Tukiwafuata,na kuwasikiliza wazee wetu tutabarikiwa n mungu. n nchi itakiwa aman asnt.
@clemencejames72796 жыл бұрын
kaizkazi chief ndo kazi zetu machifu kuleta aman kwa wananchiiiiiii.....asanye sanaaaaaa
@allymustapha71336 жыл бұрын
Hongela machifu kwa kulinda amani mbeya.
@devotaagustino62215 жыл бұрын
Mungu akubarik Babu maana unapenda aman
@sarafinaemanuel32406 жыл бұрын
Bwana asipolinda mji walindao wakesha bule
@pascoalphonce29116 жыл бұрын
Ndaga fijo naloli...............Hahahahaaaaaaa
@zakiamaungazakia7206 жыл бұрын
Izo nywele tu kiboko chief
@richardkhalid38256 жыл бұрын
Mzee umewaonya vijana vizuri
@deojohn14136 жыл бұрын
Asante Chifu,tunataka Amani
@mwilemwajungas23265 жыл бұрын
Awa ndio wario turea wasafwa juu
@eneliashalenga9367
4 жыл бұрын
Juuuuu zaid
@saidwilson65296 жыл бұрын
Huyu katumwa muongo alisikia wapi? Rais Wa Tanzania anapelekwa mahakamani??? Hiki sio kipindi cha kuwa na machief
@nafsaahmedkibiki66006 жыл бұрын
ahahaaa yangaa yaangaa bubu wani
@autofillsarauswege81976 жыл бұрын
mungu pekee nyie niwanadam to
@morgansmilenyoni4446 жыл бұрын
Mwaka 1206 😂😂😂😂 mumemskia katibu wa ccm anasema mgogoro ulianza 1206
@larickmtui28526 жыл бұрын
Mzee nimekupenda kichwa chako kwa umri wako inapendeza
@myukidanny94706 жыл бұрын
Chifu chifu siasa sasa hyo afu na uchawi pia huo
@tumainimaseta90936 жыл бұрын
Safi sana
@valenakomba76866 жыл бұрын
Asante sana wazee wa mkoa wa mbeya ,
@georgemafayo2797
6 жыл бұрын
Valena Komba utajili Wa utamaduni Wa waafrika ni wazee! Asanteni wazee wetu
@seccymwashy71546 жыл бұрын
Babu uyooo
@olemoissan64416 жыл бұрын
Babu Eee kanyoeeee
@stephanothomas35856 жыл бұрын
Chifu wa Kidigitali. anampaka Rasta! duuuh!!!
@diwanilemomo31176 жыл бұрын
mzee hii Kichwa chako INA nn hayo ni manyoya au we no msukule
@faisalilutambi99126 жыл бұрын
Chifuuu ilikuwa zamani xio xaxaa
@anastaziaikona50476 жыл бұрын
Safiiiii chifuuuuuu!
@mwilemwajungas23265 жыл бұрын
Chifu uko juu
@lucyjohn79045 жыл бұрын
Mmh hahaaa nacheka mm
@ChristerShao5 ай бұрын
Walinde haki ndo tunda la amani chifu
@isaackchambo26426 жыл бұрын
Nanni anaweza kunipatia unywele mmoja Wa huyu Mzee maana in Dill.
@frankremishoy57785 ай бұрын
Machifu chawa.wasenge hawa wanatupsnga
@joycekangero78976 жыл бұрын
Tokeni hapo na uchawi wenu, kwani wewe ni Rusifer hizo nywele
@kyandomarry20156 жыл бұрын
Babu Utafikili Umetoka kuzimu
@kelvinsamweli30793 жыл бұрын
Safi chifu wetu
@sarahabelsarah73636 жыл бұрын
jamani Baba yangu buyo
@nickosimchimbafromtz32216 жыл бұрын
Wachawi Haoo
@mwilemwajungas23265 жыл бұрын
Turieni babu kasema
@makalanimau46496 жыл бұрын
wazee wa mji hao ni wakuu wa kila kitu lkn zamani sio sasa.ila kwasasa ni RAIA tuu tawala za machief hamna
@enovklema33686 жыл бұрын
Boyaaa
@seddamwaipungu65666 жыл бұрын
usalama upo kwa yesu tu
@mwilemwajungas23265 жыл бұрын
Uyo ndio Tramp wa Ituha
@DavidMutiba-hr3vo5 ай бұрын
Hivi chifu lazima uwe na nywele chafu za rasta. Yaani utishetishe hivi?
@najimahrupiahgomo21095 жыл бұрын
Huyo chifu anyone nyure basi zime kaa Kama mizizi
@samsonkusupa68096 жыл бұрын
unalinda usalama na police nao wafanye kazi gan
@deshuaniton6984 жыл бұрын
Umewini babu
@frankremishoy57783 ай бұрын
Spin
@salimmadua52646 жыл бұрын
Chief ameongea pumba tupu, sheria iko wapi?
@godblessmwanri806 жыл бұрын
Hii picha ya kweli
@shedrackmwaipopo94273 жыл бұрын
Pamoja wakubwa
@kweltv51066 жыл бұрын
hamna kitu
@user-jf7rg1ux9l5 ай бұрын
1206 daaa
@rahemaramadan14526 жыл бұрын
sasa huyu nichifu au Bobmaale wanakuwa hivi kumbe
@fedelischengula78916 жыл бұрын
ukiona wana wapakazia juwa muko kisiasa
@elymataga13505 жыл бұрын
Kuongea kama mwanri vile, muovuu, mwizii
@tumainimaseta90936 жыл бұрын
chadema hamna jipya
@nelwensnelwens55376 жыл бұрын
mama weeeee, cjawahi muona chief.
@goodneighbour2638
6 жыл бұрын
nelwens nelwens hata mi ndo namwona leo
@nelwensnelwens5537
6 жыл бұрын
mtoto tatizo hahaha
@kachasagynoma17566 жыл бұрын
Ha ha ha haaaa
@abdubabu54546 жыл бұрын
Kuna chief mmoja huku tabora anasumbua watu sanaa ni familia ya fundikilia anaishi itetemia nnje kidogo ya mji anasumbua sana wananchi anawanyang'anya aridhiyao anawabomolea nyumba zao anasema ardhi yooote ya itetemia niyake kwahio mtu anaeishi hapa ajue kua hapa si maliake anasumbua wazee wetu ambao wamezaliwa hapo na sasa nivikongwe huyu jamaa hafai kabisa anaitwa msagata ngulati fundikira hafai hafai hafai wananchi wamempeleka hadi kwa DC lakini huyu jamaa nikiburi sana hakufika huko muheshimiwa lukuvi ingilia kati uwakombowe wananchi wanafukuzwa kwenye makazi yao,
@dottobussagwe9236
6 жыл бұрын
Abdu Babu pigeni huyo pumbavu
@michanomichano49316 жыл бұрын
Acha zako ww kanyoe kwanza
@immazeweezy4599
6 жыл бұрын
Michano Michano hahahaha hahahaha akanyoe?
@benedictflorence2870
2 жыл бұрын
Akikuroga useme hooo chief mkorof
@answermnubitv69096 жыл бұрын
Nenda ukanyoe kwanza
@najimahrupiahgomo21095 жыл бұрын
CCM ccm ccm ccmzoyeeeeeee
@fedelischengula78916 жыл бұрын
wewe uko ki ssm unakosea
@athumanpalamba91356 жыл бұрын
Hivi ukawa imeishia wp daaah kweli naamini upinzani una tamaa yamadalaka
@agnesraphael78736 жыл бұрын
wajifunze adabu kwanza then watatia aioli uwezi mtusi mtu anaeonhoza nchi yako nani sawana mzazi sheria umechukua mkondo
@edsonkiowi8046 жыл бұрын
chifu gani huyu anaongea kiswahili
@dottobussagwe92366 жыл бұрын
huyu mzee hafai
@janethmwakingili43286 жыл бұрын
duuuh... kumbe ndo walivyo
@kanuyaallex3702
6 жыл бұрын
daaaaaa huyu mzee nikwere hizo Rast au katani
@tumainikassanga7659
6 жыл бұрын
upo juu mzee mwashinga,, baba yangu wa nguvu, mungu akulinde.
@berthalaswai710
6 жыл бұрын
Mbona kama chafuu??? Hahaaa
@barakaphilipo2065
6 жыл бұрын
Janeth Mwakingili san bab
@vicentmboro39906 жыл бұрын
Kuna amani gani kama hamna haki??? Wewe lilia haki ndipo itakuwa raisi kuihubiri aman. Vinginevyo huu ni unafki mtupu.
@JosephuSwai3 ай бұрын
Unalinda usalama na nini na jembe shoka rungu Banga Mzee wewe unatumika vibaya na wanyanganyi ushachukua chako unapotosha
@gladismsuya20726 жыл бұрын
machifuu walikuwa zaman co Sasa ukanyoe Na hyo minywele km msukuleee
@paulshija6044
6 жыл бұрын
gladis msuya walikuwa zaman kwenu njoo mbeya ulete za kuleta utafurah na shoo
Пікірлер: 84
Tukiwafuata,na kuwasikiliza wazee wetu tutabarikiwa n mungu. n nchi itakiwa aman asnt.
kaizkazi chief ndo kazi zetu machifu kuleta aman kwa wananchiiiiiii.....asanye sanaaaaaa
Hongela machifu kwa kulinda amani mbeya.
Mungu akubarik Babu maana unapenda aman
Bwana asipolinda mji walindao wakesha bule
Ndaga fijo naloli...............Hahahahaaaaaaa
Izo nywele tu kiboko chief
Mzee umewaonya vijana vizuri
Asante Chifu,tunataka Amani
Awa ndio wario turea wasafwa juu
@eneliashalenga9367
4 жыл бұрын
Juuuuu zaid
Huyu katumwa muongo alisikia wapi? Rais Wa Tanzania anapelekwa mahakamani??? Hiki sio kipindi cha kuwa na machief
ahahaaa yangaa yaangaa bubu wani
mungu pekee nyie niwanadam to
Mwaka 1206 😂😂😂😂 mumemskia katibu wa ccm anasema mgogoro ulianza 1206
Mzee nimekupenda kichwa chako kwa umri wako inapendeza
Chifu chifu siasa sasa hyo afu na uchawi pia huo
Safi sana
Asante sana wazee wa mkoa wa mbeya ,
@georgemafayo2797
6 жыл бұрын
Valena Komba utajili Wa utamaduni Wa waafrika ni wazee! Asanteni wazee wetu
Babu uyooo
Babu Eee kanyoeeee
Chifu wa Kidigitali. anampaka Rasta! duuuh!!!
mzee hii Kichwa chako INA nn hayo ni manyoya au we no msukule
Chifuuu ilikuwa zamani xio xaxaa
Safiiiii chifuuuuuu!
Chifu uko juu
Mmh hahaaa nacheka mm
Walinde haki ndo tunda la amani chifu
Nanni anaweza kunipatia unywele mmoja Wa huyu Mzee maana in Dill.
Machifu chawa.wasenge hawa wanatupsnga
Tokeni hapo na uchawi wenu, kwani wewe ni Rusifer hizo nywele
Babu Utafikili Umetoka kuzimu
Safi chifu wetu
jamani Baba yangu buyo
Wachawi Haoo
Turieni babu kasema
wazee wa mji hao ni wakuu wa kila kitu lkn zamani sio sasa.ila kwasasa ni RAIA tuu tawala za machief hamna
Boyaaa
usalama upo kwa yesu tu
Uyo ndio Tramp wa Ituha
Hivi chifu lazima uwe na nywele chafu za rasta. Yaani utishetishe hivi?
Huyo chifu anyone nyure basi zime kaa Kama mizizi
unalinda usalama na police nao wafanye kazi gan
Umewini babu
Spin
Chief ameongea pumba tupu, sheria iko wapi?
Hii picha ya kweli
Pamoja wakubwa
hamna kitu
1206 daaa
sasa huyu nichifu au Bobmaale wanakuwa hivi kumbe
ukiona wana wapakazia juwa muko kisiasa
Kuongea kama mwanri vile, muovuu, mwizii
chadema hamna jipya
mama weeeee, cjawahi muona chief.
@goodneighbour2638
6 жыл бұрын
nelwens nelwens hata mi ndo namwona leo
@nelwensnelwens5537
6 жыл бұрын
mtoto tatizo hahaha
Ha ha ha haaaa
Kuna chief mmoja huku tabora anasumbua watu sanaa ni familia ya fundikilia anaishi itetemia nnje kidogo ya mji anasumbua sana wananchi anawanyang'anya aridhiyao anawabomolea nyumba zao anasema ardhi yooote ya itetemia niyake kwahio mtu anaeishi hapa ajue kua hapa si maliake anasumbua wazee wetu ambao wamezaliwa hapo na sasa nivikongwe huyu jamaa hafai kabisa anaitwa msagata ngulati fundikira hafai hafai hafai wananchi wamempeleka hadi kwa DC lakini huyu jamaa nikiburi sana hakufika huko muheshimiwa lukuvi ingilia kati uwakombowe wananchi wanafukuzwa kwenye makazi yao,
@dottobussagwe9236
6 жыл бұрын
Abdu Babu pigeni huyo pumbavu
Acha zako ww kanyoe kwanza
@immazeweezy4599
6 жыл бұрын
Michano Michano hahahaha hahahaha akanyoe?
@benedictflorence2870
2 жыл бұрын
Akikuroga useme hooo chief mkorof
Nenda ukanyoe kwanza
CCM ccm ccm ccmzoyeeeeeee
wewe uko ki ssm unakosea
Hivi ukawa imeishia wp daaah kweli naamini upinzani una tamaa yamadalaka
wajifunze adabu kwanza then watatia aioli uwezi mtusi mtu anaeonhoza nchi yako nani sawana mzazi sheria umechukua mkondo
chifu gani huyu anaongea kiswahili
huyu mzee hafai
duuuh... kumbe ndo walivyo
@kanuyaallex3702
6 жыл бұрын
daaaaaa huyu mzee nikwere hizo Rast au katani
@tumainikassanga7659
6 жыл бұрын
upo juu mzee mwashinga,, baba yangu wa nguvu, mungu akulinde.
@berthalaswai710
6 жыл бұрын
Mbona kama chafuu??? Hahaaa
@barakaphilipo2065
6 жыл бұрын
Janeth Mwakingili san bab
Kuna amani gani kama hamna haki??? Wewe lilia haki ndipo itakuwa raisi kuihubiri aman. Vinginevyo huu ni unafki mtupu.
Unalinda usalama na nini na jembe shoka rungu Banga Mzee wewe unatumika vibaya na wanyanganyi ushachukua chako unapotosha
machifuu walikuwa zaman co Sasa ukanyoe Na hyo minywele km msukuleee
@paulshija6044
6 жыл бұрын
gladis msuya walikuwa zaman kwenu njoo mbeya ulete za kuleta utafurah na shoo
@gladismsuya2072
6 жыл бұрын
Paul Shija hao hawana mashiko sikuhziii
@shedrackmwaipopo9427
3 жыл бұрын
Unaongea upo wap kuwa na adabu