SUGU AKEMEA NA KULAANI VITENDO VYA UTEKAJI VINAVYOENDELEA NCHINI ADAI TUNARUDI KULEKULE

IPINDA ONLINE TV..........Asante kwa Kuchagua Ipinda Online Tv...........Usisahau Kusubscribe channel yetu

Пікірлер: 14

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula165816 сағат бұрын

    Safi

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn4 күн бұрын

    Safi Sana kaka sugu wewe unafaa kuwa kiongozi

  • @MonayLai
    @MonayLai2 күн бұрын

    Duu hatariiiii, wataipata sana mwaka huu! Kumbe nimejua kwa nini Msigwa alitaka kupandikizwa ili kuzuia nguvu ya Sugu!!

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundiКүн бұрын

    Viongozi pambaneni Mimi nikiona kiongozi anatoka upinzani anaenda chama tawala hafai Kwa sababu mkomavu wa siasa hoja zintolewa ndani ya chama ndio ukomavu wa siasa pambana mwenyekiti wa Kanda.

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf4 күн бұрын

    Kamanda pambana mwaya mwenzako amesha kimbia kwa wahuni ccm

  • @MonayLai
    @MonayLai2 күн бұрын

    Na tulia mbeya ajiandae kweli kweli!

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq16 сағат бұрын

    Huyu jamaaa hatoshi kabisa ukimsikiliza ni pumba tupu

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson19917 сағат бұрын

    Huna sera kabisa! Unaacha kuzungumzia sera za chama unazungumzia habar za magufuli mtu ambaye alipendwa na watu kwenda zako huko. Huna maana kabisa nyumbu ww

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15184 күн бұрын

    Tupo pamoja Taita😂😂

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda58196 сағат бұрын

    Mwambaa

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward4 күн бұрын

    Siku moja huo ujinga wa kutekana, utatuangamiza

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga65914 күн бұрын

    mimi nimeshapita na mbili

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi90004 күн бұрын

    MH SUGU JAMAA YETU KAJITAMBULISHA KÙWA MWANASISIEMU FAHAMUNI KUNA WATU WAPO CDM WAKITAFUTA CHEO AKIKOSA TU ANAHAMA NI HATARI SANA NCHI HII SIJUI ITAKOMBOLEWA NA NANI.WANANCHI TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE KUIOKOA NCHI YETU

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila4 күн бұрын

    Fedha ya abdul imemnunua mwenzio wewe wameshindwa dau?

Келесі