
Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina
@FelicianSimon
20 күн бұрын
😂😂
Pole sana!!
Kalibu chadema
Naamini munguatakutetea
Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo... Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...
@paschalmartin9598
20 күн бұрын
Wewe nyamaza huna unalolielewa
@user-kx5dt5ih2i
20 күн бұрын
Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa
@George-jz3jg
20 күн бұрын
We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais
@FelicianSimon
20 күн бұрын
@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy
shida nini😂😂😂
Jitafakari kwanza
Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau
Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania
Kuna kitu hapa. Namwona Mpina akiwa chadema
@FelicianSimon
20 күн бұрын
Big no ccm hawata muangusha