HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM

HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 16

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo10 күн бұрын

    asante sana mzee wetu hashimu bora na wewe umewaona hawa wezi wakitanzania.

  • @gerevasliyunga9831
    @gerevasliyunga983113 күн бұрын

    Hekima nyingi sana kwa Mzee Rungwe

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo10 күн бұрын

    na wanafanya hivyo ili kutukomoa sisi wananchi wa hali za chini. lakini mungu atawaona na kuwatembelea wakati wowote wasioujua wao. waendelee tu kutukomoa sisi wananchi kiasi hicho.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666213 күн бұрын

    Kwa Sababu alifanya uchawa. Ukifanya uchawa tu umeisha pata kuteuliwa tayari. Na hizo pesa wanakopa wakikopa wanakuja kugawana ili waweze kuteuluwa na wakubwa wanahonga ili wawezeshe kupata kuiba kura mwaka kesho.

  • @issamangapi5486
    @issamangapi548611 күн бұрын

    Akili kubwa

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem488913 күн бұрын

    Sijamuelewa kabisa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666213 күн бұрын

    Watawala wa CCM ni laana tu siku moja watakuja kujuta kweli. CCM siyo kuwa wamechoka bali wanajuwa wanatawala wajinga. Kwahiyo wanatufanyia sisi wajinga. Na vijana qetu wamekubalikywa wachawa wa CCM na CCM watawakomesha kama hawajifahamu unadhani nani atawahurumia wakati huyo anayekuhumiza unamusifia?

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri13 күн бұрын

    Wananchi wanabanwa na kodi kwa sababu mipango inayotumia bajeti siyo shirikishi na haiibuliwi na wafaidika wa mipango hiyo.Mipango inaibuliwa na serkali na bajeti ni ya serkali.Wananchi bajeti yao na mipango yao inatofautiana na ya serkali.

  • @knight6757
    @knight675713 күн бұрын

    " KILA MTU ALE NA UREFU WA KAMBA YAKE "

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743812 күн бұрын

    Hiyo ndiyo kauli mbiu aliyo aliyesema Mama kila mtu ale urefu wa kamba yake na kuwajaza watu mapesa mifukoni Mungu atatoa jibu tu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai12 күн бұрын

    Iko wazi baba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743812 күн бұрын

    Mzee wa Ubwabwa kazi unayo

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti9 күн бұрын

    😆😆ki ukweli huyu mzee napendaga sana kusikiliza interview zake, eti wewe vipiii..😅

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666213 күн бұрын

    Mama yao amewambia wale kwa urefu wa kamba yao. Na sijui kwa ninyi waacha kugoma kabla hata hawajapunguza. Sasa hivi hali ni mbaya zaidi kuliko Ukoloni

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    7 күн бұрын

    Hebu niambie ukoloni maisha yalikuwa tight sana!!!

Келесі