BREAKING: Nyumba za NSSF Kigamboni zapigwa mnada

Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' na kusimama ujenzi wake mwaka 2016 unapigwa mnada.
Kuliripotiwa kuwepo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo na sasa anatafutwa Mwekezaji atakaeuchukua.

Пікірлер: 284

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba90892 жыл бұрын

    Unatudhalilisha sana tunaoishi UK unaongea kingereza cha hovyo bora ungeongea kiswahili tu

  • @jorgejorge5210
    @jorgejorge52106 жыл бұрын

    KAMA AMESHI UK KWA MIAKA 15 LUGHA NDIO HIYO JE WAKATI HAJAENDA?NA HUYO MKURUGENZI NI BORA ANGEPIGA KISWAHILI TU HAYA MAMBO HAYAHITAJI ULIMI MGUMU

  • @venancebasil4656

    @venancebasil4656

    6 жыл бұрын

    Jorge jorge miaka 15 daaah kaboa sana

  • @theafricanrenaissance77

    @theafricanrenaissance77

    5 жыл бұрын

    Yule Bw. Mabakila wala hajawahi kuishi UK hata mwk 1!!

  • @seifkiswamba933

    @seifkiswamba933

    4 жыл бұрын

    Kweli babaake hiko kiingereza Cha vidudu yaani ametia aibu Bora angeongea kiswahili

  • @ezm

    @ezm

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @deodatusrweyongeza6747
    @deodatusrweyongeza67473 жыл бұрын

    Aliesikia ndege bichi agong,e like twende sawa

  • @fetilishazomar4799
    @fetilishazomar47996 жыл бұрын

    jamn Bora ungeongea Swahili tuuu Daaah Weeeee Watu wapo UK Miaka 25 na zaidi lakin Swahili watu wanaichapaa mbayaa. Utumwa Walugha Haujawahi acha Mtu Salama Aisee

  • @jimmiejr9531

    @jimmiejr9531

    3 жыл бұрын

    Kwani amekukwaza ? 😁😁

  • @denisjohn1719
    @denisjohn17194 жыл бұрын

    How can some one stay in UK for 15 years and yet speaks broken English than our Swahili speaking bilingual. Let us learn from our surroundings guys. Anyway Yono are doing real a great job.

  • @ngwacahnyagwaswa9979

    @ngwacahnyagwaswa9979

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia86136 жыл бұрын

    😅😅😅Kamugisha..! don't you ever do that again..15 yrs in UK.?Reaĺly.!

  • @driquesmariques9794
    @driquesmariques97946 жыл бұрын

    but why..hawa yono vipi jamani na kizungu hiki..ndo kukaribisha wazungu daah

  • @georgerichard6706
    @georgerichard67066 жыл бұрын

    Uyo mshaji bora aongee kiswahili tuu kizungu awaachie uk

  • @williamkijazi3000

    @williamkijazi3000

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 ana struggle kweli

  • @kenyomarion5605
    @kenyomarion56056 жыл бұрын

    Unaishi USA kwa zaidi ya miaka 15 alafu kiingereza bado kibovu namna hiyo!?? huko USA watakua wanacheka sana, Wazungu wakija kukaa hapa TZ miaka miwili tu wanaongea kiswahili kimenyooka kama wamezaliwa huku. Diaspora jifunzeni lugha msituaibishe huko mlipo

  • @ntalenasson686
    @ntalenasson6866 жыл бұрын

    Wahaya kwa kupenda kiingereza tu hawajambo ila bahati mbaya rafudhi mbovu

  • @fredrickvituskebero5071

    @fredrickvituskebero5071

    6 жыл бұрын

    Ntale Nasson ha ha ha

  • @venancebasil4656

    @venancebasil4656

    6 жыл бұрын

    halafu ngeli yenyewe mbaya ni bora tu angeongea kihaya

  • @ntalenasson686

    @ntalenasson686

    6 жыл бұрын

    Tena Kama yule aliekaa uk miaka 15 ndio bure kabisa

  • @annaniamax8228

    @annaniamax8228

    6 жыл бұрын

    siyo rafudhi tu hata yai lenyewe halivunjiki ! imagine ameish UK zaid ya miaka 5 bt bado anavunja yai kwa shida kabisa ahahahahaaha

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    6 жыл бұрын

    Ntale Nasson siyo Rafudhi tu hata english yenyewe anagonga miguuu no gramma

  • @yonamwakanyamale5023
    @yonamwakanyamale50235 жыл бұрын

    Lugha yetu ya Kiswahili ni miongoni mwa Lugha bora duniani.. Acheni kuwa watumwa wa Lugha za wageni... Mmejinyima haki yenu ya kutufikishia ujumbe kwa ufasaha zaidi kwa sababu ya Lugha.. Poleni sana..

  • @kasramwalimu5506

    @kasramwalimu5506

    Жыл бұрын

    Yaan nishida Kwa wa tz kua watumwa hadi ktk lugha

  • @uledimtumwa3045
    @uledimtumwa30456 жыл бұрын

    Mh!!!with about over.. Wahaya bhana.

  • @KiangiAri
    @KiangiAri4 жыл бұрын

    Kingeee😂😂😂...Chill man!Kiswahili kingefaa zaidi mzee!

  • @wariobawtanzania5548
    @wariobawtanzania55486 жыл бұрын

    Hivi nyie watanzania hivi kuna mwekezaji yeyote anaweza kuja kuwekeza kupitia kwa broker? sijui tumelogwa? halafu tunasema tumesomea marketing na economics

  • @sss3s867

    @sss3s867

    4 жыл бұрын

    Kwannza mpaka JPM abadilike. Na Kwa kweli ni hatari.watu no waoga. Na WA ya hawana pesa, Kwa sababu mlaji WA chini Yuko Hali mbaya Kwa pesa mfukoni na bank hawakooeshi Kama mkopaji hasomeki.

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49356 жыл бұрын

    Watanzania tunajulikana nje ya nchi kwamba tuna kiingereza kibovu sana ingawa ni ni lugha ya kufundishia kwa sekondari na vyuo.

  • @johnnydepp3218
    @johnnydepp32186 жыл бұрын

    Ongeya luga yako toka lini mwingereza nchini mwake ulishasikya ananongeya luga ya kigeni?

  • @kelvinkavenga7422

    @kelvinkavenga7422

    3 жыл бұрын

    Sasa mbona wewe kiswahili kinakupiga chenga😂😂

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne2554 жыл бұрын

    Sura ya Hiuyu Mazaaa🤣🤣🤣Akitumwa Aje Kukudai Utakomaaaa

  • @edwarddaniel5683
    @edwarddaniel56836 жыл бұрын

    Huyu jamaa bora angeongea tu Kiswahili English yenyewe ya kudonoa hakukua na haja ya kujikakamua hahahahaha

  • @huaweiphone1459

    @huaweiphone1459

    4 жыл бұрын

    Uchokozi uwooo

  • @johncor1377
    @johncor13776 жыл бұрын

    Huyo mama kasema mradi una thamani ya usd 350 sidhani kama yupo serious ts almost laki saba na hivi sidhan kama yupo serious

  • @jacksonmollel5157

    @jacksonmollel5157

    6 жыл бұрын

    John Cor kumbe umemsikia na wewe Usd 350 nini sasa milion or bilion hundred.

  • @jacksonnhandy452

    @jacksonnhandy452

    6 жыл бұрын

    John Cor ni USD 320 million. mother alipanic

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    6 жыл бұрын

    John Cor 😅😅😅 wanajigonga miguu sasa sijui alikuwa anamaanisha Million or billion lakini mkurugenzi kambeba brother

  • @samasob8233

    @samasob8233

    6 жыл бұрын

    Haha perhaps he meant USD 350 "shillings" its beyond belief!

  • @mhandyeyoo6591

    @mhandyeyoo6591

    6 жыл бұрын

    John Cor Umesikia eh naenda kununua 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️350 Eti alikuwa Uk ? Hata maimunaaaaaaaaa kasema tis project 😜😜😜😜😜muhhhhhhh warudushe kizunguuuuuu tuuuu au? Best?

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller46992 жыл бұрын

    he he he living in UK for 15 years and yet you speak like a grade one student, bravo just speak your mother tongue

  • @kibidyaabdul5737
    @kibidyaabdul57376 жыл бұрын

    Hao wazungu walio katwa kimeo huwezi pata mwekezaji kwa makodi ya nchi him hicho kijiji kimilikiwe na ccm au serikali

  • @kibidyaabdul5737
    @kibidyaabdul57376 жыл бұрын

    Serikali ichukuwe huo mradi iwape mikopo wafanyazi kwa kipindi cha miaka 20.ila kwenye maduka na malls wapangishe wamalizie kwa ununuzi mmoja moja panatisha huko

  • @slimkheri953
    @slimkheri9536 жыл бұрын

    About over 😂😂😂😂😂😂 jamani hivi kiswahili kigumu kuongea

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    6 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @footmobonline
    @footmobonline3 жыл бұрын

    😂😂😂 Kwani wakiongea kiswahili kuna tatizo gani? Okay na huyo mama $350 ndo imetumika kujenga huo mradi. Anajua dollar 350 ni sawa na laki 8😁😁😁

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous66446 жыл бұрын

    Jamani hongereni but those men who are speaking they're not from UK those pronunciation are either Ugandan's or rwands's Ila Wa mama are Tanzanians sasa be specific mctushike maskioooo 😂🤣😂 the good thing is ppl knows some issues

  • @mammyyassie7322

    @mammyyassie7322

    6 жыл бұрын

    Lydia Thadeous dada wanaishi UK,huyo mkaka uliomuona anaitwa Juma anakaa Mji unaitwa Reading. ni mjanja mjanja wa mjini enzi zake alikua mchanjaji tena hapo kizungu mbona kimenyooka kupita maelezo. yaan ungemuona miaka hio 10+ iliopita ndio ungejua saa hii amekinyoosha km rula

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Жыл бұрын

    Allah ibariki Tanzania pamoja tutafik

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni22856 жыл бұрын

    UK anayomaanisha ni Ukerewe

  • @annaniamax8228

    @annaniamax8228

    6 жыл бұрын

    ahahahahaha nadhan ,

  • @doreenmganga1100

    @doreenmganga1100

    6 жыл бұрын

    Hahahahahaaaaaa

  • @huaweiphone1459

    @huaweiphone1459

    4 жыл бұрын

    Hahahaha mbavu zangu mwemwe

  • @waridi2644

    @waridi2644

    3 жыл бұрын

    Nafikiri aliimanisha Ukonga..😀

  • @stingosmatingas5569
    @stingosmatingas55696 жыл бұрын

    sio rahisi mradi kama huo mwekezaji kastuka huko baaada ya mwaka ataambiwa kaibia serekali kodi

  • @bjzee1981
    @bjzee19816 жыл бұрын

    Diaspora in UK with i am lack 😂🙊😱

  • @sharondivine2797
    @sharondivine27976 жыл бұрын

    hujui kingereza aibu

  • @sashoright8213
    @sashoright82132 жыл бұрын

    Aminaa mjuz wa lugha Yan kwa kifup Amna lugha nyepes ata nzungu utaskia anatafuta jins ya kulitamka neno lake mwnyewe la kingereza uyo rafidhi kutamka kumemshinda lkn ata angeongea kiswahil ingemkosoa na uo mrad mbona mabilionea wapo hapa Tanzania Kina mzee bakharesa ,shabiby Mo dewij na wngne wangesaidiana kuwekeza na kungependeza tu

  • @abdulyiddy358
    @abdulyiddy3586 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 jaman nimecheeeka huyo wa UK

  • @fastfacts1967
    @fastfacts19676 жыл бұрын

    May be the guy meant to say 15 days instead of years.:-)

  • @richhustl1931

    @richhustl1931

    4 жыл бұрын

    I'm telling you😂😂😂😂

  • @arushanioshaka5600

    @arushanioshaka5600

    3 жыл бұрын

    @@richhustl1931 so its going to finish in 15 years ?

  • @shabanthomasnjarita1181
    @shabanthomasnjarita11816 жыл бұрын

    huo mradi wa laki 7 inamaana😂😂😂😂 350 USD.

  • @maxilekanoi8257

    @maxilekanoi8257

    4 жыл бұрын

    Shaban Thomas Njarita 350 MIL mzee cyo hyo unayodhani huna akili ya kujiongeza pumbavu

  • @henrymaro3638
    @henrymaro36386 жыл бұрын

    yono kweli ni madalali but mradi huu wao kupewa ni another loss.I don't think if they have that capacity.second, nafikiri serikali imewahi kuchukua maamuzi kuhusu hiyo project maana hizo ni fedha za members Wa nssf waliokua wanapeleka contribution zao.I think serikali ingewahusisha wachangiaji Wa kwenye fund kwanza kusikia maoni yao kabla ya kupeleka mradi sokoni like that.third I think who every was involved in that project did some securitization and collateralized the future cashflow of the project through rental income or house sales. now with recession we are experiencing now no magic is expected those house uptake won't be much. maybe yono instead of looking for individual buyers and corporates in silos they could think of forming a consortium of brokers and approach banks or capital market to establish a secondary market to mortgage those houses.minding that payback period of the project was say more than 15years now that decision decided by who ever in the office will have financial impact and reputation risk to the fund which is very bad for business. the statement concerning the sale of the project is enough to cause confusion to members and contributors. am aware of SSRA what is their professional advice on this outfit to members of the fund and to the existence of the fund...I think yono would act much smart to see the regulator instead of taking up the deal cause of commission to be earned from the sale of that project. I can bet this decision is a double loss to whoever made it go publicly.

  • @ceciliakabyemela9793

    @ceciliakabyemela9793

    6 жыл бұрын

    Henry Maro vision and wisdom have left the building. This project would have been a huge investment for nssf if one looks beyond cutting the nose to spite the face

  • @leriq1

    @leriq1

    6 жыл бұрын

    well said bro.

  • @dawoodtekakie4012

    @dawoodtekakie4012

    6 жыл бұрын

    Henry Maro sijui nan yupo nyuma ya yono ila kiukweli saiz yao ni kushika magari barabaran, by way kila mbuzi anakula kulingana na kamba yake na huyu mama sio mchaga kama mnavyo sema i think ni mnyaki

  • @sammytiger92

    @sammytiger92

    5 жыл бұрын

    Henry Maro Wee👉😈😈😈😤!!!.Hakuna Mnyaki aitwae Mushi.mxcuuu.

  • @radhiasalum833
    @radhiasalum8336 жыл бұрын

    haya kwa wale wenye uwezo.sie acha tukae manzese tu.maana hizo nyumba unaweza pata kisha utakosa usingizi hahahaa

  • @godfreyaloyce5032
    @godfreyaloyce50325 жыл бұрын

    haina noma mbona wageni wanaongea kiswahili broken na tunawapigia makofi acheni hizo this is business.... as long as umeelewa watu tunasonga mbele "NUNUA APARTMENT NCHI YETU IPATE MAPATO" na NSSF pia...... miradi ikue.

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA974 жыл бұрын

    USD 350 nini?

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38994 жыл бұрын

    Uko na waswahili wenzako ongea kiswahili acha ujinga lugha yenyewe gongana

  • @relaxingnaturegreen
    @relaxingnaturegreen6 жыл бұрын

    huyu jamaa haishi UK, kiiengereza mbovu kama hiyo haizungumuzwi England, huyu ni kibaraka tu wamemchua mtaani YONA kutafuta biashara. Huwez kiishi England 15 years alafu bado anaongea kiiengereza kama ya chekechea

  • @ayoubrogath4297
    @ayoubrogath42976 жыл бұрын

    $350=1061268/= wabongo itawashinda milioni moja ngoja nimuibie bi mkubwa😁😂😁😂😁😂 kidhungu hakihitaj mbwembwe

  • @mrsnam6897

    @mrsnam6897

    3 жыл бұрын

    Ivi ni kweli usd 350 tuh raha kweli

  • @sinisfatal431
    @sinisfatal4316 жыл бұрын

    Hii ndiyo Tatizo la kuchukulia taaluma ya habari kama kipaji wakati unapaswa ukae darasani.Kichwa cha habari hakisadifu yaliyomo ndani nyumba zimepigwa mnada wakati ndiyo wanatafuta mteja what's the freaking heal.

  • @deongonyani1523
    @deongonyani15235 жыл бұрын

    Mbavu zangu jamani ,kama kakaa nje miaka 15 yuko hivyo je kabla hajaenda alikuaje? Sasa cjui kaja kufanya nini hata cjamuelewa na cjui atarudi tena huko alikoishi kwa miaka 15 , bora kiingereza cha shilole maana hajakaa nje hata mwaka

  • @kevinephily8357
    @kevinephily8357 Жыл бұрын

    kweli dalali ni dalali tu, hawa watu huwa hawana any official credential for marketing zaidi ya kupiga upatu tu ujanja ujanja mwingi sana mdomoni hii nchi something need to change we should have officially marketing educated brokers udalali huu tatizo ni matapeli waliohalalishwa na nani sijui.

  • @FredyVincent951753852456
    @FredyVincent9517538524563 жыл бұрын

    Huu mradi umejengwa kwa fedha za wafanyakazi maskini, faida itakayopatika igawanywe kwa wachangiaji wa NSSF😎

  • @juliusmavanza4310

    @juliusmavanza4310

    9 ай бұрын

    Ni kweli tena ingekuwa vizuri kama wangewataarifu wafanyakazi wa sector zote Serikali na binafsi labda wangeweza kujiuunga nakutengeneza umoja na wapewe kwa mkataba Ili wasimamie maana watakuwa na uchungu wa mafao yao

  • @tzviral7342
    @tzviral73426 жыл бұрын

    5:30 *With about over* ...khaaaa!

  • @extramen5534
    @extramen55346 жыл бұрын

    A,ahaaa watanzania, hawana maisha hayo. Wapangaji wa nyumba hizi kwa walengwa ni tatizo. Sababu mtanzania akiwa na uwezo wa kumiliki gari zaidi ya moja, basi kinachofuata ni kuwa na nyumba yake mwenyewe sio kupanga tena, Tanzania ardhi ni kubwa ukiwa na pesa ya madafu tu unajenga mjengo wa kifahari. wenye shida ya nyumba Tanzania ni makapuku, na sio wenye kazi Selikalini.

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro40586 жыл бұрын

    😀😀😀😀 usd 300???. mama sema basi kama m.au laki

  • @samasob8233
    @samasob82336 жыл бұрын

    Acheni urongo.....diaspora hawanunui ng'o mpaka mkubali kwamba watanzania raia wa nje wanahaki ya kuwa na uraia mara mbili. Hamjui kama nchi ni kiasi gani ya talent na pesa mnapoteza. mlipeana marushwa na mpango wenu huo endeleeni nao uwaozee

  • @renaldakamugishazeramulake940

    @renaldakamugishazeramulake940

    6 жыл бұрын

    Sama Sob wagekubali uraia wa nchi 2 zibgeshachukuliwa

  • @samasob8233

    @samasob8233

    6 жыл бұрын

    Looong time ago!! tuna usongo na nyumbani lakini ujinga mwingi, hata watu wabishe ni ukweli mtupu!

  • @daniellewiskubojakuboja7427
    @daniellewiskubojakuboja74274 жыл бұрын

    Jamaa anashindwa hata na kale kabinti kangu ka darasa la 3

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight33096 жыл бұрын

    Yaani usd 350 ni nyingi mi niwape 3500$ ten times

  • @user-ge3ni4qn4u
    @user-ge3ni4qn4u3 ай бұрын

    Kwa Nini mradi Huu wa sipewe chuo kikuu mlimani

  • @jumakittyler69
    @jumakittyler693 жыл бұрын

    Hivi nyinyi mbona msiongee kiswahili kizungu waachieni wenyewe shida mnajig'ata mno

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu59196 жыл бұрын

    Tangaza kiingereza wabonga hakuna atakae nunua

  • @freddymello3227

    @freddymello3227

    5 жыл бұрын

    Matobholwa manonu ananielezea Mimi,acha aendelee,ntanunua hii kitu!

  • @jijicool7206
    @jijicool72066 жыл бұрын

    Waswahili jamani. Kwani kosa gani kuongea kingereza. Mradi huu unalenga watanzania na wawekezaji toka nje ya nchi. Kwa hiyo ni bora kwa wale wasiongea kiswahili

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78056 жыл бұрын

    Wapi dr.Shika?

  • @irenecharles4651
    @irenecharles46516 жыл бұрын

    Ongea tu kiswahili hizo ze ze ze kibaaaao

  • @abdallahseleman3387
    @abdallahseleman3387 Жыл бұрын

    Mradi unathamani ya us dollar 350....dah! Kweliii

  • @GONGALIFESTYLE
    @GONGALIFESTYLE4 жыл бұрын

    Jamaaa mzushi huyooooo waongeee tuu kiswahili kwa ni tatizo nini wanapata shida thuu na hiyo English

  • @richsoundstudios5871
    @richsoundstudios58716 жыл бұрын

    Hicho kiingerezacha hao jamaa mbona hakijanyooka bora angeongea kiswahili tungewaelewa tu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Huyu mwamba wa united kingdom ninawasiwasi atakuwa tp mazembe, poor english alafu kiswahili anajua na anajikuta aongee tu kingereza ili aonekane labda mkweli.....

  • @zuriathzubeir3702
    @zuriathzubeir37026 жыл бұрын

    Mmmmmmmmm? More than 15 years

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Njoo tuuchukue mradi basi

  • @mcfallenmacha9611
    @mcfallenmacha96113 жыл бұрын

    Fifteen years in UK, au alikua houseboy kwneye nyumba ya wabongo tupu na hakuwah kwenda hata Dukani na maybe wabongo hao pia walikua hawapati hata mgeni

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47306 жыл бұрын

    Ongea kiswahili msenge wewe iyo broken yako nenda nayo ukouko UK

  • @najmabajun1739

    @najmabajun1739

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @crershawmafia1009

    @crershawmafia1009

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @remedymoody
    @remedymoody6 жыл бұрын

    Mmhh! Kithungu 🤔

  • @godrafael7916
    @godrafael79166 жыл бұрын

    Mbona sijaona mnada zaidi ya maelezo ya mradi.

  • @elliottrahema
    @elliottrahema4 жыл бұрын

    Toeni urai pacha hizo zitanunuliwa bila tatizo

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын

    Please forgive me. I think this guy has not lived in UK for 15years. His English speaks

  • @halithhali8038
    @halithhali80384 жыл бұрын

    Habari yako wazima wowo nimependa sana halakini sijajuwa mapema dolangapi please utanijubu

  • @peterjohn7613
    @peterjohn76134 жыл бұрын

    Hivi si muongee kiswahili Jamani hicho kiswanglish wengine hatuelewi

  • @reagankihwelo1517
    @reagankihwelo15176 жыл бұрын

    duuu hivi kweli huyu jamaa kwann asitumie lugha yake akaeleweka MTU alieishi UK zaidi ya miaka miwili naongea lugha mbovu kkkkkk kweli ni shiiiiida

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo85204 жыл бұрын

    Diaspora haipewi nafasi ya kusikilizwa Bi Judith! Hizo balizi zenyewe ndo balaa, kama hawa waliopo hapa States kwa sasa ndo balaa, hata kwenye simu huwezi kuwapata na hata ukiwapata ongea Kiswahili uone kama utasikilizwa hata kwa dakika 1! Yaani ni tabu tupu!

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    huu mradi umeshindwa mapema sanaa,

  • @domnicabuto859
    @domnicabuto8594 жыл бұрын

    Its a pity to see you guys struggling to speak English like that. Why don't you just speak Kiswahili a language you are conversant with so as to enable people clearly understand the project. Poleni sana ndugu zangu.

  • @kipendarohotv2669
    @kipendarohotv26696 жыл бұрын

    Kutakua nachumba cha elf30 jamani

  • @johnsonjoshua6707
    @johnsonjoshua67073 жыл бұрын

    Pesa zetu za mafao zimeishia hukooo..ndio maana hata ukimaliza mkataba wa ajira yako hawana cha kukupa...wajanja wamekula

  • @kamanda007
    @kamanda0074 жыл бұрын

    Boss sio lazima uongee kiingereza, Swahili tutakuelewa tuu

  • @loveness6732
    @loveness67326 жыл бұрын

    moyo unauma...kma ndo mzazi umetoa ela alaf kijana wako anarudi na kingereza hicho ..dah

  • @hongeramgaya714

    @hongeramgaya714

    6 жыл бұрын

    Hahaha siunajua lugha za kujifunza ukubwani haiwezi kuwa original. Ulimi ushakomaa

  • @christophersayuni9849

    @christophersayuni9849

    6 жыл бұрын

    Lilian Jackson mzazi unajiskia flesh tu bora nicheke tu yu no yu no haaahaa

  • @longlive_k10

    @longlive_k10

    6 жыл бұрын

    Lilian Jackson 😹😹😹 bora rasi simba angeweza kuwa na gharama ndogo

  • @marylitty3620

    @marylitty3620

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnbidya119
    @johnbidya1192 жыл бұрын

    Izo nyumba ziuzwe wakazi wa magomeni watahamia apo

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын

    Ni muda umepita sasa vipi kuhusu huu mradi ?

  • @frankd1156
    @frankd11565 жыл бұрын

    Duh jamani acheni kiingereza...aibu

  • @sadamramadhan2754
    @sadamramadhan27544 жыл бұрын

    Waje wajenge na Arusha tupate sehem bora ya kuishi.

  • @adolphdamas7606

    @adolphdamas7606

    4 жыл бұрын

    Wajenge ngarenaro

  • @kurashigesir8709
    @kurashigesir87092 жыл бұрын

    Kiingereza kibaya na umeisha Uingereza miaka 15?

  • @chazoharts9121
    @chazoharts91216 жыл бұрын

    Mngemuacha tu aliekua amewekeza amalize..ndo mpige mnada kama hakufata sheria hapo huo mradi hauwezi kua mzuri kama animation ilivo maana kila atakaewekeza atafanya finishing kwa itakavompendeza yeye bora uwe mradi wa mtu au kampuni moja

  • @lebronngambi6955
    @lebronngambi69556 жыл бұрын

    kwann kitu kama icho kisipelekwe njee ya mji jamam kama ni kisarawe Kibaha au bwagamoyo kuliko kulundika kila kitu DSM

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Usd 350. sidhani kama mama yuko sahihi

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78056 жыл бұрын

    Jamani huu si mradi wa Dr.Shika kweli??!!

  • @eugenemtaza201
    @eugenemtaza2016 жыл бұрын

    Mna mention vitu sijui shule police station wakati ni mafuvu tu. Who will put his money ?

  • @dilliwa
    @dilliwa3 жыл бұрын

    Dah jama-jama... Nyeee.

  • @lutusammid571
    @lutusammid5716 жыл бұрын

    USDollars 350 si hata mm naweza wekeza kumbe,mama nahisi umekosea Asee

  • @sabrinaabeid4306
    @sabrinaabeid43066 жыл бұрын

    Je hizo nyumba zinapangiswa au zinauzwaa mbona sijaelewaje kama utatakaa kupanga nyumba bei gani feleti kigamboni

  • @sabrinaabeid4306

    @sabrinaabeid4306

    6 жыл бұрын

    Naombeni jibu kama ipo kupanga Mm Nataka kiasi gani

  • @akhousesolutionsltd9433
    @akhousesolutionsltd94336 жыл бұрын

    Vipi kuhusu sisi wakimbizi tulio toka katika makambi za kasulu pesa tunazo na tunao uraia wa USA, UK na Canada tunakaribishwa katika mradi huu????????

  • @michaelmotika4477
    @michaelmotika44772 жыл бұрын

    Ths is too big for yono this project need an internation firm this is not suctioning cars?!

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake9406 жыл бұрын

    KWANINI muhangaike? Makao makuu Wilayanya kigamboni si wauchukue wafanye makao makuu ya Wilaya. WILAYA haina ofisi za HALMASHAURI.

  • @hamoudmohamed4916
    @hamoudmohamed49166 жыл бұрын

    Kizungu chenyewe cha darasa la Kwanza kwenda zako huko

  • @kisalaTV
    @kisalaTV3 жыл бұрын

    Huyu atakuwa wabukoba , maana atasierewi hii nger yake full mikato, mpaka nimeskia uvivu kuskiriza🙄

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364Ай бұрын

    Nataka namb ya yono

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Huu mradi Ikbari alipora wananchi ardhi zao, matokeo yake nae kapitiwa na magu, dhulma ulipwa hapa hapa duniani

  • @usindemdamo5299

    @usindemdamo5299

    10 күн бұрын

    😂😂😂

  • @allysalehal-jaber4822
    @allysalehal-jaber48224 жыл бұрын

    Hebu wacheni kuwafanya watu wapumbavu! Huduma zipo wapi kwenye mapagala hayo? Ama usiku wa manane ndiyo hayo mapagala yanageuka shopping malls?

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris54236 жыл бұрын

    mama mchagga asanteh ila ukaawambie wenzio ngeli co kuonekana kujua

  • @sirgomahojoa969

    @sirgomahojoa969

    6 жыл бұрын

    mm kaniboaje bwege kweli