MWANAMKE ANAEMILIKI NYUMBA YA MILIONI 200 "SIMU YANGU IMENIPA VYOTE"
Hosiana Sanga ni mwanamke wa Kitanzania akiwa ni Mama wa Mtoto mmoja ambaye anamiliki nyumba ya zaidi ya Sh.Mil 200 ambayo ameijenga kupitia simu yake ya kiganjani ambapo ameweza kufanya Biashara ya Mtandao.
Пікірлер: 891
Km na ww unaamini ipo Siku utamiliki mjengo km huu twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@bensonsamwel4930
4 жыл бұрын
Hongeradada elimu imekukomboa
@abuuchaula6961
4 жыл бұрын
Me siwez buana
@davidchiwawa3702
4 жыл бұрын
Du. Mungu atuongoze na sisi tufuate nyayo zake tufanikiwe
@iddiking6963
4 жыл бұрын
Abuu Chaula kwnn
@jacksonkinange4605
4 жыл бұрын
Chukua hatua mapema kwasababu kuna kampuni inakua kwa kasi mno
I pray whoever watching this sister what's she said gonna gets successful before ending of 2019🙏.
@latifajafari3784
4 жыл бұрын
Amen same to you
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
Ameen Ameen Ameen
@estherjoseph7575
4 жыл бұрын
Amen
@alikizungu281
4 жыл бұрын
Munira unakaa wapi
@allthingdranabeauty
4 жыл бұрын
Amen
Ee mungu nijalie na mm nimiliki nyumba yangu ongela Dada
@molaizer992
4 жыл бұрын
Magret habar naitwa kingmasai nataka nikuonyeshe njia aliyotumia huyu dada kufikia malengo yako njoo online 0692823933
@neemambisse7041
4 жыл бұрын
Naona wako very makini kwe kukuingiza just be careful
@elizabethm6671
4 жыл бұрын
@@molaizer992 hi,naweza fanya nikiwa Kenya?
@molaizer992
4 жыл бұрын
@@elizabethm6671 yap unaweza kufanya coz tuna ofisi yetu uko njoo WhatsApp 0692823933
@molaizer992
4 жыл бұрын
@@elizabethm6671 Hello Mrs
Hakika hongera sana, unatuhamasisha kumiliki mjengo wa hivyo! But daima kuna siri katika maisha ya watu
@daudichawo240
4 жыл бұрын
Umeona ehhee wawez sema vyote
@happinessjoseph2431
4 жыл бұрын
1000% true kabisaa sema tu ndo watu huwa hawasemi hizo siri japo wamepitia changamoto nyingi sana
@daudichawo240
4 жыл бұрын
@@happinessjoseph2431 wanatudanganya tu,😀😀😀🤣
@jacksonkinange4605
4 жыл бұрын
Hakuna cha siri wengi wenu mnamitazamo hasi mimi nami pia nafanya Biashara ya Mtandao na waganda sasa hivi wanatengeneza pesa now Tanzania tayari kuna kampuni inakua kwa kasi mno kwa muda wa mwaka mmoja tu Watanzania wengi zaidi ya 70,000 Tayari wanafanya huo mradi kama unataka kufahamu weka Comment yako hapa
@godfreywilliam9673
4 жыл бұрын
@@jacksonkinange4605 naomba unipe binu ndugu
Hongera sana Dada Hosy .... Mungu akubariki mama .... Umetusaidia wengi kupitia biashara yako hakika hatuwezi kukusahau
@mwili_wa_ndoto_yangu
Жыл бұрын
Kampuni gani ya network marketing unafanya dada
Sija elewa ata kidogo kama kuna MTU ajaelewa kama Mimi weka leke tujuane
@sekelamwasumbi7653
4 жыл бұрын
Boniface Francis aisee mwenyew ntafanya network marketing bro of coz it really kama unataka kuhakikisha find me 0684433389
@celinelawrence2015
4 жыл бұрын
✔
Kwa kweli nimeamini binadamu tunashida.kasha waambia network marketing na zipo nyingi sana Tena zinazouza bidhaa za afya zipo juu sana Kun Kam hazijui ngoja niwatajie Kuna neolife, forever,oriflame, alliance global ,bf Suma na zingine nyingi na watu wanafanya maendeleo makubwa mnooo.endeleeni kufikiria upuuuz upuuuz tu eti uchawi ndo mnavyosababisha Mungu aendelee kumbariki zaidi kwa fikra zenu mbovu
@momrackonlinetv4352
4 жыл бұрын
Bora umeongea ndugu yangu maan elimu ya mjinga ni majungu ,
Hongera dada kwa kujenga nyumba yako. Kwa vijana wenzangu, hakunaga kitu kinaitwa biashara ambayo ni rahisi eti unachota pesa njenje. Hata hiyo unayoifanya na ukaiona ni ngumu kama vile haina faida endelea nayo hivohivo kuna siku na wewe utasimulia. "No pain no gain"
Kama na wewe unaamini utaokota nyumba kama hii gonga like.
@patrickzacharia7483
Жыл бұрын
Huwezi okota kamwe miaka nenda rudi
@rasheedabby2871
Жыл бұрын
Unaokota sio
@stanleynombwe4865
Жыл бұрын
Tafuta pesa nyumba sio makopo kusemakwamba utaiokota
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
@@stanleynombwe4865 🤣🤣🤣🤣🤣
Hosiana Sanga. Hongera Sana class mate wangu
Hongera sana Allah akuzidishie na sis mungu atufungulie njia ya maisha
@pastorteddywaziri5754
4 жыл бұрын
Zaheer Nakhwa amen
@khalfantunamuombeskitenge7029
4 жыл бұрын
amina
@abukarhassan2663
4 жыл бұрын
Amiin
@salahasalum9523
Жыл бұрын
Amen
You have inspired me me a lot.You are a blessed beautiful Woman.❤
Sijaelewa chochote kile. Nimeelewa mauza uza tu. Hajaelezea ni biashara gani imemtoa kimaisha. Westing of the time. Hongera zake kwa nyumba nzuri.
@ramadhanshekibulah8806
4 жыл бұрын
Njoo nikuelkzee 0716799949
@josephatmruma7652
4 жыл бұрын
Hukutaka kuelewa cz ulikua na mauza uza akilin mwako..
@georgendenga7163
4 жыл бұрын
Elezea katika lugha ambayo bibi yako wa kule Magubike ataelewa!
Hujafafanua vizuri dada unaenda mbele na kurudi nyuma...ila hongera!
@rosemuba2532
4 жыл бұрын
Kuna kitu anetuficha bana sio kweli
@nadiafataki8118
4 жыл бұрын
Well done mom
@ashaally6993
4 жыл бұрын
@@rosemuba2532 Kabisa
@credo7837
4 жыл бұрын
Kabisa
@ashaally6993
4 жыл бұрын
@@rosemuba2532 umeona eee! Mimi mwenyewe sijamsoma kabisa!
Yaani hongera dada..umetufunza kitu..never give up...Ktk Maisha lazima kujituma
Congrats Dada Hosiana ,nakukumbuka enzi hizo GNLD.
Wow hongera umenipa inspiration kubw san yakujiamni na kuthamni k2 chako binafs
Ongea dada mngu apewe sifa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wasomi.wa.Tanzania.mnaniwachaga hoi ati amesoma llinga na anafanya biashala. Kama umelielewa bomu hilo la lugha gonga.like
@mariamhamisi6076
4 жыл бұрын
Hv kweli kusoma huyu ilinga
Biashara usimama kama kigezo ila kuna siri hipo katika maendeleo ya mtu japo biashara husaidia wengi.
@Bosman.cookingforyou
4 жыл бұрын
Ninaifanya biashara hiyo na niko tayari kumuelekeza yeyote ambaye anapenda ifanya. +4591664008. I'm in Denmark
@esterelias8189
4 жыл бұрын
Umeona kuna siri kubwa mno tusidanganyike sio kirahisi
@balbinatarimo6247
3 жыл бұрын
Ndo mawazo yenu yalivyo me mwenyewe nimejenga kwakujinyima ila akilifinyu za watu Kama ninyi wakaanza nimejengewaa
@sabrinasab2910
3 жыл бұрын
Umeona eee UKWELI hawasemi
@josephatntilumela4594
3 жыл бұрын
@@balbinatarimo6247 naomba namba yako mana namimi naitaji kujibana bana nijenge yang ni 0652889952
Hii ni nzuri .. Kuna kuna product mpya ambayo ni nzuri sana inaitwa Soul. Inasaidia magonjwa mengi sana.
@sospetermgendi3544
4 жыл бұрын
0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea
This be the videos I love to see respect to the lady and good job for bringing us good content si wale wa udaku
Namjua nimesoma nae hongera hosiana nimefurahi kusikia haya anatokea iringa flelimo nakujua best
MashaaAllah
Motivated me a lot !!!
Dada mungu anapenda watu wanao kumbuka mapito yao na kulipa fadhila!mungu akubariki
Mkinga on point, Huwa hatutoki kwenye Key haswa kuhus mapambano ya kusaka Dough.
@rehemawooowthankskitime8078
3 жыл бұрын
Hahaaaa,kina ndeti😂😂
@chenganjerry5273
3 жыл бұрын
Amapesa si madako hahahahaha
@priscangimba6194
4 ай бұрын
Ulisile nyee😂😂
Mtafutaji hachoki na Mungu humbariki kila mwenye bidii
Masha Allah.hongera sana.ya.rabi.nijaliye.namimi.nipate.inshaallah
Be blessed and keep it up.
Wewe mtangazaji unafaa kuripoti habari za mahakamani ndiyo unapofiti
@shemsaomar6498
4 жыл бұрын
hongera Dada mungu akubariki kwamjongo
@annaphilly1967
4 жыл бұрын
Yaan mimi ata anakofit cjapaona maana hajui ata kuuliza maswali
@yusrahemed21
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abu_bakr7518
4 жыл бұрын
@@annaphilly1967 😂😂watanzania nyi hunibamba.Love all the way from Nairobi💜
@faridamahamy3600
4 жыл бұрын
Comment yk imenfny nimfahm huyu mtangzj,kumb ndo yule amby huw anatusomea hbr za kimahakama
Naomba niseme siamini!Ila vijana ukweli achaneni na picha kwenye instra! Na these days hadi wazee ni muda woote mtandaoni! Fanyeni kaziii! Ila siamini mengine!
Nyumba nzuri sana!!
They don't explain that business well,want exactly do u sell which products
@mercliliantv4226
4 жыл бұрын
Hicho kitabu ni cha neolife...biashara anayofany ni neolife...ni networking business na inalipa kama ur committed ..mimi ni mwanachama ukitaka naweza kukuunga nicheki 0757656926.
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
@@mercliliantv4226 munajihusisha na nin elezea ndio utahamasisha watu wakutafute
@mercliliantv4226
4 жыл бұрын
Neolife inauza supplements za afya...inauza bidhaa za usafi ...inauza bidhaa za kilimo na pia inauza skin care products...Raha ya hii network marketing ni kuwa kila mwez inakupa nafasi mpya ya kuanza ...kutafuta wanachama na kulipwa..Ila ukiachana na biashara bidhaa zake ni nzur sana na endapo ukizitumia ww utakuwa mteja wa kwanz kabsa.. ni rahisi ukimpa mtu atumie maranyingi lazima arud kwani ni products zenye hadhi ya juu sana
@klaragreen7999
4 жыл бұрын
Mercy lilian. Weka account tujisomee tujiridhishe ili iwe rahis kuhamasika
@nuurinkluge7584
4 жыл бұрын
Those people they like only Show off ..fike life Which online Bissness??uko nanyumba tu ,,but wewe haiko utajili..
Maelezo yake hayaeleweki...
@alexmongo2577
4 жыл бұрын
Hapo ndo ujue ana janja janja nyingi
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
Umeonaee
@jumawaziri8501
4 жыл бұрын
mara alipata sponsor uganda, mara alikua anafanya biashara alipe ada hata haeleweki, kimsingi anatangaza tuu biashara yake mjanja sana aiseeee
@franklyonline
4 жыл бұрын
kzread.info/dron/7Fvu_3j2FqYEZXAo4nXeNg.html
@pendokomba9443
4 жыл бұрын
Mara kamaliza chuo 2012 then hapohapo anasema biashara ya mtandao kafanya kwa miaka nane
Mungu akubariki Sana Niko na wewe kabisa nafurahi kusikiliza
Hongera sana mdada Mungu azid kukupambania.
hizi online bussiness zipo vzr lkn usikurupuke ukaingia kwenye hizo issue za aim global, FOREVER n.k. ni vzr ukajifunza zaidi kwenye hizi bussines.
@nzegeatv6355
4 жыл бұрын
Sudy Slaa Broo unamaanisha Grobo alance?
@hawa4968
4 жыл бұрын
Kweli kabisa..
@edithombunga7293
4 жыл бұрын
Kenya vijana wote wamezama kwenye aim global alliance Lakini hiyo aim global haiaminiki Inashukiwa ni ya kishetani Kwanza tufanye utafiti wa ndani kabla ya kujiunga
@topistarnelima6797
4 жыл бұрын
@@edithombunga7293 aim global sio ya kishetani kupata pesa si rahisi wewe mimi niko kwa aim global kupata pesa unafanya kazi kwa bidii unaweza maliza miezi minne bila ata kupata mteja ingekuwa ya kishetani ingekuwa inapeana pesa za bure sisi waafrika tuna akili vinyu tukiona kitu cha manufaa hatutaki kujiunga tunapenda misaada tu ndio maana waafrika tuko masikini sana
@molaizer992
4 жыл бұрын
Sudi angalia ucje ukawa mtu unasema i.k.i.a
To be honest I respect the lady ila ameolewa that means pia mwanaume amechangia in one way or another
@kellygabriel6279
4 жыл бұрын
mume hajachangia chochote nipo nae kwenye kampun moja hajasaidiwa chochote na mtu
@marsgenesis7200
4 жыл бұрын
@@kellygabriel6279 ok that's gud
@zachariashimwela252
4 жыл бұрын
Unajuaje kama mume hajachangia ingali wewe siyo mke wake?
@africanchild4525
3 жыл бұрын
Sometimes just sababu umeolewa haimaanishi mwanaume nae kachangia. Kuna wengine wameolewa wakiwa na nyumba zao wenyewe mimi pia mmoja wapo. Mume wangu alinioa akiwa na nyumba yake mwenyewe na mie nilikua na yangu mwenyewe kwa jasho langu na tabia ya kusave kidogo nilichokua natengeneza. Ilinichukua miaka kumaliza ila mwishoe nikasema asante Mungu. Status ya kuolewa ipo pale pale ila haimaanishi mume wangu alichangia kujenga nyumba yangu.
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
@@africanchild4525 good ❤️
Kumbe mtu mwenyewe ana ajira yake safi na kapigwa tafu ni ajira akapata mtaji na kuendesha biashara zake vzr mpk kufikia alipo,so mkizungumzia kupata pesa kupitia mtandaoni bado hajelezea vzr kwaiyo cha msingi ni kujua tu hapo alipo elimu imechangia pamoja na biashara
@amanimanase5794
3 жыл бұрын
Fact
Vizuri dada maisha ya sasa ni akiri tu ya kufanya kazi!
Oooooooh Kumbe ni MKINGA from MAKETE.... Hongera zake sana.
Hongeraaaa mdada
Motivational speakers.
Huyu Dada namjua yupokwenye kampun ya NEOLIFE anafanya biashara sanaa
@rithaeustark782
4 жыл бұрын
Kampun inadil na nin??
@unveiledsolutions8166
3 жыл бұрын
@@rithaeustark782 ina deal na bidhaa mbali mbali zikiwemo za shambani, za usafi wa nyumba, nk
Biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara jmn mi sijaelewa hi biashara 🤣🤣🤣au mi kichwa kigum sielewi maongezi yote sijaskia nibiashara gani🙆♀️🤣🤣km nawe mwenzang ujaelewa tujuane 🤣🤣🤣like hp
@crausmasala8572
3 жыл бұрын
Ni biashara ya mtandao nitafute 0743838072 nitakufundisha
Ukweli hata simwelewi lamda anabiashala njee za mitandao .pili anatuzunguka like mbuyu !
Hongera Sana mungu akobariki!
Saanga simkinga huyoo Sasa Utashangaaje Mkinga na Mafanikio!!? Mkinga nimpambanaji ambae anaweza Kufanikiwa kutoka chini mpaka juu Mkinga akiwa na Lengo lake hatoki kwenye njia mpaka afanikiwe.
@harrisonsamwel3112
4 жыл бұрын
kwa uchawi lakini
@Jacklinekajula92
4 жыл бұрын
sadiki Daudi kabisa
@salymkitumbika8644
4 жыл бұрын
@@harrisonsamwel3112 pole kwa mawazo mgando suala ni commitment tulonayo kama wachaga swala la uchawi ni sehemu ndogo sana kwa sasaa
@harrisonsamwel3112
4 жыл бұрын
@@salymkitumbika8644 hujajua maisha bado wwe unaish kwakuangalia juu juu tu hujui undani wa mambo bado mdogo
@salymkitumbika8644
4 жыл бұрын
@@harrisonsamwel3112 Hahahaaa Dah! Aisee wacha nicheke tuu kweli Tz nchi ya Amani sanaaa MTU anaweza sema chochote usilolijua ni usiku wa Kiza, unachart na Mkinga Og from Makete Bulongwa, huwa mnaziskia tuu story za wakinga na mie ni Muhanga ktk biashara zangu so karangabaho
Kabisaaaa tupo pamoja boss wangu tunawakarisha wote
@lovenessdiva7132
4 жыл бұрын
Kumbe mnawakarisha watu na boss wako
Hongera Dada mzuri
@sospetermgendi3544
4 жыл бұрын
0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea
Hakuna binadamu ambae anaeweza kusema siri ya mafanikio yake yote.atakupa siri nusu tu. Kamili anayo yeye na mungu wake
Congratulations dada nimependa the way umejipanga I wish tu meet ili nami nianze hiyo online business moraa from kenya
Wabongo kuchambana Instagram inatosha, sasa mtumie mitandao kupiga pesa kuna opportunity nyingi sana
Amazing sana
Muhimu ametuelezea tujitahidi kwenye tunachofanya. Sio lazma ujue biashara yake. Amini na tumia akili kuwa na subira katika unachofanya..hata ukiuza ndimu muhim kujituma tuu
@asharubavu8861
4 жыл бұрын
Kweli.kabisa
Dada kasoma makerere university, na sio makelele. Na deglee ya psychology na sio deglee, amezaliwa iringa na sio ilinga; pia amesoma secondary na sio secondali. 🤦♀️🤦♀️
@jacklinejoachim8030
8 ай бұрын
😂😂😂
Usishindane na mwanamke, maana wanavyanzo vingi vya uchumi..
@alexmongo2577
4 жыл бұрын
Ndiyoo...walipewa mili yao ni hazina tosha ya utajiri
@alexchungu9505
4 жыл бұрын
Alex Mongo , sikupingi wajina
@marymathew6529
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono ktk hilo mi ni mwanamke lakini nakuelewa unavyosema hivyo,sijawah taman Mali ya mwanamke maana kuna siri kubwa ktk mafanikio ya mwanamke.
@jumaakhalifani8218
4 жыл бұрын
😃😃😃
Huyu mwenye kumuhoji anamrudisha nyuma kila saa. Hongera dada.
Fafanua zaidi, maelezo hayatoshelezi hata kidigo, maana nyuma mbele.mbele nyuma, sema.biashara ya kweli uliyifanya bana usituchoshe
@sospetermgendi3544
4 жыл бұрын
0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea
Kunguni kweli hawa,yaani mambo ya tri-angle business ndo unaleta promo kubwa.matapeli wa kimkataba.
Mashaallah
In short wewe ni balozi wa kampuni unaelipwa vizuri
I BLESS YOU IN JESUS NAME CONGRANT
So fantastic
Good
Hongera sana class mate
Masha Allah
👊👊
Mashallah my dear mungu akuzidishie inshallah
Ohohhohooo!! Hapana cheza na Mukinga wewe. Iga ufe.
@eliudijastinejastine9731
4 жыл бұрын
Cas Jal hatariii
@sayarimedia9845
4 жыл бұрын
hamna cha biashara hapo
@zawadichalale4047
3 жыл бұрын
Ha ha haaaaa
@shadrackzablon5983
3 жыл бұрын
Woiiii 😅😅😅😅
Dada mm ukitaja network marketing, unazdii kuchanganya akili yangu, how and to what extent can you benefit from this kind of business??ni vizuri ungetoa more clarification ili niweze kuelewa, otherwise there might be something behind the scene towards your achievement
Ndiyo hayo ya vibubu kumbe nyuma ya pazia kuna mengine
@alexmongo2577
4 жыл бұрын
Unaweza kuta kauza sana papa,hahahh
@rosemuba2532
4 жыл бұрын
Haswaa
@halimasaleh5705
4 жыл бұрын
Alex Mongo 🤣🤣🤣🤣🤣
@sweetprincess4771
4 жыл бұрын
Nakwel Maan
@gladymndala1061
4 жыл бұрын
Halima Saleh na wakinga bhaana usikute kuna sadaka maana ni noma watu hawa😂
Ilinnga au Iringa! Makidahi punguza mbwembwe, alifaliki! au alifariki!
@stellanjeru6001
4 жыл бұрын
Na amesomea chuo kikuu hata kingereza hajui
@liberatharichard4556
4 жыл бұрын
Namm simuelew eti.huyu zamaradi ndo anamuweza hasomeki kabisaaaa
Huyu Muhoji ndio Hakuwa na Maswali,Hongera sana.
Sijamwelewa vizuli huyudada kafanikiwaje? mana mayelezoake nimengi .sijuwinyiye wasikilizajikama mimi mume mwelewa? Malakasoma.........🙄❤🤔vyashala yamutandao🤔
Laiti nyumba zingepewa vinywa zingetoa siri za ndani tuone tu nyumba zawatu nzuri siri za hizo nyumba wanazijuwa wao na kuna nyingine ninzuri sana na hazikaliki
Sio ajabu kwa graduate wa makerere kumiliki nyumba km hiyo. Kila mtu ana tegemea awe na mafanikio.
Mashallah hongera sana.
Hongera dada
Huyo dada anafanya matangazo ya kuingiza watu mkenge.... kwa kifupi hayo ni maendeleo ya mbinu za matangazo. Tokeni humo kwenye nyumba za watu.
@sylviaochieng8786
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣oh my ribs
@swalizuriweetthomas4343
4 жыл бұрын
Hahahaha uwiiiiiiiii
@michaelprosper6986
4 жыл бұрын
Hahah!unamaanisha network marketing ni utapeli?
dah hongera Sana
Hebu tutolee ujinga hapa Hai inspire chchte hyo hadith maana usome Makelele we ni Tajiri hebu imagine usome shule na Nyerere utskuaje maskini. Tuoneshe mmama kauza uji,genge ,mkaa nk. Hpo akitusua life tuseme yes tujifunze kitu
@Laughters_club
4 жыл бұрын
Hunda mania Mania brainless kabisa wewe nenda ww kasome havard afu kuwa kama marck zuck
@shekhanabdallah9022
4 жыл бұрын
Kenge kabisa naungana na wewe bhana huyu astivuruge
@annclaudiageorge7504
4 жыл бұрын
Utabaki hivyohivyo
Uyu dada ajaelza nibiashaar gani aliyo ifanya mpka ikampa vitu ivyo, Ajaeleweka kabisaaa Mara juice mara mapochiii mara SHULEE. Ss atujaelewa nikitu gani anacho Fanya???
@jazzymkalitv5535
4 жыл бұрын
Kweli kabisa. Ni wale wachoyo, wasio penda kuona wengine wakifanikiwa kama alivyo fanikiwa. Haya yote ni mapito. Ila nampongeza kwa nyumba nzuri.
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
Hawatoagi ukweli unafanikiwa vp mbaka ujiunge
@mohamediyusuph4290
4 жыл бұрын
Agness Estoni yaani toka yule kondakta mwenye shule kule mbeya akutwe na hatia ya mauaji kwa kujihusisha na mambo ya kishirikina nimekuwa siwaamini tena watu wa hivi.napambana na hali yangu.
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
@@mohamediyusuph4290 yaani wewe upo km Mimi
@clementsindamka8804
4 жыл бұрын
Mbona kaeleweka vzur, Hapo haruhusiw kutaja kampuni, mi naelewa biashara hyo ila uwe na jitihada za kufanya kazi kweli kweli. Yapo makampuni mbali mbali hapa Tanzania
Hapa angeenda kuhojiwa na milad au vidox tungeelewa ila hapa weng tumetoka patupu
@lindathadei3144
4 жыл бұрын
Huyo Dada anafanya biashara ya neolife zamani GNLD inahitaji Sana kuongea na watu
@timothyrenalda5358
4 жыл бұрын
kweli kabisa
@ommarysaid7391
4 жыл бұрын
Kweli mzee mwenzangu cjamuelewa kabisa mbele nyuma
@saidyomary1734
4 жыл бұрын
J
@magesweet6233
4 жыл бұрын
ni kwel
Thank u Mildred I need your help
Mashaa Allah
@witomwidisi1214
4 жыл бұрын
Mapembelo upo vizur l like you
@jaklineally5338
4 жыл бұрын
biashara gani unfanya mbon hujafunguka???
Ndo ulimwengu wa sasa anaitaj kumilik vingin zaid ya ivyo daa mi naona ashkur ata ivyo kikubwa ni nyumba gar kawaidatu kikubwa nyumba na biashara
Mashallah hongera
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Napendaga jiko likiwa zur. Ya watu siku hizi wanatumia Kwa mitandao biashara
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Nyumba Ina samani kubwa
@nyerembenyampiga5584
4 жыл бұрын
MTANGAZAJI RUDI SHULE KWANZA HUNA UWEZO BADO WA KUENDESHA INCLUSIVE INTERVIEW
Hongera sana
💪💪💪
Hapo Dada mm kwangu sijakuelewa naomba ulitolee ufafanuzi make unasema unafanya biashara ya mtandao ni biashara gani hiyo ya mtandao make sielewielewi.
Nice da hons love more
Handbag ....mikoba... Nipeni tofauti
Sema nimejifunza vingi kwa huyu mama
Hongera mkinga msomi na mtafutaji wakinga mapemberoooooo
Mashaallah 😋
Kiswahili kigumu baba kafarik kwa bahati mbaya kwani kuna anae farik kwa bahati nzr ?!!!
Mashallah dada yangu namimi natamani nyumba
Nilijua tu hata hapa anafanya biashara. Kashakuambia pale mlimani city opposite na....
@sherrysalim50
4 жыл бұрын
FreeEducation4everyone 😂🤣