Ujenzi Wa Apartments wa Gharama Nafuu
Фильм және анимация
Nyumba hizi zimejengwa kwenye plot yenye ukubwa wa mita za mraba 1200 , kila nyumba ina vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule na dinning. Gharama za Ujenzi kwa Kila jengo ilikuwa million 75 za Kitanzania. Gharama hizi hazitafanana kwa kila site au kwa kila eneo, hivyo isikuogopeshe, site hii ilikuwa na slope kali na nyumba ilibidi inyanyuke sana na hii ilisababisha gharama za ujenzi ziwe juu kidogo.
Upo tayar? Hakikisha unatutafuta.
Karibu swahili units, builders and estates kwa huduma za finishing, interior and exterior designs, Renovation services, land scaping pamoja na utayarishaji wa Raman na ujenzi wa majengo yote kwa ujumla wake(ya makazi,ya kibiashara na yale ya kijamii), hapa swahili units, estates and builders tunasema #leta_ndoto_yako_tukupe_nyumba_yako #we_dont_do_cheap_designs_we_do_affordable_designs
Пікірлер: 31
Keep up with good job
@swahiliunits
2 ай бұрын
🤝🏿🤝🏿🤝🏿
Mmetisha wajomba
MTAALAM,Naomba namba yako ya simu .
Jaman❤❤❤❤❤😢
Nataji namba ya simu
Hiyo moja Ghar ama TSH
@swahiliunits
23 күн бұрын
Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Mko wap
Wekeni beyi
@swahiliunits
23 күн бұрын
Bei ipo kwenye description ya hiyo video
Kaka ujenzi wa nyumba hiyo ni sh. Ngapi?
@swahiliunits
23 күн бұрын
Wasilina nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
vyumba vya kulala ni self container pls
@swahiliunits
18 күн бұрын
Kimoja Ni Ensuite na kingine ni shared with Public Toilet
Bei gani
@swahiliunits
19 күн бұрын
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
@user-zj8ul2tp4t
18 күн бұрын
@@swahiliunitsmnafika popote
Nihizo nyumba mbili umezijenga kwa m75 au zote tatu naomba unieleweshe tafadhari
@swahiliunits
2 ай бұрын
Ni gharama ya nyumba moja
@aminamohammed5373
Ай бұрын
Wekeni bei tujue
Kama nyumba hiyo beigan
@swahiliunits
23 күн бұрын
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Ramani inabei gani
@swahiliunits
23 күн бұрын
Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Kama hio nyumba 1 bei gan
@swahiliunits
2 ай бұрын
75milion tshs per unit
@gaspercharles2244
2 ай бұрын
Yaani 75ml ni nyumba zote au ni kajumba kamoja ndio ml 75?
utalatibu ukoje
@DanierKisumo
Ай бұрын
0757567645tuwasiliane
@swahiliunits
Ай бұрын
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762