HIKI NDIO CHANZO CHA PETER MSIGWA KUHAMA CHADEMA ADAI KUA CHADEMA NI SACCOS

Пікірлер: 65

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga433121 күн бұрын

    Njaa haina baunsa, jana tu ulikuwa ukimsema vibaya Rais wetu mpendwa Mama Samia leo unaanza kuwa upande wetu!! jamani, tuwe makini aside asijekuwa ametumwa na Lisu 😅😅😅😅

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    20 күн бұрын

    Kundulisu sio tishio kwa CCM hata kidogo,siyo mtu wa mikakati bali mropokaji na mlalamikaji mtukanaji ambaye sasa hivi watu wengi wenye akili wanampuuza.

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi46020 күн бұрын

    Mnaomlaumu msigwa jalibuni kuangali hojazake Mbowe hana demokrasia Chama kinapotea hamtaki kusema ukweli mapungufu nimengi jibuni hoja mfumo wauchaguzi chadema ni mbovu

  • @bahatisube120
    @bahatisube12020 күн бұрын

    Msigwa yupo sahihi, CHADEMA inabidi ijitazame upya!!

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa974920 күн бұрын

    Brother Makala, singida alienda kufany nn kua makin eheee atakuwa ametumwa na Lissu

  • @mertus.nestory.bishirangon4624
    @mertus.nestory.bishirangon462421 күн бұрын

    Msigwa.msigwa. msigwa..mungu.anakuona

  • @Shokolokobango9385

    @Shokolokobango9385

    20 күн бұрын

    Daaah siamin msigwa ametusaliti

  • @nyembobea7285
    @nyembobea728521 күн бұрын

    Nakupongeza sana mkuu tulia ufanye kazi sasa umechelewa lakini hakuna shida

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili515021 күн бұрын

    Dah... inasikitisha..lakini tutatoboa tu...😢😢

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz21 күн бұрын

    Chadema chama baba mkwe wake mboye na ndio mwenyekiti maisha napenda kumpa mchungaji msigwa congratulations

  • @davidbochela1441
    @davidbochela144116 күн бұрын

    Ukitaka Chadema wakuchukie,waambie ukweli Kuhusu mapungufu ya Chama chao.

  • @JacoboNaftari
    @JacoboNaftari21 күн бұрын

    Wewe ni kichaa msigwa unayarudia matapishi hufaai kabisa hiyo ni njaa kali umeisha

  • @AlfanChuma
    @AlfanChuma20 күн бұрын

    Ccm juu

  • @user-om2rc3gd3s
    @user-om2rc3gd3s21 күн бұрын

    Msingwa hujapotea karibu iringa tunakupenda

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks17 күн бұрын

    Uchungaji na siasa tena hakuna u setious hapo

  • @MWAJUMAKIZA-gb8us
    @MWAJUMAKIZA-gb8us20 күн бұрын

    Kwa mchungaji, mtu alieaminika kwenye Chadema, kweli njaa inasumbua!

  • @josephsangija-x9o
    @josephsangija-x9o20 күн бұрын

    Watuwahizi ha wanatakiwa maobi iriwafe hawafai

  • @Garma-z9b
    @Garma-z9b21 күн бұрын

    😮😮😮😮

  • @user-ji8ox8fw6i
    @user-ji8ox8fw6i20 күн бұрын

    Msigwa angekuwa mkweli kama angetoka kabla ya uchaguzi wa mkiti Kanda ya Nyasa,,lakini bila hivyo ni uongo mkubwa sana

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks17 күн бұрын

    amefuata hela, tuu akuna lingine hapoo

  • @barakamwantolwa4336
    @barakamwantolwa433621 күн бұрын

    Lisu alisema lkn

  • @mfaumegomangulu8140
    @mfaumegomangulu814021 күн бұрын

    Hongera maamuzi sahihi

  • @syliviawilison7090
    @syliviawilison709021 күн бұрын

    Sijakuelewa kabisa braza mungu anakuona kaka

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks17 күн бұрын

    Anataka hela tuu huyu

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia475821 күн бұрын

    Huna jipya msigwa, sisi tutaendelea kuiamini chadema na sio msigwa.

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s21 күн бұрын

    mumpe cheo haraka msipo mpa cheo atahamia chama kingine msigwa na upendo peneza hao ni wapenda madaraka

  • @SwaibaJumanne
    @SwaibaJumanne21 күн бұрын

    Wee msigwa ACHA Tamaa kwer mko kimasirai kwaiyo urvyo watukana Reo unawambia nn Sasa mjinga wewe uereweki mchungaji gan we njaa tu

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    20 күн бұрын

    Kajifunze kiswahili,usipoteze muda kwenye mitandao wakati hata kusoma na kuandika bado ni changamoto kwako

  • @mwanahamisially7385
    @mwanahamisially738521 күн бұрын

    Asante mkuu uleule anyone vichwa

  • @user-ru1yk6tc7w
    @user-ru1yk6tc7w21 күн бұрын

    Sawa

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia475821 күн бұрын

    Wewe shida madaraka na njaa tu.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo646421 күн бұрын

    Siasa bhana...... Watu wanatafuta kazi kama kazi ajira kama ajira.....Maslahi....amefika bei Cheo...kinakuja sasa kwa uteuzi wa rais....

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime935721 күн бұрын

    Juzi singida ulienda kufanya nini na makamu mwenyeki wa chadema

  • @georgepewa9624
    @georgepewa962421 күн бұрын

    Njaa mbaya sana

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime935721 күн бұрын

    Kwa nini asingejiondoa kabla ya kushindwa uchaguzi

  • @AlphonceKomba-go3xu
    @AlphonceKomba-go3xu21 күн бұрын

    Maokoto time bado Lisu mtata

  • @syliviawilison7090
    @syliviawilison709021 күн бұрын

    Uroho wamadalaka una watesa viongozi wetu kwakwe munguatawalipa

  • @user-kr2qr8vx1x
    @user-kr2qr8vx1x21 күн бұрын

    Mnafki msigwa..mwangalienj sana....nipo pale

  • @dabigregory3221

    @dabigregory3221

    21 күн бұрын

    Mnafiki nini mwache Baba wa watu apumzike

  • @MalifedhaMtutuzi
    @MalifedhaMtutuzi21 күн бұрын

    Huna akili Kaa kimya, Domo chafu wewe, utatoka mwenyewe na njaa zako

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime935721 күн бұрын

    Makala wewe sio msimamizi wa huo uchaguzi alio shindwa msigwa

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d21 күн бұрын

    Ugali ugali , njoo nyumbani ccm chama kikubwa

  • @PaulIranda
    @PaulIranda21 күн бұрын

    Wewe umeamua kwenda huko Kwa tamaa zako tu, huna lolote! Mbona Ndani ya uongozi wako Huku Fanya hayo unayoyaongea

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d21 күн бұрын

    Duuu tumepoteza jembe tumepokea jembe

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella20521 күн бұрын

    Wanasiasa muda wote wanawaza vyeo🤣 kwa ccm vyeo utavipata, ndani ya ccm na ndani ya serikali.Huko mapesa watavuna tu😂

  • @mwansasu

    @mwansasu

    21 күн бұрын

    Naipokea Taaarifa😂

  • @AvitChaz
    @AvitChaz21 күн бұрын

    Vua na uchungaji

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e21 күн бұрын

    Wewe una njaa tuu

  • @nassorseif7907
    @nassorseif790721 күн бұрын

    Mnafiki mkubwa wewe amani gani hio watu mpk juzi wametekwa umejiunga ccm kwa sababu umekosa cheo lengo lako wewe ni cheo tu ulipokosa cheo chadema mbaya

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman593521 күн бұрын

    CCM insonesha udhaifu wake

  • @mgm412
    @mgm41221 күн бұрын

    😂😂😂 msigwa umeonyesha huna akil,tuache wenye akili tutetee nchi yetu, ww mnafiki, unawezaje jiunga na chama kinachotesa wananchi eti unaakili......stupid

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e21 күн бұрын

    Naomba mamba yako

  • @mwanzadaniel2659
    @mwanzadaniel265921 күн бұрын

    Uuuu wewe kaaa kimya

  • @MATEIMichael-kx8ix
    @MATEIMichael-kx8ix21 күн бұрын

    Cbuma mbinu zao halafu utuletee

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime935721 күн бұрын

    Mema wewe Lini CCM?

  • @richardjafu7404
    @richardjafu740420 күн бұрын

    Ungekuwa na akili hata kidogo, ungekaa kimya!

  • @davidbochela1441

    @davidbochela1441

    16 күн бұрын

    Kukaa kimya..sio itikadi ya kudumu kwa mwanasiasa

  • @user-pz2kp2ej5e
    @user-pz2kp2ej5e21 күн бұрын

    Tulia wewe mavi

  • @mwangajilemwangajile-hd9vj
    @mwangajilemwangajile-hd9vj21 күн бұрын

    Mchungaji mzima unaenda upande wa dhuruma badala ya haki. Afadhari ugeenda hata ACT.

  • @dennisungonella205

    @dennisungonella205

    21 күн бұрын

    Haahaa mpinzani akijiunga na ccm simwelewi,😂

  • @Visiona897

    @Visiona897

    20 күн бұрын

    Hata huko upinzani kumejaa dhuluma tu wala hakuna haki. Msigwa amefanya maamuzi sahihi kabisaa kwa muda sahihi, Mbowe anaendesha chama kama familia yake. Hakuna demokrasia huko, hata Tundu Lissu anajua

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p21 күн бұрын

    Huna lolote kaka njaaa

Келесі