Mapapa wa ardhi matumbo moto kwa ajili ya dhambi zao za wizi wa viwanja vya lalahoi , Mungu akupe ulinzi wake yssikudhuru haya mashetani , hayana huruma wala aibu
@user-ki7hd3lg2q2 ай бұрын
Mungu amjaalie huyu waziri wa ardhi
@user-hs7vq1jo2q2 ай бұрын
Wana tutesa sana hawa viongozi wa Alimashauri. Na kulitia Taifa Asara na wao wakijilimbikizia peas za dhuluma
@salumally6632 ай бұрын
Waziri hawa matapelii wa ardhi wataifishwe wakikutwa na utapelii ili iwe fundisho....hii ni culture haitakiwi kuendekezwa
@thelalas92042 ай бұрын
Hatimae tumefikiwa kaja leo kaondoka leo
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Kamishina mzima Unajitoa Uaminishu kwa tamaa kwanini Amuuzi viwanja vya mamazenu kama mnatamaa😮
@eshymushi34952 ай бұрын
Waziri Mungu akulinde,
@ssalimsalim38642 ай бұрын
Hua nafuatilia sana hii mikutano ya ardhi tokea enzi ya waziri Lukuvi nimekuja kugundua kwamba migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na maofisa wa ardhi kwakweli wao ndio chanzo cha migogoro naona wengi wao wapo unprofessional, mm naona serekali iangalie sana hichi kitengo.
@aishambagi7371Ай бұрын
Anakoomaa
@eazyentertainment55702 ай бұрын
HALAFU MNAWEKAJE VIDEO ISIYO NA CONCLUTION, HAMNA AKILI
@gideonibatangaki13172 ай бұрын
Walikuwa hawajui kuwa unakuja,wakaweka hema iliusipigwe najua,au wanatoka usione na usisome nyaraka vizuri
@estakapufi75822 ай бұрын
Vichwa vikubwa pumba kabisa mnaishi kiujanja janja tu mnakaa officin mnalipwa mishahara bule kabisa pumbavuzenu mwaka huu mtakoma mekutana na kichwa, kwanza rais samia watu kama hawa watolewe kazini sio mnawahamisha sio sahihi.
@michaelfrenkline34292 ай бұрын
Mnafeli wapi ? Mshikieni waziri Muamvuli wandg. Jua kali
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Wajinga wanataka achoke aondoke haraka
@thomastemu33322 ай бұрын
Matapeli hao 😢
@mrafm72852 ай бұрын
Tatizo la ardhi Tanga mjini likisababishwa na afisa mmoja aliyeondolewa anaitwa Toni huyu jamaa aliivuruga sana idara ya ardhi kabla ya kuletwa kamishna msaidizi watu wengi tulimlalamikia huyu mtu lakini serikali ilichelewa sana kumuondoa akaja kuondolewa mwaka 2021 kupelekwa hai Kilimanjaro
@tumainiellyimo46572 ай бұрын
Yaani watumisi wa serikali ni shida tupu,moaka najiukiza namna ya ujiriwa wao inakuwaje
@user-ov3bt3pf1b2 ай бұрын
Waziri Silaa ukiachiwa hiyo wizara ya ardhi miaka 2 tu utainyoosha hao wala rushwa na wadhulumiaji
@godfreymwemezi51242 ай бұрын
Tanga mmezingua hamjaweka hema kwenye meza ya waziri ili achoke na jua et? huyo mtoto wa mjini hiyo aniajua hivyo mpaka kieleweke.
@user-fq9fb7pv5k2 ай бұрын
Muheshimiwa waziri jimboni kwako ukonga tunashida ya matapeli wa aridhi ,kipunguni tupewe hati zetu
@masanjakabindo96152 ай бұрын
Kuna watalam na wakwamishaji wa nchi/ bora uwe na marifa ndo elim ifuate#
@user-oj3fq4pi2u2 ай бұрын
Waziri Silaa ni hodari. Mchapa kazi mahiri na anawajibika kikamilifu. Mama Samia tafuta Mawaziri shupavu kwenye Wizara kama huyu kijana...kama. huyu nilipo upinzani sasa nitarudi CCM
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
Waziri mushauli Raisi I nchi ipimwe yote ili kusiwe na shida hizo
@mbwanaabdallahbwadalizo87792 ай бұрын
Uyo kamishna sio mtu mzuri kabisa
@Safariking20102 ай бұрын
Hapa Waziri anaelekea kufeli, hii siyo namna ya kutatua changamoto za ardhi manake hapo Waziri ni kama anafanya kazi ya maafisa ardhi wakati yeye alitakiwa kuhakiki kwa mujibu wa nyaraka na siyo yeye kuchukua muda mrefu namna hiyo ku solve tatizo la mtu mmoja! Nchi nzima atawafikia wangapi? Nadhani angejikita kuunda technology wezeshi kwa kuwaingiza wamiliki kwenye database na kuondoa urasimu wa kila mmiliki kuulizwa nyaraka. Maafisa ardhi ndiyo tatizo hapaswi kuwapa nafasi ya kujieleza bila proof records zisizo na utata.
@halimaoman87262 ай бұрын
Hao alimashauri ya aridhi ndio chachu ya vurugu viongozi wakibanwa wanakuwa lakusema mate yanawajaa mdomoni silaa kujuza kazi wengine watajifunza
@tumainiellyimo46572 ай бұрын
Hv uwezo wa kuendeleza(kutoendeleza )kiwanja ni ground yakufuta umiliki wa mtu?.Ni sheria ipi hyo inasema hlo swala?
@aishambagi7371Ай бұрын
Walijua kwamba atakimbia jua
@mossyfimbo35772 ай бұрын
Wamemfanyia kusudi ili Achoke aondoke wanajua kuna jua hapo kwanini wasiweke tenti makusudi wamefanya lakini Mungu anawaona hapo wanajifanya wanyenyekevu kama Malaika kumbe mashetani Paka wa Blue hawa wanatesa watu saana na kujifanya Mungu watu Fyuuu
@bongo392 ай бұрын
Kiongozi hap jamaa wa tanga ardhi ni dhulma dhulma wanatutesa sana wananchi mkuu uko wewe tuu hapo ila wana majibu ya kunya kweli hao jamaa na maneno yakujiamini na jeuri sana wapigaji wakubwa wachunguzwe uone maisha yao walivyojijenga na kujimilikisha ardhi kila kona kanga ndio usisrme ndio mji wao mkubwa wafanyakazi wa serikali karibu wote
@joycekisamo4896
2 ай бұрын
Yaani kwa mazungumzo na vielelezo vyao tu, inabidi mtu ashtuke. Bahati nzuri wamekutana na Waziri genius; hawatoboi hapo
@petroyohana11262 ай бұрын
Uzuri wa waziri Slaa ni genius, you can't lie to him easily
@ashuraomar4935
2 ай бұрын
And very smart
@Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын
Silaa ww niwaziri ambaye hajawai kutoka Tanzania unafanya kazi Kwa weredi mkubwa watu Aridhi niwagombanishi wakubwa wenyewe wanaviwanja kila mkoa.
@halimaoman87262 ай бұрын
Hao viongozi wa ofisini ndio chanzo cha vurugu ya aridhi sababu wwe kiongizi usingekubali kuweka saizi you asingemeliki alidhi ya mwenzie nyinyi ndio changu ya vurugu ninyi viongozi mngefutiwa kazi wengine mngejifunza mngekuwa na woga nakusikiliza kesi ambayo za dhuluna
@tztanzania22622 ай бұрын
Nashindwa kujua Nani yupo vzur kumzdi mwngne Kati ya Jerry slaa na Paul makonda hawa siku mmoja awe Rais mwingne wazr mkuu nchi itakuwa motoooo
@MohammedLiseki2 ай бұрын
Huyo kamishina ni tatizo
@tztanzania22622 ай бұрын
Demakeshen maana yake Nini?
@petroyohana11262 ай бұрын
Kwanini Tanga hamkuweka turubai sehemu waziri anakaa?
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Wanataka aungue amalize haraka,hiyo ni roho mbaya saana
Пікірлер: 41
Mapapa wa ardhi matumbo moto kwa ajili ya dhambi zao za wizi wa viwanja vya lalahoi , Mungu akupe ulinzi wake yssikudhuru haya mashetani , hayana huruma wala aibu
Mungu amjaalie huyu waziri wa ardhi
Wana tutesa sana hawa viongozi wa Alimashauri. Na kulitia Taifa Asara na wao wakijilimbikizia peas za dhuluma
Waziri hawa matapelii wa ardhi wataifishwe wakikutwa na utapelii ili iwe fundisho....hii ni culture haitakiwi kuendekezwa
Hatimae tumefikiwa kaja leo kaondoka leo
Kamishina mzima Unajitoa Uaminishu kwa tamaa kwanini Amuuzi viwanja vya mamazenu kama mnatamaa😮
Waziri Mungu akulinde,
Hua nafuatilia sana hii mikutano ya ardhi tokea enzi ya waziri Lukuvi nimekuja kugundua kwamba migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na maofisa wa ardhi kwakweli wao ndio chanzo cha migogoro naona wengi wao wapo unprofessional, mm naona serekali iangalie sana hichi kitengo.
Anakoomaa
HALAFU MNAWEKAJE VIDEO ISIYO NA CONCLUTION, HAMNA AKILI
Walikuwa hawajui kuwa unakuja,wakaweka hema iliusipigwe najua,au wanatoka usione na usisome nyaraka vizuri
Vichwa vikubwa pumba kabisa mnaishi kiujanja janja tu mnakaa officin mnalipwa mishahara bule kabisa pumbavuzenu mwaka huu mtakoma mekutana na kichwa, kwanza rais samia watu kama hawa watolewe kazini sio mnawahamisha sio sahihi.
Mnafeli wapi ? Mshikieni waziri Muamvuli wandg. Jua kali
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Wajinga wanataka achoke aondoke haraka
Matapeli hao 😢
Tatizo la ardhi Tanga mjini likisababishwa na afisa mmoja aliyeondolewa anaitwa Toni huyu jamaa aliivuruga sana idara ya ardhi kabla ya kuletwa kamishna msaidizi watu wengi tulimlalamikia huyu mtu lakini serikali ilichelewa sana kumuondoa akaja kuondolewa mwaka 2021 kupelekwa hai Kilimanjaro
Yaani watumisi wa serikali ni shida tupu,moaka najiukiza namna ya ujiriwa wao inakuwaje
Waziri Silaa ukiachiwa hiyo wizara ya ardhi miaka 2 tu utainyoosha hao wala rushwa na wadhulumiaji
Tanga mmezingua hamjaweka hema kwenye meza ya waziri ili achoke na jua et? huyo mtoto wa mjini hiyo aniajua hivyo mpaka kieleweke.
Muheshimiwa waziri jimboni kwako ukonga tunashida ya matapeli wa aridhi ,kipunguni tupewe hati zetu
Kuna watalam na wakwamishaji wa nchi/ bora uwe na marifa ndo elim ifuate#
Waziri Silaa ni hodari. Mchapa kazi mahiri na anawajibika kikamilifu. Mama Samia tafuta Mawaziri shupavu kwenye Wizara kama huyu kijana...kama. huyu nilipo upinzani sasa nitarudi CCM
Waziri mushauli Raisi I nchi ipimwe yote ili kusiwe na shida hizo
Uyo kamishna sio mtu mzuri kabisa
Hapa Waziri anaelekea kufeli, hii siyo namna ya kutatua changamoto za ardhi manake hapo Waziri ni kama anafanya kazi ya maafisa ardhi wakati yeye alitakiwa kuhakiki kwa mujibu wa nyaraka na siyo yeye kuchukua muda mrefu namna hiyo ku solve tatizo la mtu mmoja! Nchi nzima atawafikia wangapi? Nadhani angejikita kuunda technology wezeshi kwa kuwaingiza wamiliki kwenye database na kuondoa urasimu wa kila mmiliki kuulizwa nyaraka. Maafisa ardhi ndiyo tatizo hapaswi kuwapa nafasi ya kujieleza bila proof records zisizo na utata.
Hao alimashauri ya aridhi ndio chachu ya vurugu viongozi wakibanwa wanakuwa lakusema mate yanawajaa mdomoni silaa kujuza kazi wengine watajifunza
Hv uwezo wa kuendeleza(kutoendeleza )kiwanja ni ground yakufuta umiliki wa mtu?.Ni sheria ipi hyo inasema hlo swala?
Walijua kwamba atakimbia jua
Wamemfanyia kusudi ili Achoke aondoke wanajua kuna jua hapo kwanini wasiweke tenti makusudi wamefanya lakini Mungu anawaona hapo wanajifanya wanyenyekevu kama Malaika kumbe mashetani Paka wa Blue hawa wanatesa watu saana na kujifanya Mungu watu Fyuuu
Kiongozi hap jamaa wa tanga ardhi ni dhulma dhulma wanatutesa sana wananchi mkuu uko wewe tuu hapo ila wana majibu ya kunya kweli hao jamaa na maneno yakujiamini na jeuri sana wapigaji wakubwa wachunguzwe uone maisha yao walivyojijenga na kujimilikisha ardhi kila kona kanga ndio usisrme ndio mji wao mkubwa wafanyakazi wa serikali karibu wote
@joycekisamo4896
2 ай бұрын
Yaani kwa mazungumzo na vielelezo vyao tu, inabidi mtu ashtuke. Bahati nzuri wamekutana na Waziri genius; hawatoboi hapo
Uzuri wa waziri Slaa ni genius, you can't lie to him easily
@ashuraomar4935
2 ай бұрын
And very smart
Silaa ww niwaziri ambaye hajawai kutoka Tanzania unafanya kazi Kwa weredi mkubwa watu Aridhi niwagombanishi wakubwa wenyewe wanaviwanja kila mkoa.
Hao viongozi wa ofisini ndio chanzo cha vurugu ya aridhi sababu wwe kiongizi usingekubali kuweka saizi you asingemeliki alidhi ya mwenzie nyinyi ndio changu ya vurugu ninyi viongozi mngefutiwa kazi wengine mngejifunza mngekuwa na woga nakusikiliza kesi ambayo za dhuluna
Nashindwa kujua Nani yupo vzur kumzdi mwngne Kati ya Jerry slaa na Paul makonda hawa siku mmoja awe Rais mwingne wazr mkuu nchi itakuwa motoooo
Huyo kamishina ni tatizo
Demakeshen maana yake Nini?
Kwanini Tanga hamkuweka turubai sehemu waziri anakaa?
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Wanataka aungue amalize haraka,hiyo ni roho mbaya saana
@zebedayokatamaduni9676
2 ай бұрын
Umeonaeee😂, wajanja