Kikwete, Lowassa Walivyozifinyanga Siasa za Tanzania
Mwandishi mkongwe nchini Luqman Maloto ameandika kitabu kuhusu safari ya kiasiasa ya Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wake Hayati Edward Lowasa chenye jina la “Kikwete Lowassa; Urafiki, Ndoa yao ya Kisiasa, Uadui.”
Katika mazungumzo haya na The Chanzo, Maloto anaelezea kwa undani sababu zilizomsukuma kuandika kitabu hiki.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 3
👊✌👍.
Nimejielimisha sana juu ya siasa zetu
Shukran, kitabu kinapatikana wapi?