Mtoto wa Miaka 10 Aliyetekwa Mkoani Mbeya Aeleza Namna Alivyojinasua Mikononi Mwa Wauaji

Chris Calista ni mtoto wa miaka 10 mkazi wa jijini Mbeya ambaye alitekwa na watu wasiojulikana June 24, 2024, akiwa maeneo ya Mwanjelwa iijini hapa.
Baada kutekwa alisafirishwa hadi Songwe na kuhifadhiwa kwenye pagala moja hadi alipopatikana Julai 3, 2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 1

  • @maasaishop
    @maasaishop3 күн бұрын

    😢😢😢ok