Je hizi nyumba ni kwa ajili ya watumishi tu?? Nauliza pia kama bado zipo ?
@user-up2kg1wm9p4 ай бұрын
Beiyakununua
@elisantemrita9490 Жыл бұрын
Yani wasomi wengine bana yani kweli karine hii unajenga room ambazo hazna choo duu embu badilikeni Aseee
@sashoright82132 жыл бұрын
Nmependa madirisha mliyoyajenga Mana Hali ya joto sio nzur
@saidramadhan37003 жыл бұрын
Zakuuza, 3 bedrooms,,, bei gan?
@rahmamollely5296 Жыл бұрын
Nilitaka nyumba ya kununua kigambon nimeambiw zimeuzika zote. Zimebaki za kupanga nimeumia😭
@georgesarya48123 жыл бұрын
DODOMA mpo
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Naam Rafiki tumefika, tuna mradi wa Nyumba za Makazi Njedengwa na Kisasa Hilltop, kwa maelezo zaidi wasiliana nasi sasa: +255 22 292 2211, 0715 353 465, 0765 504 246, 0717 796 040.
@agnessmsogoya53203 жыл бұрын
Vipi bado zipo za geza ama zimejaaa
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Karibu Rafiki, kwa sasa zimebaki Nyumba za Vyumba vitatu vya kulala ( kimoja masterbedroom) , sebule, choo, jiko, veranda upande wa mbele na nyumba kwa kodi ya Tsh. 300,000/= Tu. kwa maelezo zaidi wasiliana nasi sasa: +255 22 292 2211, 0715 353 465, 0765 504 246, 0717 796 040.
@salha6596
2 жыл бұрын
Nataka 250000 bado vipo?
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Kuzipata Sasa🤦
@mashaainsuranceagency59253 жыл бұрын
Ulipaji ukoje kwa miezi mingapi
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Karibu Rafiki, Malipo ya kodi za Nyumba zetu ni kwa Mwezi mmoja mmoja.
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@whionlinetv6814 nmeipenda Sanaa mlivyowka Kodi Mana wngne uwezo wa miez 6ni balaa
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@whionlinetv6814 nq zile zakununua bado zipo naomba namba zenu za wastp
Пікірлер: 25
Nimeipenda bei nzur hongereni
Naomba Kuuliza iz ndo zile ghorofa zilikaa Sanaa kuisha zilikawia znazouzwa Bei gan
Nyumba nzuri ila choo kimoja. Kwa family ni stress
@jacquelinejared6750
3 жыл бұрын
Za master zipo 350,000 kwa mwezi
@babymaryam3217
2 жыл бұрын
Stress sana
Nimefatilia nimeshindwa kupata hizo nyumba
Landscape finishing mbovu sana. Jitahidini kumaliza kazi, siyo mnajenga nusu mnapotezea.
mawasiliano tafadhari
Je hizi nyumba ni kwa ajili ya watumishi tu?? Nauliza pia kama bado zipo ?
Beiyakununua
Yani wasomi wengine bana yani kweli karine hii unajenga room ambazo hazna choo duu embu badilikeni Aseee
Nmependa madirisha mliyoyajenga Mana Hali ya joto sio nzur
Zakuuza, 3 bedrooms,,, bei gan?
Nilitaka nyumba ya kununua kigambon nimeambiw zimeuzika zote. Zimebaki za kupanga nimeumia😭
DODOMA mpo
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Naam Rafiki tumefika, tuna mradi wa Nyumba za Makazi Njedengwa na Kisasa Hilltop, kwa maelezo zaidi wasiliana nasi sasa: +255 22 292 2211, 0715 353 465, 0765 504 246, 0717 796 040.
Vipi bado zipo za geza ama zimejaaa
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Karibu Rafiki, kwa sasa zimebaki Nyumba za Vyumba vitatu vya kulala ( kimoja masterbedroom) , sebule, choo, jiko, veranda upande wa mbele na nyumba kwa kodi ya Tsh. 300,000/= Tu. kwa maelezo zaidi wasiliana nasi sasa: +255 22 292 2211, 0715 353 465, 0765 504 246, 0717 796 040.
@salha6596
2 жыл бұрын
Nataka 250000 bado vipo?
@sashoright8213
2 жыл бұрын
Kuzipata Sasa🤦
Ulipaji ukoje kwa miezi mingapi
@whionlinetv6814
3 жыл бұрын
Karibu Rafiki, Malipo ya kodi za Nyumba zetu ni kwa Mwezi mmoja mmoja.
@sashoright8213
2 жыл бұрын
@@whionlinetv6814 nmeipenda Sanaa mlivyowka Kodi Mana wngne uwezo wa miez 6ni balaa
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@whionlinetv6814 nq zile zakununua bado zipo naomba namba zenu za wastp