Ujenzi Wa Apartments wa Gharama Nafuu

Фильм және анимация

Nyumba hizi zimejengwa kwenye plot yenye ukubwa wa mita za mraba 1200 , kila nyumba ina vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule na dinning. Gharama za Ujenzi kwa Kila jengo ilikuwa million 75 za Kitanzania. Gharama hizi hazitafanana kwa kila site au kwa kila eneo, hivyo isikuogopeshe, site hii ilikuwa na slope kali na nyumba ilibidi inyanyuke sana na hii ilisababisha gharama za ujenzi ziwe juu kidogo.
Upo tayar? Hakikisha unatutafuta.
Karibu swahili units, builders and estates kwa huduma za finishing, interior and exterior designs, Renovation services, land scaping pamoja na utayarishaji wa Raman na ujenzi wa majengo yote kwa ujumla wake(ya makazi,ya kibiashara na yale ya kijamii), hapa swahili units, estates and builders tunasema #leta_ndoto_yako_tukupe_nyumba_yako #we_dont_do_cheap_designs_we_do_affordable_designs

Пікірлер: 31

  • @tanzanadian
    @tanzanadian2 ай бұрын

    Keep up with good job

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    2 ай бұрын

    🤝🏿🤝🏿🤝🏿

  • @user-xi3uo2nn1e
    @user-xi3uo2nn1e29 күн бұрын

    Mmetisha wajomba

  • @millanolotu2839
    @millanolotu2839Күн бұрын

    MTAALAM,Naomba namba yako ya simu .

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36232 ай бұрын

    Jaman❤❤❤❤❤😢

  • @ibrahimabdallah7639
    @ibrahimabdallah76399 күн бұрын

    Nataji namba ya simu

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170Ай бұрын

    Hiyo moja Ghar ama TSH

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    23 күн бұрын

    Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi

  • @jovenatusstephen5958
    @jovenatusstephen595816 сағат бұрын

    Mko wap

  • @hamidasaif4065
    @hamidasaif4065Ай бұрын

    Wekeni beyi

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    23 күн бұрын

    Bei ipo kwenye description ya hiyo video

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha593329 күн бұрын

    Kaka ujenzi wa nyumba hiyo ni sh. Ngapi?

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    23 күн бұрын

    Wasilina nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi

  • @alimwenemwakyusa771
    @alimwenemwakyusa77118 күн бұрын

    vyumba vya kulala ni self container pls

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    18 күн бұрын

    Kimoja Ni Ensuite na kingine ni shared with Public Toilet

  • @user-ek7nu1qc8g
    @user-ek7nu1qc8g23 күн бұрын

    Bei gani

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    19 күн бұрын

    Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi

  • @user-zj8ul2tp4t

    @user-zj8ul2tp4t

    18 күн бұрын

    ​@@swahiliunitsmnafika popote

  • @alfrededwin6479
    @alfrededwin64792 ай бұрын

    Nihizo nyumba mbili umezijenga kwa m75 au zote tatu naomba unieleweshe tafadhari

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    2 ай бұрын

    Ni gharama ya nyumba moja

  • @aminamohammed5373

    @aminamohammed5373

    Ай бұрын

    Wekeni bei tujue

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lkАй бұрын

    Kama nyumba hiyo beigan

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    23 күн бұрын

    Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398Ай бұрын

    Ramani inabei gani

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    23 күн бұрын

    Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel33592 ай бұрын

    Kama hio nyumba 1 bei gan

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    2 ай бұрын

    75milion tshs per unit

  • @gaspercharles2244

    @gaspercharles2244

    2 ай бұрын

    Yaani 75ml ni nyumba zote au ni kajumba kamoja ndio ml 75?

  • @DanierKisumo
    @DanierKisumoАй бұрын

    utalatibu ukoje

  • @DanierKisumo

    @DanierKisumo

    Ай бұрын

    0757567645tuwasiliane

  • @swahiliunits

    @swahiliunits

    Ай бұрын

    Wasiliana nasi kwa namba +255762156762

Келесі