GOROFA YA ROOMS 4 SIKILIZA BAJETI HAPA ATA WEWE UNAWEZA KUSIMAMISHA GOROFA UKIACHA UWOGA
#gorofalamwijaku
Жүктеу.....
Пікірлер: 100
@ce-086 ай бұрын
Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝
@fastonerugotwa30265 ай бұрын
Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60= Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana. All in all mambo mengine umeyaweka vizuri. Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤
@aploscoder43586 ай бұрын
wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI
@jimmysantana39876 ай бұрын
Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration
@samwelisamsoni64026 ай бұрын
Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba
@jobuumwambelo23416 ай бұрын
Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝
@user-dz9xg9ll1n6 ай бұрын
Great job
@user-xn8jh1yw1h6 ай бұрын
Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.
@babupiza6416 ай бұрын
Nimekuelewa sana mzee
@yusuphHatibu-jy6kv2 ай бұрын
Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana
@athumannambombe43346 ай бұрын
NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.
@shabanikitula6456 ай бұрын
Bado iko juu sana
@bexy.6 ай бұрын
Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu
@SalimhchialaAtilio-qj5cs6 ай бұрын
Thanks brother 🥰
@phantyrhymes95366 ай бұрын
Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.
@mkwejonathan3616 ай бұрын
Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother
@user-is9oc6ul8h5 ай бұрын
Uko njema bro
@eliyagervas86806 ай бұрын
Thanks man
@osoromageta33816 ай бұрын
Nakukubali sana upo vzr
@VickKulekana-si1ib
6 ай бұрын
Namba zake si iso juu jaman ya mwisho 56
@tonnyford57826 ай бұрын
Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤
@chrizostomchristian18846 ай бұрын
Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote
@sheikhalumbalambala26556 ай бұрын
Safi sana
@jonasafumwisye63576 ай бұрын
Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana
@peternyambui74926 ай бұрын
Safi sana❤❤❤❤
@zaiboris96966 ай бұрын
Nice
@jovinmancomedytz5 ай бұрын
Nakubari
@ChipakaJama-bi2jg6 ай бұрын
Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule
@julianaharrison4356
6 ай бұрын
Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana
@cuthbertmkemwa4903
6 ай бұрын
hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale
@fettiemaganza14846 ай бұрын
Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Nalo Neno
@elipidhugotesha19096 ай бұрын
saf sana
@AalyahNassor6 ай бұрын
🎉🎉🎉
@shomarisangari-rt6le6 ай бұрын
Ahsate sana
@IsayaSamweli-pm4dd6 ай бұрын
Safi sans no yako mkuu.
@idrisadalluc44986 ай бұрын
Mwijaku choko
@stephenmwampondele78936 ай бұрын
Saf nimekuelewa
@user-my6vn6mp6g6 ай бұрын
Mwamba we mkweli sana
@starfordalex41395 ай бұрын
Uko sahihi
@luckymsomba48186 ай бұрын
mwijaku anatuona watanzania n mabwege
@ericmwakingili6746Ай бұрын
KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA
@kevinmary71296 ай бұрын
200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku
@collinndabi1914
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SallmaXg
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@christinainnocent32405 ай бұрын
Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk
@pendowilbert88086 ай бұрын
Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔
@hallin95616 ай бұрын
Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3
Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?
@dottosweetbert88795 ай бұрын
Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Na hiyo ya nje ni swiming pul au
@allanabdallah91246 ай бұрын
Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30
@ginimbifamily3995
6 ай бұрын
Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza? Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂
@KyandoSpareparts6 ай бұрын
Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Nataka kama hilo
@yohaneskomba95596 ай бұрын
Nitumie namba yako brother
@fridakipingu6 ай бұрын
Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi
@adkajisi4536
6 ай бұрын
M150 bora ujenge nyumba ya chini kali
@SallmaXg
6 ай бұрын
@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi
@sarahkimambo5324
6 ай бұрын
😂
@Mrpromotiongroup4 ай бұрын
Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M
@user-nb1lv9xw6m6 ай бұрын
Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho
@kimandafukitefu29994 ай бұрын
Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?
@AishaSaid-yx3jl6 ай бұрын
Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini
@alaamarisaviel29796 ай бұрын
Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa
@user-cu9mj3xj8xАй бұрын
mwijaku? daah
@muhammadmuhammad50436 ай бұрын
Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Mimi pia sijaelewa.
@barakatingisa505
6 ай бұрын
Hapana, ni ghorofa yenye vyumba 4 vya kulala.
@shabanialfani53946 ай бұрын
Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani
@WorldExploration3816 ай бұрын
Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.
@WorldExploration381
6 ай бұрын
@@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki
@tunkuh661
6 ай бұрын
Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k
@oscarmwamlima936 ай бұрын
Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi
@hallin9561
6 ай бұрын
ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.
@jovitjonas86646 ай бұрын
Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,
@sarabura89336 ай бұрын
Sasa hapo mbona hakuna afazari duh
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.
@Cruxtrend6 ай бұрын
Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b
@florencemlay93334 ай бұрын
Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani
@ReuKakulimaАй бұрын
Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje
Пікірлер: 100
Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝
Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60= Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana. All in all mambo mengine umeyaweka vizuri. Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.
Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤
wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI
Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration
Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba
Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝
Great job
Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.
Nimekuelewa sana mzee
Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana
NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.
Bado iko juu sana
Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu
Thanks brother 🥰
Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.
Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother
Uko njema bro
Thanks man
Nakukubali sana upo vzr
@VickKulekana-si1ib
6 ай бұрын
Namba zake si iso juu jaman ya mwisho 56
Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤
Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote
Safi sana
Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana
Safi sana❤❤❤❤
Nice
Nakubari
Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule
@julianaharrison4356
6 ай бұрын
Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana
@cuthbertmkemwa4903
6 ай бұрын
hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale
Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Nalo Neno
saf sana
🎉🎉🎉
Ahsate sana
Safi sans no yako mkuu.
Mwijaku choko
Saf nimekuelewa
Mwamba we mkweli sana
Uko sahihi
mwijaku anatuona watanzania n mabwege
KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA
200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu
Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku
@collinndabi1914
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SallmaXg
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk
Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔
Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Ile ya machame M800?
Umeelezea vzur sana
Nimekukubali bro ntakucheki napapata malamba mawili
Zanzibar unaweza kuja kujenga
Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?
Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?
Na hiyo ya nje ni swiming pul au
Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30
@ginimbifamily3995
6 ай бұрын
Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza? Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂
Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad
Nataka kama hilo
Nitumie namba yako brother
Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi
@adkajisi4536
6 ай бұрын
M150 bora ujenge nyumba ya chini kali
@SallmaXg
6 ай бұрын
@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi
@sarahkimambo5324
6 ай бұрын
😂
Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M
Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho
Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?
Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini
Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa
mwijaku? daah
Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????
Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Mimi pia sijaelewa.
@barakatingisa505
6 ай бұрын
Hapana, ni ghorofa yenye vyumba 4 vya kulala.
Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani
Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.
@WorldExploration381
6 ай бұрын
@@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!
Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki
@tunkuh661
6 ай бұрын
Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k
Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi
@hallin9561
6 ай бұрын
ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.
Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100
@selemanmaganga-le4zg
6 ай бұрын
We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,
Sasa hapo mbona hakuna afazari duh
@adkajisi4536
6 ай бұрын
Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.
Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b
Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani
Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje
Great job
safi sana