Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
@simbarajabu415718 күн бұрын
Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu
@user-qg1iy5ov3u11 ай бұрын
Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊
@user-dt9uv3hj6n6 ай бұрын
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
@GubraCity-dm5sx6 ай бұрын
Njooo uku oman tuongee vzr
@user-qg1iy5ov3u8 ай бұрын
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao
@nzomukundafatuma5364Ай бұрын
Wapi tatupana namba zenu
@yusufmohamed88746 ай бұрын
Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela
Пікірлер: 22
MashaAllah TabarakkahAllah
Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu
Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
Njooo uku oman tuongee vzr
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao
Wapi tatupana namba zenu
Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela
Mbona mmeangalia matajilitu2 namaskini hamuwaangalii
Jaman nyumba za bei yakawaidaaa hazipo
Naomba n s s f kwanini munauza nyumba kwa bei kubwa sana je wanachama wa n s s f ikitaka nyumba ya kawaida atapata
Nyumba nzuri ila landscaping zero😊
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya wakubwa tu huo si ubaguzi je mwanachama wa n s s f anafaidika na Nini kama meanachama
Mnajenga kwa ajiri ya wageni au kwa watanzania mili.400 what?
Je nitawa kiasi ngani cha down payment ya 160 million
Je ulisema malipo ya down payment 10% ya bei inayohitajiwa
Tufanyeje Wasikowska nje ya nchi😅
Je nyumba hizo ni kwa ajiri ya waku bwa na matajiritu ? Je mwanachama naye anaweza kumiliki nyumba kwa kutumia michango yake?
Nipo nje ya nchi nataka kununua nyumba. Inawezekana?
Mimi nipo nje ya nchi vp kuna vigezo gani ili nipate
@tanzcanmediatv4473
6 ай бұрын
Mtanzania? Inamilili bank account za bongo unapata fasta