CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.

Спорт

#sautdigital l #habari l #RadioSautFm l #sautdigitalupdates#chademamedia #ccm

Пікірлер: 178

  • @jafarmlawa9627
    @jafarmlawa96274 күн бұрын

    Hizo siyo hoja kama cdm mambo yenyewe ndo haya badilikeni tuende na wakati mtu akijiondoa tusi mpelekee kashifa

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h4 күн бұрын

    Mwema kuhamia chama msigwa sio wakwanza Lema Lisu walikua NCCR mageuzi leo wako chadema

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    4 күн бұрын

    Ipo tofauti kati ya CCM na NCCR Mageuzi

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    3 күн бұрын

    ​@@richardnganya2311Mapenzi yanakutia upofu na ULEVI wa Akili unekufikisha hapo lakini nakubaliana na wewe kabisa hivyo vyama ulivyo vitaja ni tofauti kabisa na CCM na Wala haviwezi kuwa sawa kabisa pamoja na chama chako kwa Kila kitu

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza56552 күн бұрын

    Asante Sana. Kwamajibu. Yako

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76024 күн бұрын

    Hatq mimi siwez kulala na njaa kila siku wakati baba Yangu na mama yangu hajanifukuza nyumbani.

  • @Zainabnoor0087-ze

    @Zainabnoor0087-ze

    2 күн бұрын

    😂

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo4 күн бұрын

    Kwani ugomvi wa Zitto n Mbowe ulikuwa nini?mpaka Zitto akaunda Chama!🎉🎉🎉

  • @allymganga3223

    @allymganga3223

    3 күн бұрын

    Iko chama cha zito Leo bado anacho ebu tutajie chama cha upinzani kwa uku Tanganyika

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    3 күн бұрын

    @@allymganga3223 Chama sio Mali ya mtu!Kwa utaratibu ulivyo,yeye alianzisha na sasa kawaachia wengine je cha Mbowe ndio ilivyo?

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    Күн бұрын

    None sense

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Күн бұрын

    @@allymganga3223 ulitaka awe mfalme kama Mbowe!

  • @football-games205
    @football-games2054 күн бұрын

    Chadema ni chama cha hovyo hakuna duniani

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    4 күн бұрын

    Kipo sayari gani ,?

  • @godfreymeagisa1871

    @godfreymeagisa1871

    4 күн бұрын

    Wewe ndiyo wa hovyo Sana kazi ni uchawa tu

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    3 күн бұрын

    Tena ni hovyo kweli eti demokrasia kumbe hakuna lolote bora Msigwa katoka Hongera sana Msigwa

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Mtasubirisana mwendazake kachemka sembuse mama kizimkazi😅😅😅😅😅

  • @user-ib3kq7kf1w
    @user-ib3kq7kf1w3 күн бұрын

    Wewe wacha uongo uoo chadema demakrasia ni jina tu lakini hamna demokrasia nyinyi mnazani mumnyime uwenyekiti mboe leo hii na yeye atabaki hapo?

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Mbowe ni tishio Tanzania kwanza ni tajiri mkubwa chama atuwezi Kumpa mwenye njaa ata USA 🇺🇸uwezi uwa raisi mwenye njaa utajiri nayo inaumuhimuwake

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa92644 күн бұрын

    Figisuzilizo tokea kwenye uchaguzi kanda ya Nyasa tunazijua. CHADEMA mjirekebishe . Ukweli Demokrasia na kuifuta Katiba ni hafifu sana. Ushahidi wa misemo nk unajidhihirisha.

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    4 күн бұрын

    Ukikosa uongozi unahama ,?

  • @Kalunirashidi

    @Kalunirashidi

    3 күн бұрын

    @@zengomikomangwa9264 kila anaendikaga chadm msaliti zitto walisema msalit sasa nyie nauyo meenyekiti wamilele

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Katiba mpya ni sasa chadema ni ndogo sana kuliko taifa tupate katiba mpya kwanza tuokoe watu zaid ya mil62

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi22054 күн бұрын

    Kuhama ni ihari na penyewe akipachoka aende kwingine mpeni cheo huko ccm . Mungu amtangulie katika uhamaji wake.

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi4 күн бұрын

    Tuwaona wakati wa zitto mlimaliza maneno sasa Leo ote mpo ccm zitto anachachake

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi78133 күн бұрын

    Nina hakika hata ww ukikosa hayo madaraka uliyonayo utahama pia!! Tanzania hatuna wapinzani wa kweli bali njaa tu. Njaa yenu na uoga wenu ndio sababu ya CCM kutamba miaka yote hiyo

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo3 күн бұрын

    Kamanda umekosa ustahimilivu,wakile ulichokuwa unakisema

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74384 күн бұрын

    Ukweli ni kwamba wamemchoka Mbowe kuwa Mwenyekiti yeye kila siku humo ndani ya Chadema kuna firigisu sana wamemchoka Mbowe mbona Zito katoka tatizo ni huyo Mbowe na wataondoka wengi kwanini asichsguliwe mwingine

  • @ibrahshifta1595

    @ibrahshifta1595

    4 күн бұрын

    Mbona huisemi CCM kukaa madarakani toka Dunia imeumbwa ,unashangaa Mbowe kua Mwenyekiti? Acha hizo fikra

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    3 күн бұрын

    ​@@ibrahshifta1595Hadi cdm iongoze nchi ndo atatoka

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Safisana​@@ibrahshifta1595

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Ccm wao ni mpaka lini tumewachoka

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33344 күн бұрын

    Heeeeee msigwa mwenyewe naemfahamu kahamia CCM kweli CCM baba lao heeeee Basi na mbowe nae atahamia CCM lisu nae atahamia CCM wewe unasema hamshangai

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    3 күн бұрын

    Lissu mbowe mhhh ni majayanti syo kina msigwa,wataka vyeo

  • @user-gw6ir4gy4r
    @user-gw6ir4gy4r4 күн бұрын

    Safi mchungaji!!!huna baya,,,

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka9364 күн бұрын

    Wahuni chadema

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    3 күн бұрын

    Wewe pia muhuni

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Ila ccm ndo kweli et

  • @PetreSichalwe
    @PetreSichalwe3 күн бұрын

    Tuskate tama kuondoka kwa msigwa

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l3 күн бұрын

    Mmezidi uhuni na hyo saccos yenu

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    Күн бұрын

    Saccos ni hiyo uliyopo CCM mnaiba fedha za miradi ya Wananchi na hawashitakiwi

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri4 күн бұрын

    Wow!

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i3 күн бұрын

    Ndoma.watanzania wengi huwahawangari tivi kwasababu hatuoni chenyemaana

  • @ce-08

    @ce-08

    2 күн бұрын

    Nikuendelea kujiumza wenyewe tu 😂😂

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango93853 күн бұрын

    Hata zito aliondoka hivi kuna tatizo gan apo chade

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    3 күн бұрын

    Tamaa za pesa

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Kwani lowasa je sumae je au umesahau

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu43673 күн бұрын

    Aliapa Kuwa yeye akienda ccm wananchi wachome nyumba yake na magari yake. Alijihukumu mwenyewe ulimi unauba. Wanasiasa mungu awahurumie. Ss kazi yetu ni kumwomba atupe mwisho mzuri

  • @kwisa4899
    @kwisa48994 күн бұрын

    Yupo sehemu salama

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    3 күн бұрын

    Upo yoyo tu

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    3 күн бұрын

    Tena salama sana Hongera sana Msigwa

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l3 күн бұрын

    NYIE WAPUUZI TU MNAWAFANYA WATANZANIA MACHIZI, HIYO DEMOKRASIA MBONA IPO MIDOMONI TU NA SI KTK VITENDO?? MBONA MBOWE KWENYE NAFASI YA UENYEKITI HAGUSWI SASA HIVI MIAKA 20??

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh10 сағат бұрын

    Aende zake wala hajatukomoa alitaka awemwenyekiti wa kanda milele aende zake wala hajatutingisha tupo sawa taalifa zimfikie

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot2 күн бұрын

    Machaga yametawala ndan ya chadema ,,,wtz tuiepuke HII chmaa

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43253 күн бұрын

    Safi sana mtaongea sana lakini pigo

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    3 күн бұрын

    Kama lipi

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    3 күн бұрын

    Tena bonge la pigo wanajishaua bure Msigwa kawakeraaaaaa na bado 🤣🤣🤣🤣

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Chadema wameondoka watu wengi wakubwa kuzid msigwa je unawajua? Mbona bado ipo​@@halimamasai2234

  • @adammbuba7230
    @adammbuba72304 күн бұрын

    Msigwa umefanya jambo la kishujaaaa

  • @user-xc5ie8cp7o
    @user-xc5ie8cp7oКүн бұрын

    Chadema hamna demokras mbona mbowe hataki kuachia chama wakati vijana wapo tena wenye elimu kumuzidi yeye

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete52434 күн бұрын

    Muacheni ameamuwa yeye kalibu ccm msigwa

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    3 күн бұрын

    Kwamajizi na majehu

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw2 күн бұрын

    Mbowe mwenyewe hataki kuachia uwenyekiti kwani kila ae onesha nia yakutaka uwenye kiti lazima aoneshwe njia ya kuondoka

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pn3 күн бұрын

    Ukiwa chadema ulikuwa unatuchafuria ccm yetu na Leo umekuja hukuhuku ccm sijui chadema yako nayo utaichafuaje msigwa. Nyerere. Alisema kunawanasiasa maraya maraya kama msigwa

  • @user-ge3ni4qn4u
    @user-ge3ni4qn4u4 күн бұрын

    Chadema kimesha kosa mwelekeo,

  • @mohddelo

    @mohddelo

    4 күн бұрын

    Chadema mashoga viongozi wao

  • @dionismutayoba3542

    @dionismutayoba3542

    4 күн бұрын

    Acha ujinga thibitisha kimeishaje?Kuondoka kwa Msigwa hakuna athari yoyote ndani ya taasisi ya Chadema.Ndo kwanza ameimarisha chama

  • @godfreymeagisa1871

    @godfreymeagisa1871

    4 күн бұрын

    Wewe ndiye umekosa mwelekeo,uzuri tupo ndani ya gari moja tutatumbukia shimoni wote,na uzuri hata nyama wote Ni bei moja tu hakuna Cha mwana Ccm ,Chadema Wala Caf Wala asiye na chama wote tunaisoma namba

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    3 күн бұрын

    Msigwa bora umetoka huko maana hao ni mashoga na wewe ni mtu wa dini bora CCM 🤣🤣

  • @jimmysameji3602
    @jimmysameji36022 күн бұрын

    Tanzania tuna bahati mbaya ya vyama vya upinzani vilivyopo ni mamluki we ccm. Msigwa umekwazwa na hao mamluki wenzio halafu unahamia tena kwa hao kausha damu umefanya mini sasa, si bora ungeacha na siasa kama mzee W.Slaa tungekuelewa, Kuna nini cha maana kwa ccm hii, zaidi ya kukamua wananchi na kuwabomolea makazi yao na kuwaacha wakiwa.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb2 күн бұрын

    Wanasiasa ni waganga njaa tu na tamaa ya madaraka lakini mungu mwenye haki atabaki na wenye kupenda haki

  • @FelixMkini
    @FelixMkini3 күн бұрын

    Kaka Msigwa hongera sana kuuenzi unyalu kwa hasira nzuri , maana hujajinyonga! CCM watakufariji kakayangu

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga182 күн бұрын

    Msigwa nakuonea huruma Mungu atakurudisha chadema soon so uwe na break kt kuongea

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi16783 күн бұрын

    CDM wajitafakari, wakitoka mnawanaga, ila huwa siwaoni wakirejea. TUJIFUNZE NA TUJIREKEBISHE kwa mapenzi mema ya nchi hii.

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota21423 күн бұрын

    Chadema ingeyumba Wakati wa Magufuli ndiyo kwanza IMEKAMILIKA.Msigwa mpuuzi tu njaa sana njaa itamuumbua.Mwache apande majukwa atukane kama HAJ manara..mpira urapigwa MWINGI sana Dunia itaelewa

  • @thaddeojude7511

    @thaddeojude7511

    3 күн бұрын

    Endeleeenikyimba wimbo wa njaa....baadaye mtampata mchawi wenu..na bado watahama wengine....waje kuanika madudu yenu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32313 күн бұрын

    Mwenye akili timamu hawezi kuwa na chagadema kulikojaa machizi ,wezi nduma kuwili wakubwa pamoja na usenge mkubwa .Lissu na Lema balaa tu

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi4 күн бұрын

    Angela usimalize maneno kazi uako

  • @amosmbwambo
    @amosmbwambo3 күн бұрын

    Chama Cha wachaga munaumia utapeli mtupu mmeua mageuzi kwakupenda pesa

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97584 күн бұрын

    Yani mnashangaa mbowe kuwa mwenyekiti amshangai ccm kuwa madarakani miaka62 watanzania bwana mnajisahau sana duuu mungu niweke salama nione mengi sana 💪💪✌️✌️

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    4 күн бұрын

    Sasa kama CHADEMA mtachukuwa dola mnategemea kukaa muda gani ???

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    4 күн бұрын

    ​@@sskondopoleani9616 na kwanini mboe ni fisadi mi sio ccm lakin hata chadema mnazingua

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    3 күн бұрын

    Sio kwamba wanajisahau isipokuwa Wanaccm wengi wanajiona wao wana haki ya kututawala wapendavyo Watanzania.

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    3 күн бұрын

    @@sskondopoleani9616 wapigakura ndio wenye maamuzi sio nyie CCM mnakaa madarakani kwa wizi wa kura na ulaghai

  • @drgeraldcubwa481

    @drgeraldcubwa481

    3 күн бұрын

    Hoja yako mfilisi.CCM Iko madarakani muda mrefu kwa sababu Kuna vya vyama vya upinzani vya wachumia tumbo!! Imagine mlicholichokifanya 2015 kwa kupokea mliyompaka matope kuwa ni fisadi mpaka mkaharibu maisha yake ya kisiasa .shame on you.

  • @stanastana3199
    @stanastana31992 күн бұрын

    Godless lema pia naskia huu mwezi anajiunga na ccm

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi4603 күн бұрын

    Chadema kwanini msijitathmini nakuangalia hoja yamsigwa mwenyekiti wamilele ndio demokrasia?

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib85613 күн бұрын

    Siasa ni uongo na unafiki

  • @amosmbwambo
    @amosmbwambo3 күн бұрын

    Mtabaki wachaga wenyewe nawajinga wachache ka Hechi Sugu Lisu anaondoka ACT

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx3 күн бұрын

    CCM WAWE MAKINI HII MBINU WANAITUMIAGA SANA WAO WENYEWE , KITENDO CHA KUMPOKEA MSIGWA MBINU ZENU ZOTE ZITAKUA HAZARANI

  • @swahilimoves3348
    @swahilimoves33483 күн бұрын

    Mbona mboe hatoki

  • @isayakihongile4921

    @isayakihongile4921

    3 күн бұрын

    Atoke aje kwako unanafasi ya kumuweka au atoke uenyekiti apewe msigwa auze chama?

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb2 күн бұрын

    Wala hana lolote huyo alikuwa kibaraka wa CCM muda chadema hamkujua kuvuka chama hadi chama kingine hakuna pengio

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon4 күн бұрын

    Kumbe hili jamaa ni jinga raan chama la CCM limeoza ufisadi ndo anaamia bora angeama kipndi cha magufuri ningemuelewa😅😅😅😅😅

  • @Abasi-ej9qw
    @Abasi-ej9qw4 күн бұрын

    Ndio mahana nawachukia wanasiasa sio wakweli wapo kwa masilai yao

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    2 күн бұрын

    Na ni mchungaji et

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu66243 күн бұрын

    Nchi za wenzetu wanafokasi kwenye uchumi ili wananchi wake wawe na maendeleo mazuri ya kimaisha sisi uku kila siku vikao vya ovyo tu ambayo avina mantiki yoyote kwa wananchi wake na ndio maana mda wote wanawaza kuiba fedha za watanzia tu shnz taipu

  • @lgf7297
    @lgf72973 күн бұрын

    Huyu Mrema ndiye aliyetumwa na Mwneyekiti Mbowe kwenda kuvuruga uchaguzi Jimbo ampate Sugu

  • @rashidhemed5331
    @rashidhemed53312 күн бұрын

    Mbona mbowe mpaka Leo ni mwenyekit inmaana yeye Yuko sawa wengne hamna sifa za kuongoza achen ukanda

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45813 күн бұрын

    Hii kama waliyomfanyia sumaye chadema

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 күн бұрын

    Chama gani Kina watu wa ukoo mmoja tu, jamaa hata kula kipofu hawawezi, wana roho ngumu saaaana , eti Chama cha democrasia, nimehama na Msigwa nani anapenda mizengwe na bakumashi , kadi yao nairudisha Kwa DHL

  • @SarahEdithchambo
    @SarahEdithchambo3 күн бұрын

    Kuondoka kwake chadema ni maamuzi yake mwacheni asaidie kupiga kampeni Kwa sababu chama alichotoka anakijua hakinautendaji

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80843 күн бұрын

    Mbowe miaka 6000 ni mwenyekiti nani anapenda vyeo😅😅😅😅😅😅😅

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude75113 күн бұрын

    Halafu baadaye mtuombe kura......nani awapigie kura?

  • @knight6757
    @knight67574 күн бұрын

    😂 amekwenda..huko huko alikuwa anawasema😂😂

  • @fidelmbai3642
    @fidelmbai36423 күн бұрын

    Chama kina dikteta hicho siyo Cha kidemokrasia

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t3 күн бұрын

    Atapewa cheo hiyo ondoa shaka

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb4 күн бұрын

    Amenunuliwa kwa hela kama lipumba na baadhi ya wengine

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    3 күн бұрын

    Hajanunuliwa(Nadhani hujajua), mchungaji Msigwa Yuko Smart na anajua anachokifanya!. Cha msingi Chadema hakuna Democrasia,,wana mwenyekiti wa maisha.

  • @KajoSalali
    @KajoSalali2 күн бұрын

    Msigwa achaende mloho wa madalaka wann aende zake huko

  • @SimonLaizer-c2u
    @SimonLaizer-c2u4 күн бұрын

    Msigwani mshamba tu uyo anatumia jina la uchungaji bure uyo kajawa na uchu wa madaraka uyo

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l4 күн бұрын

    katika wana siyasa ninao waamini uyu mlema uwa na mkubali sana angeli kuwa mwengine na yeye asha ama nukiongozi mdogo lakini ana tamaa mungu aendelee kukupa moyo uo uo tupamba nie wa tanzania wezio

  • @dicksonmtandi8806
    @dicksonmtandi88063 күн бұрын

    ulikwii

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo30843 күн бұрын

    Kuna siku hata mboe atahama chama

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon4 күн бұрын

    Yaaa watanzania wangekuwa kama wakenya CCM ingekuwa ishatoka madarakani zamani ila kwa kuwa mambumbu ni wengi mpaka mwisho wa dunia😅😅😅😅😅 itatutawala

  • @user-bp4pk6sh7t
    @user-bp4pk6sh7tКүн бұрын

    Anatafuta kura tu si kingine

  • @alikadamon9264
    @alikadamon92644 күн бұрын

    MSIGWA CHADEMA ARIPOTEA MDAMLEFU SISHUTUKI

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂ubongo kids huo

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele91854 күн бұрын

    Nyinyi demokrasia hakuna mnalazimisha mbowe awe tena mwenyekiti wanaopinga mnawafanyia figisu subirini kiama kinawajia watatimka wengi mtabakia kilimanjaro peke yenu safari iliyomkuta nccr imewawadia

  • @user-tb8zb4rv6h

    @user-tb8zb4rv6h

    4 күн бұрын

    Chadema sio tasisi ni kampuni ya wachache

  • @user-tb8zb4rv6h

    @user-tb8zb4rv6h

    4 күн бұрын

    Chadema ni zidumu fikra sahihi za mbowe

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    4 күн бұрын

    @@user-tb8zb4rv6hCCM je...kuna mtu anaweza kupinga fikra za Samia ziwe nzuri au mbaya? Kuchangia mijadala ya kijamii ni haki yako na kila mmoja ila usichangie kwa mihemuko hata usivyovijua, utajiaibisha kama comment yako hii....haina mashiko

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    4 күн бұрын

    ​@@user-tb8zb4rv6hhow, can you prove us that CHADEMA is a single person private company? Stop stupidity

  • @godfreymeagisa1871

    @godfreymeagisa1871

    3 күн бұрын

    Kweli wewe ni kilaza haswa,umesahau kuwa Hayati Magu alisema ataua upinzani wewe umeona upinzani umekufa? Mnaongea Kama watu wasio na akili kabisa kwanini Ccm wanalazimisha akina mdee kubaki bungeni Kama upinzani hauhitaji,watu wajinga Ni wajinga tu.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z3 күн бұрын

    Nanyi chukueni Mpina

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    3 күн бұрын

    Kwani Mpina ana nini?au kusimamia Serikali isifanye ufisadi ndio loss lake na kumfananisha na Msigwa?yaani Watanganyika wasiojielewa bhanaaa!

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq4 күн бұрын

    Kwani wewe msemaji ni kabila gari maana msigwa kitu kingine anachojaribu kukisema ni ukabila ndani ya chama

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329Күн бұрын

    Msigwa ni umetufhihiridhoa Wananchi kuwa wewe kuanzia sasa ni mchumia tumbo Miaka 15ys Uongozi Chadema ukashindwa hta kujenga Ofisi za ya chama tutakukumbuka kwa lipi?? Shame on you 😂

  • @manasecharles894
    @manasecharles8944 күн бұрын

    Wivu tu 😂😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m4 күн бұрын

    Njaa tu hao

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala70233 күн бұрын

    Hakuna pengongo, msikwa ni mwanasiasa naniinaniiii

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h3 күн бұрын

    Kala matapishi yake wajinga wenzie ndo watampongeza maana wana siasa kama hayupo kwaajili yajamii kama alivyo kuwa analopoka jukwaani yupo kwaajili ya family yake natumbo lake wanasiasa wa tz wasikilize jukwaani usitunze neno lao hata moja siasa maji taka tz hakuna jipya

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn3 күн бұрын

    Safi Sana John mrema msigwa ccm asipopewa cheo haawezi kudumu huko

  • @user-ej5ir5pu7r

    @user-ej5ir5pu7r

    3 күн бұрын

    Mbowe mbona yeye hatoki zito mlimfanyeje wadini nyie

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa81904 күн бұрын

    Unaonya ccm kivipi

  • @leonardkapati3125
    @leonardkapati31254 күн бұрын

    MPINA CHADEMA NA MSIGWA CCM

  • @husseinmkanga7794

    @husseinmkanga7794

    3 күн бұрын

    Kama chadema watamuacha Mpina agombee uraisi na wakimuacha amrudishe Magufuri kwenye mawazo yetu atawasumbua CCM. Kwa sababu Magufuri amewavua nguo CCM.

  • @robertzingu9889
    @robertzingu98893 күн бұрын

    Ni ngumu sana mtu mwenye akili timamu kuhamia CCM bila kushikishwa mpunga mrefu au kuahidiwa kupata cheo. CCM sio chama cha siasa bali ni chama cha kwenda kupigia pesa mambo mengine baadae.

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa18714 күн бұрын

    Sugu alisema haaminiki Ni kweli kabisa huyu alikuwa hatari kwa chama

  • @philemonkafyulilo7128
    @philemonkafyulilo71284 күн бұрын

    Nccr ,Tlp ,chadema then ccm

  • @kisinza6077
    @kisinza60774 күн бұрын

    Bado COVID-19 ahadi inaendelea

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah18874 күн бұрын

    Yatizame sura kavu

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile49213 күн бұрын

    Ngoja aende atakakotendewa haki kwendraaaa shubamiti sarti kubwa jinga

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u3 күн бұрын

    Chadema hatutetereki hata kidogo

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture54823 күн бұрын

    MADARAKA MADARAKA MADARAKA YA KULEVYA

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61593 күн бұрын

    Mnasema mbowe mwenyekiti utalinganisha na lifisiemu miaka.64 wanatunyonya wanauza nchi yetu bila huruma kwani mbowe ameuza kitu gani sana yeye kadhurumiwa mali zake na mafisiemu amefungwa vya kutosha ili aachane na chadema mna uchungu naye kwa.sababu kakilinda chama fikiria mwenyekit angekuwa msigwa tayari angelikwisha kutuuza

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise4 күн бұрын

    Chida anaamia ccm mmja ccm wanahamaga wengi

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n3 күн бұрын

    wajinga ndio wanao hangaika na vyama

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti4 күн бұрын

    Msigwa njaa itakuuwa umewasema ccm Leo umeenda hukohuko kweli wewe jinga

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji48863 күн бұрын

    Huyu nimroho wamadaraka anataka vyeo tena ni mchungaji jaman hii niaibu

  • @didaslunkoto
    @didaslunkoto3 күн бұрын

    Mchungaji msigwa huo ndo mwisho wako kisiasa. Umeamua kitoto wakat we ni mtu mzima

  • @AnosisyeMwaigomole-i5s
    @AnosisyeMwaigomole-i5s4 күн бұрын

    Mrafi wa madaraka hafai?

  • @Kanyawela
    @Kanyawela4 күн бұрын

    Vyama vina akili sasa msigwa katumwa ccm na mpina atakuja kutumwa chadema siasa sasa basi

  • @illomowerner7690

    @illomowerner7690

    3 күн бұрын

    Si kweli Kanyawela, can you prove us

  • @Kanyawela

    @Kanyawela

    3 күн бұрын

    @@illomowerner7690 mara nyingi utokea wakati wa uchaguzi hukuona kwa Nyarandu?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op4 күн бұрын

    Msigwa ni bogus! Mtumishi sio kabisa!

Келесі