MHE.JERRY SILAA AMUWASHIA MOTO KAMISHNA ARDHI TANGA | MNATAKA KUFANYA UBATIRISHAJI VIWANJA VYA MAMA.

Ойын-сауық

Пікірлер: 41

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA2 ай бұрын

    Mapapa wa ardhi matumbo moto kwa ajili ya dhambi zao za wizi wa viwanja vya lalahoi , Mungu akupe ulinzi wake yssikudhuru haya mashetani , hayana huruma wala aibu

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q2 ай бұрын

    Mungu amjaalie huyu waziri wa ardhi

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q2 ай бұрын

    Wana tutesa sana hawa viongozi wa Alimashauri. Na kulitia Taifa Asara na wao wakijilimbikizia peas za dhuluma

  • @salumally663
    @salumally6632 ай бұрын

    Waziri hawa matapelii wa ardhi wataifishwe wakikutwa na utapelii ili iwe fundisho....hii ni culture haitakiwi kuendekezwa

  • @thelalas9204
    @thelalas92042 ай бұрын

    Hatimae tumefikiwa kaja leo kaondoka leo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    Kamishina mzima Unajitoa Uaminishu kwa tamaa kwanini Amuuzi viwanja vya mamazenu kama mnatamaa😮

  • @eshymushi3495
    @eshymushi34952 ай бұрын

    Waziri Mungu akulinde,

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim38642 ай бұрын

    Hua nafuatilia sana hii mikutano ya ardhi tokea enzi ya waziri Lukuvi nimekuja kugundua kwamba migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na maofisa wa ardhi kwakweli wao ndio chanzo cha migogoro naona wengi wao wapo unprofessional, mm naona serekali iangalie sana hichi kitengo.

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371Ай бұрын

    Anakoomaa

  • @eazyentertainment5570
    @eazyentertainment55702 ай бұрын

    HALAFU MNAWEKAJE VIDEO ISIYO NA CONCLUTION, HAMNA AKILI

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki13172 ай бұрын

    Walikuwa hawajui kuwa unakuja,wakaweka hema iliusipigwe najua,au wanatoka usione na usisome nyaraka vizuri

  • @estakapufi7582
    @estakapufi75822 ай бұрын

    Vichwa vikubwa pumba kabisa mnaishi kiujanja janja tu mnakaa officin mnalipwa mishahara bule kabisa pumbavuzenu mwaka huu mtakoma mekutana na kichwa, kwanza rais samia watu kama hawa watolewe kazini sio mnawahamisha sio sahihi.

  • @michaelfrenkline3429
    @michaelfrenkline34292 ай бұрын

    Mnafeli wapi ? Mshikieni waziri Muamvuli wandg. Jua kali

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    2 ай бұрын

    Wajinga wanataka achoke aondoke haraka

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33322 ай бұрын

    Matapeli hao 😢

  • @mrafm7285
    @mrafm72852 ай бұрын

    Tatizo la ardhi Tanga mjini likisababishwa na afisa mmoja aliyeondolewa anaitwa Toni huyu jamaa aliivuruga sana idara ya ardhi kabla ya kuletwa kamishna msaidizi watu wengi tulimlalamikia huyu mtu lakini serikali ilichelewa sana kumuondoa akaja kuondolewa mwaka 2021 kupelekwa hai Kilimanjaro

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo46572 ай бұрын

    Yaani watumisi wa serikali ni shida tupu,moaka najiukiza namna ya ujiriwa wao inakuwaje

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b2 ай бұрын

    Waziri Silaa ukiachiwa hiyo wizara ya ardhi miaka 2 tu utainyoosha hao wala rushwa na wadhulumiaji

  • @godfreymwemezi5124
    @godfreymwemezi51242 ай бұрын

    Tanga mmezingua hamjaweka hema kwenye meza ya waziri ili achoke na jua et? huyo mtoto wa mjini hiyo aniajua hivyo mpaka kieleweke.

  • @user-fq9fb7pv5k
    @user-fq9fb7pv5k2 ай бұрын

    Muheshimiwa waziri jimboni kwako ukonga tunashida ya matapeli wa aridhi ,kipunguni tupewe hati zetu

  • @masanjakabindo9615
    @masanjakabindo96152 ай бұрын

    Kuna watalam na wakwamishaji wa nchi/ bora uwe na marifa ndo elim ifuate#

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u2 ай бұрын

    Waziri Silaa ni hodari. Mchapa kazi mahiri na anawajibika kikamilifu. Mama Samia tafuta Mawaziri shupavu kwenye Wizara kama huyu kijana...kama. huyu nilipo upinzani sasa nitarudi CCM

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz12 ай бұрын

    Waziri mushauli Raisi I nchi ipimwe yote ili kusiwe na shida hizo

  • @mbwanaabdallahbwadalizo8779
    @mbwanaabdallahbwadalizo87792 ай бұрын

    Uyo kamishna sio mtu mzuri kabisa

  • @Safariking2010
    @Safariking20102 ай бұрын

    Hapa Waziri anaelekea kufeli, hii siyo namna ya kutatua changamoto za ardhi manake hapo Waziri ni kama anafanya kazi ya maafisa ardhi wakati yeye alitakiwa kuhakiki kwa mujibu wa nyaraka na siyo yeye kuchukua muda mrefu namna hiyo ku solve tatizo la mtu mmoja! Nchi nzima atawafikia wangapi? Nadhani angejikita kuunda technology wezeshi kwa kuwaingiza wamiliki kwenye database na kuondoa urasimu wa kila mmiliki kuulizwa nyaraka. Maafisa ardhi ndiyo tatizo hapaswi kuwapa nafasi ya kujieleza bila proof records zisizo na utata.

  • @halimaoman8726
    @halimaoman87262 ай бұрын

    Hao alimashauri ya aridhi ndio chachu ya vurugu viongozi wakibanwa wanakuwa lakusema mate yanawajaa mdomoni silaa kujuza kazi wengine watajifunza

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo46572 ай бұрын

    Hv uwezo wa kuendeleza(kutoendeleza )kiwanja ni ground yakufuta umiliki wa mtu?.Ni sheria ipi hyo inasema hlo swala?

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371Ай бұрын

    Walijua kwamba atakimbia jua

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo35772 ай бұрын

    Wamemfanyia kusudi ili Achoke aondoke wanajua kuna jua hapo kwanini wasiweke tenti makusudi wamefanya lakini Mungu anawaona hapo wanajifanya wanyenyekevu kama Malaika kumbe mashetani Paka wa Blue hawa wanatesa watu saana na kujifanya Mungu watu Fyuuu

  • @bongo39
    @bongo392 ай бұрын

    Kiongozi hap jamaa wa tanga ardhi ni dhulma dhulma wanatutesa sana wananchi mkuu uko wewe tuu hapo ila wana majibu ya kunya kweli hao jamaa na maneno yakujiamini na jeuri sana wapigaji wakubwa wachunguzwe uone maisha yao walivyojijenga na kujimilikisha ardhi kila kona kanga ndio usisrme ndio mji wao mkubwa wafanyakazi wa serikali karibu wote

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    2 ай бұрын

    Yaani kwa mazungumzo na vielelezo vyao tu, inabidi mtu ashtuke. Bahati nzuri wamekutana na Waziri genius; hawatoboi hapo

  • @petroyohana1126
    @petroyohana11262 ай бұрын

    Uzuri wa waziri Slaa ni genius, you can't lie to him easily

  • @ashuraomar4935

    @ashuraomar4935

    2 ай бұрын

    And very smart

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын

    Silaa ww niwaziri ambaye hajawai kutoka Tanzania unafanya kazi Kwa weredi mkubwa watu Aridhi niwagombanishi wakubwa wenyewe wanaviwanja kila mkoa.

  • @halimaoman8726
    @halimaoman87262 ай бұрын

    Hao viongozi wa ofisini ndio chanzo cha vurugu ya aridhi sababu wwe kiongizi usingekubali kuweka saizi you asingemeliki alidhi ya mwenzie nyinyi ndio changu ya vurugu ninyi viongozi mngefutiwa kazi wengine mngejifunza mngekuwa na woga nakusikiliza kesi ambayo za dhuluna

  • @tztanzania2262
    @tztanzania22622 ай бұрын

    Nashindwa kujua Nani yupo vzur kumzdi mwngne Kati ya Jerry slaa na Paul makonda hawa siku mmoja awe Rais mwingne wazr mkuu nchi itakuwa motoooo

  • @MohammedLiseki
    @MohammedLiseki2 ай бұрын

    Huyo kamishina ni tatizo

  • @tztanzania2262
    @tztanzania22622 ай бұрын

    Demakeshen maana yake Nini?

  • @petroyohana1126
    @petroyohana11262 ай бұрын

    Kwanini Tanga hamkuweka turubai sehemu waziri anakaa?

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    2 ай бұрын

    Wanataka aungue amalize haraka,hiyo ni roho mbaya saana

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    2 ай бұрын

    Umeonaeee😂, wajanja