Duu hatariiiii, wataipata sana mwaka huu! Kumbe nimejua kwa nini Msigwa alitaka kupandikizwa ili kuzuia nguvu ya Sugu!!
@DandasiKundiКүн бұрын
Viongozi pambaneni Mimi nikiona kiongozi anatoka upinzani anaenda chama tawala hafai Kwa sababu mkomavu wa siasa hoja zintolewa ndani ya chama ndio ukomavu wa siasa pambana mwenyekiti wa Kanda.
@markoshem-ij6cf4 күн бұрын
Kamanda pambana mwaya mwenzako amesha kimbia kwa wahuni ccm
@MonayLai2 күн бұрын
Na tulia mbeya ajiandae kweli kweli!
@JacksonMartin-pb2vq16 сағат бұрын
Huyu jamaaa hatoshi kabisa ukimsikiliza ni pumba tupu
@ndogoroedson19917 сағат бұрын
Huna sera kabisa! Unaacha kuzungumzia sera za chama unazungumzia habar za magufuli mtu ambaye alipendwa na watu kwenda zako huko. Huna maana kabisa nyumbu ww
@emmanuelmayunga15184 күн бұрын
Tupo pamoja Taita😂😂
@isayamwashibanda58196 сағат бұрын
Mwambaa
@GodfreyOsward4 күн бұрын
Siku moja huo ujinga wa kutekana, utatuangamiza
@odoieriasmonga65914 күн бұрын
mimi nimeshapita na mbili
@jumannentimizi90004 күн бұрын
MH SUGU JAMAA YETU KAJITAMBULISHA KÙWA MWANASISIEMU FAHAMUNI KUNA WATU WAPO CDM WAKITAFUTA CHEO AKIKOSA TU ANAHAMA NI HATARI SANA NCHI HII SIJUI ITAKOMBOLEWA NA NANI.WANANCHI TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE KUIOKOA NCHI YETU
@ndemabhwila4 күн бұрын
Fedha ya abdul imemnunua mwenzio wewe wameshindwa dau?
Пікірлер: 14
Safi
Safi Sana kaka sugu wewe unafaa kuwa kiongozi
Duu hatariiiii, wataipata sana mwaka huu! Kumbe nimejua kwa nini Msigwa alitaka kupandikizwa ili kuzuia nguvu ya Sugu!!
Viongozi pambaneni Mimi nikiona kiongozi anatoka upinzani anaenda chama tawala hafai Kwa sababu mkomavu wa siasa hoja zintolewa ndani ya chama ndio ukomavu wa siasa pambana mwenyekiti wa Kanda.
Kamanda pambana mwaya mwenzako amesha kimbia kwa wahuni ccm
Na tulia mbeya ajiandae kweli kweli!
Huyu jamaaa hatoshi kabisa ukimsikiliza ni pumba tupu
Huna sera kabisa! Unaacha kuzungumzia sera za chama unazungumzia habar za magufuli mtu ambaye alipendwa na watu kwenda zako huko. Huna maana kabisa nyumbu ww
Tupo pamoja Taita😂😂
Mwambaa
Siku moja huo ujinga wa kutekana, utatuangamiza
mimi nimeshapita na mbili
MH SUGU JAMAA YETU KAJITAMBULISHA KÙWA MWANASISIEMU FAHAMUNI KUNA WATU WAPO CDM WAKITAFUTA CHEO AKIKOSA TU ANAHAMA NI HATARI SANA NCHI HII SIJUI ITAKOMBOLEWA NA NANI.WANANCHI TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE KUIOKOA NCHI YETU
Fedha ya abdul imemnunua mwenzio wewe wameshindwa dau?