Jionee Maajabu ya Ziwa Ngosi

Пікірлер: 38

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu67304 жыл бұрын

    Shape Ya Bara La Africa Napenda Kwetu Mbeya

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Apo jamani panatisha Sana kwa kuliangalia kwa picture sa ukifika unaweza usiludi

  • @peterjairours7194
    @peterjairours71943 жыл бұрын

    Daaaah 2011 tuliogelea hapa aiseeee,,maji ya chumvi na kuna bata mto,,nyani wapo mpka raha

  • @beatricekalamata9029

    @beatricekalamata9029

    9 ай бұрын

    Labda ulioga panatitia sana uliogeleaje??????

  • @NeroForte_
    @NeroForte_ Жыл бұрын

    nice brother nice.

  • @nyamwendamassamba4885
    @nyamwendamassamba4885 Жыл бұрын

    Mimi nimekwenda Ziwa Ngozi kutokana na hali ya ukungu sikuliona ziwa ikabidi nishuke chini mpaka ziwani nikaone na kuchota maji. Ilituchukua zaidi ya saa moja

  • @tzobedytzbedy9775
    @tzobedytzbedy97754 жыл бұрын

    Naona Africa

  • @DavidFaiton
    @DavidFaiton3 жыл бұрын

    Nimefika mwaka jana hapo panatisha mno aise mwiili unasisimka naturally

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Mimi hata bule siendi apo

  • @mudyguymnyama8500
    @mudyguymnyama85003 жыл бұрын

    tuschoke kwenda

  • @edgaredward3490
    @edgaredward34909 ай бұрын

    Hapo hadi majini wapo hiyo siyo sehemu yakuchezea jamani 😢

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly69005 жыл бұрын

    Du zamani wakat nikiwa mdogo mbeya tulikuwa tunadanganywa kuwa il ziwa lilihama na linamaajab sana pia walituambia kuna bata anaishi ktkt ya maji

  • @lovenessibrahimu6730

    @lovenessibrahimu6730

    4 жыл бұрын

    Rungwe Limebaki Shimo Mlimani Ni Kweli Lina Maajabu Hawaogi Hayoooo Maji Yake

  • @barakajpilly6900

    @barakajpilly6900

    4 жыл бұрын

    @@lovenessibrahimu6730 du kumbe kwel niljua uongo bhana

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Itakua kweli hata Mimi niliwahi kusikia hivyo

  • @barakajpilly6900

    @barakajpilly6900

    3 жыл бұрын

    @@andulilemwakihabha2048 itakuwa kweli

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu67304 жыл бұрын

    Nimekumbuka Study Tour Geography

  • @crystalseth9108
    @crystalseth91085 жыл бұрын

    like ramani ya Africa

  • @ezekiaomary9761
    @ezekiaomary97615 жыл бұрын

    inapendeza mbeya yetu

  • @omarymakota2276
    @omarymakota22765 жыл бұрын

    aisee pazuri sana

  • @daudinyello4033
    @daudinyello40335 жыл бұрын

    DUBAI....!!!....MR LUPEMBE UMECHAPIA AFRIKA KUNA DUBAI?

  • @kingswebe3251
    @kingswebe32515 жыл бұрын

    Mbona linatisha sana

  • @israelsalim4322

    @israelsalim4322

    5 жыл бұрын

    mbeya yetu juuuuuuuuu

  • @lovenessibrahimu6730

    @lovenessibrahimu6730

    4 жыл бұрын

    Halitishi Ni Mzuri Ila Mpk Ufike Ziwani Kuna Steep Slope Balaaaa Kushuka Chini Hatushuki Na Viatu Tulitumia Soksi

  • @bungemwinuka447

    @bungemwinuka447

    3 жыл бұрын

    Ziwa linavutia

  • @2003silla
    @2003silla5 жыл бұрын

    ni wilaya ya mbeya na siyo lungwe

  • @musasamwel9578

    @musasamwel9578

    5 жыл бұрын

    hiloziwa liko mbeya vijijini sio wilaya ya lungwe kutoka iwalanje kufika kwenye hilo ziwa nikilometa kama 10

  • @saromekamwambi6689

    @saromekamwambi6689

    5 жыл бұрын

    Ni wilaya yalungwe sio mbeya wilaya yalungwe imeishia namba wan ko hili ziwa liko upande wa rungwe wewe, mkoa wambeya

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    @@saromekamwambi6689 kweli kabisa

  • @christopheragenmwaimise7911

    @christopheragenmwaimise7911

    2 жыл бұрын

    Ni wilaya ya Rungwe brother

  • @mariamukasyupa2782
    @mariamukasyupa27825 жыл бұрын

    Duuh

  • @manfredmlelwa5108
    @manfredmlelwa51085 жыл бұрын

    liko mby vijijini sio rungwe

  • @gastonmahenge602

    @gastonmahenge602

    5 жыл бұрын

    Wilaya ya rungwe

  • @seciliamwaibanje7168

    @seciliamwaibanje7168

    5 жыл бұрын

    can mby ytuuuuiiuuuui

  • @lovenessibrahimu6730

    @lovenessibrahimu6730

    4 жыл бұрын

    Chanzo Chake Ni Mlima Rungwe Haki

  • @shedrackmwaipopo9427

    @shedrackmwaipopo9427

    3 жыл бұрын

    Mpakan na mbeya vijijini

  • @gabrielcathabet1787
    @gabrielcathabet17873 жыл бұрын

    mbeya yetu

  • @omarymakota2276
    @omarymakota22765 жыл бұрын

    tunashukuru mbeya yetu media mjawahi tuletea habari za kubabaisha