''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI

''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 247

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @MACHOZIKAMBI

    @MACHOZIKAMBI

    Ай бұрын

    😂😂😂ON

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5Ай бұрын

    Huyo demu anaonekana alivyo mchafu wa kinywa na nyodo, yawezekana kweli analiwa na vigogo

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn4618 күн бұрын

    Mbona mama huyu katoa maelezo yaliyonyooka moja baada ya jingine , kwa hiyo kijana aliyemchongea labda ana KINYONGO binafsi au haelewi taratibu za kikazi .mheshimiwa MAKONDA kazi yako ni nzuri sana naomba kuwa makini wengine wasije wakatumia nafasi hiyo kuingiza MAJUNGU na UONGO wa kuwachafulia wengine sifa kazini .

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518Ай бұрын

    Mtumishi wa UMMA huruhusiwi kuwa siasa hadi hapo dada umezingua labda wakulinde tu sababu ni ccm mwenzao

  • @jonasamos555
    @jonasamos555Ай бұрын

    Kwa maellezo ya dada inawezekana kabisa ni mwanaisasa na sio mtumishi wa umma

  • @JoseeSarakikya

    @JoseeSarakikya

    Ай бұрын

    Natamani siku moja makonda awe raisi wa nchi

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097Ай бұрын

    Kuwa makini sana nyakati hizi za usiku mkuu Viva Makonda Vivaaaa

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490Ай бұрын

    Hii ndio Prof. PLO Lumumba anaita "Magufulification"

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7noАй бұрын

    Babaaaa hiyo mida uwe makini sana manyangau ni wengi hawapendi unachokifanya usije kuraluliwa tukakukosa bado tunakuhitaji

  • @ScopionScopion-zj9cd

    @ScopionScopion-zj9cd

    Ай бұрын

    hahaaaa manyangau

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    Ай бұрын

    Ni kweli kabisa.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 UCHUMI UTAPANDA MALA KUMI YAKE KILA MTU ATAOGOPA KUIBA MANAYAKE PESA YOTE ITAINGIA SEREKALINI UCHUMI NDIO LAZIMA UPANDE BRAVO MAKUFULI JUNIOR 👏

  • @ushindidaycare234
    @ushindidaycare234Ай бұрын

    Walikubeza wakisema hunahakili nime hakiki mwenyewe unahakili nyingi za upendeleo (usije uka muacha Mungu).

  • @NancyPatrick-il8zj
    @NancyPatrick-il8zjАй бұрын

    Hili dada limekaa kichagudoa kabisa. Makonda toa hiyo takataka hapo

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula93 күн бұрын

    Manenoo mengiii wamekuiliza swali moja unajielezea sanaaa aaah mashaka matupuu siasa Yann ancheka cheka tuu mashaka matupuuu

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforceАй бұрын

    This is what we call "OPEN AIR PUBLIC ADMINISTRATION"

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744Ай бұрын

    Kwa kweli Makonda sizani duniani kama kuna kiongozi kama Makonda anaejitolea kusikiliza shida za watu kama hivi sijawahi kuona ni kazi kubwa sana inataka moyo

  • @selelilumambo2157

    @selelilumambo2157

    Ай бұрын

  • @silvanusmyovela6545
    @silvanusmyovela6545Ай бұрын

    Tunaomba Makonda awe mkuu wa mkoa nchi zima

  • @J4UPro

    @J4UPro

    Ай бұрын

    Yaani umewaza kama mimi. Yaani awe mkuu wa mikoa.

  • @josephatdunda1937

    @josephatdunda1937

    Ай бұрын

    Hahaha atakuwa kashakuwa Rais tu

  • @farajaMezza-qn4be

    @farajaMezza-qn4be

    Ай бұрын

    In short awe Rais

  • @JaydenBahi

    @JaydenBahi

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    Kweri sana

  • @JennipherGabriel-rx6jc
    @JennipherGabriel-rx6jcАй бұрын

    Kushindana na mwalimu katika maelezo ni changamoto wanajuwa kujieleza na wanapanga maelezo vizur yan inatakiwa ujipange

  • @rizikimarco6451

    @rizikimarco6451

    Ай бұрын

    Ogopa

  • @Worldunite
    @WorlduniteАй бұрын

    Issue ya bandari haipo hapo, wala ya kutukana viongozi hapa

  • @LewadiNyasaland-re9tu
    @LewadiNyasaland-re9tuАй бұрын

    Makonda ni fireeee ❤❤❤

  • @sadikingitu
    @sadikingituАй бұрын

    Nimependa sana huyu jamaa anavyowasilisha hoja, he is too confident. Briliant!

  • @rockyvlogs2214

    @rockyvlogs2214

    Ай бұрын

    Very coool person

  • @meshackeliau8973
    @meshackeliau8973Ай бұрын

    Nawapenda sana hao wamasai wanaposema tunamlinda kwa huku nyuma maasai are very wise🎉😅

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2vАй бұрын

    Usiogope vitisho vya maadui hawawezi kwa chochote mwenyezi mungu atakurinda🤲🤲🤲🤲

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001Ай бұрын

    Huyo dada msaniii tuu labda wamlinde kwa ajili ya chama chale ila anaonekana chenga tyuuu

  • @AsungaSteven
    @AsungaStevenАй бұрын

    Makonda wewe ni kiongozi aisee,njoo tena Dar

  • @elizabethisaya136
    @elizabethisaya136Ай бұрын

    Mungu akulinde makonda

  • @davidkalama5426
    @davidkalama5426Ай бұрын

    God of heaven may bless you, horn: Paul Makonda, for good work to help your people.

  • @olyomary317
    @olyomary317Ай бұрын

    Ndio makonda mama mkwe wako mwalimu mkuu wetu mama Masenge tunamjua sanaaa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын

    Icho kidada kifupi inaonekana kinalindwa na wakubwa na itakuwa ni chakula chao

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    Ай бұрын

    Yes

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    Ай бұрын

    Wanawake wote ni chakula cha wanaume.

  • @user-sv6zy3hc8o

    @user-sv6zy3hc8o

    Ай бұрын

    Akiwemo mama ako

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222Ай бұрын

    Dada anaonekana ananyodo sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddyАй бұрын

    Dada Farida anaonekana yeye ndo tatizo hata iyo Bandali atakuwa amemsingizia tu ili asimsikilize tu huyu lkn ukweli utajulikana tu huyu Farida inaonekana tatizo sana

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412Ай бұрын

    Safi sana dadaangu unajiamini 😂😂❤ ila ungehamia kwenye siasa moja kwa moja kuliko kuwa mtumishi na wakati huo huo mwanasiasa.

  • @Mweya-87
    @Mweya-87Ай бұрын

    Farida nimekupenda sana dada yangu.

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    Mwenyewe nimempenda sana,katika wote waliojibu kisomi ni pamoja na yeye.

  • @anamsaid8610

    @anamsaid8610

    Ай бұрын

    Anaongea kwa hoja na takwimu

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    Ай бұрын

    @@anamsaid8610 mnooo

  • @zanubharoon

    @zanubharoon

    28 күн бұрын

    Mtu wamaana kabisa dadaagu❤

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893Ай бұрын

    Wezi wanarindana sana

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9Ай бұрын

    Kijana kavaa Kapero ya CCM iliajenge majungu Asante sana Dada kwa kujibu hoja kisomi.

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612Ай бұрын

    Makonda tunakuomba ikifika sa 12 uwe unaahirisha mkutano,manyang'au hawapendi unachofanya kwa kuwatetea wananchi wa hali ya chini

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    Ай бұрын

    Kabisaa

  • @kivatirokitojo657

    @kivatirokitojo657

    Ай бұрын

    Huyu sio pimbi etii hapo amekaa kimichezo anajua yupo targeted Ila hii chuma ni mafia

  • @user-sx1xi4yb2z

    @user-sx1xi4yb2z

    Ай бұрын

    😂😂kweli ni mafia aiseee

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115Ай бұрын

    Jamaa labda unamtaka dada wa watu shida watumishi hamtutaki raia tukiwapenda hamtusikilizi😢😢😢😢😢

  • @bushbabytz
    @bushbabytzАй бұрын

    eti mtumishi wa umma anakiri kabisa kwenye umma kuwa yeye ni mwanasiasa! ...mtumishi anakuwaje kwenye siasa!?

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    Ай бұрын

    Acha ajikaange mwenyewe

  • @bushbabytz

    @bushbabytz

    Ай бұрын

    @EmmanuelBatholomew-xq1sb kaka tuna kazi sana kwenye hii nchi...yaani ingekuwa amesema yeye ni chama kingine tofauti na ccm kesho ungesikia tamko kumsimamisha kazi..ila ipo siku tu yatakwisha

  • @shehafa

    @shehafa

    Ай бұрын

    Kashasema na hamumfanyi chochote😂😂😂😂

  • @givenjackson5449

    @givenjackson5449

    Ай бұрын

    Mwaka 2022 kwenye chaguzi za ndani watumishi waliruhusiwa KUJAZA fomu so yupo sahihi kuwa mtumishi na mwanasiasa

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    Ай бұрын

    @@givenjackson5449 ili ujaze form lazima uache kazi yako kwanza. Huruhusiwi kujaza form bila kujiuzulu nafasi ya utumishi. So asingekuwapo hapo

  • @jumas.sendekwa2788
    @jumas.sendekwa2788Ай бұрын

    Hivi inaruhusiwa kuwa watumishi wa umma kuwa na vyeo vya kisiasa?

  • @estherkibajiro3480

    @estherkibajiro3480

    Ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ysАй бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri !

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479Ай бұрын

    Mtumishi wa uma kwann upo kwenye siasa? Shida ndo inaanzia hapo

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546Ай бұрын

    Makonda unatumalizia Bando,,😂😂😂😂

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    Kwa wiki unatumia shingapi ???? Nione kama tuko sambambaa

  • @aediayumgo8546

    @aediayumgo8546

    Ай бұрын

    @@khadjamhozya Dada Khadija naishi nje ya nchi hata sijui Ni kiasi Gani Nikiweka kwenye TZ shillings,🤣🤣

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174Ай бұрын

    Sidhani kama ana elimu ya kiwango cha kazi yake manake anajibu Kwa milolono ya matukio Mara siasa

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bsАй бұрын

    Napenda kukushaur Dada,,ww nimtumishi WA umma,,Acha na sias,, fata ulichokisomea,,siasa na kaz wanapi,,,,,utashika kipi

  • @MezdDimoso
    @MezdDimosoАй бұрын

    Huyu dada kama mwanasiasa

  • @NoelNoah-y9z
    @NoelNoah-y9z11 күн бұрын

    Farida! Sister angu unapgwa majung Mungu yupo asee

  • @EdsonMichael-fe2pe
    @EdsonMichael-fe2peАй бұрын

    Anaweza kuchagua moja, utumishi wa umma au siasa! Ukichagua moja dada Mungu atakuinua!

  • @samkoka3
    @samkoka3Ай бұрын

    Watanzania wengi wamesoma sio kama zaman

  • @carlossabbo1184
    @carlossabbo1184Ай бұрын

    Huyu jamaaa hakiamungu ni elimu2 ndogo lkn anachokifanya anakijua nisuper Tena hapa TZ hkuna mkuu wa mkoa anafanya kazi Kama huyu 🔥

  • @user-dd3ek5fh5g

    @user-dd3ek5fh5g

    Ай бұрын

    Elimu kubwa ipi?

  • @carlossabbo1184

    @carlossabbo1184

    Ай бұрын

    @@user-dd3ek5fh5g huelew nn hapo sasa

  • @SuleAmber-lw2tx

    @SuleAmber-lw2tx

    Ай бұрын

    Elimu ya wap !? 😂😂

  • @emmansolo4477

    @emmansolo4477

    Ай бұрын

    Anahoji km vile yeye ndio kamwajiri huyo dada

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    Ай бұрын

    Hata huyui maana ya elimu

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumboАй бұрын

    farida unafaa kua mwanasiasa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    HUYO MUHUNI TU HUYO KIJANA. KWANZA YEYE HUYO ANAFANYA KAZI GANI? HIUO KIJANA?

  • @emmansolo4477

    @emmansolo4477

    Ай бұрын

    Mchimba chumvi tuu

  • @abdulymaeda2697

    @abdulymaeda2697

    Ай бұрын

    We n mwizi pia mtumishi hewa

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    Ай бұрын

    Hapana kijana kuhoji au kufatilia maendeleo ya kata yake ni sawa tu sema wengi wetu Hua tunaogopa na kuona kama kufatilia ni kazi za viongozi tu Ila Sisi hatupaswi kuhoji

  • @BakariKibauri-qh7gf

    @BakariKibauri-qh7gf

    Ай бұрын

    WEWE NDO HUJIELEWI LAITI VIJANA WOTE TUNGEKUWA HIVII KUHOJI MAENDELEO NCHI INGEKUWA MBALI SANA VIJANA WANAOFANYA UCHAWA SIKU HIZI NDO MNAWAONA WANAAKILI PUMBAVU KABISA

  • @barikiringo6311

    @barikiringo6311

    Ай бұрын

    Mwanaharakati na mzalendo

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074Ай бұрын

    Dada unamaneno mingi sana,

  • @ushindidaycare234
    @ushindidaycare234Ай бұрын

    Nimekukubali Makonda you are spesion one ,Yani Mungu anamakusudi nawewe

  • @Worldunite
    @WorlduniteАй бұрын

    Huyu dada inaelekea anajenga mazingira ya kukwepa issue

  • @user-xt2cv3yt9y
    @user-xt2cv3yt9yАй бұрын

    Makonda uko sawa maana wanyonge hawatendewihaki

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752Ай бұрын

    Jamaa🙋🙋au ulimuomba akakukatalia au alikujibu ya kuwa ukipeana utaweza na???😂😂😂😂

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241Ай бұрын

    Big up makonda

  • @user-ql3yr6fi7o
    @user-ql3yr6fi7oАй бұрын

    hee kumbukeni mwanadada ni kada ..na mnajua kitakachofata

  • @Worldunite
    @WorlduniteАй бұрын

    Uchunguzi ufanyike

  • @ChristopherChacha-fb4oc
    @ChristopherChacha-fb4oc26 күн бұрын

    Safi mratibu elimu nakupenda

  • @Espoir9535tvtx
    @Espoir9535tvtxАй бұрын

    Kwani mungu ame tutunuku magufuri toto ❤

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    Ай бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @Worldunite
    @WorlduniteАй бұрын

    Uliza wananchi

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371Ай бұрын

    😮

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguziАй бұрын

    Logbook si zinajazwa tu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa371518 күн бұрын

    Mtumishi wa umma kuwa mwanasiasa Tena KIONGOZI wa chama ni sawa?

  • @mfinangaexaud3492
    @mfinangaexaud3492Ай бұрын

    Iwe inatoka moyoni na sio analenga nafas Fulani huko mbele.itakua thawabu kubwa

  • @kingthedon508
    @kingthedon50821 күн бұрын

    Wangap tumegundua kuna kusaga na kukoboa kwa manzi et😂😂😂😂😂

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6iАй бұрын

    Mtu akinyoosha maneno eti ana kiburi??mtu ana jiamini na anacho kifanya

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x7 күн бұрын

    Mtumishi na siasa wapi na wapi inabidi uchague siasa aua utumishi

  • @user-pn7fk7xx5x
    @user-pn7fk7xx5xАй бұрын

    Dada yuko vizuri

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    Kivipi

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277Ай бұрын

    Good

  • @LossaruNgira
    @LossaruNgiraАй бұрын

    Daaah, siasa na utumishi?

  • @Hanga-ub5hu
    @Hanga-ub5hu7 күн бұрын

    Dah,,shida ya kujiita mwanaharakati n kama hivyo,,mbona uyo dada yupo sahihi sana,,ila huyo mkaka ndio tatizo sana,,uzur makonda kalimaliza kimakonda

  • @MputaMputa-li9ii
    @MputaMputa-li9iiАй бұрын

    😊

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129Ай бұрын

    Wengine ni walimu ila sio walimu wanakazi maalumu

  • @ommy2525
    @ommy2525Ай бұрын

    mtumisha wa chana na sirikali🖐🖐🖐🖐

  • @seneu.2128
    @seneu.2128Ай бұрын

    Sheria ya nchi hairuhusu mtumishi wa umma kujihusisha na siasa HASA akiwa na nafasi tena elimu, imekuwaje wewe Farida ukawa mwenyenyekiti wa uwt CCM.

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669Ай бұрын

    Hv si jmn niajiriwe mimi😢😢😢😢

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    HUYO ANATAKA MASHINDANO NA HUYO DADA.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x7 күн бұрын

    Nafikiri dada amejieleza vzr kwa kukanusha maneno ya mwananchi Lkn huyu dada yupo kisiasa zaidi inanekana kwakua huyu bwana ni chadema wanamtukana wakijua hataenda popote

  • @user-rt7kd9mo5v
    @user-rt7kd9mo5vАй бұрын

    Part 2 iko wap

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692Ай бұрын

    Utachanganyaje kazi na siasa?

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jdАй бұрын

    Au mapenziiiiiijjjiijiiiiiiiiii!! Lkn siasa isichanganywe na kazi bhana.

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3uАй бұрын

    Baba kegan mungu akulinde

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    Ай бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @user-un4sk2ip2q
    @user-un4sk2ip2qАй бұрын

    Jamani baba makonda njoo tusaidie wananchi huku tunabomolewa nyumba zetu we baba tusaidie uwiii

  • @JoyceMziray
    @JoyceMziray9 күн бұрын

    Vita kazini,, hiyo farida pambana watu kama hao wapo wengi hata kwetu, kuhusu sifuri sio mratibu bt ni mfumo wa hizo shule

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga20 күн бұрын

    Anaweza kua anasaini tu anaondoka

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba6191Ай бұрын

    Dada Farida ametumia kila sekunde aliyopewa kuwa analindwa na wakubwa...

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2vАй бұрын

    M mkuu wa mkoa chapa kazi brooo natamani nikusaidie sasa cjui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526Ай бұрын

    Hapo nakukubali Makonda

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwaleАй бұрын

    WEWE ni mtumishi wa umma au ni mwanasiasa!!!

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813Ай бұрын

    Hau mtumishi ni mwanasiasa.

  • @emanuelkattani9906
    @emanuelkattani9906Ай бұрын

    Nahitaji part 2, ya hii

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7ebАй бұрын

    Wenye majibu kama hayo wengi sana kwenye hii nchi kilaidara.

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546Ай бұрын

    Hapana jamani ni kweli mnafanya kazi ni nzuri na inaonekana lakini naomba mle afya zenu ni muhimu sana

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8nАй бұрын

    Dada mtata.ukimwona ongea yake tu,haina ubishi.

  • @user-ku9jt4nq3h

    @user-ku9jt4nq3h

    Ай бұрын

    Huyo ni twinie wangu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    WEWE NI KAMA NANII .

  • @V24hrs
    @V24hrsАй бұрын

    Ukifanya siasa na utumishi wa umma utaufanya saa ngapi weweeee.??

  • @user-lm5fu5tu5z
    @user-lm5fu5tu5zАй бұрын

    Makonda nakuomba sana mwisho wa mkutano wako uwe ni saa11 jioni bado tumaini la wananchi ni kubwa sana kwako na tunakuona mbali

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x7 күн бұрын

    Dada anamajivuno

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salatАй бұрын

    Wewe mwanamke leta ushahidi ya matusi ya huyo kijana

  • @milkamushi2548
    @milkamushi2548Ай бұрын

    Huyu kijana jmn

Келесі