''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI
''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 247
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@MACHOZIKAMBI
Ай бұрын
😂😂😂ON
Huyo demu anaonekana alivyo mchafu wa kinywa na nyodo, yawezekana kweli analiwa na vigogo
Mbona mama huyu katoa maelezo yaliyonyooka moja baada ya jingine , kwa hiyo kijana aliyemchongea labda ana KINYONGO binafsi au haelewi taratibu za kikazi .mheshimiwa MAKONDA kazi yako ni nzuri sana naomba kuwa makini wengine wasije wakatumia nafasi hiyo kuingiza MAJUNGU na UONGO wa kuwachafulia wengine sifa kazini .
Mtumishi wa UMMA huruhusiwi kuwa siasa hadi hapo dada umezingua labda wakulinde tu sababu ni ccm mwenzao
Kwa maellezo ya dada inawezekana kabisa ni mwanaisasa na sio mtumishi wa umma
@JoseeSarakikya
Ай бұрын
Natamani siku moja makonda awe raisi wa nchi
Kuwa makini sana nyakati hizi za usiku mkuu Viva Makonda Vivaaaa
Hii ndio Prof. PLO Lumumba anaita "Magufulification"
Babaaaa hiyo mida uwe makini sana manyangau ni wengi hawapendi unachokifanya usije kuraluliwa tukakukosa bado tunakuhitaji
@ScopionScopion-zj9cd
Ай бұрын
hahaaaa manyangau
@laurentraphael5470
Ай бұрын
Ni kweli kabisa.
UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 UCHUMI UTAPANDA MALA KUMI YAKE KILA MTU ATAOGOPA KUIBA MANAYAKE PESA YOTE ITAINGIA SEREKALINI UCHUMI NDIO LAZIMA UPANDE BRAVO MAKUFULI JUNIOR 👏
Walikubeza wakisema hunahakili nime hakiki mwenyewe unahakili nyingi za upendeleo (usije uka muacha Mungu).
Hili dada limekaa kichagudoa kabisa. Makonda toa hiyo takataka hapo
Manenoo mengiii wamekuiliza swali moja unajielezea sanaaa aaah mashaka matupuu siasa Yann ancheka cheka tuu mashaka matupuuu
This is what we call "OPEN AIR PUBLIC ADMINISTRATION"
Kwa kweli Makonda sizani duniani kama kuna kiongozi kama Makonda anaejitolea kusikiliza shida za watu kama hivi sijawahi kuona ni kazi kubwa sana inataka moyo
@selelilumambo2157
Ай бұрын
❤
Tunaomba Makonda awe mkuu wa mkoa nchi zima
@J4UPro
Ай бұрын
Yaani umewaza kama mimi. Yaani awe mkuu wa mikoa.
@josephatdunda1937
Ай бұрын
Hahaha atakuwa kashakuwa Rais tu
@farajaMezza-qn4be
Ай бұрын
In short awe Rais
@JaydenBahi
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khadjamhozya
Ай бұрын
Kweri sana
Kushindana na mwalimu katika maelezo ni changamoto wanajuwa kujieleza na wanapanga maelezo vizur yan inatakiwa ujipange
@rizikimarco6451
Ай бұрын
Ogopa
Issue ya bandari haipo hapo, wala ya kutukana viongozi hapa
Makonda ni fireeee ❤❤❤
Nimependa sana huyu jamaa anavyowasilisha hoja, he is too confident. Briliant!
@rockyvlogs2214
Ай бұрын
Very coool person
Nawapenda sana hao wamasai wanaposema tunamlinda kwa huku nyuma maasai are very wise🎉😅
Usiogope vitisho vya maadui hawawezi kwa chochote mwenyezi mungu atakurinda🤲🤲🤲🤲
Huyo dada msaniii tuu labda wamlinde kwa ajili ya chama chale ila anaonekana chenga tyuuu
Makonda wewe ni kiongozi aisee,njoo tena Dar
Mungu akulinde makonda
God of heaven may bless you, horn: Paul Makonda, for good work to help your people.
Ndio makonda mama mkwe wako mwalimu mkuu wetu mama Masenge tunamjua sanaaa
Icho kidada kifupi inaonekana kinalindwa na wakubwa na itakuwa ni chakula chao
@miltonjohn9779
Ай бұрын
Yes
@hajihassan5433
Ай бұрын
Wanawake wote ni chakula cha wanaume.
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Akiwemo mama ako
Dada anaonekana ananyodo sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dada Farida anaonekana yeye ndo tatizo hata iyo Bandali atakuwa amemsingizia tu ili asimsikilize tu huyu lkn ukweli utajulikana tu huyu Farida inaonekana tatizo sana
Safi sana dadaangu unajiamini 😂😂❤ ila ungehamia kwenye siasa moja kwa moja kuliko kuwa mtumishi na wakati huo huo mwanasiasa.
Farida nimekupenda sana dada yangu.
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Mwenyewe nimempenda sana,katika wote waliojibu kisomi ni pamoja na yeye.
@anamsaid8610
Ай бұрын
Anaongea kwa hoja na takwimu
@israelkisaila8401
Ай бұрын
@@anamsaid8610 mnooo
@zanubharoon
28 күн бұрын
Mtu wamaana kabisa dadaagu❤
Wezi wanarindana sana
Kijana kavaa Kapero ya CCM iliajenge majungu Asante sana Dada kwa kujibu hoja kisomi.
Makonda tunakuomba ikifika sa 12 uwe unaahirisha mkutano,manyang'au hawapendi unachofanya kwa kuwatetea wananchi wa hali ya chini
@MrTop-wj7no
Ай бұрын
Kabisaa
@kivatirokitojo657
Ай бұрын
Huyu sio pimbi etii hapo amekaa kimichezo anajua yupo targeted Ila hii chuma ni mafia
@user-sx1xi4yb2z
Ай бұрын
😂😂kweli ni mafia aiseee
Jamaa labda unamtaka dada wa watu shida watumishi hamtutaki raia tukiwapenda hamtusikilizi😢😢😢😢😢
eti mtumishi wa umma anakiri kabisa kwenye umma kuwa yeye ni mwanasiasa! ...mtumishi anakuwaje kwenye siasa!?
@jasonwatz7457
Ай бұрын
Acha ajikaange mwenyewe
@bushbabytz
Ай бұрын
@EmmanuelBatholomew-xq1sb kaka tuna kazi sana kwenye hii nchi...yaani ingekuwa amesema yeye ni chama kingine tofauti na ccm kesho ungesikia tamko kumsimamisha kazi..ila ipo siku tu yatakwisha
@shehafa
Ай бұрын
Kashasema na hamumfanyi chochote😂😂😂😂
@givenjackson5449
Ай бұрын
Mwaka 2022 kwenye chaguzi za ndani watumishi waliruhusiwa KUJAZA fomu so yupo sahihi kuwa mtumishi na mwanasiasa
@jasonwatz7457
Ай бұрын
@@givenjackson5449 ili ujaze form lazima uache kazi yako kwanza. Huruhusiwi kujaza form bila kujiuzulu nafasi ya utumishi. So asingekuwapo hapo
Hivi inaruhusiwa kuwa watumishi wa umma kuwa na vyeo vya kisiasa?
@estherkibajiro3480
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
Hongera kwa kazi nzuri !
Mtumishi wa uma kwann upo kwenye siasa? Shida ndo inaanzia hapo
Makonda unatumalizia Bando,,😂😂😂😂
@khadjamhozya
Ай бұрын
Kwa wiki unatumia shingapi ???? Nione kama tuko sambambaa
@aediayumgo8546
Ай бұрын
@@khadjamhozya Dada Khadija naishi nje ya nchi hata sijui Ni kiasi Gani Nikiweka kwenye TZ shillings,🤣🤣
Sidhani kama ana elimu ya kiwango cha kazi yake manake anajibu Kwa milolono ya matukio Mara siasa
Napenda kukushaur Dada,,ww nimtumishi WA umma,,Acha na sias,, fata ulichokisomea,,siasa na kaz wanapi,,,,,utashika kipi
Huyu dada kama mwanasiasa
Farida! Sister angu unapgwa majung Mungu yupo asee
Anaweza kuchagua moja, utumishi wa umma au siasa! Ukichagua moja dada Mungu atakuinua!
Watanzania wengi wamesoma sio kama zaman
Huyu jamaaa hakiamungu ni elimu2 ndogo lkn anachokifanya anakijua nisuper Tena hapa TZ hkuna mkuu wa mkoa anafanya kazi Kama huyu 🔥
@user-dd3ek5fh5g
Ай бұрын
Elimu kubwa ipi?
@carlossabbo1184
Ай бұрын
@@user-dd3ek5fh5g huelew nn hapo sasa
@SuleAmber-lw2tx
Ай бұрын
Elimu ya wap !? 😂😂
@emmansolo4477
Ай бұрын
Anahoji km vile yeye ndio kamwajiri huyo dada
@bcozhenry2698
Ай бұрын
Hata huyui maana ya elimu
farida unafaa kua mwanasiasa
HUYO MUHUNI TU HUYO KIJANA. KWANZA YEYE HUYO ANAFANYA KAZI GANI? HIUO KIJANA?
@emmansolo4477
Ай бұрын
Mchimba chumvi tuu
@abdulymaeda2697
Ай бұрын
We n mwizi pia mtumishi hewa
@user-ii6gs2jg4g
Ай бұрын
Hapana kijana kuhoji au kufatilia maendeleo ya kata yake ni sawa tu sema wengi wetu Hua tunaogopa na kuona kama kufatilia ni kazi za viongozi tu Ila Sisi hatupaswi kuhoji
@BakariKibauri-qh7gf
Ай бұрын
WEWE NDO HUJIELEWI LAITI VIJANA WOTE TUNGEKUWA HIVII KUHOJI MAENDELEO NCHI INGEKUWA MBALI SANA VIJANA WANAOFANYA UCHAWA SIKU HIZI NDO MNAWAONA WANAAKILI PUMBAVU KABISA
@barikiringo6311
Ай бұрын
Mwanaharakati na mzalendo
Dada unamaneno mingi sana,
Nimekukubali Makonda you are spesion one ,Yani Mungu anamakusudi nawewe
Huyu dada inaelekea anajenga mazingira ya kukwepa issue
Makonda uko sawa maana wanyonge hawatendewihaki
Jamaa🙋🙋au ulimuomba akakukatalia au alikujibu ya kuwa ukipeana utaweza na???😂😂😂😂
Big up makonda
hee kumbukeni mwanadada ni kada ..na mnajua kitakachofata
Uchunguzi ufanyike
Safi mratibu elimu nakupenda
Kwani mungu ame tutunuku magufuri toto ❤
@Zaburi-
Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
Uliza wananchi
😮
Logbook si zinajazwa tu
Mtumishi wa umma kuwa mwanasiasa Tena KIONGOZI wa chama ni sawa?
Iwe inatoka moyoni na sio analenga nafas Fulani huko mbele.itakua thawabu kubwa
Wangap tumegundua kuna kusaga na kukoboa kwa manzi et😂😂😂😂😂
Mtu akinyoosha maneno eti ana kiburi??mtu ana jiamini na anacho kifanya
Mtumishi na siasa wapi na wapi inabidi uchague siasa aua utumishi
Dada yuko vizuri
@khadjamhozya
Ай бұрын
Kivipi
Good
Daaah, siasa na utumishi?
Dah,,shida ya kujiita mwanaharakati n kama hivyo,,mbona uyo dada yupo sahihi sana,,ila huyo mkaka ndio tatizo sana,,uzur makonda kalimaliza kimakonda
😊
Wengine ni walimu ila sio walimu wanakazi maalumu
mtumisha wa chana na sirikali🖐🖐🖐🖐
Sheria ya nchi hairuhusu mtumishi wa umma kujihusisha na siasa HASA akiwa na nafasi tena elimu, imekuwaje wewe Farida ukawa mwenyenyekiti wa uwt CCM.
Hv si jmn niajiriwe mimi😢😢😢😢
HUYO ANATAKA MASHINDANO NA HUYO DADA.
Nafikiri dada amejieleza vzr kwa kukanusha maneno ya mwananchi Lkn huyu dada yupo kisiasa zaidi inanekana kwakua huyu bwana ni chadema wanamtukana wakijua hataenda popote
Part 2 iko wap
Utachanganyaje kazi na siasa?
Au mapenziiiiiijjjiijiiiiiiiiii!! Lkn siasa isichanganywe na kazi bhana.
Baba kegan mungu akulinde
@Zaburi-
Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
Jamani baba makonda njoo tusaidie wananchi huku tunabomolewa nyumba zetu we baba tusaidie uwiii
Vita kazini,, hiyo farida pambana watu kama hao wapo wengi hata kwetu, kuhusu sifuri sio mratibu bt ni mfumo wa hizo shule
Anaweza kua anasaini tu anaondoka
Dada Farida ametumia kila sekunde aliyopewa kuwa analindwa na wakubwa...
M mkuu wa mkoa chapa kazi brooo natamani nikusaidie sasa cjui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi
Hapo nakukubali Makonda
WEWE ni mtumishi wa umma au ni mwanasiasa!!!
Hau mtumishi ni mwanasiasa.
Nahitaji part 2, ya hii
Wenye majibu kama hayo wengi sana kwenye hii nchi kilaidara.
Hapana jamani ni kweli mnafanya kazi ni nzuri na inaonekana lakini naomba mle afya zenu ni muhimu sana
Dada mtata.ukimwona ongea yake tu,haina ubishi.
@user-ku9jt4nq3h
Ай бұрын
Huyo ni twinie wangu
WEWE NI KAMA NANII .
Ukifanya siasa na utumishi wa umma utaufanya saa ngapi weweeee.??
Makonda nakuomba sana mwisho wa mkutano wako uwe ni saa11 jioni bado tumaini la wananchi ni kubwa sana kwako na tunakuona mbali
Dada anamajivuno
Wewe mwanamke leta ushahidi ya matusi ya huyo kijana
Huyu kijana jmn