PAROKO, BABA NA MGANGA WA KIENYEJI WADAKWA NA VIUNGO VYA MTOTO ALBINO ASIMWE

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 18

  • @Director___Mwadadu
    @Director___Mwadadu5 күн бұрын

    Ingewekwa adhabu ya kifo cha papoose hapo kutokomeza hii hali japo nchi kama nchi inauiraji wa msingi watu inauma😢

  • @user-so2si9dt9u
    @user-so2si9dt9u13 күн бұрын

    Mama Samia hapo hakuna uchunguz wanyongwe tu tumechoka sana

  • @MussajumaMiheza
    @MussajumaMiheza18 күн бұрын

    Wanyongwe bila uruma!

  • @LovenessDaud
    @LovenessDaud18 күн бұрын

    Mmh inatisha sana 😢😢

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo820719 күн бұрын

    Ngoja tusubilie uchunguzi wa kipolisi ukamilike, Yawezakuwa siyo sahihi sana!

  • @saidbakar-qo6ri

    @saidbakar-qo6ri

    18 күн бұрын

    Mjinga sana wewe hapo una lengo la kumtetea paroko unaleta udini waliokamatwa wamemtaja wewe ni nani mpaka upinge ushahidi upo na viungo vimepatikana ndugu zetu baadhi wakristo sio wote tuache kuleta ushabiki wa kidini kwenye jambo linalogusa hisia za kijamii na kibinadamu nyinyi ndio wale wakristo mliojitahidi kumtetea papa wa vatican kuhusu ushoga na kujaribu kupindisha ukweli kuwa kanisa katoliki rasmi limeruhusu ushoga kilichotakiwa wakristo wote wa afrika kupinga na kumtaka papa abadilishe msimamo wake lakini hakuna hata kiongozi mmoja aliediriki kumkosoa papa hata kwa waraka tu kama ule uliotumwa na kanisa wa kupinga bandari,hebu wakristo na waislamu tuache mihemko ya kidini yenye lengo la kumchukia mtu kwa sababu ni dini fulani au kumpendelea mtu kwa sababu ya dini fulani tuwe na msimamo wa pamoja rais awe muislamu au mkristo tumpinge kwa hoja tukosoe lakini tusiweke udini kwani ukiweka udini utashindwa kumsifu hata kwa mazuri atakayoyafanya na utayageuza mazuri kuwa mabaya

  • @JacquelineKinyonge

    @JacquelineKinyonge

    18 күн бұрын

    Siyo sahihi kivipi na wakat ushaambiwa kuwa paroko ndiye aliyemshawishi baba wa mtoto

  • @Teaching356

    @Teaching356

    14 күн бұрын

    Et alikuwa padre alisimamishwa kazi sababu ya ulevi na alikuwa malaya wa kupindukia hivyo uhakika upo hakuna cha uchunguzi tena.

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal771819 күн бұрын

    Jamani,na paroko tena?

  • @theklalyimo4383
    @theklalyimo438318 күн бұрын

    Jesus

  • @consolatamsacky6400
    @consolatamsacky640019 күн бұрын

    Paroko 😢

  • @ElinikeSoi
    @ElinikeSoi19 күн бұрын

    Kama patri kafanya ivi tuta kimbilia wap 😢😢😢

  • @user-xh6fy4oc9u
    @user-xh6fy4oc9u17 күн бұрын

    It is another sort of terrorism

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa33117 күн бұрын

    Paroko mtakatifu

  • @user-xh6fy4oc9u

    @user-xh6fy4oc9u

    17 күн бұрын

    Paroko Mtaka fujo

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala771819 күн бұрын

    MAONI: NAKUREKEBISHA KIDOGO KATIKA RIPOTI YAKO HII .... - WENGI WA WALIORIPOTI,WALIANDIKA KICHWA CHA HABARI,"PAROKO MSAIDIZI"....NARUDIA "PAROKO MSAIDIZI" -ELIMU: PAROKO ANATOFAUTIANA SANA NA PAROKO MSAIDIZI KATIKA WADHIFA WAO.... -ANDIKA KUTOKANA NA MAELEZO SAHIHI

  • @saidbakar-qo6ri

    @saidbakar-qo6ri

    18 күн бұрын

    Paroko ni paroko tu awe msaidizi awe mjukuu ni mtumishi wa kanisa sasa lengo lako ilikuwa kutetea au

  • @musakatwale1959

    @musakatwale1959

    16 күн бұрын

    UTAKUTA BAADA YA SIKU 4 MAJAMAA YAKO TENA MTAANI.KAMA KWELI NI WAO TUMIENI KALE KAUTARATIBU KA CHINA.KAMA NI MCHONGO BASI PELELEZENI MAANA BONGO NAPO MAUZAUZA YAPO MTAANI

Келесі