EXCLUSIVE: MUNA LOVE: AKIRI KWENDA KWA WAGANGA/TUHUMA ZA KUMTOA MWANAE KAFARA

Ойын-сауық

Muna love amefunguka mengi ambayo hakuwahi kuongea popote ikiwemo na jinsi alivyoshirikiana na wenzake katika mambo ya nguvu za giza
copyright of ZamaradiTV
Producer/Host: Zamaradi Mketema @zamaradimketema
camera/Editing: Bestizzo
Color Grading: Jeff

Пікірлер: 2 400

  • @gloria5990
    @gloria59904 жыл бұрын

    Dada! heshimayako nimekupa!!! I don't care who says what. Wewe mtangaze MUNGU!! Heshimayako utapata tuu! 💯💪🙏

  • @asyaibrahim1504
    @asyaibrahim15044 жыл бұрын

    Hello nipeni like zangu wakwanza leo

  • @burudanitv874

    @burudanitv874

    4 жыл бұрын

    Ljnga

  • @levinamwaila7847
    @levinamwaila78474 жыл бұрын

    Muna anaongea kistarabu sanaa,mungu akutatulie matatizo yako yote na akuongoze vyema 🙏🏾

  • @julianasabrere6198
    @julianasabrere61984 жыл бұрын

    Najuaga Zamaradi ana akili ila kwenye hii interview ndio nimejua km Zamaradi Mketema una akili kubwa mamaa ,Muna anazunguka ila mwisho wa siku unamkalisha ktk mstari unaotaka ili wambea tufurahie show🤣🤣🤣 Keep it up Zama wewe ni fundiiii👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @estermwalembe261
    @estermwalembe2614 жыл бұрын

    Watatu kama unapenda zamaradi like hapa

  • @leilamoses172

    @leilamoses172

    4 жыл бұрын

    Ester Mwalembe nampenda

  • @rehemasimonmsemo3139
    @rehemasimonmsemo31394 жыл бұрын

    Mimi kama mama mwanangu hawezi kuwa kwenye pito gumu la kufiwa na mtoto nikajitenga nae lazima nitamfariji na kuyaacha makosa yake pembeni, inaonyesha wazi kuwa huyo mama ni tatizo na hajaijua nafasi ya umama

  • @maridhianoordin5705

    @maridhianoordin5705

    4 жыл бұрын

    REHEMA SIMON MSEMO Hilo ndo neno

  • @sikudhanimohammad4760

    @sikudhanimohammad4760

    4 жыл бұрын

    REHEMA SIMON MSEMO kweli dear

  • @jackiejackie1272

    @jackiejackie1272

    4 жыл бұрын

    Ivi mama ulifuatilia siku maiti ya patrick inaletwa tanzania yule mama alienda uwanja wa ndege kumpokea Muna wakampiga chenga mama wawatu wakamuingiza muna kwenye gari wakampeleka kanisan na muna na timu yake walimkwepa mama adi siku walivyomaliza kuzika ulitaka mama uyo aonyeshe upendo wa aina gan wakati mtoto kamkimbia ukitaka kujua ukweli andika apo yotube mama muna alivyoenda kumpokea muna uone iyo video

  • @magrethjohn8576

    @magrethjohn8576

    4 жыл бұрын

    REHEMA SIMON MSEMO,kweli kabisa my dia acha Muna aseme Mungu atende ni hali ngumu kibinadamu!ila Mungu aingilie kati wapatane,yaliyoshindikana kwa wanadamu Mungu anaweza!

  • @susanraphael5894

    @susanraphael5894

    4 жыл бұрын

    @@sikudhanimohammad4760 exactly

  • @celesteliyai4117
    @celesteliyai41174 жыл бұрын

    I will not speak on Muna nor judge her since am not clean and I don't know her story. To Zamaradi; 1. Tissues? Water? Please work on this. 2. Kudos! To potential sponsors like water bottlers, jump on this and brand her show. You're sleeping on the job.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45814 жыл бұрын

    Zama narudia tena kusisitiza paper towel unapokua na interviews hasa ukiwa na maswali unayohisi yatajeruhi hisia za unaemhoji,mtu akiwa emotional unampa paper towel,na ikiwezekana kumpa break,with glass of water

  • @agnesrogatus1425

    @agnesrogatus1425

    4 жыл бұрын

    Kwel jaman

  • @imakulatamlawa4312

    @imakulatamlawa4312

    4 жыл бұрын

    Umeongea point aisee

  • @mercyshakyz8707
    @mercyshakyz87074 жыл бұрын

    Ungeenda tu muna kumuomba msamaa mamaako cz hata cc wengine wazazi wetu wanakua tofauti lkn mwisho wa siku nazi haishindani na jiwe dafa... Mama ni mungu wapili pepo yako.. Nani kama mama kakubeba miez tisa aka eisk maisha yake kwa ajili yako.. Subhanallah mungu anipe maelewano na maangu inshaallah

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis28374 жыл бұрын

    Hyu haja okoka bhana muongo .mungu hampendi mja ambae hampendi mzazi wake . Vitabu vinasema .asie radhi na wazazi wake mimi pia siko radhi nae mpaka wapatane

  • @joank5550
    @joank55504 жыл бұрын

    This is a complicated situation. People stop judging. Kilichotokea kwenye familia hatukijui. Sometimes mama kachanganywa na watoto wake wengine kwa kumwonea tu wivu ndugu yao. Sometimes mtu akifanikiwa maadui zako ni wale uliotoka nao tumbo moja. Kama wewe ni mtu wa dini na msomaji wa neno la Mungu, basi utakuwa unakifahamu kisa cha Yusufu. Tuombee sana familia zetu. Shukuru sana Mungu na omba yasikukute.

  • @SknByMiracle

    @SknByMiracle

    4 жыл бұрын

    Joan K ... Waambie maana kuna watu hawalifahamu hili

  • @chitec4394
    @chitec43944 жыл бұрын

    Mungu akusaidie. Mama yako akusamehe, mwanao Bryan akusamehe , mumeo wa ndoa akusamehe na ndugu zako.wote. Mtafute Mungu kwa bidii

  • @zayedalnahdi6033
    @zayedalnahdi60334 жыл бұрын

    Km unamkubali zamarad gonga like zake hp 😘😘😘

  • @newtina7049
    @newtina70494 жыл бұрын

    Kuna watu bhana mnajikuta miungu watu, wivu na roho mbaya vinawatesa nakupenda sana muna wangu ww ni strong sana watu wengi walipenda uone ukiendelea kuteseka ila siku zinaenda wanashangaa ukuu wa mungu juu yako. ❤ muna

  • @lulusaid7602
    @lulusaid76024 жыл бұрын

    Dada Muna plz muombe msamaha mama yako😢 mama ni Mungu wapili ktk hii dunia, huwezi kumpenda Mungu usiyemuona ukamchukia mzazi wako hilo swala nigumu sana, Unajitahidi kutengeneza njia ya mbinguni ila usipokuwa na maelewano na mzazi wako huwezi kufika mbinguni🙌 Mtafute mzazi ongea naye taratibu mama ni mama tu atakusamehe na utakuwa na amani moyoni, kwasasa nahisi unalazimisha tu amani lakini haipo amani

  • @stansilauseliasi7883

    @stansilauseliasi7883

    4 жыл бұрын

    Fala anaye takiwa kuomba msamaha ni yeye au mama ake ukuma tu huo

  • @merryethipia6047

    @merryethipia6047

    4 жыл бұрын

    Upo sahihi

  • @sophiamose1328

    @sophiamose1328

    4 жыл бұрын

    Asiye jua wazazi visirani akae tu kimya wallah kuna wazazi ata ukiwatia mgongoni atakuuma tuwaachie wenyewe twaweza lazimisha kumbe mama ni zaidi ya nyoka

  • @ReynaMrema-qy3fw
    @ReynaMrema-qy3fw3 ай бұрын

    Mungu atuhurumie, Da muna nakushukuru kwa kuponya wengi kupitia ushuhuda wako. Nakuombea Baraka za Mungu. Lazima upitie makali mengi ili Mungu akuinue. Pole dadangu haya maisha tunapitia mengi Sana

  • @casandrahhelman7639
    @casandrahhelman76394 жыл бұрын

    Muna mungu akusimamie na kukupa nguvu. Nyie mnao mlaumu muna nawashangaa. Kwakua nnajua mungu ni mtoa hykumu na yy ndo atatoa hukumu kwa kila mtu. Hakuna anaepanga kupata matatizo or mambo magumu. Mungu ndio ataesema yote. Angalieni maisha yenu yote mmekamilika???? Stop accusing other people for no reason... namuelewa sana muna coz nimepita matatizo kama haya. Na nimepoteza mtoto pia. Ila kwenye hii dunia mungu atawalipa kwa mambo yanayo kutokea. Na anamuona kila mtu kwa nia ya watu wote....... Ila namuomba sana mungu wangu azidi kutusimamia na kutupa mwisho mwema. Amen..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @claircherutoolinyo9977

    @claircherutoolinyo9977

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @gee6970

    @gee6970

    4 жыл бұрын

    Yan kuna baadh ya watu ata kuwashangaa nashndwa mm daaaa

  • @gee6970

    @gee6970

    4 жыл бұрын

    Yan mtu anamhukumu mtu kama ye ni msafi hajawai kukosea chochote et polen mnaoptia haya its painful

  • @dornita6660
    @dornita66604 жыл бұрын

    Kila jambo na wakati wake na hakuna mkamilifu chini ya mbingu pole muna kwa kila hatua ngumu uliyoipitia ktk maisha yako endelea kumpenda mungu..ushuhuda wako ni fundisho kwangu

  • @anastellafrancis5641
    @anastellafrancis56414 жыл бұрын

    aloskia *mmmmmhhh* za da zamaradi agonge like apa 😂😂😂😂😂😂

  • @endlesslov7980

    @endlesslov7980

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kifara sana

  • @anastellafrancis5641

    @anastellafrancis5641

    4 жыл бұрын

    @@endlesslov7980 yaniiiii uyo mie ndo adi BC😂😂😂😂😂😂

  • @marysaravai5639

    @marysaravai5639

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😀😀😀😀😀😀

  • @Cris-uo3gu
    @Cris-uo3gu4 жыл бұрын

    Those tears are real,,,take it from me When you act individually after conquering your bitter past, you become a hero Some of us, go through tough circumstances that is hard to narrate Am inspired by this interview,, to see a woman like Muna share her story to live Tv Muna i pray to God to keep you strong in this journey of life.

  • @christinawallasch1252
    @christinawallasch12524 жыл бұрын

    Jamani namtetea Muna wamama wengine wamezaa ili waonekana tu wamezaa hawana mapenzi kabisa na watoto wao tena wakiona binti ana maendeleo ndiyo kabisa chuki inatanda. Wamama wote sio sawa jamani hamjawahi kusikia mama katupa mtoto wake. nyie acheni mshukuruni Mungu sana kama mmebatika kupata wazazi wazuri, wazazi wengine wachawi aha.

  • @jackiejackie1272

    @jackiejackie1272

    4 жыл бұрын

    Aisee hata kama mama akikupiga weka maji mdomoni kujubeba tu miezi 9 tumboni ni heshima kubwa acha kabisaa mama

  • @nafigasper9476

    @nafigasper9476

    4 жыл бұрын

    Muna don't go around the bush.. Jibu maswal kama unavyoulizwa...umekuja kwenye interview you have to speak out.... Anyways pole it's all about life..

  • @kingkim3817

    @kingkim3817

    4 жыл бұрын

    Christina Wallasch we unaongea upumbav sasa mama ako hata aweje huwez kuwa Na mama mwingine abadani

  • @susanraphael5894

    @susanraphael5894

    4 жыл бұрын

    Christina kweli umeongea kitu

  • @gracelee61
    @gracelee614 жыл бұрын

    hivi zamaradi tissue ni bei gani? dada weka kimeza hapo kidogo with tissues and a water or tea, whatever you decide but weka tissueeeeeeeeeee.

  • @lenoxbernard8201
    @lenoxbernard82014 жыл бұрын

    Daaah Muna kuna mambo unayaongea yanazalisha maswali zaidi kwa nn 1. Amani na mama yako huna 2. Mtoto wako si wako unajikanyaga 3. Mwimbaji Joel Lwaga ni mpenzi wako umeshindwa kukataa wala kukubali Ushauri tafuta kwa bidii kuwa na Amani na watu wote, tena anzia kwa mama mzazi Hongera Zamaradi kwa maswali mazuri mamy 🙏

  • @misschagga8042
    @misschagga80424 жыл бұрын

    Kwa mimi naona kuna kitu muna bado anaficha na pia anaontesha ni muongo na ana madhambi mengi anayaficha.katika hii dunia hata uwe na mali kiasi gani kama huongei na mama yako na una mwekea kinyongo basi maisha yako hayatakua mazuri kamwe ipo siku mungu atampa mtihani mmoja na atamkumbuka mama yake.mama ni mungu wa duniani una mwabudu mungu yupi na munguwa duniani unae huongei nae.

  • @delphinasenge3321
    @delphinasenge33214 жыл бұрын

    Nimesoma comment humu watu wengi mnamtusi muna,, ila kumbukeni hamjapitia mapito nyie Mungu awasamehee kwakweli

  • @susanraphael5894

    @susanraphael5894

    4 жыл бұрын

    yani dah matusi people zinahukumu balaa dah

  • @chugagirlbenjamin5656

    @chugagirlbenjamin5656

    4 жыл бұрын

    Uwo ndio ukweli wamoyowake tatizo wanataka aseme wanavyo taka wao ili wafurai nakuzidi Ku msema

  • @bahatiali5018
    @bahatiali50184 жыл бұрын

    Muna nimesoma comment nyingi badilika mungu anasema huwezi kumpenda mungu usiemuona wakati unamchukia ndugu yako unae muona malizeni ugumvi

  • @halathmn1973
    @halathmn19734 жыл бұрын

    Put a small table..put some tissue and water bottles..

  • @shakilashakila5142

    @shakilashakila5142

    3 жыл бұрын

    Fact

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki56994 жыл бұрын

    Hongera Muna kwa kufanya kazi ya Mungu na kusema ukweli umemuaibisha adui alietaka kukuaibisha Zama hongera kwa Interview nzuri kama hii inajenga sana. Waganga waongo sana

  • @triphoniajovin683

    @triphoniajovin683

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisaa nimeipendaa sana

  • @winfridamdaki5699

    @winfridamdaki5699

    4 жыл бұрын

    @@triphoniajovin683 hii nzuri inatangaza Injili ya Yesu kuwa inanguvu kwa kila aaminiye na kubatiza anaokoka Yesu anabadilisha mambo

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64234 жыл бұрын

    Nakupenda Muna Mungu azidi kukusimamia na akutie nguvu na ujasili💕💕

  • @jamilahammedy7960
    @jamilahammedy79604 жыл бұрын

    Mungu akusaidi jaman daah usimuite muna muongo kuna mama wanakera sana jalibu kuvaa viatu vyake muachen tu

  • @mwajumakidogobasi819

    @mwajumakidogobasi819

    4 жыл бұрын

    Kabisaa

  • @evafrance2693

    @evafrance2693

    4 жыл бұрын

    @@mwajumakidogobasi819 Nkwel

  • @mukami819
    @mukami8194 жыл бұрын

    Pole sana Muna hii dunia ni mapito tu stay strong and put everything to God he has the last word

  • @marthamasue4009
    @marthamasue40094 жыл бұрын

    Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Bwana wetu Yesu Kristo alikuja kwa ajili ya wadhambi na tusisahau mwenye dhambi 1 akitubu ni sherehe mbinguni

  • @Gratefulheart3188

    @Gratefulheart3188

    4 жыл бұрын

    Kweli mamii mimi tokea nijue kuwa naishi kwa Neema za Mungu naogopa sana kuhukumu mtu

  • @claircherutoolinyo9977
    @claircherutoolinyo99774 жыл бұрын

    To be honest Muna umenifundisha kitu.. Asante sana mama kwa maneno yako yenye hekima.. Asante Mungu pia kwa kutufundisha kupitia Muna jina lako litukuzwe milele na milele Ameeen

  • @praxedadominic9864

    @praxedadominic9864

    4 жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @hajrarkuziwa730
    @hajrarkuziwa7304 жыл бұрын

    Nyie mnamuhuku muna ooh anaongea uongo ooh sio mkweli haya nyie leteni huo ukweli mnaoujua nyie na ndo mana watu weusi tutabaki kuwa nyuma mpaka tunakufa kama ni muongo basi muacheni na uongo wake hata nyie hamjakamilika mna Mabaya mengi saaana mmefanya na wengi wenu pia ni waongo muna anaongea kitu ambacho anacho moyoni mwake 🤔🤔🤔😏😏😏😏

  • @becky9302
    @becky93024 жыл бұрын

    Jamani watanzania peeni huyu mama nafasi afanye jinsi moyo wake unapenda. Nyie mnaemnyoshea vidole maisha yenu masafi??? Mtu anaweza kubadilika na kurejea kwa Yesu licha ya makubwa aliyoyafanya. Mnaudhi sana na tabia za kumdhalilisha mmoja wenu. Tuna karibu sana Kenya tutakushika mkono na kutembea na wewe. We won't judge you.

  • @ellenlucas7065

    @ellenlucas7065

    4 жыл бұрын

    Be blessed

  • @arafashaban6916

    @arafashaban6916

    4 жыл бұрын

    Mmmmmh mwanamke mnafiki huyu

  • @agnessmasto3069
    @agnessmasto30694 жыл бұрын

    Muna Mungu azidi kkupigania iko cku wataelewa tyu!!!! Binafsi nimekuelewa sna dada angu💞

  • @faithwangari9446
    @faithwangari94464 жыл бұрын

    Mungu atakusaidia muna kila kitu muachie mungu hata kwa hao wanaongea vibaya God God yuko atakushindania. 🙏🙏

  • @christinawallasch1252
    @christinawallasch12524 жыл бұрын

    Muna kilio cha mtoto wako kimekuumiza sana ni ulimpenda kuliko maisha yako, Sasa ili furaha yako irudi tena hapa duniani, Zaa mtoto mwingine, umesononeka kwa mda mrefu sana na hii inaharibu afya yako huu ni ushauri wangu tu ninakupa.

  • @nissispuppies5990
    @nissispuppies59904 жыл бұрын

    Muna, you are a beautiful soul. Umemkubali yesu naye pia atakukubali. God bless you

  • @christinechiteri4425
    @christinechiteri44254 жыл бұрын

    Ila dada zamaradi nakuomba show yako nzuri Ila jitahidi kununua tissue, maji/juice angalau wageni wako wajifurahishe kidogo, mie nasinywa nikiona wakifuta kamasi kwa vidole😷😷😷please please do something about it, much love from 🇰🇪

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    4 жыл бұрын

    Naakwani mwanmke inakuaje.ukitoka.usichukue kitishu sikazi yake muandishi habari kutowa.tishu

  • @ramadhankhatibu7954

    @ramadhankhatibu7954

    4 жыл бұрын

    Christine Chiteri kwel

  • @sabrinaomary5166
    @sabrinaomary51664 жыл бұрын

    Ukweli wote anaujua mungu msipende kuwahukumu watu mungu ndiye anaejua kila kitu acheni kumdhihaki

  • @chalmalove9548
    @chalmalove95484 жыл бұрын

    Hongera zamaradi nakupenda ww dada.,Na pole sana mama paty

  • @nurumwinyikambi5690
    @nurumwinyikambi56904 жыл бұрын

    Honestly she is just preaching,,instead of answering what she is being asked,,,muna we nimuongo,,first muombe mamako radhi..ndio uingie ulokole ....unaulizwa maswali jibu exactly ulichoulizwa and not otherwise...wacha uwongo..funguka exactly ulichokifanya hili hata huyo mungu unaemuabudu akusamehe pia

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Yani da zama ukimfanyia mtu intarview lazima alie coz unahoji kwa hisia sana hongera

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Yani ungekuwa na akili ungetumia hii interview kujisafisha.ungetangaza kuomba msamaha kwa mama yako na kwa mume wako kwa kumlea mtoto sio wake.yani ungeweka kila kitu wazi ili jamii ifunge ukurasa na wewe.lakini ndio kwanza unatupa maswali ya kutufanya tukuone wewe ni shetani kabisa.unafichaficha uongo na kujifanya unamuachia mungu,ooh mungu kila kitu Mungu.uongo mtupu.mtafute mama ako uanguke magotini mwake uombe msamaha awe kakukosea au hajakukosea.kiufupi unajichanganya na hatujakuelewa.mwongomwongo tu wewe

  • @maryamabdalahmakyalue40

    @maryamabdalahmakyalue40

    4 жыл бұрын

    Fact, amepata nafasi kashindwa kuitumia!

  • @jackiejackie1272

    @jackiejackie1272

    4 жыл бұрын

    Well said angeachana ana ya nyuma coz anafukua vitu amabavyo keshaviongea kila interviw

  • @oliverlyimo1972

    @oliverlyimo1972

    4 жыл бұрын

    Yaani anaudhi kiukweli,Hata km mama sijui mchawi sijui kafanyaje,Atambue ndiye aliyemleta Duniani alafu km usemavyo angeongea mambo mengine kbisaaaa tungemuelewa hapa hamna kitu alafu sijui5anavyoongea anakuaje? Jmn MUNGU tusaidie ukiwa muongo hata sura inabadilika km jini ahahaha simuelewi mimi nisaidieni

  • @zuuhxtarcode2412

    @zuuhxtarcode2412

    4 жыл бұрын

    Yani umeongea bonge la Point ila kuna watuu wanaongea wasiyoyajua

  • @yrep9737
    @yrep97374 жыл бұрын

    Kama hujawahi vaa viatu vya mtu, huna haki ya kumhukumu.

  • @hassannuru2628

    @hassannuru2628

    4 жыл бұрын

    Ni kwel

  • @winniewillium8718

    @winniewillium8718

    4 жыл бұрын

    Kweli khabisa

  • @beatricenelson395
    @beatricenelson3954 жыл бұрын

    Muna pole sana hao wanaokutukana hawajapita kwenye matatizo mimi nakuonea huruma mpaka namstaajabu Mungu kwa alivyokutia nguvu nawaza ingekua mimi sijui ningekuwa wapi usiogope songa mbele ni ngumu kwa mama kushindwa kumfariji mtoto wake anapopita kwenye tukio kubwa kama la kwako hata bibilia inasema mtoto wawatii wazazi na wazazi msiwachokoze watoto wenu.Mungu anajua na watoto ni wanadamu watashindwa kuvumilia.

  • @eliwinjukakitundu3513

    @eliwinjukakitundu3513

    4 жыл бұрын

    Zamaradi naomba interview ya muna urudie, yani its like hajaongea kitu kuna mambo angedisclose ili iwe open tu kuwa on safe side, yes kitabu kipo ila not a guarantee kila mtz atakipata na kukisoma

  • @nornooo7225
    @nornooo72254 жыл бұрын

    Muna mtumainie mungu walimwengu hawana jema.

  • @mariammgeni8830
    @mariammgeni88304 жыл бұрын

    Huyu dada kiboko...Muongoooooooooooooo...harafu kumbukeni Mungu Mkali...mweshimu Mama yako Muna ..unatuboa unavo mdharau mama yako...Amri ya pili inasema Mweshimu Baba na mama yako ili cku zako zipate kuwa nyingi...

  • @zulfahalily6095

    @zulfahalily6095

    4 жыл бұрын

    Kabisa ata Kama n mbaya unatakiwa kujishusha tuuuuu.......utasema mama wa mtu na wakat amekubeba miez 9 unaweza kaaa wiki bila kuongea nae na wote mpo dar

  • @niceydaniel1037

    @niceydaniel1037

    4 жыл бұрын

    Hii ni amri ya nne na si ya pili

  • @gee6970

    @gee6970

    4 жыл бұрын

    Tunawaona wakwel mna tket ya mbinguni.

  • @davidimichael1150

    @davidimichael1150

    4 жыл бұрын

    Amri ya 4 cio ya2

  • @queentz8314
    @queentz83144 жыл бұрын

    Alimuelewa Muna kipindi shoga na Lulu Michael walikuwaga wanaendaga au wanaasindikizana kwa waganga gonga like

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    4 жыл бұрын

    Eeeeh mpk madawa yakafumaniwaga

  • @ziporakaulimbo97
    @ziporakaulimbo974 жыл бұрын

    Kipindi nikizur sana.ila tunataka kiwe kizuri zaidi kwa mfano stori ya muna inatia uchungu ina umiza lakini mwisho wa siku inamuendelezo mana bado ako na kinyongo na familia kama mwanahabari lengo la kuhoji ni nini kama inawezekana kutafuta watu ambao wataweza suluhisha huo mgogoro na mambo yakawa safi...mtazamo tu

  • @aishakopose26
    @aishakopose264 жыл бұрын

    Muna Dada angu Mimi nimekuelew sana japo watu wanakutukana futa machozi Dada angu mm nimeelew kwakila kitu ulicho zungum Zia hongera kwa kumjuwa mungu

  • @gaudensiarobert4782
    @gaudensiarobert47824 жыл бұрын

    Nimekuwa wa kwanza jaman naombeni like zenu

  • @mrsmjeshi4946

    @mrsmjeshi4946

    4 жыл бұрын

    Ivi like zinaliwa na mm niombe

  • @marygaspary199

    @marygaspary199

    4 жыл бұрын

    Nilichoelewa mtoto ni wa Muna, na Joel alikula mzigo kwa Muna. Ndiyo maana hajajibu hayo maswali.

  • @gaudensiarobert4782

    @gaudensiarobert4782

    4 жыл бұрын

    @@mrsmjeshi4946 hahaha

  • @benajra3374
    @benajra33744 жыл бұрын

    Msimtukane bhna hamjui chin ya kapeti achen ujinga watz malimbuken nyie

  • @neemaclaudy3394

    @neemaclaudy3394

    4 жыл бұрын

    Tena apo anapo sema matatizo ya kifamilia alimfumania na dada ake muna

  • @arodiboyi
    @arodiboyi4 жыл бұрын

    Since u have decided to open up your heart please talk to your mum n iron the differences, that one will set u free n more blessings your way.

  • @aliceaudax8606
    @aliceaudax86064 жыл бұрын

    Jaman tuache kuwavunja moyo watu yeye ndo anajua ameweka vp mahusiano yake na Mungu tusipende kukalili jaman wokovu ni siri yako na Mungu simama imara damuna kwa Mungu kila kitu kinakuja kwa sababu iman haipaswi kutingishwa na wanadamu simama tetea imani yako Mungu anaangalia roho na si vngine kwenye wokovu kuna changamoto Yesu atasimama mwenyewe na umwombe Mungu atajbu kwa wakati songa mbele mtumikie Mungu kwa roho na kweli

  • @marrymushi6054

    @marrymushi6054

    4 жыл бұрын

    mery mushy mama kwanza mengine baadae

  • @fatumayusuph788
    @fatumayusuph7884 жыл бұрын

    Zama uko bomba sanaaaa nakukubali kinoma kwenye kaz zako ila jitahidi kupendeza zaid

  • @queentanitah1346
    @queentanitah13464 жыл бұрын

    Zama hebu wawekee hao wageni wako napkin box. Wengi wao wanakuwa very emotional unapowahoji na wanalia maskin.

  • @zainabramadhan2109
    @zainabramadhan21094 жыл бұрын

    Pole saana dear binadamu wanapenda kuhukumu MTU lakini matendo yao nyuma ya pazia Mungu tu anajuwa Mwenyezi Mungu akutie moyo na azidi kukupigania

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza61734 жыл бұрын

    Zama interview zako nzuri sana. Ila kweli kuna haja ya kuwa na ka meza kadogo juu yake weka maji pamoja na tishu. Some people gets so emotional that they can not hold back their tears!! Tissue will help.

  • @lovemyselflovemyself954

    @lovemyselflovemyself954

    4 жыл бұрын

    🎲📻🚧👌

  • @ngakanimapendo1464
    @ngakanimapendo14644 жыл бұрын

    Unamaswala mazuri sana Zama, ila kwa muna kunauongo mwingi kuhusu yeye Joelle na hajajibu kuhusu kutowa mtoto kafara. Interview nzima ooh namuachiya Mungu 👀👀jibuuuu ukweli munaaaa .

  • @emmamahenge8023

    @emmamahenge8023

    4 жыл бұрын

    Jamn anajarb kuelezea vitu alivyofany kutetea maisha ya mwanae ili wew ujiongeze Kama kweli au sio kweli 😭😭😭😭😭 hata Kama Ni muongo lakn tuangalie na vitu vingne jamn Dunia tunapita tuwe na akiba ya maneno

  • @merryethipia6047

    @merryethipia6047

    4 жыл бұрын

    Huyu dada si mkweli kbs loh

  • @peterkyese4516
    @peterkyese45164 жыл бұрын

    Nilikuwa nasoma comment hapa yaani watu wengi mnahukumu kitu ambacho hamkijuii???na ukweli anaujua yeye na Mungu wakeee......muna ni mlokole smart muacheniii mbona yenu hatusemi🙄🙄🙄🙄🙄

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary96984 жыл бұрын

    Hakuna alie okoka duniani 1 YOH. 1:8-10 1 YOH. 1:8-10 SUV Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu. SUV: Swahili Union Version

  • @maryluoga870
    @maryluoga8704 жыл бұрын

    Huwezi mwamin mungu usimwamini mama yako mzazi hujaokoa bado huijui bibilia bado,acha kuidanganya dunia

  • @happinessmwaipopo7426

    @happinessmwaipopo7426

    4 жыл бұрын

    Mary Luoga 😂😂😂😂😂hata kama mchawi utamwamini?

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda13664 жыл бұрын

    Muna pole kwa mtihani ulopitia mungu yupo na wewe ila usisahau kumuomba mama msamaha hakuna kama yeye sasa nyinyi mnaocoment zenu humu KZread kumjaji muda mnayajuwa kuhusu family jamani ifike time tuwe waelewa

  • @emmakalou5920
    @emmakalou59204 жыл бұрын

    Wakatii LIL OMMY ni KING OF THE INTERVIEW basi QUEEN OF THE INTERVIEW kwa Sasa ni ZAMARADI 🙌🙌nmemkubar asilimia Mia.

  • @ochiengatienolilian8921
    @ochiengatienolilian89214 жыл бұрын

    😥I can feel her pain! Kwa hii Dunia usipochukiwa jua hauko kamili! Whenever you doing right, haters must stand against you! Muna mwamini mungu, wanadamu hawaezi ridhishwa kabisa

  • @swaralagin6023
    @swaralagin60234 жыл бұрын

    Nakupenda muna umeongea kweli kabisa mungu azidi kukukumbatia mumy

  • @irenepreciousy7365
    @irenepreciousy73654 жыл бұрын

    zamarad una hekima ya kuhoji hongera

  • @abigaelfredrick5901
    @abigaelfredrick59014 жыл бұрын

    Safi sana da Muna kazana na maisha ya wokovu Yesu hajawahi muacha mtu mwenye haki

  • @rehemammari3626
    @rehemammari36264 жыл бұрын

    Na unaposema kuwa unampenda Mungu hapo unakosea. Wapende kwaza ndugu zako na maadui zako hapo ndipo utakapotimiza upendo Mungu.

  • @zrashymerashid637
    @zrashymerashid6374 жыл бұрын

    hakuna atae amini nakujuwa ukweli uko wapi, wengi watasema unaongopa muongo, wengine watasema nikweli, lakin bado ukweli utabaki kwake yeye aliye juu mungu pekee,

  • @reenwavish7899
    @reenwavish78994 жыл бұрын

    Mbona mna judge muna? God knows her better...Muna nikweli mungu ndio kila kitu

  • @evamichael9771

    @evamichael9771

    4 жыл бұрын

    reen wavish nashangaa wanasema yuko na laana akati wao wenyewe wamelaanika na wamechapika na maisha😝😝😝 we ushaonea wapi mama mzazi anaenda kwa media kumchafua mtoto dah.

  • @susanruo8087
    @susanruo80874 жыл бұрын

    Kwani zamaradi hasomangi comments. Interview yake na Irene uwoya bado wengi tuliulizia tissue na leo pia hakuna tissues. I thought next interview hakutakuwa na aibu dogo dogo. Zama please, you need a small table, with some tissue and a glass of water

  • @asiimwejohannes9548

    @asiimwejohannes9548

    4 жыл бұрын

    Susan Ruo nahisi alirekodi hizi video kablaa kwahyo ana release tu!

  • @susanruo8087

    @susanruo8087

    4 жыл бұрын

    @@asiimwejohannes9548 Yah Yah, that can be so. But I hope she gets this message tho

  • @roseboaz1819
    @roseboaz18194 жыл бұрын

    Ivi jamn Mungu wa pili sini mama ee,,

  • @dorothymmbone8864
    @dorothymmbone88644 жыл бұрын

    God is faithful and great muna zidi kumtambua mungu mum. It is well.

  • @jeannedon8832
    @jeannedon88324 жыл бұрын

    Jamani don’t judge Muna kwani nyinyi niwa takatifu? Only god can judge alakini Apana wana dam. Mungu awasame nyinyi wote muona Muna muongo. Kwani muko rohoni mwake? Muache kuropoka mwende mbiguni🙏🏾❤️. Muna kaza mwendo mbigu ni yawale wa takatifu tu usikate tama. Amen

  • @fatmamatemu7593

    @fatmamatemu7593

    4 жыл бұрын

    Zamaradi I love nakupenda ❤ unamliza,muna maana maswali yk yote ni koki🤣

  • @shakiraomari9209

    @shakiraomari9209

    2 жыл бұрын

    Jipe moyo utashinda

  • @ashahamis4174
    @ashahamis41744 жыл бұрын

    Vile nampenda mamaangu sjui kama nitaweza kumchukia na vile namuona munah na chuki ya mamaake nashangaa zaid... Rudi kwa mama ako da munah ukaombe tu msamaha hata kama anakukosea.. Yani mm mamaangu akiniudh na kuninunia usingiz haupandi.. Na wala silali jamni

  • @magrethkimaro5140
    @magrethkimaro51404 жыл бұрын

    Pole sana Muna Mungu akutie nguvu hayo ni mapito tu

  • @janembugua5170
    @janembugua51704 жыл бұрын

    Zamaradi this is a real testimony huyu dada ameokoka kweli

  • @zuwenadavid856
    @zuwenadavid8564 жыл бұрын

    muna mpende sana mama, muombe msamaha! nataman ningekuwa namama jaman maana mapito ninayoyapitia Mungu ndiye anayejua

  • @officialshakila6307

    @officialshakila6307

    4 жыл бұрын

    Tupo wengi na tumshukuru mungu kwa haya yote

  • @mwajabummbaga6302
    @mwajabummbaga63024 жыл бұрын

    Mdada nimuongo saana huyu anajiliza kinafki yan hapa naskiliza hii interview sababu tu ya zama wangu

  • @auntymercy4667
    @auntymercy46674 жыл бұрын

    Mama ni mama jamani ila jamani kuna wamama wanachangamoto mpaka unahisi alikuokota. Lakin kasema anaomba anajua kila kitu kitakua okey.

  • @morinemcute6875

    @morinemcute6875

    4 жыл бұрын

    kbs dah

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod91854 жыл бұрын

    Mona usilie kupitia wewe wanawake wengi tumejifunza kitu kikubwa sana sana Mungu amekutumia wewe kutufundisha kitu. Shukuru kwa kila jambo 😭😭😭😭

  • @winfridapeter4458
    @winfridapeter44584 жыл бұрын

    Jamani Zama maswali mazuri tunayotaka kujua ndo muna anagoma kuyajibu whyyyyy😫😫😫😫

  • @ireneflorence2232
    @ireneflorence22324 жыл бұрын

    Zamaradi interview hii umepatikan,muna hajibu maswali yako kabisa Leo,anakuchomolea kila swali anajielezea sana bila kujibu maswal anayoulizwa.mrudishe tena ajibu maswali accordingly

  • @All_Day_Everyday
    @All_Day_Everyday4 жыл бұрын

    Nice talk! If you're aiming on learn something and if you're thinking positive. Who are we to Judge the others

  • @yunismwasumbi3221
    @yunismwasumbi32214 жыл бұрын

    YAANI MNAOSEMEMA HAKUNA KAMA MAMA IVI MAMA AKIKUULIA MTOTO WAKO BADO UTASEMA HAKUNA KAMA MAMA KUNA VITU HATA WAZAZI WANAKOSEA NA KUMSAMEHE MTU SIO LAZIMA USHIKAMANE NAE

  • @songbillong6826

    @songbillong6826

    4 жыл бұрын

    YUNIS MWASUMBI

  • @graceglory3038

    @graceglory3038

    4 жыл бұрын

    Kweli kabsa

  • @neemangwesa3372

    @neemangwesa3372

    4 жыл бұрын

    Hawa wanaongea hawajui na ni wanafiki, wanafikili kila kitu ni kuweka hadharani tu.

  • @yunismwasumbi3221

    @yunismwasumbi3221

    4 жыл бұрын

    Yaaan hivi Ni Mama gani ambae anamdhalilisha mwanae hadharan anashindwa kustiri aibu ya mtoto wake kwel anaungana na ulimwengu kumkandamiza mtoto wake wa kumzaa? Mama muna hapana aiseee

  • @pendomvungi6960

    @pendomvungi6960

    4 жыл бұрын

    Yunis n kwel kuna Wamama pasua vichwa sana..maana km mwanao kakuuz unamtangaza mwisho wa siku aibu n yako kua hukuelea vzr

  • @estherkisa9598
    @estherkisa95984 жыл бұрын

    No need to explain your thinking and feelings to people they will judge you wrongly muna be blessed if you accepted Jesus Christ as your personal saviour

  • @dianamutesi6125

    @dianamutesi6125

    4 жыл бұрын

    Amen dear

  • @saumkhalifan7700
    @saumkhalifan77004 жыл бұрын

    Zamaradi interview zako hadi watu walie. Congrats!

  • @neybalyanengo5675
    @neybalyanengo56754 жыл бұрын

    zama unajua aina ya interview unayoenda kuifanya Basi uwe unaweka japo tissue hata maji ya kunywa anaglau mtu apunguze hasira

  • @fatmahchambo2037

    @fatmahchambo2037

    4 жыл бұрын

    Yeah...kweli kabisa

  • @thamiyuucute7098

    @thamiyuucute7098

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @florencehance5711
    @florencehance57114 жыл бұрын

    Dada zamarad naomba tu uwe una provide leso za kufuta machoz very sad....

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi70404 жыл бұрын

    wawekee wageni wako Tissue na Maji ni muhimu sana mtu anakaa dakika nyingi bile maji na wengine wanalia na hawana tissue

  • @stellaiyamu5212

    @stellaiyamu5212

    4 жыл бұрын

    Very true

  • @ruthmeier1298

    @ruthmeier1298

    4 жыл бұрын

    I agree with you....waweke tissue na maji

  • @abeidbashiru9468

    @abeidbashiru9468

    4 жыл бұрын

    Kwel maan wanalia hawana cha kufutia

  • @franciscasimon3563

    @franciscasimon3563

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁

  • @saadakiyungi6437

    @saadakiyungi6437

    4 жыл бұрын

    smejko sakari hahahaha. kweliii

  • @bintinoorjelle9653
    @bintinoorjelle96534 жыл бұрын

    Acheni kumsemea mwenzenu kilamtu anadhambi hakuna liye msafi afadhali yeye amemrudia mungu wake na ya mamake ataimaliza taratibu all the way from Canada namonea huruma pole dada

  • @shadyaomariy9163
    @shadyaomariy91634 жыл бұрын

    Sikitu rahisi kumtowa mtoto kafala sio kweli ila wanadamu daaah acheni kesho ndio tutajuwa kila kitu qiama ila daah ila dada zama wekaga tishu maana watu kama hawadaa😢😢😢

  • @innocenciamalyawere1503

    @innocenciamalyawere1503

    4 жыл бұрын

    shadya omariy -inaonyesha zama hua hapitii comments,maana hili la tishu aliambiwa hata wakt wa interview ya uwoya

  • @glorykweka1631

    @glorykweka1631

    4 жыл бұрын

    Innocencia Malyawere Nao waende na leso zao khaaaa!

  • @innocenciamalyawere1503

    @innocenciamalyawere1503

    4 жыл бұрын

    Glory Kweka -itakua wanasahau jaman,kujipanga kwenda kweny interview, ukute alikua saloon tokea asubh akatokea huko huko....zama aboresh office yake.

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya7144 жыл бұрын

    Interview za bongo bwana ungekata basi weka tangazo mtafute kitambaa kwanza au tissue,machozi +mafua vibaya hivo zamaradi unamdharirisha mwanamke mwenzio ivo.

  • @priscasaid7630
    @priscasaid76304 жыл бұрын

    Zama weka tishu na maji mtu akilia anajifuta machozi harafu unampa maji yakutoa hasira

  • @lucymaswaga1849
    @lucymaswaga18494 жыл бұрын

    Zama my love,a box of tissue on standby please

  • @aminajuma9244
    @aminajuma92444 жыл бұрын

    Nakupenda Muna ww mwenyewe ndio wajua kilicho kufikisha hapo tubia Dadangu kwani Muumba anasamehe makosa yote makubwa makubwa mradi unatubia na ukawacha Mola atakusamehe wacha tu watu wajitie mahala pake mola kwakukuhukumu ... Mob love Muna

  • @ruthwatson3057
    @ruthwatson30574 жыл бұрын

    Zamaradi👏👏👏👏. Jameni angalieni hawa dada wawili na uone hekima venye inafanya kazi. Huyu Muna ako kila pahali na hadithi ya ushenzi na haka ka Zamaradi kamemuangalia tu kama kichwani kanasema.............Muna...... endelea tu na upuzi mpaka mwisho. Endelea kuonyesha ulimwengu venye wewe ni mjinga. Zamaradi ako na akili sana ila huyu fala sijui anatulilia hapa sijui tufanye nini. Ushawahi kulilia mtoto wako yule mwingine au mama yako ama hii machozi yako ni ya nini? Wahenga walisema,,,,,,,, ALL THAT GOES ROUND COMES AROUND. Zamaradi,,,,,,,, asante kutoleta tissue. Mwache amwage makamasi mpaka kwa magoti.

  • @saraishaloom318

    @saraishaloom318

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @ruthwatson3057

    @ruthwatson3057

    4 жыл бұрын

    Muna unalia juu ulipoteza mtoto. Huo unaitwa uchungu wa mwana. Je,,,,,,,, unayasemaje machozi ya mamako aliye kuzaa? Wanao kuhurumia na wahurumie mamako pia juu amelia machozi kama mzazi. Ushinde hapa ukisema kitabu kitabu. Hicho kitabu kina nini hujasema mbele ya camera ukijililisha hapo. Siwezi hata taka kukiona hicho kitabu. Nitakirarua vipande washangae. Venye unaongea,,,,,,, sioni kama unaweza tunga sentensi. Maoni yangu na venye nakujua. Zamaradi mpenzi,,,,,, usituletee mwingine kama huyu. Kazi ovyo kabisa.

Келесі