MIRADI YA NYUMBA ZA NSSF

Пікірлер: 22

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed221510 күн бұрын

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @abedomar5183
    @abedomar518311 ай бұрын

    Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu415718 күн бұрын

    Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u11 ай бұрын

    Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊

  • @user-dt9uv3hj6n
    @user-dt9uv3hj6n6 ай бұрын

    miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx6 ай бұрын

    Njooo uku oman tuongee vzr

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u8 ай бұрын

    Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364Ай бұрын

    Wapi tatupana namba zenu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88746 ай бұрын

    Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela

  • @fassykibona7212
    @fassykibona7212Ай бұрын

    Mbona mmeangalia matajilitu2 namaskini hamuwaangalii

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c6 ай бұрын

    Jaman nyumba za bei yakawaidaaa hazipo

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u11 ай бұрын

    Naomba n s s f kwanini munauza nyumba kwa bei kubwa sana je wanachama wa n s s f ikitaka nyumba ya kawaida atapata

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv44736 ай бұрын

    Nyumba nzuri ila landscaping zero😊

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u11 ай бұрын

    Nyumba hizo ni kwa ajiri ya wakubwa tu huo si ubaguzi je mwanachama wa n s s f anafaidika na Nini kama meanachama

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv44736 ай бұрын

    Mnajenga kwa ajiri ya wageni au kwa watanzania mili.400 what?

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse73679 ай бұрын

    Je nitawa kiasi ngani cha down payment ya 160 million

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse73679 ай бұрын

    Je ulisema malipo ya down payment 10% ya bei inayohitajiwa

  • @basilisashemetse7367
    @basilisashemetse73679 ай бұрын

    Tufanyeje Wasikowska nje ya nchi😅

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u5 ай бұрын

    Je nyumba hizo ni kwa ajiri ya waku bwa na matajiritu ? Je mwanachama naye anaweza kumiliki nyumba kwa kutumia michango yake?

  • @Dr.Mo1510
    @Dr.Mo15108 ай бұрын

    Nipo nje ya nchi nataka kununua nyumba. Inawezekana?

  • @user-hj1qs8hf7v
    @user-hj1qs8hf7v6 ай бұрын

    Mimi nipo nje ya nchi vp kuna vigezo gani ili nipate

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    6 ай бұрын

    Mtanzania? Inamilili bank account za bongo unapata fasta